Sawasawa mkuu. Siku saba za bila chakula kisha baada ya hapo nakula. Kweli nakuwa nimebadilisha ratiba.Kwanini isiitwe kufunga?
Tukubaliane kutokubaliana. Let us agree to disagree.
Kila mtu ana tafsiri yake ya kufunga.
Na hakuna kubeza wengine.
Hata wewe unayekunywa maji tu unakuwa umebadili ratiba ya kula. Na kwamba umeacha food intake umehamia water intake.
Mimi wala simpangii mtu anavyotaka kuita au kutekeleza.Kuacha kula kabisa completely si katika maana ya kufunga kwa Waislam. Usiwapangie jina kuita ibada yao.
Mbona watu wanaenda Isreal na wanasema wameenda hija. Kuna muislam kawakataza wasiite hija kisa haifanani na ya kwao kule Macca?
Hapa boss ni sawa na wale wanafanya mazoezi makali ili wapungue lakini wakitoka mazoezi wanakula sana na matokeo yake hawapungui.Sijaona mahali mtoa mada kataja dini yoyote ila nashangaa kuna watu wamepanik utadhani ni wao peke yao ndio wanaofanya hicho kitendo hapa duniani.Mtoa mada katoa mawazo yake kwasababu ukweli ni kwamba watu wote wanaofanya icho kitendo mchana usiku huwa wanakula kwahiyo inakua haina tofauti na jinsi ambavyo kikawaida huwa tunakula mchana alafu usiku hatuli.ndo maana anaona nisawa na kubadilisha tu ratiba ya kula.Kwa hali hiyo hata ukikiweka hicho kitendo kwa minajili ya aidha afya au dini bado unaona kuna kitu hakijakaa sawa kwasababu mambo bado yanabaki kua vile vile ni muda tu ndio unaobadilika.
We jamaa ni takataka kabisa,kwanza hujui nini unaongea,umekaa umetafakari ndiyo umekuja na huu uharo.Jambo kama hulielewi ni bora ukauliza kwanza kuliko kuropoka.Labda nikuulize unaelewa nini mana ya funga? Unafahamu nini kuhusu swala tano? Je unafahamu nini kuhusu mtu anaeswali swala 5 anstakiwa awe vipi?Acha kukurupuka.Kwamba siku zingine hamjiepushi na uovu? Sasa swala tano zinakuwa za kazi gani kila siku.
Mnaita kufunga kimsingi kwasababu hamli mchana na ndio mimi nimetoa changamoto kwamba huko sio kufunga.
Halafu jinsi unavyojibu hapa inaonesha namna gani hauelewi maana ya kufunga.
Ukijaribu mara moja tu hutakuja kuacha. Yaani mwili utakuwa na afya na kuna utulivu fulani unaupata ambao siwezi kuuelezea. Akili inakuwa sharp sana.Utakata moto wewe
Ova
Soma comment zilizotangulia ili ujielimishe badala ya kuja hapa na maneno makali yanayoonesha dhahiri kwamba huko unakoita kufunga hakuna manufaa yoyote kwako.We jamaa ni takataka kabisa,kwanza hujui nini unaongea,umekaa umetafakari ndiyo umekuja na huu uharo.Jambo kama hulielewi ni bora ukauliza kwanza kuliko kuropoka.Labda nikuulize unaelewa nini mana ya funga? Unafahamu nini kuhusu swala tano? Je unafahamu nini kuhusu mtu anaeswali swala 5 anstakiwa awe vipi?Acha kukurupuka.
Kuacha kula kabisa completely si katika maana ya kufunga kwa Waislam. Usiwapangie jina kuita ibada yao.Ndio maana mimi nashangaa mtu akisema ati amefunga wakati kila usiku anakula.
Kama huwapangii jina kwanini umetoa wazo watafute jina lingine wasiite kufunga?Mimi wala simpangii mtu anavyotaka kuita au kutekeleza.
Israeli hata waislamu wanaenda pale dome of the rock na wanaita hijja.
Soma comment zilizotangulia ili ujielimishe badala ya kuja hapa na maneno makali yanayoonesha dhahiri kwamba huko unakoita kufunga hakuna manufaa yoyote kwako.
