Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TCRA wafungie na Dw,kwa kuwa wanavuruga amani.mambo ya uposhaji, mambo ya kuzua taharuki, na mambo mengine yoyote yenye lengo la kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania hayatavumiliwa hata sekunde moja, kuchuliwa hatua na serikali imara na sikivu sana ya CCM, chini ya kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan,
iko wazi, na kwakweli ifahamike zaidi duniani kote kwamba,
Tanzanian government has zero tolerance when it comes to the issue of peace and unit of it's citizens..
umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania, utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote, bila kujali wala kubabaika eti sijui nani huko anatafuta huruma DW🤣
kana kwamba wao hawana mambo yanayowahusu wananchi wao, eti wamuonee huruma mtu ambae ni kulalamika day and night. Na actually anatia Huruma atasaidiwa tu..
but ni useless and completely nonsense, kama unashida omba tu utasaidiwa usilalamike sana 🐒
Zanzibar itailisha Tanganyika msijali. Tumegundua petroli, pia kuna uchumi mkubwa sana wa bluu, utakidhi mahitaji ya serikali zote mbiliNdio Huyu lisema wasimpangie cha kufanya nchini mwake je misaada atapata wapi kweli huyu mama kajichanganya sana
RT walikuwa registered kwenye nchinza EU na Germany ikiwemo. The Citizen/Mwananchi wapo registered Nchi tunajua wamiliki wanatoka wapi! Maana wanamilikiwa na Nation Media Group, unajua kabisa hawa wamejiandikisha nchi gani!Nadhani kuna tofauti kati ya serikali kuvifungia vyombo vya habari vya ndani na serikali kuvifungia vyombo vya habari vya adui kutoka nje.
Unalinda umoja Kwa kuua watoa maoni ?mambo ya uposhaji, mambo ya kuzua taharuki, na mambo mengine yoyote yenye lengo la kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania hayatavumiliwa hata sekunde moja, kuchuliwa hatua na serikali imara na sikivu sana ya CCM, chini ya kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan,
iko wazi, na kwakweli ifahamike zaidi duniani kote kwamba,
Tanzanian government has zero tolerance when it comes to the issue of peace and unit of it's citizens..
umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania, utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote, bila kujali wala kubabaika eti sijui nani huko anatafuta huruma DW🤣
kana kwamba wao hawana mambo yanayowahusu wananchi wao, eti wamuonee huruma mtu ambae ni kulalamika day and night. Na actually anatia Huruma atasaidiwa tu..
but ni useless and completely nonsense, kama unashida omba tu utasaidiwa usilalamike sana 🐒
Ana upendo kwelii kweli Kwa kutowatumbua watesi wa watzBut how?
Mama ni mpole. Hafokei watu. Hatumbui watu hadharani. Ana upendo.
So what’s the beef?
Tarehe 23 Septemba alikamatwa na wauaji kisha akaachiwa kirahisi mno.na sijui wamemfanyaje Mbowe.
JESUS IS LORD&SAVIOR
Na ww Hilo swali unahisi limekaa vibaya ? Kwelii mna Haki ya kutawaliwa Tena , swali lipo open kbs , nkutafsirie Tena , KWANIN CCMU INATAWALA MPK LEO EITHER MMEFANYA VZR SANA NA RAIA WAKAWAAMIN AU MMETUKUWA MNAIBA KURA ? JIPE JIBU MWENYEWEHawajawahi kutusifia
Enzi za jakaya, walimuuliza why hqdi leo ccm tu?
😄😄😄Ndio Huyu lisema wasimpangie cha kufanya nchini mwake je misaada atapata wapi kweli huyu mama kajichanganya sana
Kwa nini unatumia maneno magumu kama "pariah"?Bibi yako kawa pariah siku hizi.
UNGA wa ngano?Lately naona safari za nje zimepungua 😀.
Huyo si wa kukosa UNGA. Lakini badala yake akaenda sijui Ruvuma kule 🤣.
