kwa muonekano tu utasaidiwa hata usipoenda DW, ila kuaminika ndio itakua changamoto kulingana na maelezo 🐒Za kutia huruma si tumekubaliana mzipeleke DW huko maana huwa tunawaona mnabweka bweka tu humu kama wenda kuzimu tu.
mbona umepanic kuona ukweli ukiwekwa hadharini gentleman?Hivi haya mambo huwa mko serious au ni fungus zimeota kwenye ubongo? Nani kasema mtu huyo ni kipenzi cha Watanzania?
Sema kipenzi chako wewe na Mboga mboga.
yaani nyie hamjui siasa haohao wengine wanaisifia tanzania kwa mambo mazuri kwahiyo msidhani wameshinda wapinzani kuibomoa tanzani abado iko imara sana na wazungu wenyewe wanaikubali sema tu malopolopo kama lissu wakienda kupaka matope huko ili waonekane wanasikilizwa basi wanawapa matumaini hayo lakini wazungu wapo sana na tz na ccmNdio Huyu lisema wasimpangie cha kufanya nchini mwake je misaada atapata wapi kweli huyu mama kajichanganya sana
lissu hajitambuiYataka ujasiri wa ajabu maana kuna ujasiri wa kutaka kupata umaarufu kwa jambo jema kama mshambuliaji hodari kufunga goli maridadi au mtu kuogelea na free style na akawa wa kwanza.
Lakini si kwenda kujibu tuhuma kwamba serikali yateka, kutesa na kuua wananchi wake.
Utaitwa Joker na ni embarrassment.
trip zilimpatie mihela binti kiziwi......chezea DP world. Trip za kwenda uarabuni ndo zilimpa kiburi 😁😁,..
. Tangu lini Muarab akupe msaada wa maana 🚮🚮🚮
Deiipi world ikamvimbisha kichwa... 😁😁. Akajiona kama Rais wa 🇺🇸trip zilimpatie mihela binti kiziwi......chezea DP world
Zanzibar lakini misaada inaendaNdio Huyu lisema wasimpangie cha kufanya nchini mwake je misaada atapata wapi kweli huyu mama kajichanganya sana
Huyo jamaa hawezi kukuelewa, huyo ni chawa wa kawaida tu1. Tundu Lissu ni public figure elewa hivyo.
2. Unaiponda DW kwasababu tayari vyombo vya habari vya Tanzania mmevibana na mfano ni gazeti la The Citizen mmelifungia kisa tu wametoa katuni inomuonyesha raisi, kwani tatizo ni nini?
3. Sasa wasema mwenye ushahidi apeleke kwenye vyombo husika sasa wananchi watapeleka vipi ushahidi endapo polisi haohao ndo wamiliki wa ushihidi?
Anyway my friend, naona hapa tutapoteza muda ila naamini nimekupa mawili matatu.
Ila nakushauri, mjaribu kujibu hoja za hawa jamaa huko international media itawasaidia sana.
wajinga wakubwa nyie hamuoni aibu kuomba misaada na huku nchi imejaa rasilimali kibao, serikali imejaa matumizi makubwa ya anasa na ufisadi wa kutisha, matumizi ya serikali ya Tanzania ni makubwa kuliko ya serikali ya Ufaransa.Samia will always be Samia.
Tanzania haiwezi kukosa misaada kwa sababu ya kuzuia maandamano ya Chadema.
Kuna nchi jirani haina upinzani kabisa lakini ndio inaongoza kwa misaada Afrika.
Tundulissu ana fanya " Old School Politics" ambazo hazina mashiko tena.
Samia mbele kwa mbele
Tuna serikali ya hovyo snNdo maana matatizo ya wananchi wao wamegeuza waita ni Kero.
Shida na matatizo ya wananchi ni tofauti na kero kwamba wananchi waikera serikali kwa kuuliza shida zao zitasikilzwa na kutatuliwa lini.
'Wanachaguliwa' na nani?Merit less Tanzania
Viongozi wanachaguliwa bila sifa
Hawana confidence
Wanaishia udikteta
Wananchi wanaathirika
Poor Tanzania
Huna akili unafata mkumbo tumambo ya uposhaji, mambo ya kuzua taharuki, na mambo mengine yoyote yenye lengo la kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania hayatavumiliwa hata sekunde moja, kuchuliwa hatua na serikali imara na sikivu sana ya CCM, chini ya kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan,
iko wazi, na kwakweli ifahamike zaidi duniani kote kwamba,
Tanzanian government has zero tolerance when it comes to the issue of peace and unit of it's citizens..
umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania, utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote, bila kujali wala kubabaika eti sijui nani huko anatafuta huruma DW[emoji1787]
kana kwamba wao hawana mambo yanayowahusu wananchi wao, eti wamuonee huruma mtu ambae ni kulalamika day and night. Na actually anatia Huruma atasaidiwa tu..
but ni useless and completely nonsense, kama unashida omba tu utasaidiwa usilalamike sana [emoji205]
Ni mzima kwa mujibu wa Mbowe mtotona sijui wamemfanyaje Mbowe.
JESUS IS LORD&SAVIOR
She is a proxyShe is a smooth operator. She acts and execute her stuff differently.
She has to start explaining her plans for next general election not start purging opposition.
She sets the tone and opposition will reply with their policies then vice versa. It is contention between the main party and opposition.
Going back to those days (as they claim) is not always good idea and is damaging her administration badly.
sure,Huna akili unafata mkumbo tu