Uongozi wa Yanga ukomeshe waandishi uchwara madalali wa Simba ili iwe fundisho kwa wahuni wengine

Uongozi wa Yanga ukomeshe waandishi uchwara madalali wa Simba ili iwe fundisho kwa wahuni wengine

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Ni dhahiri kabisa media house imevamiwa na wahuni na inashangaza kuona gazeti likienda kuchapishwa huku likibeba habari za uongo kana kwamba hakuna mhariri.

Ushauri wangu kwa Uongozi wa Yanga ni huu, ili kukomesha tabia hii ya unprofessional journalism Uongozi wa Yanga utowe tamko la Boycott kwa gazeti la Mwanaspoti kwa kukubali kutumika na genge ka wahuni kwa maslahi ya wahuni wachache.

Azimio hili likipitishwa wapenzi, wanachama na mashabiki wa Yanga watasusia kununuwa gazeti hili na kuanguka kwenye soko na kuathili moja kwa moja mapato ya Mwananchi Communication.

Na kwa hili uongozi utawawajibisha wote waliohusika kuhujumu mauzo ya gazeti, hii ndiyo njia pekee ya kuwatia adabu waandishi uchwara na kuwaonesha nguvu ya wananchi ilivyo.
Nimemaliza.

Cc; Pascal Mayalla

FB_IMG_1666675240289.jpg
 
Management yenu wenyewe ndio ya kulaumiwa kwakuwa imegawanyika kwenye swala la kocha na tayari kulikuwa na hiyo hoja ya kumtoa Nabi iliyoungwa mkono na wengi.

Wao kwa wao ndio wanevujisha hiyo taarifa. Gazeti bila credible source lisingechapisha ile taarifa.

Ni suala la muda tuu kabla ya hiyo taarifa kuthimbitishwa maana sasa hivi huko ndani kunatokota na wanayanga ndio wanaongoza kulinunua hilo gazeti hivyo boycotting inaweza ikawa jambo gumu kutekelezeka
 
Management yenu wenyewe ndio ya kulaumiwa kwakuwa imegawanyika kwenye swala la kocha na tayari kulikuwa na hiyo hoja ya kumtoa Nabi iliyoungwa mkono na wengi .. Wao kwa wao ndio wanevujisha hiyo taarifa
Gazeti bila credible source lisingechapisha ile taarifa.. Ni suala la muda tuu kabla ya hiyo taarifa kuthimbitishwa maana sasa hivi huko ndani kunatokota na wanayanga ndio wanaongoza kulinunua hilo gazeti hivyo boycotting inaweza ikawa jambo gumu kutekelezeka
Yanga INA CEO, INA Rais na kuna tajiri GSM na kuna idara ya habari, hizi ndio unaweza kuziita source za Yanga.

Kama tajiri GSM hamtaki kocha hata kesho anaondoka wengine ni wapiga kelele tu debe tupu, inashangaza kama mwanasport wanashindwa kujuwa vitu vidogo kama hivi.

Halafu kinachoshangaza kocha ni wa Yanga ila wanaoteseka ni Simba, kuna siri gani iliyojificha?
 
Yanga INA CEO, INA Rais na kuna tajiri GSM na kuna idara ya habari, hizi ndio unaweza kuziita source za Yanga.

Kama tajiri GSM hamtaki kocha hata kesho anaondoka wengine ni wapiga kelele tu debe tupu, inashangaza kama mwanasport wanashindwa kujuwa vitu vidogo kama hivi.

Halafu kinachoshangaza kocha ni wa Yanga ila wanaoteseka ni Simba, kuna siri gani iliyojificha?
Matola ingia group za WhatsApp za wanayanga ujionee yanayoendelea huko.. Kuna mvurugano mkubwa sana ndani ya Yanga kwasasa.. Hebu tuupe muda wakati
 
Ni dhahiri kabisa media house imevamiwa na wahuni na inashangaza kuona gazeti likienda kuchapishwa huku likibeba habari za uongo kana kwamba hakuna mhariri.
Uongo wa media unapingwa kwa ukweli na sio kukanushwa kwa maneno matupu
Ushauri wangu kwa uongozi wa Yanga ni huu, ili kukomesha tabia hii ya unprofessional journalism Uongozi wa Yanga utowe tamko la Boycott kwa gazeti la mwanaspoti kwa kukubali kutumika nabgenge ka wahuni kwa maslahi ya wahuni wachache.
Magazeti ya Mwananchi family ndio the best hivyo kuhamasisha boycott ni kumpiga teke chura!.
Azimio hili likipitishwa wapenzi, wanachama na mashabiki wa Yanga watasusia kununuwa gazeti hili na kuanguka kwenye soko na kuathili moja kwa moja mapato ya mwananchi communication na kwa hili management itawawajibisha wote waliohusika kuhujumu mauzo ya gazeti, hii ndio njia pekee ya kuwatia adabu waandishi uchwara na kuwaonesha nguvu ya wananchi ilivyo.
Nimemaliza.
Cc; Pascal Mayalla
Hili haliwezekani!.
P
 
Mkuu tofautisha suala la muda...Yasemwayo yapo na kama hayapo basi yanakuja...hapo ndo ule msemo wa muda utaongea unatimia..

