Units nzima ya jeshi la Israel yaangamizwa na Hamas, Wabunge wa Israel walia

Muislam akifa ktk vita hivi peponi akimuua kafiri peponi. Wa kuonewa huruma mpaka hujaujua ukweli na ukasilimu

Bila kusahau peponi kuna mabikira 72 wenye macho kama vikombe na mito inayotiririka pombe!
Hongereni sana ndugu zetu katika imani, hakika pepo yenu ni nzuri sana
 
Waisraeli siyo wakristo. Tena ikumbukwe ni waua YESU KRISTO.
Hawana haja ya kujifanya ETI WAO NI KIZAZI CHA MWENYEZI MUNGU!
Kutesa, kuuwa, kunyanyasa, kuwanyima maji, chakula na mahitaji muhimu binadamu wenzao siyo UTU.
A two state solution ikubaliwe watu waishi kwa amani, kujifanya wana haki na kuwauwa Wapelistina kama wao walivyouliwa na NAZI siyo UTU.
Vita itam cost Israel mpaka ataelewa ukweli.
Mimi ni mkristo. Lazima tukemee maovu.
👺👿💢🗯️😠😡😤😾🤬🥹
 
Kwani hao Bikra 72 mtawazalisha!
Sasa siumelizwa kuwa nyinyi mlio wekeza kwenye elimu mmevumbua nn?

Alafu baba yako ange achana na bikra ww usingekuwa hapa duniani.
 
W
Muislam akifa ktk vita hivi peponi akimuua kafiri peponi. Wa kuonewa huruma mpaka hujaujua ukweli na ukasilimu
Wale mabikra walioko peponi ni dada zenu wa kiislamu au? Maake isije kuwa ni wakristo wenzenu mnawatolea macho. Naomba jibu kama vipi tumuombe Marekani akawakomboe dada zetu faster huko peponi
 
Kweli Aisee,
Afu raia wanawaficha Sana
Israeli kuingiza vikosi Gaza wamejichanganya,

Israeli Akumbuke vizur kilichomkuta marekani kule bhaghadi iraq, urban warfare walichakazwa Hadi bunge la seneti likaingilia Kati.
Eti walichakazwa😁
 
Tatizo watu wanaangalia propaganda za BBC na CNN tu
 
watu 9000 hata hamguswi ila mnashangilia kufa watu hawazidi hata 100
 
wapigane bila kujificha nyuma ya raia , hv hv Japan alifanya kweny WW2 ila walishindwa
 
Kweli Aisee,
Afu raia wanawaficha Sana
Israeli kuingiza vikosi Gaza wamejichanganya,

Israeli Akumbuke vizur kilichomkuta marekani kule bhaghadi iraq, urban warfare walichakazwa Hadi bunge la seneti likaingilia Kati.
Macron naye kwa kujua yanayompaka kaskazini ya Afrika alimuonya sana Israel ili asiingie kwenye mtego.
Tamaa ya kuwamaliza Hamas na kuvunja serikali yao na kuiona Gaza kama sehemu nyengine kuja kuanza kuzichezea nchi za kiarabu,tamaa hizo zimemponza na akaingia kichwa kichwa.
Sauti za askari mashoga pale mpakani walioona wanacheleweshwa ziliwagawa viongozi wa Israel wengine wakiwasikiliza mashoga na wengine wakiona bora wasubiri Hamas wafe kwa njaa.
Mipango ya Mungu ni iliyo bora zaidi.Kusubiri kuingia ilikuwa inaigazwa serikali na kusababisha ugomvi kwa makambanda wa IDF.Kuingiza jeshi mapema nako kumewakuta Hamas wana hasira na nguvu za hali ya juu.Hakuna lenye kheri na wao katika maamuzi.
Mwisho ni kusambaratika Israel yote pamoja na Marekani.
 
Kweli Aisee,
Afu raia wanawaficha Sana
Israeli kuingiza vikosi Gaza wamejichanganya,

Israeli Akumbuke vizur kilichomkuta marekani kule bhaghadi iraq, urban warfare walichakazwa Hadi bunge la seneti likaingilia Kati.
Uongo
 
Muda ni mwalimu mzuri acha tusubiri!!!
 
utani utani hii vita inaenda kula vichwa vya wanajeshi wa kutosha na inaweza badirisha historia ya nchi mojawapo
Nchi gani braza? the rule number one ya vita, fanya juu chini uwanja wa vita isiwe kwako, je nyie Hamas mnatambua hili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…