Hawa SI wanakula huko na ulinzi hawaoni shida,siku yakiwageukia ndo wataongeaIla Mkuu tafwadhali.
Yaani kumkosakosa mtu kwa risasi 16 na sasa watu wapotea (na imethibitishwa walipigiwa simu na polisi), wasionekana miezi miwili na mwingine kutupwa porini na polisi li aliwe na mafisi weye waona na mambo ya kawaida kabisa.
To sum up all basi lilimamishwe mtu ateremshwe kwa nguvu na kupelekwa kusojulikana kisha apatikane maiti, kweli?
Kisha raisi wetu asimame majukwani aseme hayo ni mambo ya kawaida watu hufa tu!
C'mon man!
mambo ya uposhaji, mambo ya kuzua taharuki, na mambo mengine yoyote yenye lengo la kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania hayatavumiliwa hata sekunde moja, kuchuliwa hatua na serikali imara na sikivu sana ya CCM, chini ya kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan,
iko wazi, na kwakweli ifahamike zaidi duniani kote kwamba,
Tanzanian government has zero tolerance when it comes to the issue of peace and unit of it's citizens..
umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania, utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote, bila kujali wala kubabaika eti sijui nani huko anatafuta huruma DW🤣
kana kwamba wao hawana mambo yanayowahusu wananchi wao, eti wamuonee huruma mtu ambae ni kulalamika day and night. Na actually anatia Huruma atasaidiwa tu..
but ni useless and completely nonsense, kama unashida omba tu utasaidiwa usilalamike sana 🐒
Itakuwa kuna wadau waliamua "kumfanyizia" hila ili sakomeshe safari zake za nje za mara kwa mara. NA WAMEMUWEZA. issue ikianzia kwenye hotuba yake....Lately naona safari za nje zimepungua 😀.
Huyo si wa kukosa UNGA. Lakini badala yake akaenda sijui Ruvuma kule 🤣.
Nilishangaa sana haya maandishi, nilikuwa sijaangalia ameandika nani! Nilidhani yameandikwa na mtu mwenye akili timamu, kumbe ni yule miongoni mwa punguani wanaoteka na kuua watu. Damu za watu zimemwondolea akili huyu mchangiaji.mambo ya uposhaji, mambo ya kuzua taharuki, na mambo mengine yoyote yenye lengo la kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania hayatavumiliwa hata sekunde moja, kuchuliwa hatua na serikali imara na sikivu sana ya CCM, chini ya kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan,
iko wazi, na kwakweli ifahamike zaidi duniani kote kwamba,
Tanzanian government has zero tolerance when it comes to the issue of peace and unit of it's citizens..
umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania, utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote, bila kujali wala kubabaika eti sijui nani huko anatafuta huruma DW🤣
kana kwamba wao hawana mambo yanayowahusu wananchi wao, eti wamuonee huruma mtu ambae ni kulalamika day and night. Na actually anatia Huruma atasaidiwa tu..
but ni useless and completely nonsense, kama unashida omba tu utasaidiwa usilalamike sana 🐒
Haki ya kutawaliwa tena?Na ww Hilo swali unahisi limekaa vibaya ? Kwelii mna Haki ya kutawaliwa Tena , swali lipo open kbs , nkutafsirie Tena , KWANIN CCMU INATAWALA MPK LEO EITHER MMEFANYA VZR SANA NA RAIA WAKAWAAMIN AU MMETUKUWA MNAIBA KURA ? JIPE JIBU MWENYEWE
wanaopanga kuwaua wengine watakufa wao kabla.Tarehe 23 Septemba alikamatwa na wauaji kisha akaachiwa kirahisi mno.
Tulipaswa kustuka wakati ule. Ninamashaka kuna kitu kafanyiwa akiwa mikononi mwao
Usiiamini serikali ya Tanzania linapokuja suala la uhai na maisha ya watu