Kwakifupi Nabi ilikuwa afukuzwe hapo Utopoloni....Jamaa wakagundua huyu mtu tukimfurusha kipindi hiki kabla hatujacheza Na Club Fricane ya Tunisia basi Nabi kwa hasira ataenda kutoa siri za game Plan Ya Yanga kwa Watunisia wenzake....Ndo jana wakakurupuka kutoa taarifa kukanusha...

Kwa hiyo hatima ya Nabi Ipo kwenye game ya Jumapili.....

ni swala la muda
 
Management yenu wenyewe ndio ya kulaumiwa kwakuwa imegawanyika kwenye swala la kocha na tayari kulikuwa na hiyo hoja ya kumtoa Nabi iliyoungwa mkono na wengi .. Wao kwa wao ndio wanevujisha hiyo taarifa
Gazeti bila credible source lisingechapisha ile taarifa.. Ni suala la muda tuu kabla ya hiyo taarifa kuthimbitishwa maana sasa hivi huko ndani kunatokota na wanayanga ndio wanaongoza kulinunua hilo gazeti hivyo boycotting inaweza ikawa jambo gumu kutekelezeka
Wanakunywa dawa waliyoitengeneza wenyewe Yanga ndio walikua mabingwa wa kutengeneza habari za uongo kuhusu Simba.

Kuimba ni kupokezana
 
Matola ingia group za WhatsApp za wanayanga ujionee yanayoendelea huko.. Kuna mvurugano mkubwa sana ndani ya Yanga kwasasa.. Hebu tuupe muda wakati
Group za Wasapu na kina Mzee Akilimali zina tofauti gani?

Sasa hivi maamuzi au vision ya Yanga yanatokea Salamander tower au Avic town, achana na watu wenye njaa wapo nyuma ya wakati, Yanga haipo huko kwa Sasa.
 
Magazeti Yana taratibu zake za kufanya kazi....Hilo gazeti liko sahihi na wanayanga wenye akili walipaswa kulishukuru...wamepewa habari kabla haijawa confirmed na matokeo yake uongozi ukabadili maamuzi baada ya kupima upepo...Hilo gazeti ndo limeokoa ajira ya Nabi Kama kweli hawatamfukuza
 
Ni dhahiri kabisa media house imevamiwa na wahuni na inashangaza kuona gazeti likienda kuchapishwa huku likibeba habari za uongo kana kwamba hakuna mhariri.

Ushauri wangu kwa uongozi wa Yanga ni huu, ili kukomesha tabia hii ya unprofessional journalism Uongozi wa Yanga utowe tamko la Boycott kwa gazeti la mwanaspoti kwa kukubali kutumika nabgenge ka wahuni kwa maslahi ya wahuni wachache.

Azimio hili likipitishwa wapenzi, wanachama na mashabiki wa Yanga watasusia kununuwa gazeti hili na kuanguka kwenye soko na kuathili moja kwa moja mapato ya mwananchi communication na kwa hili management itawawajibisha wote waliohusika kuhujumu mauzo ya gazeti, hii ndio njia pekee ya kuwatia adabu waandishi uchwara na kuwaonesha nguvu ya wananchi ilivyo.
Nimemaliza.
Cc; Pascal Mayalla
Acha Kiherehere unajua maana ya Unprofessional Journalism au umetaja tu hivi ili ujulikane kuwa nawe ulibahatika Kuukimbia Umande?

Hakuna Gazeti la Michezo linaloaminika nchini Tanzania kama hilo ( hili ) la Mwanaspoti na hata hiyo ( hii ) Habari ni kweli Tena kwa 100% na ni Suala la muda tu.

Na kwakuwa huna Unachokijua japo unapenda kuwa na Kiherehere na Kuwashwawashwa Kwingi ni kwamba walichokifanya Yanga SC ni Kuzuga ila ukweli ni kwamba ikitokea Yanga SC leo akatoka Sare na KMC FC halafu Kesho Simba SC ikamfunga Azam FC tegemea Press Release ya Kocha Nabi Kufukuzwa Yanga SC.

