Unashughulika vipi na hili la 'nina mtu wangu'?

Sio kila mwanamke huwa anababaika na pesa mimi niliwahi kupendwa na dada mmoja alikuwa black beauty halafu ana mzigo kiasi bongebonge alimkataa jamaa alikuwa anafanya kazi mgodini tena analipwa mpunga mrefu πŸ˜‚πŸ˜‚ jamaa alikuwa na mbwembwe alikuwa na toyota crown akifika pale nilipokuwa naishi anaongeza spidiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
hivi kwanini baada ya kumpotezea huwa wanaanza kujishtukia?
 
[emoji28][emoji28] mapenzi sio pesa is just a swaga
yaan ulimi uwi vizuri
 
Nadhani at first anakua ameshakuelewa sema ndio hivyo anataka uendelee kukomaa so ukimpotezea anakua anafeel tu guilty yeye kumpoteza mtu ambae huenda angekua sahihi kwake
naona ni kweli. na hii nadhani inawasabibishia wanawake wengi kujikuta wanajuta baadaye kwa kuwapoteza wanaume ambao huenda walikuwa sahihi kwao.
 
hapa akichomoa sijui
 
Watu wengi wanadhani ukiwa na hela ndio utapata mwanamke yoyote. Hawaamini kuna wanawake hawababaiki na hela.
Ila wengi wana njaa na wanababaika kwa hela. Hata hao unaosema wasiobabaika kwa hela,ni vile tu dau halijafikiwa.ukiwapandia dau lao unawala mbona. Kila ke ana bei yake. Habari ndiyo hiyo.
 
Nipo hapa muhanga mkuu wa mapenzi na mahusiano napitia tu viumwambafwaya vya coments za people humu ila nawakumbusha tu kuwa wakati dunia imevaa nguo wanawake waliwashinda Wanadhuri wa Mungu sembuse ulimwengu huu wa leo unaotembea uchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…