Uongozi wa Yanga kwanini mnapenda sana kucheza mechi zenu za kimataifa usiku?

Uongozi wa Yanga kwanini mnapenda sana kucheza mechi zenu za kimataifa usiku?

Nimejaribu kuangalia ratiba ya mechi ya Yanga dhidi ya Belouizdad, nimeshangaa kuona mechi inapigwa saa moja usiku. Hivi kweli mnataka kushinda mechi halafu mnawawekea mazingira rafiki mpinzani wako? Mamelod ni timu kubwa zaidi ya Yanga lakini huwezi kuona wanawachezesha waarabu usiku, bali wanawachezesha kwenye jua kali.

Waangalie hata watani zao Simba, wanaweka mechi zao mchana, sasa timu ya kiarabu unamchezesha mazingira rafiki kwake ili kujipa ugumu zaidi mechi yako.

Waarabu kwao wamezoea kucheza usiku, mechi za mchana kwenye jua huwa hawaziwezi. Kwasasa Dar kuna joto kali sana hivyo kucheza na Belouizdad mchana ingewapa advantage Yanga. Mechi ya Belouizdad dhidi Yanga, Yanga inatakiwa ishinde ndio ijiwekee mazingira mazuri ya kusonga mbele
mechi za kimataifa wapanga ratiba sio yanga ni caf
 
Nimejaribu kuangalia ratiba ya mechi ya Yanga dhidi ya Belouizdad, nimeshangaa kuona mechi inapigwa saa moja usiku. Hivi kweli mnataka kushinda mechi halafu mnawawekea mazingira rafiki mpinzani wako? Mamelod ni timu kubwa zaidi ya Yanga lakini huwezi kuona wanawachezesha waarabu usiku, bali wanawachezesha kwenye jua kali.

Waangalie hata watani zao Simba, wanaweka mechi zao mchana, sasa timu ya kiarabu unamchezesha mazingira rafiki kwake ili kujipa ugumu zaidi mechi yako.

Waarabu kwao wamezoea kucheza usiku, mechi za mchana kwenye jua huwa hawaziwezi. Kwasasa Dar kuna joto kali sana hivyo kucheza na Belouizdad mchana ingewapa advantage Yanga. Mechi ya Belouizdad dhidi Yanga, Yanga inatakiwa ishinde ndio ijiwekee mazingira mazuri ya kusonga mbele
Sisi Yanga aka Utopolo hakuna wa kutufunga japo tuna miaka 89 bila kuwahi kuvheza quarter final ya cafcl, Na miaka 26 bila kucheza group stage ya cafcl.

Sisi Yanga ni bora Afrika mtandaoni tuna mashabiki milioni mbili, mnyama ana milion 6 lkn sisindiyo klabu ya pili barani Afrka kwa kuwa na mashabi kiwengi.

Nani wa kutufunga sisi, sisi ni wa 3 kwa ubora Afrika kuzidi hata bingwa wa shirikisho cafcc. Sisi ndiyo Yanga bhana.
 
Nimejaribu kuangalia ratiba ya mechi ya Yanga dhidi ya Belouizdad, nimeshangaa kuona mechi inapigwa saa moja usiku. Hivi kweli mnataka kushinda mechi halafu mnawawekea mazingira rafiki mpinzani wako? Mamelod ni timu kubwa zaidi ya Yanga lakini huwezi kuona wanawachezesha waarabu usiku, bali wanawachezesha kwenye jua kali.

Waangalie hata watani zao Simba, wanaweka mechi zao mchana, sasa timu ya kiarabu unamchezesha mazingira rafiki kwake ili kujipa ugumu zaidi mechi yako.

Waarabu kwao wamezoea kucheza usiku, mechi za mchana kwenye jua huwa hawaziwezi. Kwasasa Dar kuna joto kali sana hivyo kucheza na Belouizdad mchana ingewapa advantage Yanga. Mechi ya Belouizdad dhidi Yanga, Yanga inatakiwa ishinde ndio ijiwekee mazingira mazuri ya kusonga mbele
Mfungwa hachagui gereza
 
Mwenyeji anapendekeza machaguo 3 ya muda kisha CAF wanatoa maamuzi katika hayo machaguo matatu ya mwenyeji
Njoo na kifungu cha sheria inayosema hivyo. Sheria zote za CAF champions league hizi hapa. Na ukisoma kwenye kipengele namba 10 limezungumzia hilo swala la muda.
 