Na ikitokea akapona kwa leo Mtego mwingine aliowekewa Kocha Nabi na wenye Akili Kukuzidi na tunajua hawezi Kuuruka ni wa Mechi zake za Kufuzu Makundi CAFCC ambako ikitokea Yanga SC ikatoka Sare / Suluhu hapa Dar es Salaam na Club Africaine ya nchini Tunisia kisha kwenda Kufungwa nchini Tunisia basi Kocha Nabi atafurumushwa rasmi Yanga SC huko huko.

Ulivyo Mnafiki pamoja na wana Yanga SC wengi hapa Jamiiforums ni kwamba mmesahau wakati Gazeti hili lilipokuwa likiisema vibaya Simba SC katika Taarifa zake na Machapisho huku likiipamba Yanga SC yenu mlikuwa mnashangilia ila leo limewageukieni mnajifanya Kulichukia.

Na GENTAMYCINE namalizia kwa Kukuambia ( kwani najua hujui ) kuwa Mhariri Mkuu, na Msaidizi wake wa Gazeti hili la Mwanaspoti na 85% ya Waandishi ( Reporters ) wake ni Mashabiki wakubwa wa Yanga SC.

Mnafiki na Wanafiki Wakubwa nyie!!!!
 
Uongo wa media unapingwa kwa ukweli na sio kukanushwa kwa maneno matupu

Magazeti ya Mwananchi family ndio the best hivyo kuhamasisha boycott ni kumpiga teke chura!.

Hili haliwezekani!.
P
Yanga inapendwa kuliko Mwanaspoti.

Habari ya uzushi kuhusu Nabi ni uchochezi ambao wapenzi wa Yanga hatujapendezwa nayo.


In Nabi we trust
 
Acha Kiherehere unajua maana ya Unprofessional Journalism au umetaja tu hivi ili ujulikane kuwa nawe ulibahatika Kuukimbia Umande?

Hakuna Gazeti la Michezo linaloaminika nchini Tanzania kama hilo ( hili ) la Mwanaspoti na hata hiyo ( hii ) Habari ni kweli Tena kwa 100% na ni Suala la muda tu.

Na kwakuwa huna Unachokijua japo unapenda kuwa na Kiherehere na Kuwashwawashwa Kwingi ni kwamba walichokifanya Yanga SC ni Kuzuga ila ukweli ni kwamba ikitokea Yanga SC leo akatoka Sare na KMC FC halafu Kesho Simba SC ikamfunga Azam FC tegemea Press Release ya Kocha Nabi Kufukuzwa Yanga SC.

Na ikitokea akapona kwa leo Mtego mwingine aliowekewa Kocha Nabi na wenye Akili Kukuzidi na tunajua hawezi Kuuruka ni wa Mechi zake za Kufuzu Makundi CAFCC ambako ikitokea Yanga SC ikatoka Sare / Suluhu hapa Dar es Salaam na Club Africaine ya nchini Tunisia kisha kwenda Kufungwa nchini Tunisia basi Kocha Nabi atafurumushwa rasmi Yanga SC huko huko.

Ulivyo Mnafiki pamoja na wana Yanga SC wengi hapa Jamiiforums ni kwamba mmesahau wakati Gazeti hili lilipokuwa likiisema vibaya Simba SC katika Taarifa zake na Machapisho huku likiipamba Yanga SC yenu mlikuwa mnashangilia ila leo limewageukieni mnajifanya Kulichukia.

Na GENTAMYCINE namalizia kwa Kukuambia ( kwani najua hujui ) kuwa Mhariri Mkuu, na Msaidizi wake wa Gazeti hili la Mwanaspoti na 85% ya Waandishi ( Reporters ) wake ni Mashabiki wakubwa wa Yanga SC.

Mnafiki na Wanafiki Wakubwa nyie!!!!
Mafi yako
 
Yanga inapendwa kuliko Mwanaspoti.

Habari ya uzushi kuhusu Nabi ni uchochezi ambao wapenzi wa Yanga hatujapendezwa nayo.


In Nabi we trust
Napenda sana technique yako yaani Unaanzisha Mada kwa Utambulisho mwingine halafu unakuja tena Kuichangia kwa Utambulisho wako huu mwingine.

Halafu Mwenyewe unajiona Mjanja!!!!
 
