Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Huko kupendwa sana, ndiko biashara ya uzushi inakolalia!. Ukizusha kitu kuhusu Yanga, kinalipa!, kama Mondi na Wema, Zali wanavyolipa!. Gezeti asubuhi tuu saa 1:41 limeisha sell out lote. Kesho wanaongeza circulation!. Endeleeni kumpiga mateke chura, yeye anazidi kuchanja mbuga!.Yanga inapendwa kuliko Mwanaspoti.
Habari ya uzushi kuhusu Nabi ni uchochezi ambao wapenzi wa Yanga hatujapendezwa nayo.
In Nabi we trust
Siri hii hapa:Yanga INA CEO, INA Rais na kuna tajiri GSM na kuna idara ya habari, hizi ndio unaweza kuziita source za Yanga.
Kama tajiri GSM hamtaki kocha hata kesho anaondoka wengine ni wapiga kelele tu debe tupu, inashangaza kama mwanasport wanashindwa kujuwa vitu vidogo kama hivi.
Halafu kinachoshangaza kocha ni wa Yanga ila wanaoteseka ni Simba, kuna siri gani iliyojificha?
Aah OK basi sawa ila kumbuka nao ni wanachama hai kwa kila haliGroup za Wasapu na kina Mzee Akilimali zina tofauti gani?
Sasa hivi maamuzi au vision ya Yanga yanatokea Salamander tower au Avic town, achana na watu wenye njaa wapo nyuma ya wakati, Yanga haipo huko kwa Sasa.
Sikuandika ili tubishaneTuonyeshe official statment ya klabu iliyotolewa kwamba Nabi kafukuzwa, Habari za udaku zitakuja kuwacost siku moja
Yaani Mikia FC ni aibu.Yanga INA CEO, INA Rais na kuna tajiri GSM na kuna idara ya habari, hizi ndio unaweza kuziita source za Yanga.
Kama tajiri GSM hamtaki kocha hata kesho anaondoka wengine ni wapiga kelele tu debe tupu, inashangaza kama mwanasport wanashindwa kujuwa vitu vidogo kama hivi.
Halafu kinachoshangaza kocha ni wa Yanga ila wanaoteseka ni Simba, kuna siri gani iliyojificha?
Ndio ujiulize toka lini kocha wa Yanga wanaoteseka ni Simba?
Akili mhemko na akili tepetepe, Yanga inakupa nini katika maisha yako, huu ujinga tuache yaani mtu unafura kisa Yanga, magazeti yasipouza utaongeza shibe, Bora huo msusio ulete matunda ya kuongeza maji bwawa la mtera, Bata wale wengine kulia ulie wewe. Fikiria namna ya kuongeza kipato chako.Ni dhahiri kabisa media house imevamiwa na wahuni na inashangaza kuona gazeti likienda kuchapishwa huku likibeba habari za uongo kana kwamba hakuna mhariri.
Ushauri wangu kwa uongozi wa Yanga ni huu, ili kukomesha tabia hii ya unprofessional journalism Uongozi wa Yanga utowe tamko la Boycott kwa gazeti la mwanaspoti kwa kukubali kutumika nabgenge ka wahuni kwa maslahi ya wahuni wachache.
Azimio hili likipitishwa wapenzi, wanachama na mashabiki wa Yanga watasusia kununuwa gazeti hili na kuanguka kwenye soko na kuathili moja kwa moja mapato ya mwananchi communication na kwa hili management itawawajibisha wote waliohusika kuhujumu mauzo ya gazeti, hii ndio njia pekee ya kuwatia adabu waandishi uchwara na kuwaonesha nguvu ya wananchi ilivyo.
Nimemaliza.
Cc; Pascal Mayalla
View attachment 2398003
Hii hoja yako haina mashiko mkurugenzi. Mwanasport siyo gazeti ka udaku kama lile la Ijumaa, Kiu, nk. Walitakiwa waseme hizo taarifa wamezitoa kwa kiongozi gani wa Yanga.Management yenu wenyewe ndio ya kulaumiwa kwakuwa imegawanyika kwenye swala la kocha na tayari kulikuwa na hiyo hoja ya kumtoa Nabi iliyoungwa mkono na wengi. Wao kwa wao ndio wanevujisha hiyo taarifa
Gazeti bila credible source lisingechapisha ile taarifa.
