Uchaguzi 2020 Unapomwita binadamu mwenzako Msukule mbele ya vyombo vya habari unataka Taifa ligawanyike upate nini?

Nichangie kidogo mbona Mgombea wa chadema lisu anatumia lugha chafu za kuwaita watu wameokotwa jalalani kwayo kunya anye kuku akinya bata uharo jieleweni machadema bana
 
Hao vijana wake wa mtandaoni mawazo yote na hoja wanasubiria kwake,hivyo unachokiona mitandaoni ni mawazo ya huyo huyo Polepole.Matusi na kauli zao zinashabihiana sawia.
 
Tume isifikiri itaiba kura kirahisirahisi,RAIS wetu ni LISSU,tutajaa barabarani
 
It's the last kick of a dying horse
Naomba niki diclare kuwa mm Sina chama chochote isipokuwa kumuita mgombea uraisi wa Tanzania ni "msukule" hapa naona umekosea.

Km umeamua kusema ukweli Basi usitukane
 
Hizi ni dalili za kushindwa kumjibu mpinzani wako kwa hoja au kufahamu kuwa mpinzani wako ana uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko wewe. Unatumia personal attacks.

Kumbe mnajua maana ya personal attacks, nilifikiri hamfahamu maana yake ndio maana wakati Lissu akifanya personal attacks za kubumba hamkusema.

CCM ustaarabu umewashinda na watamwita choko kwa jina analotakiwa kuitwa , kumwita huvyo hakuna madhara kwa kuwa ni starehe yake.

Laa na wana motion pictures, ndoa itabaki kweli ?
 

Polepole aombe radhi
 

Attachments

  • IMG_0041.jpg
    17.4 KB · Views: 1
A
Naomba niki diclare kuwa mm Sina chama chochote isipokuwa kumuita mgombea uraisi wa Tanzania ni "msukule" hapa naona umekosea.

Km umeamua kusema ukweli Basi usitukane
Aitwe nayeye kwenye madirisha
 
Naomba niki diclare kuwa mm Sina chama chochote isipokuwa kumuita mgombea uraisi wa Tanzania ni "msukule" hapa naona umekosea.

Km umeamua kusema ukweli Basi usitukane
Na hutasikia NEC wala msajili akikemea hili..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…