Unatumia siku ngapi kumaliza Mshahara wako wote?

Unatumia siku ngapi kumaliza Mshahara wako wote?

Hi,

Guys hivi unatumia siku ngapi kumaliza mshahara wako wote mimi kwangu huwa siku tano naanza kukopa tenaa yaani upya ila nikipata tu kabla sijalipa madeni natenga 30000 ya kula kitu nachokitaka kwa muda huo kama ni biriyani nakula, sio mtu wa mademu mimi kwahiyo kula na out ndio starehe yangu.

Wewe mwezangu unatumia siku ngapi?
Aisee....umetisha mkuu.

Unapokea ngapi monthly mkuu
 
Mimi binafsi kwa wiki natumia elfu 40 kwa mwezi x 4 = 160,000 hiyo 40 ni kila kitu kuanzia umeme mpaka kingamuzi na kuhonga vi afu tatu humo humo so mshahara mmoja nakaa nao zaid ya miez 3
 
Mimi binafsi kwa wiki natumia elfu 40 kwa mwezi x 4 = 160,000 hiyo 40 ni kila kitu kuanzia umeme mpaka kingamuzi na kuhonga vi afu tatu humo humo so mshahara mmoja nakaa nao zaid ya miez 3
Hongera inaonekana mshahara wako si haba
 
Hi,

Guys hivi unatumia siku ngapi kumaliza mshahara wako wote mimi kwangu huwa siku tano naanza kukopa tenaa yaani upya ila nikipata tu kabla sijalipa madeni natenga 30000 ya kula kitu nachokitaka kwa muda huo kama ni biriyani nakula, sio mtu wa mademu mimi kwahiyo kula na out ndio starehe yangu.

Wewe mwezangu unatumia siku ngapi?
Mshahara wangu huwa boss anakata kabisa maana ananidai zaidi ya huo mshahara
 
Hi,

Guys hivi unatumia siku ngapi kumaliza mshahara wako wote mimi kwangu huwa siku tano naanza kukopa tenaa yaani upya ila nikipata tu kabla sijalipa madeni natenga 30000 ya kula kitu nachokitaka kwa muda huo kama ni biriyani nakula, sio mtu wa mademu mimi kwahiyo kula na out ndio starehe yangu.

Wewe mwezangu unatumia siku ngapi?

We jamaa acha dharau, wakati ukiingia tu unakutana na salary advance, nalipa deni la crdb then nakopa tena ili maisha yaendelee?
 
Back
Top Bottom