Wewe unataka manufaa gani? Lengo la funga ya muislam unalijua?Kadri unavyoendelea kuandika unadhihirisha namna hicho mnachoita kufunga kisivyo na manufaa.
Ukifunga vizuri unakuwa mpole, mtulivu na mnyenyekevu. Hapo sasa ibada inakuwa nzuri mbele za Mungu.
Jaribu siku saba ulete mrejesho.
Hizi mada huwa hamzileti ila mpaka msubiri Ramadhani muwabeze waislam. Mna shida sana mafarisayo.Mada haikuwa imetaja dini yoyote. Naona waislamu wengi mmekuwa wakali hapa ingawa hata baadhi ya madhehebu ya kikristo yapo kwaresma na hawajalalamikia mada.
Unadhani ni kwanini waislamu ndio wamekuwa wakali?
Hapana shida mkuu, mimi nimejaribu tu kuelimisha namna bora ya kufunga kwa manufaa mapana kiimani na kiafya.Wewe unataka manufaa gani? Lengo la funga ya muislam unalijua?
Manufaa ya kidini yapo kwa mwenye imani yake.
Kwani wewe unapohubiri huo uponyaji na uzima una manufaa kwangu mimi?
Sisi sitajaribu hizo siku 7 wala 100 days....sababu sihitaji hayo manufaa ya kwako. Nahitaji manufaa ya kidini sio hayo unayotaka wewe.
Tusilazimishane.
Namna BORA kwa tafsiri ya kwako. Na ni kwanini ulazimishe hiyo yako ndio iwe bora?Mimi sina tatizo na msimamo wala imani yako. Nimezungumzia namna bora ya kufunga.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wanaweza kubuni lolote zuri. Mfano: mabadiliko ya ratiba ya kula.
Mimi naheshimu dini za watu wote.Hizi mada huwa hamzileti ila mpaka msubiri Ramadhani muwabeze waislam. Mna shida sana mafarisayo.
Hivi mimi nikisema anayeamini utatu amekosea nitakuwa nimetaja dini ya mtu?
Basi badilisha title ya story yako na utoe hayo maelekezo kuliko ulichoandika unaonesha dhahiri kile unacholenga kuwa watu wanakosea.Hapana shida mkuu, mimi nimejaribu tu kuelimisha namna bora ya kufunga kwa manufaa mapana kiimani na kiafya.
Ni namna bora kwa tafiti za kiafya.Namna BORA kwa tafsiri ya kwako. Na ni kwanini ulazimishe hiyo yako ndio iwe bora?
Namna BORA kwa waislam ndio hiyo wanayoifanya.
Title naiona iko sawa ila pengine hisia za kidini zinachangia kuiona bila objectivity.Basi badilisha title ya story yako na utoe hayo maelekezo kuliko ulichoandika unaonesha dhahiri kile unacholenga kuwa watu wanakosea.
Hakuna anayekosea sababu ndivyo alivyoambiwa afanye.
Wewe fanya yako.
Imani nyingiMimi naheshimu dini za watu wote.
Kufunga kupo Imani nyingi lakini utatu mtakatifu upo kwenye madhehebu mengi ya kikristo na hivyo huo mjadala utakuwa maalumu kwa madhehebu hayo.
Mkuu wewe ndio umeleta mambo ya dini hapa.Totally rubbish
Huko kufunga tangu mmeanza mbona hatuona majibu ya maombi yenu?
Huyo Mungu wenu wa makanisa na misikitini mbona mgumu sana kujibu maombi ya viumbe wake[emoji23][emoji23]?
Hizo nguvu mnatumia kuabudu na kuamini upuuzi, mngeziwekeza ktk juhudi za kujenga taifa, muda huu tusingekuwa tunalalamika mafuta ya kula kupanda bei wala tatizo la ajira, maana akili zungetumika ipasavyo kuwaza mambo ya msingi.
Sehemu ya ubongo wako unayotumia kuhifadhi mambo ya kipuuzi ya kidini, ungeyatumia kuhifadhi kumbukumbu na matukio ya muhimu usingekuwa hapo[emoji23][emoji23].
Bitter truth
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Kama mtu akitaja utatu atakuwa amewalenga watu fulani. Kwanini umewataja wanaosema wamefunga mchana na wanakula jioni? Hujui kwamba kuna watu wa dini fulani utakuwa umewagusa direct?Mimi naheshimu dini za watu wote.
Kufunga kupo Imani nyingi lakini utatu mtakatifu upo kwenye madhehebu mengi ya kikristo na hivyo huo mjadala utakuwa maalumu kwa madhehebu hayo.
Ndio maana mimi nashangaa mtu akisema ati amefunga wakati kila usiku anakula.wanajishindisha njaa, au wanapiga pasi ndefu. Mimi nakumbuka nikiwa shule pesa zilikuwa hazitoshi nikawa natumia njia hiyo ya kula usiku tu ili kumudu masomo na nilifanikiwa kufanya hivyo muda mrefu sana, ilikuwa inaitwa KUPIGA PASI NDEFU, yaani kujishindisha njaa hadi usiku ili kutimiza malengo yangu
Nakazia...Wewe unaabudu mungu mwenye nafsi 3, unaomba kwa jina la Yesu, na unaamini mungu wako kakuumba kwa mfano wake.
Wao wanaamini Mungu wao ni mmoja tu hajazaa wala hajazaliwa na hakuna anae fanana nae hata mmoja, na kwamba wao wanaomba kwa jina la Mungu wao tu.
Je unafikiri wewe na wao mnaabudu kitu kimoja? Jibu ni hapana wala hamuabudu kitu kimoja, hivyo wewe fanya ibada kwa imani yako na wao wafanye ibada kwa imani yao.
Nakazia mstari wa mwishoSiku 91, hali na anashiriki shuguri zake za kiuchumi na za kijamii vizuri tu, au anakua amelala tu. ila shuhuda wa funga ni Mungu binadamu hawezi kuwa shuhuda.
Wakristo pia wa madhehebu kadhaa wanafanya hiyo ya kushinda njaa mchana na kula usiku ambayo haiwezi kuitwa ni kufunga. Wanakuwa wamebadili ratiba ya kula.Kama mtu akitaja utatu atakuwa amewalenga watu fulani. Kwanini umewataja wanaosema wamefunga mchana na wanakula jioni? Hujui kwamba kuna watu wa dini fulani utakuwa umewagusa direct?
Bado narudia. Ficha upumbavu wako.
Kwanini isiitwe kufunga?Wakristo pia wa madhehebu kadhaa wanafanya hiyo ya kushinda njaa mchana na kula usiku ambayo haiwezi kuitwa ni kufunga. Wanakuwa wamebadili ratiba ya kula.
Kuacha kula kabisa completely si katika maana ya kufunga kwa Waislam. Usiwapangie jina kuita ibada yao.Ndio maana mimi nashangaa mtu akisema ati amefunga wakati kila usiku anakula.