Uongozi wa Rais Samia wazidi kumulikwa kimataifa: Deutsche Welle

Uongozi wa Rais Samia wazidi kumulikwa kimataifa: Deutsche Welle

Mama anatakiwa aliombe radhi gazeti Kwa kulikosea heshima pamoja na mabeberu ayaombe msamaha.La sivyo tutakaa njaa na miradi yote itasimama Kwa sababu pesa zote ni misaada ya mabeberu.
 
mambo ya uposhaji, mambo ya kuzua taharuki, na mambo mengine yoyote yenye lengo la kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania hayatavumiliwa hata sekunde moja, kuchuliwa hatua na serikali imara na sikivu sana ya CCM, chini ya kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan,

iko wazi, na kwakweli ifahamike zaidi duniani kote kwamba,

Tanzanian government has zero tolerance when it comes to the issue of peace and unit of it's citizens..

umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania, utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote, bila kujali wala kubabaika eti sijui nani huko anatafuta huruma DW🤣

kana kwamba wao hawana mambo yanayowahusu wananchi wao, eti wamuonee huruma mtu ambae ni kulalamika day and night. Na actually anatia Huruma atasaidiwa tu..

but ni useless and completely nonsense, kama unashida omba tu utasaidiwa usilalamike sana 🐒
TCRA wafungie na Dw,kwa kuwa wanavuruga amani.
 
Kwisha kazi zile 4R, sasa ni hali halisi inatambulika baada ya kipindi cha ulaghai wa miaka 3 nchini Tanzania chini ya utawala wa awamu ya sita.

Habari hii inakimbiza sana DW kwa kuangaliwa sana YouTube katika lugha ya kigeni kubwa ya mawasiliano duniani. Hakuna kujificha kwa lugha adhimu ya kiSwahili ambayo watawala wanapenda kuisisitiza kama kilugha cha kuficha mambo yetu ya utawala wa kiimla yasitambulike kimataifa.

Is Tanzania's government trying to silence opposition? | DW News
1728292752891.png

Views 27,735 on 07 October 2024
Likes 456
Comments 351
Source : DW youtube channel
 
Nadhani kuna tofauti kati ya serikali kuvifungia vyombo vya habari vya ndani na serikali kuvifungia vyombo vya habari vya adui kutoka nje.
RT walikuwa registered kwenye nchinza EU na Germany ikiwemo. The Citizen/Mwananchi wapo registered Nchi tunajua wamiliki wanatoka wapi! Maana wanamilikiwa na Nation Media Group, unajua kabisa hawa wamejiandikisha nchi gani!

Mfanano ni mkubwa.
 
mambo ya uposhaji, mambo ya kuzua taharuki, na mambo mengine yoyote yenye lengo la kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania hayatavumiliwa hata sekunde moja, kuchuliwa hatua na serikali imara na sikivu sana ya CCM, chini ya kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan,

iko wazi, na kwakweli ifahamike zaidi duniani kote kwamba,

Tanzanian government has zero tolerance when it comes to the issue of peace and unit of it's citizens..

umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania, utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote, bila kujali wala kubabaika eti sijui nani huko anatafuta huruma DW🤣

kana kwamba wao hawana mambo yanayowahusu wananchi wao, eti wamuonee huruma mtu ambae ni kulalamika day and night. Na actually anatia Huruma atasaidiwa tu..

but ni useless and completely nonsense, kama unashida omba tu utasaidiwa usilalamike sana 🐒
Unalinda umoja Kwa kuua watoa maoni ?
 
Hawajawahi kutusifia

Enzi za jakaya, walimuuliza why hqdi leo ccm tu?
Na ww Hilo swali unahisi limekaa vibaya ? Kwelii mna Haki ya kutawaliwa Tena , swali lipo open kbs , nkutafsirie Tena , KWANIN CCMU INATAWALA MPK LEO EITHER MMEFANYA VZR SANA NA RAIA WAKAWAAMIN AU MMETUKUWA MNAIBA KURA ? JIPE JIBU MWENYEWE
 
Ila Mkuu tafwadhali.