Attachments

  • IMG_20240219_222146.jpg
    IMG_20240219_222146.jpg
    273.2 KB · Views: 3
  • CAF Champios league status pdf(1).pdf
    CAF Champios league status pdf(1).pdf
    205.7 KB · Views: 3
Kupanga muda wa mechi ni jukumu la mwenyeji wa mchezo.

“Mechi dhidi ya Jwaneng Galaxy itachezwa Jumamosi Machi 2, 2024 saa 1:00 usiku. Licha ya mapendekezo yetu kucheza mechi saa 10:00 jioni lakini CAF wameamua iwe saa 1:00 usiku ili michezo yote iwe muda mmoja"
 
Kwanza hilo wengi wenu mlikuwa hamjui, mlikuwa mnajua CAF ndio wanapanga mcheze saa ngapi ndio muelewe majukumu hayo wamepewa wenyeji na ndio maana utaona Simba au Yanga au timu yeyote kila wakienda uarabuni huwezi kukuta wanacheza mchana mechi bali ni mwendo wa usiku tu. Hilo linapangwa na timu mwenyeji kwa kushirikiana na shirikisho lao la soka.
We muongo sana , muda upangwa na CAF ..na terehe 2 march simba inacheza saa 1 usiku..mbn mna umbumbumbu sana nyie wapuuzi
 
“Mechi dhidi ya Jwaneng Galaxy itachezwa Jumamosi Machi 2, 2024 saa 1:00 usiku. Licha ya mapendekezo yetu kucheza mechi saa 10:00 jioni lakini CAF wameamua iwe saa 1:00 usiku ili michezo yote iwe muda mmoja"
Mbumbumbu huwa hawajui lolote wao ni Mbumbumbu tu
 
Sisi Yanga aka Utopolo hakuna wa kutufunga japo tuna miaka 89 bila kuwahi kuvheza quarter final ya cafcl, Na miaka 26 bila kucheza group stage ya cafcl.

Sisi Yanga ni bora Afrika mtandaoni tuna mashabiki milioni mbili, mnyama ana milion 6 lkn sisindiyo klabu ya pili barani Afrka kwa kuwa na mashabi kiwengi.

Nani wa kutufunga sisi, sisi ni wa 3 kwa ubora Afrika kuzidi hata bingwa wa shirikisho cafcc. Sisi ndiyo Yanga bhana.
Mfuasi wa Rage
 
Jamaa nimejaribu kuwaambia kuwa timu wenyeji huwa wanapendekeza machaguo matatu ya muda kisha wanayapeleka CAF kisha CAF ndo wanafanya maamuzi ya mwisho lakini hawakuelewa🤣🤣
Atakuelewa vipi na yeye ni mbumbumbu? Hao ni mbumbumbu to the maximum...
 
Japo umenidhihaki, sitarudisha dhihaka kwako sababu sina desturi hiyo. Naomba nipe ufafanuzi hapa kwenye sheria za CAF champions league View attachment 2917010

“Mechi dhidi ya Jwaneng Galaxy itachezwa Jumamosi Machi 2, 2024 saa 1:00 usiku. Licha ya mapendekezo yetu kucheza mechi saa 10:00 jioni lakini CAF wameamua iwe saa 1:00 usiku ili michezo yote iwe muda mmoja"
 
Hahahaha..unadhihirisha umbumbumbu wako.. soma vzr ...mechi yenu Caf kasema ni saa 1 jioni ....umbumbumbu wako ni wako
Napenda kujibishana kwa hoja sio kishabiki. Hata kama ni Yanga mwenzangu siwezi kupoteza muda wangu kwako. Unaongea kama vile unanijua sana. Kwaheri
 
Napenda kujibishana kwa hoja sio kishabiki. Hata kama ni Yanga mwenzangu siwezi kupoteza muda wangu kwako. Unaongea kama vile unanijua sana. Kwaheri
Baki na umbumbumbu wako ..mie sijadiliani na mbumbumbu
 
Back
Top Bottom