Pre GE2025 Unawaongezea wananchi gharama za maisha halafu useme wakuchague ukaumize tena, CCM mmekuwaje?

Pre GE2025 Unawaongezea wananchi gharama za maisha halafu useme wakuchague ukaumize tena, CCM mmekuwaje?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Labda mbingu ya yule papa wenu wa 🌈
CCM mambo yanachekesha sana...

watu wanakunywa maji machafu nyie kazi yenu kusema ushoga...

Kwenye shule za umma darasa moja lina wanafunzi zaidi ya 100, nyie mnawaza ushoga...

Vijijini kuna majengo ya zahanati lakini hazina matabibu nyie mko bize na ushoga...

gharama za maisha zinapanda kila siku nyie mnashadadia ushoga...

Mashoga walioko CCM hamuwaoni...
 
CCM mambo yanachekesha sana...

watu wanakunywa maji machafu nyie kazi yenu kusema ushoga...

Kwenye shule za umma darasa moja lina wanafunzi zaidi ya 100, nyie mnawaza ushoga...

Vijijini kuna majengo ya zahanati lakini hazina matabibu nyie mko bize na ushoga...

gharama za maisha zinapanda kila siku nyie mnashadadia ushoga...

Mashoga walioko CCM hamuwaoni...
Samia mwokozi wao amewafikia.Hakuna Rais amewahi tekelezwa Ilani kumzidi Samia katika historia ya CCM nao wanalijua hili.

View: https://www.instagram.com/p/C1pL_uzq8hi/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
Kwa taarifa yako kama ccm imeweza kutawala nchi hii muda wote huu, hakuna chama kitashindwa. Nenda hapo Kenya kawaulize wale waliokuwa wanasema KANU tu ndio inaweza kuongoza Kenya, na utazame kinachoendelea Sasa baada ya KANU kuelekea kuzimu.

Watu wenye mitazamo ya kizee tu ndio Bado wamenasa kwenye hiyo propaganda ya ccm kuwa wao tu ndio wanaweza kuongoza nchi.
Naomba kuheshimu mawazo yako, hivyo hiyo 2025 Watanzania wampe yeyote tuu alimradi sio CCM?.
P
 
Ni lini hali hizi hazikuwepo na bado CCM imekuwa inachaguliwa!, what is the difference this time?

Lets suppose its true CCM imepoteza mvuto na imepoteza mwelekeo, hivyo CCM inapaswa ipumzishwe, aje nani?.
P
Nije mimi
 
Ili nisiumize watu feelings zao, naomba hili nisilijibu, maana jibu lake linaumiza!.
P
Wewe jibu...

kwani kazi yako ni kuzuia watu wasiumie hisia zao kwa wewe kusema ukweli? Kama unalo jibu wewe jibu ila siyo kutuwekea mabandiko yako ya siku za nyuma.
 
Ni lini hali hizi hazikuwepo na bado CCM imekuwa inachaguliwa!, what is the difference this time?

Lets suppose its true CCM imepoteza mvuto na imepoteza mwelekeo, hivyo CCM inapaswa ipumzishwe, aje nani?.
P
Tutaunda serikali ya mseto huku tukijipanga kuitisha uchaguzi,kwani CCM ni Mungu wa nchi hii?
Mbona Kenya waliondoa KANU na maisha yanaendelea!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Title Bora kabisa ya uzi kwa mwaka 2024.😁....nyerere anawaulizaga unaenda kule kufanya nini!;;:;✓=•~
 
Hichi chama hakina uchungu na wa Tanzania sijui wanatuonaje inasikitisha sana
 
Hapo Dar tu hawana maji toshelevu ndiyo itakuwa vijijini. Au wewe unaposema vijijini unamaanisha nini!!??
Hivi wewe unategemea Kila kitu atamaliza Samia Kwa miaka 3? Ndio maana ya hiyo miradi ambayo inaendelea.Bwawa la kidunda linaendelea na litafuta shida ya Maji Dar.Ni kazi nzuri ya Samia hii.

Bado Mwaka 1.6 akamilishe miaka 4.6 ambayo itatatua hizi shida hapo Juu.

Samia ndio Rais ambae ameweke pesa nyingi sana kwenye sekta zote hapa Tanzania na hizo pesa hazijatoka mbinguni Bali anajua kuzitafuta.

Mnapombeza kwamba anaigiza movie ndio anatafuta pesa,mnambeza kwamba anazurula ndio huko anafungua masoko na fursa,mnapombeza kwamba anakopa sana ndio huko anapata pesa za kuongoza kwenye miradi na kufungua zaidi Uchumi.

Juzi hapo kwenye hotuba amesema wamepata Dola mil.600 kufuta shida ya Maji Dom kutoka Lake Victoria na kuleta Kilimo Cha Umwagiliaji kwenye Ardhi mliyoita jangwa.

Narudia tena mnaweza mchukia sana ,ponda sana ila hakuna Rais ambae amewahi kutekeleza Ilani na Mageuzi makubwa ya Kiuchumi kumzidi Samia.TRA kukusanya 3T Kwa mwezi haijapatikana Kwa bahati mbaya.

View: https://www.instagram.com/reel/C1qnzU7oVsy/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
Back
Top Bottom