Uongozi wa Rais Samia wazidi kumulikwa kimataifa: Deutsche Welle

M
Meanwhile, the opposition is accusing the government of cracking down on criticism. One of the leading figures, Tundu Lissu, is suing the government. He says President Samia Suluhu Hassan is returning to the authoritarian practices of John Magufuli.
wisho wa kunukuu
 
Upande wa serikali kumbe nao ulipewa mualiko wa kujibu hoja za Lissu ila wamekula buyu.

Wangemtumia Kinana kwa tempo kama Nchimbi wana mashaka naye kama hawezi kupangua hoja vyema.
Hahah.
 
CC: Lucas
 
Nilishangaa sana haya maandishi, nilikuwa sijaangalia ameandika nani! Nilidhani yameandikwa na mtu mwenye akili timamu, kumbe ni yule miongoni mwa punguani wanaoteka na kuua watu. Damu za watu zimemwondolea akili huyu mchangiaji.
una mihemko gentleman?🀣

Muerevu, mzee zee wa kujihesabia haki na kuhukumu wengine kadiri ya hisia, mbona umepanic sana kuona ukweli ukiwekwa wazi, badala ya kuibua hoja, mawazo mapya na fikra mbadala?πŸ’

mihemko na ghadhabu ni useless na nonsense kabisaa gentleman Karne hii
 
Hii ni kawaida tu wala tusijidogoshe kama Taifa. Mbona wao walimkamata na kumuweka kizuizini mwanzilishi wa Wikileaks Julian Assange kwa kuandika wasiyoyapenda!!

Yuko wapi Edward Snowden? Na je nini kimempata Durov mwanzilishi na mmiliki wa Telegram.

Lissu kama Lissu lazima mahali pake pa kulilia ni kwa mabwana zake, muache atumie uhuru wake wa kikatiba.
 
Achana nao hao kwanini habari nzuri huwa hawatangazi?
 
Naweza kuwa sikubaliani na uongozi wa rais Samia ila siwakubali hao wapuuzi wa kimagharibi...

Kwanini?

Kwasababu hizo kelele utazisikia raisi akienda kinyume nao tu, akifanya maslahi yao hata mchinjwe kwa makundi hutowasikia...
 
Siku hizi Mambo kama haya ya "Kumulikwa" ni ka Kawaida tu

Yatapita
============

But,

Who is DW? Anyways

Wanazi hawa. Wajimulike wenyewe.
 
Hivi haya mambo huwa mko serious au ni fungus zimeota kwenye ubongo? Nani kasema mtu huyo ni kipenzi cha Watanzania?
Sema kipenzi chako wewe na Mboga mboga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…