Ujamaa ni mhimu
JF-Expert Member
- Sep 30, 2022
- 1,203
- 1,011
Kwakuwa vimekaa kimyaa, siwakati Sasa mhanga kufuatilia kipi KINAENDELEA?..wenye wajibu wa kufanya uchunguzi ni vyombo vya dola.
..waliopuuza kufanya uchunguzi ni vyombo vya dola.
..Lissu amelalamika mara nyingi tu kwamba vyombo vya dola havishughulikii tukio lake.
Mimi naendelea kukubana zaidi, Sasa kwakuwa hakuna kinachoendelea, kwanini asifuatilie upelelezi wake ulipoishia?Dah! Aisee hivi unajua maana ya upelelezi?. Tundu Lissu alilitaarifu jeshi polisi kwamba kuna gari linawafuatilia. Tena nakumbuka hiyo habari ililetwa hapa Jamii Forum watu wakamzodoa na kumcheka, na hata jeshi la polisi halikufa ya chochote au kumpa ulinzi. Leo inakuwaje Hilo jeshi liwe upande wake?.
Yani alipeleka taarifa Kuna Nissan Patrol huwa inamfatilia kwa nyuma,polisi wakakaa kimya, Leo ndio tukio limetokea akapeleke malalamiko?. Polisi ndio wakulauimiwa kwenye hili wangempa upinzi yote yasingetokea.
Kwahiyo walio hai hawatakufaa kwakuwa hawanatuhuma yoyote ya mabaya hapa duniani??Kila nafsi itaonja mauti, ila dhihaka hizi kwa Lissu ndio zinatoa mwanya kwa wengine kufurahia Magufuli kufariki. Issue inaanzia hapo, Magufuli hakutoa tamko la kufanyika upelelezi, baadala yake akaleta jopo la wanasheria wa serikali karibia ishirini kuja kusimamia kesi ya kumtoa Lissu kwenye ubunge.
Kwakuwa vimekaa kimyaa, siwakati Sasa mhanga kufuatilia kipi KINAENDELEA?
Kupiga kelele inje ya mahakama na huko ugaibuni hakutomsaidia, Mimi nilidhani akienda kufungua kesi ya madai Kwa nini mahakama haishugulikii upelelezi wa shambulio lake Mimi niombe nyinyi mliokaribu naye, mshaurini atoke uko aliko aje afuatilie kesi yake hapa nyumbani kwake tanzania..Lissu amepiga kelele ndani na nje ya Tz kuhusu suala lake.
..Hata alipokuwa Tz wakati wa kampeni alifika ofisini kwa RPC wa Dodoma kufuatilia suala hili.
..Pamoja na jitihada zote hizo jeshi la Polisi limekaa kimya kana kwamba hakuna kilichotokea.
..Hili suala sio la kumuachia Lissu peke yake alipigie kelele. Wapenda HAKI wote tupige kelele ili waliotenda unyama ule wakamatwe.
..Tupige kelele Raisi aunde TUME YA UCHUNGUZI kwa ajili ya tukio la Lissu na matukio mengine ya kikatili yaliyofanyika hapa nchini.
Wao wanachojua ni kupiga risasi na kuiba mali za ummaWanajua jinsi Tundu Lisu alivyopigwa risasi na nani hata yeye Tundu Lisu anajua jinsi alivyojitoa kafara na alivyopata ukilema wa maisha, yote hii sababu ya power, na ndiyo maana wanajitoa akili yote hii kuutetea uongo, uongo ni dhambi na mgumu sana kuiishi nao kwani ni lazima uendelee kudanganya mwishoe ukweli utajitenga tu.
Haya sasa hivi wana power yote, vyombo vyote vya Ulinzi na usalama wanavi-command, kwa nini hawaanzishi uchunguzi yakinifu wa lililotokea kwani hakuna jambo ambalo lingemchafua na kumuondolea Magufuli umaarufu kwa wananchi kama hilo sasa kwanini wanazunguka huku na kule kwa nini wasiseme waliopmpiga Tundu Lisu risasi kwa ushaidi live na kuchukuwa hatua?