Ni suala la muda tuu kabla ya hiyo taarifa kuthimbitishwa maana sasa hivi huko ndani kunatokota na wanayanga ndio wanaongoza kulinunua hilo gazeti hivyo boycotting inaweza ikawa jambo gumu kutekelezeka
SawaHii hoja yako haina mashiko mkurugenzi. Mwanasport siyo gazeti ka udaku kama lile la Ijumaa, Kiu, nk. Walitakiwa waseme hizo taarifa wamezitoa kwa kiongozi gani wa Yanga.
Hakuna sababu kwa hilo gazeti kutengeneza taharuki isiyo na sababu kwa Klabu, wachezaji, wanachama, mashabiki na viongozi wake. Walishindwa nini kwenda kuwauliza viongozi wa timu kama wamesikia hizo tetesi?
Kwamba eti KUNA MVURUGANO, hiyo unatia chumvi...Matola ingia group za WhatsApp za wanayanga ujionee yanayoendelea huko.. Kuna mvurugano mkubwa sana ndani ya Yanga kwasasa.. Hebu tuupe muda wakati
Taifa lilipata hasara sana a moment population ya Viumbe waitwao Makolo ilivyoanza kuongezeka!!Mkuu tofautisha suala la muda...Yasemwayo yapo na kama hayapo basi yanakuja...hapo ndo ule msemo wa muda utaongea unatimia..
Kwakifupi Nabi ilikuwa afukuzwe hapo Utopoloni....Jamaa wakagundua huyu mtu tukimfurusha kipindi hiki kabla hatujacheza Na Club Fricane ya Tunisia basi Nabi kwa hasira ataenda kutoa siri za game Plan Ya Yanga kwa Watunisia wenzake....Ndo jana wakakurupuka kutoa taarifa kukanusha...
Sasa mbona hueleweki? Unasema habari ni ya kweli kwa 100% lakini unasema tena Yanga ikitoa draw na KMC na Simba akimfunga Azam basi Nabi atafukuzwa..Kwa hiyo hajafukuzwa bado kama gazeti linavyosema na bado unasema ni kweli??Acha Kiherehere unajua maana ya Unprofessional Journalism au umetaja tu hivi ili ujulikane kuwa nawe ulibahatika Kuukimbia Umande?
Hakuna Gazeti la Michezo linaloaminika nchini Tanzania kama hilo ( hili ) la Mwanaspoti na hata hiyo ( hii ) Habari ni kweli Tena kwa 100% na ni Suala la muda tu.
Na kwakuwa huna Unachokijua japo unapenda kuwa na Kiherehere na Kuwashwawashwa Kwingi ni kwamba walichokifanya Yanga SC ni Kuzuga ila ukweli ni kwamba ikitokea Yanga SC leo akatoka Sare na KMC FC halafu Kesho Simba SC ikamfunga Azam FC tegemea Press Release ya Kocha Nabi Kufukuzwa Yanga SC.
Na ikitokea akapona kwa leo Mtego mwingine aliowekewa Kocha Nabi na wenye Akili Kukuzidi na tunajua hawezi Kuuruka ni wa Mechi zake za Kufuzu Makundi CAFCC ambako ikitokea Yanga SC ikatoka Sare / Suluhu hapa Dar es Salaam na Club Africaine ya nchini Tunisia kisha kwenda Kufungwa nchini Tunisia basi Kocha Nabi atafurumushwa rasmi Yanga SC huko huko.
Ulivyo Mnafiki pamoja na wana Yanga SC wengi hapa Jamiiforums ni kwamba mmesahau wakati Gazeti hili lilipokuwa likiisema vibaya Simba SC katika Taarifa zake na Machapisho huku likiipamba Yanga SC yenu mlikuwa mnashangilia ila leo limewageukieni mnajifanya Kulichukia.
Na GENTAMYCINE namalizia kwa Kukuambia ( kwani najua hujui ) kuwa Mhariri Mkuu, na Msaidizi wake wa Gazeti hili la Mwanaspoti na 85% ya Waandishi ( Reporters ) wake ni Mashabiki wakubwa wa Yanga SC.
Mnafiki na Wanafiki Wakubwa nyie!!!!
