Uongozi wa Rais Samia wazidi kumulikwa kimataifa: Deutsche Welle

Uongozi wa Rais Samia wazidi kumulikwa kimataifa: Deutsche Welle

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Naona Tanzania inazidi kujizolea sifa mbaya kimataifa.

Sasa ni zamu ya DW.

Yasikilize/ yatazame mahojiano ya Tundu Lissu.

Serikali ya Tanzania imesitisha shughuli za mtandaoni za gazeti moja kuu. Hii ni baada ya kutoa matangazo ya kibiashara yaliyomhusisha rais na kurejelea utekaji nyara na mauaji ya wapinzani wa kisiasa. The Citizen, moja ya magazeti yenye ushawishi mkubwa kwa lugha ya Kiingereza, ilisema machapisho yake ya mtandaoni yamesitishwa kwa siku 30 na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Moja ya matangazo yaliyotolewa mtandaoni mapema wiki hii na The Citizen lilimuonyesha Rais Samia Suluhu Hassan akiangalia habari za wapinzani na waathirika wa ukandamizaji wa serikali.

Wakati huohuo, upinzani unaituhumu serikali kwa kukandamiza uhuru wa kutoa maoni. Mmoja wa viongozi wakuu, Tundu Lissu, anaishtaki serikali. Anasema Rais Samia Suluhu Hassan anarejea kwenye mienendo ya kiimla ya John Magufuli.

================

In Tanzania, the government has suspended the online operations of a leading newspaper. This, after it released advertising clips featuring the president and referencing recent abductions and killings of dissidents. The Citizen, one of the most influential English-language papers, said its online publications had been suspended for 30 days by the Tanzania Communications Regulatory Authority.

One of the clips released online earlier this week by The Citizen showed President Samia Suluhu Hassan watching news clips of dissidents and victims of state repression.

Meanwhile, the opposition is accusing the government of cracking down on criticism. One of the leading figures, Tundu Lissu, is suing the government. He says President Samia Suluhu Hassan is returning to the authoritarian practices of John Magufuli.
 
Naona Tanzania inazidi kujizolea sifa mbaya kimataifa.

gufuli.
mambo ya uposhaji, mambo ya kuzua taharuki, na mambo mengine yoyote yenye lengo la kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania hayatavumiliwa hata sekunde moja, kuchuliwa hatua na serikali imara na sikivu sana ya CCM, chini ya kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan,

iko wazi, na kwakweli ifahamike zaidi duniani kote kwamba,

Tanzanian government has zero tolerance when it comes to the issue of peace and unit of it's citizens..

umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania, utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote, bila kujali wala kubabaika eti sijui nani huko anatafuta huruma DW🤣

kana kwamba wao hawana mambo yanayowahusu wananchi wao, eti wamuonee huruma mtu ambae ni kulalamika day and night. Na actually anatia Huruma atasaidiwa tu..

but ni useless and completely nonsense, kama unashida omba tu utasaidiwa usilalamike sana 🐒
 
Mtu aliemwambia agombane na Upinzani alimkosea sana...

JM Kikwete played the game well....

JPM made his era tough, and he didn't make it Unfortunately despite calling himself hardheaded....

Now it is becoming very tough to run her administration smoothly...

It shouldn't go this way, kama wanaweza badili kitu wafanye Sasa...

Uhusiano na Upinzani ni muhim sana hata akishinda 2025 it is going to be a very tough assignment under her administration not withstanding the fact kuna wabunge "hawakuchaguliwa" na watamshawish zaid atumie rungu kujipambania lakini kumbe ni zaidi ni kwa maslahi Yao...

Hizi abductions zimemchafua sana sana na utetezi wake Bado haujakaa vizuri.

Little they should know, authoritative style is so outdated and we are on spotlight for wrong reason(s)!

Zaidi sana ni ngumu kumuamini mtu kwenye circle yake ndani ya Chama...

Ukisikiliza kwa makini hapo, watu wa serikal wameitwa kuhojiwa wamechimba, hawana majibu, why? They can't even make up some narratives..... Raising another Red flag...

It's tough on her Majesty's....
 
mambo ya uposhaji, mambo ya kuzua taharuki, na mambo mengine yoyote yenye lengo la kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania hayatavumiliwa hata sekunde moja, kuchuliwa hatua na serikali imara na sikivu sana ya CCM, chini ya kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan,

iko wazi, na kwakweli ifahamike zaidi duniani kote kwamba,

Tanzanian government has zero tolerance when it comes to the issue of peace and unit of it's citizens..

umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania, utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote, bila kujali wala kubabaika eti sijui nani huko anatafuta huruma DW🤣

kana kwamba wao hawana mambo yanayowahusu wananchi wao, eti wamuonee huruma mtu ambae ni kulalamika day and night. Na actually anatia Huruma atasaidiwa tu..

but ni useless and completely nonsense, kama unashida omba tu utasaidiwa usilalamike sana 🐒
Bibi yako kawa pariah siku hizi.
 