Yaani kumkosakosa mtu kwa risasi 16 na sasa watu wapotea (na imethibitishwa walipigiwa simu na polisi), wasionekana miezi miwili na mwingine kutupwa porini na polisi li aliwe na mafisi weye waona na mambo ya kawaida kabisa.

To sum up all basi lilimamishwe mtu ateremshwe kwa nguvu na kupelekwa kusojulikana kisha apatikane maiti, kweli?

Kisha raisi wetu asimame majukwani aseme hayo ni mambo ya kawaida watu hufa tu!

C'mon man!
Hawa SI wanakula huko na ulinzi hawaoni shida,siku yakiwageukia ndo wataongea
 
"....We receive no response!!!" Hivi CCM kweli wanahoja za kijibu na zikaeleweka..
Kama yule jamaa aliulizwa akasema polisi wenyewe walimuokoa sativa..😀
 
mambo ya uposhaji, mambo ya kuzua taharuki, na mambo mengine yoyote yenye lengo la kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania hayatavumiliwa hata sekunde moja, kuchuliwa hatua na serikali imara na sikivu sana ya CCM, chini ya kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan,

iko wazi, na kwakweli ifahamike zaidi duniani kote kwamba,

Tanzanian government has zero tolerance when it comes to the issue of peace and unit of it's citizens..

umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania, utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote, bila kujali wala kubabaika eti sijui nani huko anatafuta huruma DW🤣

kana kwamba wao hawana mambo yanayowahusu wananchi wao, eti wamuonee huruma mtu ambae ni kulalamika day and night. Na actually anatia Huruma atasaidiwa tu..

but ni useless and completely nonsense, kama unashida omba tu utasaidiwa usilalamike sana 🐒

Sasa na nyie si mpeleke yenu yanayo wabubujisha machozi na kina Lukasi yakatangazwe?
 
Lately naona safari za nje zimepungua 😀.

Huyo si wa kukosa UNGA. Lakini badala yake akaenda sijui Ruvuma kule 🤣.
Itakuwa kuna wadau waliamua "kumfanyizia" hila ili sakomeshe safari zake za nje za mara kwa mara. NA WAMEMUWEZA. issue ikianzia kwenye hotuba yake....
 
mambo ya uposhaji, mambo ya kuzua taharuki, na mambo mengine yoyote yenye lengo la kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania hayatavumiliwa hata sekunde moja, kuchuliwa hatua na serikali imara na sikivu sana ya CCM, chini ya kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan,

iko wazi, na kwakweli ifahamike zaidi duniani kote kwamba,

Tanzanian government has zero tolerance when it comes to the issue of peace and unit of it's citizens..

umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania, utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote, bila kujali wala kubabaika eti sijui nani huko anatafuta huruma DW🤣

kana kwamba wao hawana mambo yanayowahusu wananchi wao, eti wamuonee huruma mtu ambae ni kulalamika day and night. Na actually anatia Huruma atasaidiwa tu..

but ni useless and completely nonsense, kama unashida omba tu utasaidiwa usilalamike sana 🐒
Nilishangaa sana haya maandishi, nilikuwa sijaangalia ameandika nani! Nilidhani yameandikwa na mtu mwenye akili timamu, kumbe ni yule miongoni mwa punguani wanaoteka na kuua watu. Damu za watu zimemwondolea akili huyu mchangiaji.
 
Na ww Hilo swali unahisi limekaa vibaya ? Kwelii mna Haki ya kutawaliwa Tena , swali lipo open kbs , nkutafsirie Tena , KWANIN CCMU INATAWALA MPK LEO EITHER MMEFANYA VZR SANA NA RAIA WAKAWAAMIN AU MMETUKUWA MNAIBA KURA ? JIPE JIBU MWENYEWE
Haki ya kutawaliwa tena?
 
Back
Top Bottom