Hilo gazeti ndo lilituambia Manzoki Simba tayari je Manzoki yupo Simba? Haya magazeti sa nyingine yanaokota habari za vijiweni .Magazeti Yana taratibu zake za kufanya kazi....Hilo gazeti liko sahihi na wanayanga wenye akili walipaswa kulishukuru...wamepewa habari kabla haijawa confirmed na matokeo yake uongozi ukabadili maamuzi baada ya kupima upepo...Hilo gazeti ndo limeokoa ajira ya Nabi Kama kweli hawatamfukuza
Kingine nilichokuja kubaini, nimegundua hizi taarifa zinaandaliwa na watu wa ndani kabisa ya system yao wakiwa na lengo lingine ambalo watu hawajalielewaManagement yenu wenyewe ndio ya kulaumiwa kwakuwa imegawanyika kwenye swala la kocha na tayari kulikuwa na hiyo hoja ya kumtoa Nabi iliyoungwa mkono na wengi. Wao kwa wao ndio wanevujisha hiyo taarifa
Gazeti bila credible source lisingechapisha ile taarifa.
Ni suala la muda tuu kabla ya hiyo taarifa kuthimbitishwa maana sasa hivi huko ndani kunatokota na wanayanga ndio wanaongoza kulinunua hilo gazeti hivyo boycotting inaweza ikawa jambo gumu kutekelezeka
Kamati imeamua isubirie mechi mbili za shirikisho ndo zitaamua hatma ya nabi ila barua ipo mezani tayari inamsubiriaManagement yenu wenyewe ndio ya kulaumiwa kwakuwa imegawanyika kwenye swala la kocha na tayari kulikuwa na hiyo hoja ya kumtoa Nabi iliyoungwa mkono na wengi. Wao kwa wao ndio wanevujisha hiyo taarifa
Gazeti bila credible source lisingechapisha ile taarifa.
Ni suala la muda tuu kabla ya hiyo taarifa kuthimbitishwa maana sasa hivi huko ndani kunatokota na wanayanga ndio wanaongoza kulinunua hilo gazeti hivyo boycotting inaweza ikawa jambo gumu kutekelezeka
Walishindwa kuchangia pesa unadhani hao washabiki na wapenzi wana hela za kununulia magazeti?Ni dhahiri kabisa media house imevamiwa na wahuni na inashangaza kuona gazeti likienda kuchapishwa huku likibeba habari za uongo kana kwamba hakuna mhariri.
Ushauri wangu kwa uongozi wa Yanga ni huu, ili kukomesha tabia hii ya unprofessional journalism Uongozi wa Yanga utowe tamko la Boycott kwa gazeti la mwanaspoti kwa kukubali kutumika nabgenge ka wahuni kwa maslahi ya wahuni wachache.
Azimio hili likipitishwa wapenzi, wanachama na mashabiki wa Yanga watasusia kununuwa gazeti hili na kuanguka kwenye soko na kuathili moja kwa moja mapato ya mwananchi communication na kwa hili management itawawajibisha wote waliohusika kuhujumu mauzo ya gazeti, hii ndio njia pekee ya kuwatia adabu waandishi uchwara na kuwaonesha nguvu ya wananchi ilivyo.
Nimemaliza.
Cc; Pascal Mayalla
View attachment 2398003
Huwa nina 'allergy' ya kujibu Maswali ya Kipumbavu niliyoulizwa yatokayo kwa Mpumbavu pia.Sasa mbona hueleweki? Unasema habari ni ya kweli kwa 100% lakini unasema tena Yanga ikitoa draw na KMC na Simba akimfunga Azam basi Nabi atafukuzwa..Kwa hiyo hajafukuzwa bado kama gazeti linavyosema na bado unasema ni kweli??
Coaches are hired to be fired!Kwamba eti KUNA MVURUGANO, hiyo unatia chumvi...
Hapawezi kuwepo Mvurugano unaojadiliwa WhatsApp halafu habari hiyo ikaishia WhatsApp... HAKUNA KITU KAMA HICHO!! Tena kwa Yanga na Simba... huo mvurugano ungetoka tu nje!
Kinachotokea ni kile kile kinachotokea kila leo kwenye medani za soka duniani kote.... Coaches are hired to be fired!
Hata Nabi leo hii akiwa fired wala sitashangaa coz mara kadhaa Hersi alikuwa anasisitiza kwamba target ya Yanga ilikuwa kufika Makundi lakini haikufika!
Always, linapotokea suala kama hilo atakayelaumiwa ni kocha, na kwahiyo akitimuliwa siwezi kushangaa lakini hiyo huwezi kuita mvurugano!
And if you ask me, as a Yanga Fan, the answer is YES... kuna uwezekano mkubwa siku zake zinahesabika, na chance ya kuendelea kubaki itaongezeka endapo ataitoa Club Africain!!