Captain 666
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 660
- 1,236
Aisee....umetisha mkuu.Hi,
Guys hivi unatumia siku ngapi kumaliza mshahara wako wote mimi kwangu huwa siku tano naanza kukopa tenaa yaani upya ila nikipata tu kabla sijalipa madeni natenga 30000 ya kula kitu nachokitaka kwa muda huo kama ni biriyani nakula, sio mtu wa mademu mimi kwahiyo kula na out ndio starehe yangu.
Wewe mwezangu unatumia siku ngapi?
Lakini hata wewe unaweza ukiamuaSana maana sisi twapumulia ges uku
Ndio Home BoyAta ujibane vipi
Madeni kawaida sana home boiMadeni yatatuua
Pesa inaisha shida zinaendelea kuwepoKwakweli lakini ukisema uweke akiba kinazaliwa kitu kipya mzee yaani tunaishi kwa hela z safrinza kazini na sio mshahara
Mshahara wangu huwa boss anakata kabisa maana ananidai zaidi ya huo mshaharaHi,
Guys hivi unatumia siku ngapi kumaliza mshahara wako wote mimi kwangu huwa siku tano naanza kukopa tenaa yaani upya ila nikipata tu kabla sijalipa madeni natenga 30000 ya kula kitu nachokitaka kwa muda huo kama ni biriyani nakula, sio mtu wa mademu mimi kwahiyo kula na out ndio starehe yangu.
Wewe mwezangu unatumia siku ngapi?
Nalipa madeniUna nunua nini hasa
Hi,
Guys hivi unatumia siku ngapi kumaliza mshahara wako wote mimi kwangu huwa siku tano naanza kukopa tenaa yaani upya ila nikipata tu kabla sijalipa madeni natenga 30000 ya kula kitu nachokitaka kwa muda huo kama ni biriyani nakula, sio mtu wa mademu mimi kwahiyo kula na out ndio starehe yangu.
Wewe mwezangu unatumia siku ngapi?