Uongozi wa Yanga ukomeshe waandishi uchwara madalali wa Simba ili iwe fundisho kwa wahuni wengine

Ikifika swala la ushabiki akili yako hua inayumba sana pamoja na maarifa uliyo nayo
 
uharo mtupu
 
Ona hii pimbi, hivi ndio viandishi uchwara mnatetea ujinga, na Mwakyembe alikuwa sahihi kuweka education level ili uwe colified kufanyakazi kwenye media, siyo muhuni yeyote aliyekosa ajira basi jalala ligeuzwe kwenye journalism.
 
Kamati imeamua isubirie mechi mbili za shirikisho ndo zitaamua hatma ya nabi ila barua ipo mezani tayari inamsubiria
Na mimi kama ndio Nabi kwa kuwa niashajua jamaa wanataka kunila kichwa basi ninaenda kuwadhalilisha huko kimataifa. Panga mwamnyeto pale nyuma uhakika wa kufa game zote mbili unakua ni 100%.

Wote tunakuwa tumekosa, shubaamit [emoji16]
 
Haiwezekani uongozi uamue kumfukuza kocha Kisha waache ati kwa kuwa habari imeandikwa na gazeti!!..hakuna mantiki,inamaanisha yanga wanataka fukuza kocha Ila isijulikane Kama wamefikuza
 
Ona hii pimbi, hivi ndio viandishi uchwara mnatetea ujinga, na Mwakyembe alikuwa sahihi kuweka education level ili uwe colified kufanyakazi kwenye media, siyo muhuni yeyote aliyekosa ajira basi jalala ligeuzwe kwenye journalism.
Una Hela? Au unapopoma tu
 
Uongo wa media unapingwa kwa ukweli na sio kukanushwa kwa maneno matupu

Magazeti ya Mwananchi family ndio the best hivyo kuhamasisha boycott ni kumpiga teke chura!.

Hili haliwezekani!.
P
Kukanusha Kwa maneno matupu ndo kukoje? Gazeti limeandika NABI BAIBAI na limetaja kocha mpya toka Vipers kama replacement. Mleta mada katoa hoja gazeti lichukuliwe hatua wewe unapinga eti ni kumpiga teke chura. Huko Bunge la Afrika Mashariki ungekwenda Kwa kiwango hiki kweli?
 
Haya tuambie Kwa nini tukuamini wewe Mtume wa Mungu usiyesema uongo?
 
Naanzisha nyuzi ya kifo chako waambie Mods wasiniban maana ni kweli ipo siku utakufa.

GENTAMYCNE AFARIKI DUNIA, AACHA MADENI YA VIFAA VYA UJENZI WA NYUMBA YAKE YA GHOROFA 3 KOSEMVULE.
 
Kwani yy ndo anacheza mpka muogope hivyo akifurushwa? Si mnasema mna kikosi imara... sasa kama kikosi imara hata Mwambusi si anakifundisha tuu? Mbona kama presha zinawapanda sana enyi utopolo kama vile Nabi ndo amebeba hirizi.
 
Wangeandika "FUNUNU" tusingewashukia. Mimi siko kwenye ushabiki lakini huwa nachukia uzushi hata kama ni tetesi andika tetesi.
 
Na mimi kama ndio Nabi kwa kuwa niashajua jamaa wanataka kunila kichwa basi ninaenda kuwadhalilisha huko kimataifa. Panga mwamnyeto pale nyuma uhakika wa kufa game zote mbili unakua ni 100%.

Wote tunakuwa tumekosa, shubaamit [emoji16]
Basi kua Nabi tukuone
 
Haya magazeti ya michezo ya Tanzania ni shida tupu taarifa zao nyingi ni uongo iwe kwa Simba au YANGA mm huwa siamini mpaka nipate taarifa sehemu sahihi

Itungwe sheria ya kudhibiti taarifa za uongo kwenye haya magazeti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…