Uongozi wa Yanga kwanini mnapenda sana kucheza mechi zenu za kimataifa usiku?

Uongozi wa Yanga kwanini mnapenda sana kucheza mechi zenu za kimataifa usiku?

Nimejaribu kuangalia ratiba ya mechi ya Yanga dhidi ya Belouizdad, nimeshangaa kuona mechi inapigwa saa moja usiku. Hivi kweli mnataka kushinda mechi halafu mnawawekea mazingira rafiki mpinzani wako? Mamelod ni timu kubwa zaidi ya Yanga lakini huwezi kuona wanawachezesha waarabu usiku, bali wanawachezesha kwenye jua kali.

Waangalie hata watani zao Simba, wanaweka mechi zao mchana, sasa timu ya kiarabu unamchezesha mazingira rafiki kwake ili kujipa ugumu zaidi mechi yako.

Waarabu kwao wamezoea kucheza usiku, mechi za mchana kwenye jua huwa hawaziwezi. Kwasasa Dar kuna joto kali sana hivyo kucheza na Belouizdad mchana ingewapa advantage Yanga. Mechi ya Belouizdad dhidi Yanga, Yanga inatakiwa ishinde ndio ijiwekee mazingira mazuri ya kusonga mbele
Muda wa majini😁😁😁😁
 
Nimejaribu kuangalia ratiba ya mechi ya Yanga dhidi ya Belouizdad, nimeshangaa kuona mechi inapigwa saa moja usiku. Hivi kweli mnataka kushinda mechi halafu mnawawekea mazingira rafiki mpinzani wako? Mamelod ni timu kubwa zaidi ya Yanga lakini huwezi kuona wanawachezesha waarabu usiku, bali wanawachezesha kwenye jua kali.

Waangalie hata watani zao Simba, wanaweka mechi zao mchana, sasa timu ya kiarabu unamchezesha mazingira rafiki kwake ili kujipa ugumu zaidi mechi yako.

Waarabu kwao wamezoea kucheza usiku, mechi za mchana kwenye jua huwa hawaziwezi. Kwasasa Dar kuna joto kali sana hivyo kucheza na Belouizdad mchana ingewapa advantage Yanga. Mechi ya Belouizdad dhidi Yanga, Yanga inatakiwa ishinde ndio ijiwekee mazingira mazuri ya kusonga mbele
Yanga wanapendekeza muda ila CAF ndo wanafanya maamuzi ya mwisho ya kupanga muda
 
Majini yanaanza kazi baada ya jua kutua.Huu pia ni mkakati. Unataka jini akifunga goli mchana aonekane?
 
Yanga wanapendekeza muda ila CAF ndo wanafanya maamuzi ya mwisho ya kupanga muda
Wacha uongo.Wenyeji ndio wana haki ya kuamua muda wa mechi kwa sharti kwamba isiwe kabla ya 14 hours na baada ya 22 hours kwa siku husika.
 
Kuna Mda Jitahidi Kuficha Aibu Ndogndogo kama hizi.

Ndio Maaana Mnaitwa MBUMBU!!

Mfano Mi nikuulize swali la kizushi kqma Lako Mbona Simba Hamshindi Goli 5 kwenye Ligi kama Yanga utanijibu Vipi?
Hii mada ipo nje na upeo wako, ulichouliza hakilingani na mada. Kwani hii mada inahusu ligi ya NBC?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui

Attachments

  • Screenshot_20240220-093737_Firefox.jpg
    Screenshot_20240220-093737_Firefox.jpg
    73.4 KB · Views: 4
Unajisumbua huyo ni mbishi nilishampa hiyo reference siku nyingi tu ila wale mashabiki wabishi.
 
Unajisumbua huyo ni mbishi nilishampa hiyo reference siku nyingi tu ila wale mashabiki wabishi.
Tatizo lako na huyo MKATA KIU mnachanganya kati ya timu mwenyeji na shirikisho la soko mwenyeji..!!! Hayo ni makundi mawili tofauti..!! Hicho mnachokipost kila siku hakuna inapotajwa timu mwenyeji
 
We MKATA KIU hicho ulichokiambatanisha kwenye post yako #50,

View attachment 2910041

kuna pahala panatajwa timu mwenyeji?

Unapenda ligi tu. Nimekwamba TFF anawasikiliza wenye timu mnataka muda gani na mechi ichezwe kiwanja gani maana Caf imempa mamlaka TFF.

Yanga tumeshawai kuamua kwenda kucheza mechi ya caf mwanza na hakuna aliepinga

Mfano mwingine mamelodi alipanga kucheza nusu fainali saa 1 usiku south. Alivyogundua nusu anacheza na mwarabu akabadili ratiba na kuomba mechi ianze saa tisa mchana. Na ikapitishwa akacheza muda huo
 
Unapenda ligi tu. Nimekwamba TFF anawasikiliza wenye timu mnataka muda gani na mechi ichezwe kiwanja gani maana Caf imempa mamlaka TFF.

Yanga tumeshawai kuamua kwenda kucheza mechi ya caf mwanza na hakuna aliepinga

Mfano mwingine mamelodi alipanga kucheza nusu fainali saa 1 usiku south. Alivyogundua nusu anacheza na mwarabu akabadili ratiba na kuomba mechi ianze saa tisa mchana. Na ikapitishwa akacheza muda huo
Si suala la ligi, hicho ulichokipost hakisemi haya..!! Unless otherwise kuna kanuni nyingine, inayotamka haya unayoyasema
 
Tatizo lako na huyo MKATA KIU mnachanganya kati ya timu mwenyeji na shirikisho la soko mwenyeji..!!! Hayo ni makundi mawili tofauti..!! Hicho mnachokipost kila siku hakuna inapotajwa timu mwenyeji
Mkuu shirikisho la soka mwenyeji ni kama mtoa taarifa tu CAF, ila timu mwenyeji ndiye anayeamua. Kuna timu za nje ya Tanzania zinaamua kutumia uwanja wa Mkapa kama uwanja wa nyumbani, Al Mereikh waliamua kupeleka mechi yao Rwanda. Mfano Yanga akiamua mechi yake na CRB ikachezwe kule kule Algeria wala TFF hanawa ubavu wa kuwagomea.
 
Yanga hapaswi kushinda tu, anapaswa kushinda kwa goal difference ya 3 plus
 
Back
Top Bottom