Rudia kuandika unaamanisha nini Sasa?Salamu kwenu
Huwa siwaelewi watu wanaposema wanafunga wakati kila siku jioni wanakula.
Ninawafahamu watu wengi tu wanaofunga mpaka siku 21 kwa kunywa maji tu na kila siku wanaendelea na shughuli zao.
Mimi mara nyingi tu naenda mpaka siku saba bila kula na kazi nafanya kila siku.
Nadhani wanapaswa kutumia jina jingine lakini sio kufunga.
Ukifunga unaupa nidhamu mwili na matokeo yake ni kuwa na utulivu, staha na hekima.Kwanini useme hakuna manufaa?
Wewe ni nani hata useme hakuna manufaa?
Muislam hafungi ili asinenepe. Anafunga ili kutekeleza ibada. Sasa katika kutekeleza ibada unasemaje hakuna manufaa?
Mambo hayawi vile vile acha kudanganya watu. Kwa kawaida mwili unahitaji chakula zaidi mchana kuliko usiku.....anayeacha kula mchana purpose yake ni kufanya ibada. So wewe waache tu.Sijaona mahali mtoa mada kataja dini yoyote ila nashangaa kuna watu wamepanik utadhani ni wao peke yao ndio wanaofanya hicho kitendo hapa duniani.Mtoa mada katoa mawazo yake kwasababu ukweli ni kwamba watu wote wanaofanya icho kitendo mchana usiku huwa wanakula kwahiyo inakua haina tofauti na jinsi ambavyo kikawaida huwa tunakula mchana alafu usiku hatuli.ndo maana anaona nisawa na kubadilisha tu ratiba ya kula.Kwa hali hiyo hata ukikiweka hicho kitendo kwa minajili ya aidha afya au dini bado unaona kuna kitu hakijakaa sawa kwasababu mambo bado yanabaki kua vile vile ni muda tu ndio unaobadilika.
Soma comment zilizotangulia utaelewa.Rudia kuandika unaamanisha nini Sasa?
Kwa sababu wewe ni mkristo, unaifuata bibilia, ila unataka Waislamu wafuate ya ya bibilia.Mada haikuwa imetaja dini yoyote. Naona waislamu wengi mmekuwa wakali hapa ingawa hata baadhi ya madhehebu ya kikristo yapo kwaresma na hawajalalamikia mada.
Unadhani ni kwanini waislamu ndio wamekuwa wakali?
Kwanza anaelewa nini maana ya kufunga?Mambo hayawi vile vile acha kudanganya watu. Kwa kawaida mwili unahitaji chakula zaidi mchana kuliko usiku.....anayeacha kula mchana purpose yake ni kufanya ibada. So wewe waache tu.
Kejeli umeanza wewe kwa kuhoji kwanini mtu aseme anafunga wakati anakula jioni?Ukifunga unaupa nidhamu mwili na matokeo yake ni kuwa na utulivu, staha na hekima.
Unaposema umefunga halafu unakuja hapa jukwaani na kutoa lugha za matusi na kejeli inaonesha namna ambavyo hiyo inayoitwa funga haina manufaa.
Mimi nimeandika suala la kufunga kiafya zaidi na simlazimishi mtu afuate nonachosema. Ninaheshimu Imani ya kila mtu.Kwa sababu wewe ni mkristo, unaifuata bibilia, ila unataka Waislamu wafuate ya ya bibilia.
Wakati nyie wenyewe kwa wenyewe, ndani ya ukristo hamjaelewana.
Hii kwaresma inayoendelea, kama uko Dar, nenda pale Kanisa la kimara korogwe ifikapo jioni utakuta kuna chupa za chai na uji, kwa ajili ya kufungua.
Unatakiwa ujue nini maana ya kufunga msilichukulie juu juu tu.Soma comment zilizotangulia utaelewa.
'Funga iliyo bora' kwa mujibu wa naniU
Unaweza kufunga kwasababu mbalimbali ikiwepo hiyo ya kuunidhamisha mwili ili umtafute Mungu.
Funga iliyo bora kiafya ni ile ya kuanzia siku saba. Hapa usiache kunywa maji kiasi kwa siku.
Ukifanya mara moja hutakuja kuacha na pengine utafikisha hata hizo siku 21 huko mbeleni.