Linaitwa " MAK Bookshops" Karibu Na Vodacom Customer CareDuka gani hapo Mlimani City.
Shukrani.Linaitwa " MAK Bookshops" Karibu Na Vodacom Customer Care
Karibu Mkuu.Shukrani.
Labda niulize tu Kongo, Burundi na Kenya Kuna tatizo gani katikaTungetambua ni kiasi gani hao watu wa TISS wanavyotoil kuhakikisha taifa liko salama, tungefunga na kuwaombea mema kila siku
Hii amani tunayoiona hapa kwetu huku majirani zetu Congo, Burundi na Kenya wakichinjana haipo tu kwa bahati mbaya. Kuna watu wanavuja jasho na damu kuilinda!
Vipi wamekurekodi lini mkuu?? Mbona maneno mengi lakini mwisho ni mapovu ya kurekodiwa!! Pole mkuu!Linaweza kuwa swali lisiloeleweka haraka, Labda nianze na simulizi kwanza
Mwaka 1979 Tanzania iliingia kwenye vita na Uganda maarufu kama vita ya KAGERA. Mwaka 1995 nilikutana na mzee Mkumbi(marehemu) mmoja wa watu ambao walikaribia kabisa kupigana vita hiyo. Miongoni mwa mambo aliyonisimulia ni kuwa yeye alirudia eneo la mwisho ambalo angetoka hapo ilikuwa ni moja kwa moja anaingia uwanja wa vita. Anasema alifurahi sana kwani akiwa kwenye eneo la mwisho ambalo daktari alikuwa anawapima afya ndipo alinusurika, kilichomnusuru ni kukutana na daktari ambaye alikuwa ndugu yake, akamuokoa kwa kueleza kuwa afya yake si mzuri.
Binafsi ingawa sikusema nilimshangaa sana huyu mzee kwa sababu alichokifurahia ni kukwepa majukumu yake ya msingi kama Mwanajeshi, hata huyo daktari kwangu bado hakuwa Mzalendo alitaka mtoto wa nani afe na wa nani abaki? Na hawa ndio wale ambao ni wengi wanaajiriwa kwenye majeshi yetu kwa njia za upendeleo lakini je tumeangalia nini athari yake?
Kuna hii idara maarufu ambayo wengi wanatamani kuajiriwa ambayo ni usalama wa Taifa, Licha ya mshahara na marupurupu yake upande wa pili wa idara hii ukoje(side effect yake ni ipi?) Kuna jamaa waliibuka kwa ahadi za kuajiri watu kwenye Idara hiyo ambapo walikuwa wanahongwa Mil 1 na kuendelea ili kuwapatia watu kazi kwenye Idara hiyo, Hivi ni kweli watu wanaoingia kwa mtindo huo watayaweza hayo majukumu? Au kazi yenyewe ni ile ya kupita kurekodi tu watu wanaomkosoa Rais kwenye vijiwe vya kahawa? Hakuna majukumu ambayo yanamtaka mtu kujitoa ambayo yanaweza kumfanya mtu akwepe kutimiza wajibu wake kama yule mzee aliyekwepa kwenda kupambana Uganda?
NAULIZA TU.
Linaitwa " MAK Bookshops" Karibu Na Vodacom Customer Care
Wa kwanza na wa pili hawana uzalendo kwasababu kipua anawajua, wa tatu wenye nywele za kusokota nao wapo ndani yao halafu nao wapo kule kwa visokotoLabda niulize tu Kongo, Burundi na Kenya Kuna tatizo gani katika
idara zao za Usalama?
Inashangaza kuna watu wanataka information ya chombo. Dude halina kichwa wala miguu hata waliomo walijua kwa upande alionao. Hakuna information humu tupigeni story tu za ki novel (esp spy novels)Mbona nyuzi za Usalana zimekuwa nyingi humu what up?
Sehemu Inapouzwa Novel Ya " THE ORIGIN" By Dan Brown.Kuna nn hapo?
Sehemu Inapouzwa Novel Ya " THE ORIGIN" By Dan Brown.
Tumeona mkuu umejitambulisha indirectNatamani nichangie kitu katika uzii huu ili jiwatoe watu tongotongo lakini nahisi nitavuka mipaka.So ngoja nibaki msomaji tu.
Huyo alitaka kujutambulisha tujue anafanya kazi gani,maana hata wakati anasema sijui niseme haya anayosema yoote yalishasemwa yalikuwa yashasemwaOkay nilijua kuna jipya lingine la kuulisha ubongo. Kama yamesemwa yote ni sawa.
We mkorofi ujue.Huyo alitaka kujutambulisha tujue anafanya kazi gani,maana hata wakati anasema sijui niseme haya anayosema yoote yalishasemwa yalikuwa yashasemwa
Naku note pembeni,,i will deal with yo..
[emoji23][emoji23]
We mkorofi ujue.