Unatafuta nyimbo za Kiafrika (Kongo)? Karibu upatiwe

azda upo tayari nahisi page za mwanzo za posti hii
 
Kuna wimbo unaitwa kesi ya kanga (Monica) naomba sana unifanyie hiyo mkuu, japo mwimbaji simkumbuki vizuri, na kuna wimbo wa mzimumi family- mpiga debe (fani katika maisha) ft Q chief for first time naanza kumsika
 

Attachments

Kuna wimbo wa kikongo unaitwa Mohamed sijui nani, nautafuta sana
 
kuna goma fulani la werason , full drums na biti za kufa mtu,
kama upo kwa mafile yako utupie huku
Unge specify tu jina maana yako mengi...nakupa moja tu
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…