Uongozi wa Yanga kwanini mnapenda sana kucheza mechi zenu za kimataifa usiku?

Uongozi wa Yanga kwanini mnapenda sana kucheza mechi zenu za kimataifa usiku?

“Mechi dhidi ya Jwaneng Galaxy itachezwa Jumamosi Machi 2, 2024 saa 1:00 usiku. Licha ya mapendekezo yetu kucheza mechi saa 10:00 jioni lakini CAF wameamua iwe saa 1:00 usiku ili michezo yote iwe muda mmoja"
Mechi za mwisho za group stage huwa zinachezwa kwa pamoja hivyo wakati Simba inacheza na Galaxy, Wydad anacheza na Asec. Na Tanzania ipo mbele kwa masaa matatu hivyo kama mechi ya Galaxy ingechezwa saa kumi inamaana Wydad na Asec wacheze saa saba mchana.
Hivyo mechi inachezea saa moja ambapo kule Morocco ni saa kumi jioni.
 
We muongo sana , muda upangwa na CAF ..na terehe 2 march simba inacheza saa 1 usiku..mbn mna umbumbumbu sana nyie wapuuzi
Aisee yaani wewe ndio unajiona mwerevu? Yaani unashindwa tu kujua mechi za mwisho za kumaliza makundi lazima timu zicheze kwa pamoja katika kundi husika. Kwakweli ujinga ni mzigo
 
Back
Top Bottom