Unaweza kula ugali na nyama ambayo haijaungwa?

Hayo maisha siyawezi kwa kweli!

Ninachoweza kula hapo ni wali kwa supu ya nyama tu!
 
Hayo maisha siyawezi kwa kweli!

Ninachoweza kula hapo ni wali kwa supu ya nyama tu!
Hiyo kitu inashuka vizuri, tena kwenye picha hapo kuna nyama nyingi sana, kuna mdau humu alipiga ugali na dagaa wa kuchemsha, tena walikuwa hawajaungwa
 
Mbongo hapiki Nyama Hadi Mambo mawili yatokee.
1. Awe anaumwa.
2.Mnyama anaumwa .
Nyongeza
3. Mhusika na Mfugo wake wote wanaumwa.

Zis z Afrika.
 
Mbongo hapiki Nyama Hadi Mambo mawili yatokee.
1. Awe anaumwa.
2.Mnyama anaumwa .
Nyongeza
3. Mhusika na Mfugo wake wote wanaumwa.

Zis z Afrika.
Labda huko kwenu, sisi huku mnyama akinona tuu, tunachinja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…