Captain 666
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 660
- 1,236
Aisee....umetisha mkuu.Hi,
Guys hivi unatumia siku ngapi kumaliza mshahara wako wote mimi kwangu huwa siku tano naanza kukopa tenaa yaani upya ila nikipata tu kabla sijalipa madeni natenga 30000 ya kula kitu nachokitaka kwa muda huo kama ni biriyani nakula, sio mtu wa mademu mimi kwahiyo kula na out ndio starehe yangu.
Wewe mwezangu unatumia siku ngapi?
Unapokea ngapi monthly mkuu