Uongo ni dhambi na ni mgumu kuutetea, …
Kupiga kelele inje ya mahakama na huko ugaibuni hakutomsaidia, Mimi nilidhani akienda kufungua kesi ya madai Kwa nini mahakama haishugulikii upelelezi wa shambulio lake Mimi niombe nyinyi mliokaribu naye, mshaurini atoke uko aliko aje afuatilie kesi yake hapa nyumbani kwake tanzania
Situation aliyokutana nayo sio rahisi kuja kirahisi rahisi tu maana hakuna hata muhusika mmoja aliekamatwa zile risasi ni myingi sana fikiria umekatiza mtaani ukapigwa roba ya mbao je utakatiza tena huo mtaa? Sasa lissu kapigwa risasi 30+ na kati ya izo risasi 16 zimempata mwilini.. ingewezekana na ingekua busara vyombo vya usalama kwenda kumuhoji uko uko,
Tundu mwenyewe ajatoa ushirikiano, alishaitwa Sana kwenda kuandika maelezo ajaenda
Sasa unatakaje?
Nenda kamwandikie ww basi
Kesi yoyote ya jinai, mlalamikaji ni jamhuri.Washitakini
Ishitakini serikali.Kesi yoyote ya jinai, mlalamikaji ni jamhuri.
Serikali lazima iwe na nia ya kushitaki (intention to prosecute).
Sasa kwakuwa wamegoma kulifanyia KAZI Kwa Nini MLENGWA na mhanga akae kimyaaa??..lile ni tukio la JINAI.
..sheria yetu inaelekeza kwamba JAMHURI / SERIKALI / POLISI ndio yenye mamlaka ya kufungua kesi za jinai.
..ushauri wako una nia njema lakini unakwenda kinyume na sheria zetu.
..kwa maoni yangu kuna kitu jeshi la Polisi linajaribu kuficha kuhusu tukio la Lissu.
..Katika mazingira kama haya TUME YA UCHUNGUZI iliyoundwa na Raisi ingeweza kuukwamua uchunguzi na kuhakikisha HAKI inapatikana.
..Tuungane CCM, CDM, ACT, CUF, tulaani na kushinikiza haki ipatikane.
..CCM msifikiri mko salama. Sasa hivi hakuna tena wapinzani wa kutwanga risasi. Msije mkashangaa mitutu ikaanza kuelekezwa kwenu.
Sasa kwakuwa wamegoma kulifanyia KAZI Kwa Nini MLENGWA na mhanga akae kimyaaa??
Aliyekuwa dereva wake yuko wapi?? Na kwa nini waendelee kumficha??Lisu anajua walimtwanga ndio maana hata baada ya kifo Cha jpm na kulipwa pesa za kuja bongo kuanzia maisha hawezi kuja
USSR
kadri siku zinavyozidi kwenda sioni utofauti wa ccm na chadema
Mpaka Sasa walishapunguaKila Ubaya utalipwa , Watapukutika wote
KWA Nini usiulize ilikuaje Bashite akawepo eneo la tukio yaani (DODOMA) au alikua na kazi maaluum siku hiyo ?Aliyekuwa dereva wake yuko wapi?? Na kwa nini waendelee kumficha??
Tatizo ni hawa wanaoambiwa hawataki kukaa chini na kutafakari ili waelewe wanachokisoma.
Situation aliyokutana nayo sio rahisi kuja kirahisi rahisi tu maana hakuna hata muhusika mmoja aliekamatwa zile risasi ni myingi sana fikiria umekatiza mtaani ukapigwa roba ya mbao je utakatiza tena huo mtaa? Sasa lissu kapigwa risasi 30+ na kati ya izo risasi 16 zimempata mwilini.. ingewezekana na ingekua busara vyombo vya usalama kwenda kumuhoji uko uko
Lisu anataka mambo Kwa the way yy anavyoona ni bora
Mbona alienda kwenye gari lake pale police dodoma?
Alishindwa nn kwenda kutoa maelezo?
Police wanasema file liko wazi aende akahojiwe
Ishu simple kabisa