3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,884
Kwenye huo ushoga wako mkopo ni bei gani mamitoo.?Tulieni sindano iwaingie na huyo shoga wenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye huo ushoga wako mkopo ni bei gani mamitoo.?Tulieni sindano iwaingie na huyo shoga wenu.
Game changer? Stupid gay!
Watafutane wenyewe Kwanza na tochi,wakiweza kuonana,wawatafute na wengine nje ya lumumbaSi ndio furaha yako ccm ishindwe sasa unashauli nini?
Mahitaji take ndio mahitaji ya watanzania na mahitaji ya taifa letu.uhuru,haki na maendeleoJieleweni machadema nyie huyo tundu atawapoteza ana mahita yake binafsi
Yani wewe heri hata tofali linaweza kuwa na akiliMbona humu huwa mnatamka misukule ya Lumumba
Kuna watu wanafiki sana dunia hii. Wale wengine si huwa wanaita wenzao FISI-EMU?!!Mbona humu huwa mnatamka misukule ya Lumumba
Nii tamko rasmi la msemaji Wa chama?Mbona humu huwa mnatamka misukule ya Lumumba
Acha bangeMsukule huendeshwa kwa remote kutoka ubelgiji
Naomba niki diclare kuwa mm Sina chama chochote isipokuwa kumuita mgombea uraisi wa Tanzania ni "msukule" hapa naona umekosea.
Km umeamua kusema ukweli Basi usitukane
Hizi ni dalili za kushindwa kumjibu mpinzani wako kwa hoja au kufahamu kuwa mpinzani wako ana uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko wewe. Unatumia personal attacks.
DALILI NA ISHARA YA ANGUKO LA CCM2020Naomba niki diclare kuwa mm Sina chama chochote isipokuwa kumuita mgombea uraisi wa Tanzania ni "msukule" hapa naona umekosea.
Km umeamua kusema ukweli Basi usitukane
Humphrey Polepole tuliasa asiruhusiwe kuendelea kutumia media, anachofanya siyo siasa nikuwalisha sumu ya mpasuko wanaomsikiliza.
Huwezi kumwita mgombea na binadamu mwenzako MSUKULE ukadhani unaimarisha chama, unakiua. Unaondoa roho wa utii miyoyoni mwa wapiga kura. Unaondoa utu unajivika unyama kwa madaraka yakupita kwanini?
Leo CHADEMA wakiwaita CCM misukule patakalika au ndo maelekezo yatatolewa kwa vyombo vya ulinzi?
Viongozi wa dini mnayaona haya? Tume mnayaona haya? Wazee mnayaona haya?
Wananchi wamechoka kusikia Lisu amefanya hiki na kile wanataka kuambiwa mtafanya nini?
Kama hamna familia sisi wengine familia tunazo na tuna haki ya kuzilinda, Kama mna nchi yakwenda kwa uwezo wenu wa kiuchumi cc hatuna pakwenda. Msituvuruge kwa kushindwa kwenu kutambua wananchi wanataka nini.
Aitwe nayeye kwenye madirishaNaomba niki diclare kuwa mm Sina chama chochote isipokuwa kumuita mgombea uraisi wa Tanzania ni "msukule" hapa naona umekosea.
Km umeamua kusema ukweli Basi usitukane
Ndiyo maana unajiita mjinga na utaishia hivyohivyo maishani mwako kama umejitabiria UJINGA basi wewe ni mjinga-mjinga haswaMsukule huendeshwa kwa remote kutoka ubelgiji
Na hutasikia NEC wala msajili akikemea hili..Naomba niki diclare kuwa mm Sina chama chochote isipokuwa kumuita mgombea uraisi wa Tanzania ni "msukule" hapa naona umekosea.
Km umeamua kusema ukweli Basi usitukane