Uongozi wa Yanga ukomeshe waandishi uchwara madalali wa Simba ili iwe fundisho kwa wahuni wengine

Yanga inapendwa kuliko Mwanaspoti.

Habari ya uzushi kuhusu Nabi ni uchochezi ambao wapenzi wa Yanga hatujapendezwa nayo.


In Nabi we trust
Huko kupendwa sana, ndiko biashara ya uzushi inakolalia!. Ukizusha kitu kuhusu Yanga, kinalipa!, kama Mondi na Wema, Zali wanavyolipa!. Gezeti asubuhi tuu saa 1:41 limeisha sell out lote. Kesho wanaongeza circulation!. Endeleeni kumpiga mateke chura, yeye anazidi kuchanja mbuga!.
P
 
Siri hii hapa:

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Group za Wasapu na kina Mzee Akilimali zina tofauti gani?

Sasa hivi maamuzi au vision ya Yanga yanatokea Salamander tower au Avic town, achana na watu wenye njaa wapo nyuma ya wakati, Yanga haipo huko kwa Sasa.
Aah OK basi sawa ila kumbuka nao ni wanachama hai kwa kila hali
 
Yaani Mikia FC ni aibu.
 
Binafsi simlaumu mhalili wala Yeyote,Suala la Nabi kutolewa Yanga lipo pale pale! Ni suala la muda tu.Tanzania kila habari inayoanza kuvuma haidumu mwezi mmoja kabla ya ukweli kuwa wazi mf Kuumwa kwa Mwendazake
Kutimuliwa kwa Zolan
Kuondoka kwa Mdhungu

Nabi analiwa timing game dhidi ya Club Africain akishindwa kutoboa basi safari yake itaishia Huko huko Tunisia

Mimi ni Mwananchi nipo nimekaa pale.
Nabi amefanya mengi mazuri ndani ya Ligi yetu ila sijakubaliana naye kuna game zaid ya 5 tunaanza kufungwa then tunashinda kwa come back au tunapata sare!!Ukicheza na Ihefu unaweza kutoboa ila sio team kama Al Hilal or Clib Africain yani kimataifa haiwezekani uko home uende ht ikiwa 0-0 au upo nyuma goli 1.
Hata Zalan sijui tuliwafunga kipindi cha pili
 
Akili mhemko na akili tepetepe, Yanga inakupa nini katika maisha yako, huu ujinga tuache yaani mtu unafura kisa Yanga, magazeti yasipouza utaongeza shibe, Bora huo msusio ulete matunda ya kuongeza maji bwawa la mtera, Bata wale wengine kulia ulie wewe. Fikiria namna ya kuongeza kipato chako.

Think positive, think money, think self/collective wealth creation.
 
Hii hoja yako haina mashiko mkurugenzi. Mwanasport siyo gazeti ka udaku kama lile la Ijumaa, Kiu, nk. Walitakiwa waseme hizo taarifa wamezitoa kwa kiongozi gani wa Yanga.

Hakuna sababu kwa hilo gazeti kutengeneza taharuki isiyo na sababu kwa Klabu, wachezaji, wanachama, mashabiki na viongozi wake. Walishindwa nini kwenda kuwauliza viongozi wa timu kama wamesikia hizo tetesi?
 
Sawa
 
Matola ingia group za WhatsApp za wanayanga ujionee yanayoendelea huko.. Kuna mvurugano mkubwa sana ndani ya Yanga kwasasa.. Hebu tuupe muda wakati
Kwamba eti KUNA MVURUGANO, hiyo unatia chumvi...

Hapawezi kuwepo Mvurugano unaojadiliwa WhatsApp halafu habari hiyo ikaishia WhatsApp... HAKUNA KITU KAMA HICHO!! Tena kwa Yanga na Simba... huo mvurugano ungetoka tu nje!

Kinachotokea ni kile kile kinachotokea kila leo kwenye medani za soka duniani kote.... Coaches are hired to be fired!

Hata Nabi leo hii akiwa fired wala sitashangaa coz mara kadhaa Hersi alikuwa anasisitiza kwamba target ya Yanga ilikuwa kufika Makundi lakini haikufika!

Always, linapotokea suala kama hilo atakayelaumiwa ni kocha, na kwahiyo akitimuliwa siwezi kushangaa lakini hiyo huwezi kuita mvurugano!

And if you ask me, as a Yanga Fan, the answer is YES... kuna uwezekano mkubwa siku zake zinahesabika, na chance ya kuendelea kubaki itaongezeka endapo ataitoa Club Africain!!
 
Taifa lilipata hasara sana a moment population ya Viumbe waitwao Makolo ilivyoanza kuongezeka!!

Yaani hadi mtu wa Makolo anafahamu kwamba Nabi anawekwa kipolo hadi mechi ya Club Africain ipite lakini Nabi mwenyewe HAFAHAMU?!

Sasa kama Nabi anaweza kuihujumu Yanga endapo atafurumushwa, atashindwa nini kuihujumu wakati anajua "atafurumushwa tu"?!

Ni namna gani unaweza kuihujumu timu kiurahisi zaidi kati ya wakati unapokuwa ndani ya club au unapokuwa nje ya timu?!
 
Sasa mbona hueleweki? Unasema habari ni ya kweli kwa 100% lakini unasema tena Yanga ikitoa draw na KMC na Simba akimfunga Azam basi Nabi atafukuzwa..Kwa hiyo hajafukuzwa bado kama gazeti linavyosema na bado unasema ni kweli??
 
Hilo gazeti ndo lilituambia Manzoki Simba tayari je Manzoki yupo Simba? Haya magazeti sa nyingine yanaokota habari za vijiweni .
 
Kingine nilichokuja kubaini, nimegundua hizi taarifa zinaandaliwa na watu wa ndani kabisa ya system yao wakiwa na lengo lingine ambalo watu hawajalielewa

Wanao tengeneza hizi tetesi ni viongozi na lengo ni kutaka kuikuza App yao na ndio maana baada ya tetesi ku trend wakatoa post kuwa ukitaka kujua kuhusu hatma ya kocha ingia kwenye Yanga App
 
Kamati imeamua isubirie mechi mbili za shirikisho ndo zitaamua hatma ya nabi ila barua ipo mezani tayari inamsubiria
 
Walishindwa kuchangia pesa unadhani hao washabiki na wapenzi wana hela za kununulia magazeti?
 
Sasa mbona hueleweki? Unasema habari ni ya kweli kwa 100% lakini unasema tena Yanga ikitoa draw na KMC na Simba akimfunga Azam basi Nabi atafukuzwa..Kwa hiyo hajafukuzwa bado kama gazeti linavyosema na bado unasema ni kweli??
Huwa nina 'allergy' ya kujibu Maswali ya Kipumbavu niliyoulizwa yatokayo kwa Mpumbavu pia.
 
Coaches are hired to be fired!
 
Kuguswa kidogo tu uto mmeumiaa, pambaneni na hali yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…