Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ya Voda ndo huwa naitumia. Pia na tatizo ni ile ya prepaid ambayo nadhani mleta mada ndo anaitumia.Ndugu Mteja, plani yako ya Dk2000 Mitandao yote+GB25+SMS500 kwa Siku30 kwa 30000Tsh imeunganishwa kikamilifu. Piga *102# kuangalia salio
*Mara 2
Hii bila shaka ya VodaHii inapatikana mtandao gani mkuu??
Nna plan ya kuweka WiFi na mimi, watu watatu mpk wanne ndani ya nyumba mnatumia unakuwa rahisi kuliko hayo mabando tunojiunga
Mie nataka nihamie halotel kumbe nao hawaeleweki 🫢
Ukishajiunga unafanyaje fanyaje hebu nifafanulie na mm nijiunge.tafazali naomba majibu Yako na mm niokoe bando.na ni mtandao gani.je,Kuna pungufu ya hapo hata kwa wiki?Natumia proxy server nimehost mwenyewe, nalipia 10000 kila mwezi, unlimited.
Hawa ni tigo chiefHii inapatikana mtandao gani mkuu??
Mkuu samahani naomba unielekeze nakuja PM🙏🙏🙏Natumia proxy server nimehost mwenyewe, nalipia 10000 kila mwezi, unlimited.
Hili ni janga..Daaah mimi hata sielewi ila najiungaga cha buku 3 cha wiki kinakaa siku mbili au tatu naunga tena.
Hii ni ya tigoHii ya Voda ndo huwa naitumia. Pia na tatizo ni ile ya prepaid ambayo nadhani mleta mada ndo anaitumia.
Mkuu samahani naomba unielekeze nakuja PMNatumia proxy server nimehost mwenyewe, nalipia 10000 kila mwezi, unlimited.
Na mm natumia voda naomba mnielekezeMbona we unapata mserereko!! Mie Tshs. 50,000 naambulia 24 gb. Hiyo postpaid unajiungaje Vodacom?
Aseee mnanichanganya mkuu angalie PM naomba nieleezee🙏🙏Hii ya Voda ndo huwa naitumia. Pia na tatizo ni ile ya prepaid ambayo nadhani mleta mada ndo anaitumia.
Hii Ikoje MkuuNatumia proxy server nimehost mwenyewe, nalipia 10000 kila mwezi, unlimited.
Natumia proxy server nimehost mwenyewe, nalipia 10000 kila mwezi, unlimited.
Wanasema voda hawana huduma hiyo. Mpaka Tigo tu. Na mie tigo siwakubali. Huku kwetu speed yao ovyo kabisaMkuu samahani naomba unielekeze nakuja PM
Na mm natumia voda naomba mnielekeze
Daaah mm natumia voda tu bando huwa linanimalizia sana pesa japo nafanya KWA ajili ya biashara, hakuna namna nyingine mkuu KWA voda naomba muongozo ndugu🙏Wanasema voda hawana huduma hiyo. Mpaka Tigo tu. Na mie tigo siwakubali. Huku kwetu speed yao ovyo kabisa