Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?


Kama uliingia TISS kwa kutoa rushwa au kutumia cheti cha mtu, basi tayari umefanya kosa kubwa sana kwani umevunja miiko inayopaswa kufuatwa wakti wa kuteua makuruta.

Sasa linapokuja suala la uhakiki ambalo linafanyika sasa, wengi wa vijana ambao waliingia kwa kuhonga au kwa kutumia majina makubwa wanapewa muda wa kujitafakari kisha kuondoka ndani ya idara hiyo bila kulipwa chochote.

Hivyo kama uliondolewa kwa sababu hizo hapo juu, basi negative side effects zitakuwa more devastating kuliko positive side effects.

Kuna mdada mmoja nilikuwa namfahamu kwa miaka mingi lakini sikudhani kama alikuwa akifanya kazi huko, ila hivi karibuni alikuja kwangu huku akilia sana.

Nilimuuliza kulikoni bibie, akasema ameambiwa kwamba aweza kustaafu kazi lakini hakutakuwa na malipo yoyote stahiki kama kiinua mgongo wala fedha za kusafiria kwasababu yeye alitumia vyeti vya mtu mwingine.

Fikiria mtu amepiga kazi miaka zaidi ya 30 kazini kwa cheti bandia yaani hakukuwa na uchunguzi mahiri kubaini mtumishi mtarajiwa yaani Vetting na matokeo yake huyu dada yangu ametumbukia shimoni.

Hivyo basi side effects zaweza kukupata ukiwa katika mazingiza hayo au mazingira mengine kama kustaafu ukiwa hukujenga nyumba, au ulikuwa unahanja na vimwana na hukuwa na akili ya future.

Lakini Positive side effects zingine zipo na ukipata nafasi tembelea eneo la Mbweni uone nyumba za maana zilizojengwa na wastaafu na hata wale ambao ndo umri wasogea.
 
Naaam huyu ndio Malcolm lumumba..... And there will be no other naona unalitendea haki sana hilo jina la Lumumba

Congrats once again for your lectures
 
Mkuu mbona ni Suala Dogo sana ilo kikubwa ni kukaa nae Mwambie nawe unapenda sana usikae nae Mbali atakusaidia hata Mimi nahitaji sana Kama ntamjua aweze kunisaidia Mkuu si unajua Msaada wangu unaweza ukawa kwa MTU mwingine kupitia wewe... Natamani sana nije huko mjini Niko Kilosa vijijini...
 
Mkuu heshma kwako
Niliokuambia hao ni watu Wangu wakaribu Mkuu ila sipendi wafahamu hizi mambo nafatilia hata kwa njia yoyote ile iwe kwa kusoma tu au kutazama movies za kiintelijensia Mkuu kumradhi sitaweza kuwakutanisha "Nisameheme kwa hili" Karibu St Francis!!
 
Mkuu huwa nafananisha mwandiko wako na Mussolin5 au ni mapacha nyie?
 
Malcom izi nondo ni nzito sana Mkuu, Natamani kujua nafasi yako apo Oystebay
 

Kaa nae tu labda utafaidi
 
Asantee mkuu st Francis ya wapi mkuu maana ziko nyingi..
 

Kumbe!!!! basi kumbe sio deal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…