Bibi yako kawa pariah siku hizi.
ni muhimu zaid kuelewa na kuzingatia maelezo muhimu zaid ya msingi hapo juu. Na hiyo ni kwa dunia nzima..

hata hivyo,
hayo ya huyo muungwana yameshazoeleka na hayana athari zozote kwenye siasa za Tanzania kitaifa au kimataifa na kwahivyo hakuna wa kubabaika nae humu nchini, ispokua wanachama wa chama chake 🐒
 
mambo ya uposhaji, mambo ya kuzua taharuki, na mambo mengine yoyote yenye lengo la kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania hayatavumiliwa hata sekunde moja, kuchuliwa hatua na serikali imara na sikivu sana ya CCM, chini ya kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan,

iko wazi, na kwakweli ifahamike zaidi duniani kote kwamba,

Tanzanian government has zero tolerance when it comes to the issue of peace and unit of it's citizens..

umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania, utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote, bila kujali wala kubabaika eti sijui nani huko anatafuta huruma DW🤣

kana kwamba wao hawana mambo yanayowahusu wananchi wao, eti wamuonee huruma mtu ambae ni kulalamika day and night. Na actually anatia Huruma atasaidiwa tu..

but ni useless and completely nonsense, kama unashida omba tu utasaidiwa usilalamike sana 🐒
Tatizo kubwa nyie vibosile mnachulia political leadership ni kazi ya maisha hamna kazi nyingine ya kufanya. Kwenye leadership lazima atokee mtu mwenye uwezo, wito na watu hao wagombee na kupambanishwa kwa hoja.

Kiukweli mmeteka population ya millioni 60 inapata taabu kwa sababu yenu nyie mtahukumiwa siku hiyo itakapofika

Mnaua mnateka na mnatesa kwa kusingizia amani
 
ni muhimu zaid kuelewa na kuzingatia maelezo muhimu zaid ya msingi hapo juu. Na hiyo ni kwa dunia nzima..

hata hivyo,
hayo ya huyo muungwana yameshazoeleka na hayana athari zozote kwenye siasa za Tanzania kitaifa au kimataifa na kwahivyo hakuna wa kubabaika nae humu nchini, ispokua wanachama wa chama chake 🐒
Ila Mkuu tafwadhali.

Yaani kumkosakosa mtu kwa risasi 16 na sasa watu wapotea (na imethibitishwa walipigiwa simu na polisi), wasionekane miezi miwili na mwingine kutupwa porini na polisi li aliwe na mafisi weye waona na mambo ya kawaida kabisa.

To sum up all basi lilimamishwe mtu ateremshwe kwa nguvu na kupelekwa kusojulikana kisha apatikane maiti, kweli?

Kisha raisi wetu asimame majukwani aseme hayo ni mambo ya kawaida watu hufa tu!

C'mon man!
 
Upande wa serikali kumbe nao ulipewa mualiko wa kujibu hoja za Lissu ila wamekula buyu.

Wangemtumia Kinana kwa tempo kama Nchimbi wana mashaka naye kama anaweza kupangua hoja vyema.
Yataka ujasiri wa ajabu maana kuna ujasiri wa kutaka kupata umaarufu kwa jambo jema kama mshambuliaji hodari kufunga goli maridadi au mtu kuogelea na free style na akawa wa kwanza.

Lakini si kwenda kujibu tuhuma kwamba serikali yateka, kutesa na kuua wananchi wake.

Utaitwa Joker na ni embarrassment.
 
Tatizo kubwa nyie vibosile mnachulia political leadership ni kazi ya maisha hamna kazi nyingine ya kufanya. Kwenye leadership lazima atokee mtu mwenye uwezo, wito na watu hao wagombee na kupambanishwa kwa hoja.

Kiukweli mmeteka population ya millioni 60 inapata taabu kwa sababu yenu nyie mtahukumiwa siku hiyo itakapofika

Mnaua mnateka na mnatesa kwa kusingizia amani
Ndo maana matatizo ya wananchi wao wamegeuza waita ni Kero.

Shida na matatizo ya wananchi ni tofauti na kero kwamba wananchi waikera serikali kwa kuuliza shida zao zitasikilzwa na kutatuliwa lini.
 
Back
Top Bottom