Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
SawaKocha hafukuzwi au kuletwa na wanachama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaKocha hafukuzwi au kuletwa na wanachama
Pascal alikuwa mwandishi kabla ya kuitwa Dodoma. Tangu apigwe mkwara na Ndugai kwamba ataminywa korodani Hana logic tena. Huwezi kumtofautisha na shabiki toka Buselesele.Nashangaa Pascal naye ni muandishi mwandamizi lakini anatetea hizi unprofessional rubbish.
Kwa ukongwe wako haukustahili kuandika hiki,kwahiyo managment ya yanga ipo kwenye magroup ya WhatsApp?Matola ingia group za WhatsApp za wanayanga ujionee yanayoendelea huko.. Kuna mvurugano mkubwa sana ndani ya Yanga kwasasa.. Hebu tuupe muda wakati
Wewe ni mkatoliki mwehu sana kuna siri ipi kwenye mpira wa miguu?Mkuu tofautisha suala la muda...Yasemwayo yapo na kama hayapo basi yanakuja...hapo ndo ule msemo wa muda utaongea unatimia..
Kwakifupi Nabi ilikuwa afukuzwe hapo Utopoloni....Jamaa wakagundua huyu mtu tukimfurusha kipindi hiki kabla hatujacheza Na Club Fricane ya Tunisia basi Nabi kwa hasira ataenda kutoa siri za game Plan Ya Yanga kwa Watunisia wenzake....Ndo jana wakakurupuka kutoa taarifa kukanusha...
Kwa hiyo hatima ya Nabi Ipo kwenye game ya Jumapili.....
ni swala la muda
Kwahiyo wameshindwa kumfukuza nabi kisa magazeti yametoa taarifa kabla?Magazeti Yana taratibu zake za kufanya kazi....Hilo gazeti liko sahihi na wanayanga wenye akili walipaswa kulishukuru...wamepewa habari kabla haijawa confirmed na matokeo yake uongozi ukabadili maamuzi baada ya kupima upepo...Hilo gazeti ndo limeokoa ajira ya Nabi Kama kweli hawatamfukuza