Management yenu wenyewe ndio ya kulaumiwa kwakuwa imegawanyika kwenye swala la kocha na tayari kulikuwa na hiyo hoja ya kumtoa Nabi iliyoungwa mkono na wengi .. Wao kwa wao ndio wanevujisha hiyo taarifa
Gazeti bila credible source lisingechapisha ile taarifa.. Ni suala la muda tuu kabla ya hiyo taarifa kuthimbitishwa maana sasa hivi huko ndani kunatokota na wanayanga ndio wanaongoza kulinunua hilo gazeti hivyo boycotting inaweza ikawa jambo gumu kutekelezeka
Tuonyeshe official statment ya klabu iliyotolewa kwamba Nabi kafukuzwa, Habari za udaku zitakuja kuwacost siku moja
 
Ni dhahiri kabisa media house imevamiwa na wahuni na inashangaza kuona gazeti likienda kuchapishwa huku likibeba habari za uongo kana kwamba hakuna mhariri.

Ushauri wangu kwa uongozi wa Yanga ni huu, ili kukomesha tabia hii ya unprofessional journalism Uongozi wa Yanga utowe tamko la Boycott kwa gazeti la mwanaspoti kwa kukubali kutumika nabgenge ka wahuni kwa maslahi ya wahuni wachache.

Azimio hili likipitishwa wapenzi, wanachama na mashabiki wa Yanga watasusia kununuwa gazeti hili na kuanguka kwenye soko na kuathili moja kwa moja mapato ya mwananchi communication na kwa hili management itawawajibisha wote waliohusika kuhujumu mauzo ya gazeti, hii ndio njia pekee ya kuwatia adabu waandishi uchwara na kuwaonesha nguvu ya wananchi ilivyo.
Nimemaliza.
Cc; Pascal Mayalla
WanaYanga wanavyopenda umbea boycot ni kitu hakitakaa kiwezekane kabisa.
 
Ni dhahiri kabisa media house imevamiwa na wahuni na inashangaza kuona gazeti likienda kuchapishwa huku likibeba habari za uongo kana kwamba hakuna mhariri.

Ushauri wangu kwa uongozi wa Yanga ni huu, ili kukomesha tabia hii ya unprofessional journalism Uongozi wa Yanga utowe tamko la Boycott kwa gazeti la mwanaspoti kwa kukubali kutumika nabgenge ka wahuni kwa maslahi ya wahuni wachache.

Azimio hili likipitishwa wapenzi, wanachama na mashabiki wa Yanga watasusia kununuwa gazeti hili na kuanguka kwenye soko na kuathili moja kwa moja mapato ya mwananchi communication na kwa hili management itawawajibisha wote waliohusika kuhujumu mauzo ya gazeti, hii ndio njia pekee ya kuwatia adabu waandishi uchwara na kuwaonesha nguvu ya wananchi ilivyo.
Nimemaliza.
Cc; Pascal Mayalla
View attachment 2398003
Hiki kigazeti kiko kwenye payroll ya GSM hivyo habari walizoandika ni uhakika kwa vile wewe ni outsider huwezi kujua ya huko ndani. Muda ni Mwalimu mzuri sana
 
Yanga INA CEO, INA Rais na kuna tajiri GSM na kuna idara ya habari, hizi ndio unaweza kuziita source za Yanga.

Kama tajiri GSM hamtaki kocha hata kesho anaondoka wengine ni wapiga kelele tu debe tupu, inashangaza kama mwanasport wanashindwa kujuwa vitu vidogo kama hivi.

Halafu kinachoshangaza kocha ni wa Yanga ila wanaoteseka ni Simba, kuna siri gani iliyojificha?
Watu mlioanza kufuatilia mpira jana usiku tabu sana

Dunia ya mpira haiko hivyo , dunia ya mpira n dunia inayoongozwa na tetesi , fununu ambazo mara nyingi hua zinatoka kwenye vyanzo husika , juz hapo asubuh tunasikia fununua Aston Villa wanamtaka Unai , mchana fununu nyingine zikaja wamekubaliana na mkataba wamefunga ila aston villa walitangaza usiku habar yao tukiwa tayar tunajua

Makocha wengi au wachezaj wanasajiliwa au kuacha tunakua tushapata taarifa kabla ya tukio , uache umama
 
Watu mlioanza kufuatilia mpira jana usiku tabu sana

Dunia ya mpira haiko hivyo , dunia ya mpira n dunia inayoongozwa na tetesi , fununu ambazo mara nyingi hua zinatoka kwenye vyanzo husika , juz hapo asubuh tunasikia fununua Aston Villa wanamtaka Unai , mchana fununu nyingine zikaja wamekubaliana na mkataba wamefunga ila aston villa walitangaza usiku habar yao tukiwa tayar tunajua

Makocha wengi au wachezaj wanasajiliwa au kuacha tunakua tushapata taarifa kabla ya tukio , uache umama
Watoto wa Sasa mmekosa adabu, na haya ndio madhara ya kulala chumba kimoja na Wazazi wenu, hamuwezi kuheshimu mtu yeyote.
 
Back
Top Bottom