Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh !Muoneni huyu!!!
Yaani na wewe unataka kusema ulienda shule?labda kusomea ujinga kujisemea Faizan Fox
Hicho kiazi cha Kipemba kinaongea ujinga kwa sababu anaetawala ni dada yake,huko kwao Pemba darasa zima wanafunzi 170 kutoka na F siyo tatizo that's why unaona anapuyanga tu hapa hawajui umuhimu wa elimu hawa.
niambie wapi huko mvua zinanyesha saa hii, au bomba la dawasco lilipasuka?Ikibainika kuwa hiyo picha ni ya kweli?! Uta spin vipi au utalikimbia jukwaa kwa leo?!
kwa yanga hiyo ni senti hamsini tu na kama unadhani wamebeba kimzaha kamuulize faitotoKiukweli hata mimi hizi 50M yanga wamezibeba burebure zimeniuma.
Kachezea pesa gani?Samia aache mchezo wa kuchezea pesa.
Inaweza kuwa ni Mwaka huu huu wakati wa Masika au Vuli.niambie wapi huko mvua zinanyesha saa hii, au bomba la dawasco lilipasuka?
huko si ni kwao lissu mbona hachangishi hela ya kununua ambulance badala yake anachangisha pesa za kununua gari lake binafsi la kutembelea, muwe masikini kwa misimamo ya kipuuzi msingizie serikaliTembelea na zahanati Singisa wagonjwa wanavyobeba kwenye machela toka Rumba Juu, Ntala na Nyamigadu.. Niwaambie kitu zaidi ya CCM.
Michezo na burudani ni sekta inayohitaji kubustiwa Ili iajiri vijana wengi zaidi,rais ana fungu hilo,simba na yanga zikifika mbali obvious zinavivuta vilabu vingine kwenye level hizo,hapo utakua umewezesha ajira ndani na nje ya nchiMimi ni mdau wa michezo. Ila niwe tu mkweli; siungi mkono hiki kinachofanywa na Rais wa nchi kwa vilabu vyetu.
Hiki anachofanya Rais, ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi. Labda angeweka wazi kama hizo pesa anato kwenye mshahara wake.
Vilabu vina uongozi na taratibu zake. Na hata huu utaratibu wa kutoa motisha na bonasi, uko miak yote pale timu inapofanya vizuri. Sioni mantiki ya Rais kujiingiza kwenye hizi siasa, badala ya kuwekeza nguvu kubwa kwenye kutatua matatizo yanayo wakabili wananchi masikini.
kwahiyo huna uhakika ni wapi na lini! umeokota mapicha mitandaoni na kuanza kutupa lawama serikalini usijekuta wala sio tanzania na kama nitanzania usijekuta lilishafanyiwa kazi, hela za mama samia za covid zilitumika kujenga madarasa inaweza kuta hata hiyo shule haiko vivyo tenaInaweza kuwa ni Mwaka huu huu wakati wa Masika au Vuli.
Tawala nyingi sana za ki-Afrika haziwajibiki kwa Wananchi na wala matatizo ya Wananchi siyo matatizo ya watawala, hivyo basi, kila mtu abebe msalaba wake.
wapi wanakojali? nenda canada au australia pamoja na makodi makubwa hakuna elimu ya bure, na kuna wazungu wengi tu hawakwenda shule hawajui kusoma na kuandikaTawala nyingi sana za ki-Afrika haziwajibiki kwa Wananchi na wala matatizo ya Wananchi siyo matatizo ya watawala, hivyo basi, kila mtu abebe msalaba wake.
Nimeipeleka Jamii Check ili ifanyiwe fact checking aliteiweka hiyo Picha ni mleta mada Retiredkwahiyo huna uhakika ni wapi na lini! umeokota mapicha mitandaoni na kuanza kutupa lawama serikalini usijekuta wala sio tanzania na kama nitanzania usijekuta lilishafanyiwa kazi, hela za mama samia za covid zilitumika kujenga madarasa inaweza kuta hata hiyo shule haiko vivyo tena
Wewe mweyewe huna uhakika unajiongelea tu.kwahiyo huna uhakika ni wapi na lini! umeokota mapicha mitandaoni na kuanza kutupa lawama serikalini usijekuta wala sio tanzania na kama nitanzania usijekuta lilishafanyiwa kazi, hela za mama samia za covid zilitumika kujenga madarasa inaweza kuta hata hiyo shule haiko vivyo tena