Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Yote ya yote shukrani kwa wake kwa waume ambao kupitia jasho lao, hekima, busara na kazi za mikono yao, taifa letu limeendelea kuwa na uhuru, amani na utulivu. Ahsanteni kwa kuendelea kuidumisha sifa ya nchi yetu ya kisiwa cha amani.
Mlipopungukiwa ni ubinadamu sote si wakamilifu, jiinueni na kujirekebisha ili kuendelea kutimiza wajibu wenu kwa weredi na uzalendo
 
Wana usalama wengi was sasa no vijana wadogo
 
Tungetambua ni kiasi gani hao watu wa TISS wanavyotoil kuhakikisha taifa liko salama, tungefunga na kuwaombea mema kila siku

Hii amani tunayoiona hapa kwetu huku majirani zetu Congo, Burundi na Kenya wakichinjana haipo tu kwa bahati mbaya. Kuna watu wanavuja jasho na damu kuilinda!
 
Labda niulize tu Kongo, Burundi na Kenya Kuna tatizo gani katika
idara zao za Usalama?
 
Vipi wamekurekodi lini mkuu?? Mbona maneno mengi lakini mwisho ni mapovu ya kurekodiwa!! Pole mkuu!
 
Unaweza tumwa Ukafanye misheni flani Kubwa sanaa ambayo Inabdi iwee siriii... Unaweza maliza kiroho safii lakini akatumwa mtu ajee Kukumaliza na wew lakini hata ambiwa sababu ya kukua wew... NA HUWA HAWAJUANII WENGI WAOOOO...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…