Northern Lights
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 395
- 357
Mkuu yawezekana yeye anakusanya taarifa wenye nguvu wanakuja kueliminate targetMkuu,hawa wa siku hizi hawako hivo. wapo wapo tu. nilikutana na mmojawapo mitaa fulani wakati ule wa vuguvugu la uchaguzi 2015, mdada hivi mwembamba kweli nafikiri hata kilo 50 hana. nikajiuliza, huyu anaweza kuni-arrest kweli? achilia mbali to eliminate the target..! I was puzzled
Hii Kitu Yote Kiintelejensia Inaitwa " BLOWN" To Know The Identity Of Unofficial Agent. Sasa Hawa Wa Kibongo bongo Nahisi Hawajui Maana Ya Kuwa Un-official Agent Ama Lah Wajafanya Kusudi Tuwaabudu.kuna shida usalamani kwetu for sure...binafsi najua kazi moja kubwa sana ya under covers ni last para za sms za mange kimambi "hide my ID" undercover yoyote akishajulikana basi ni useless he deserve to die....siku mpaka najishangaa yaani kuna siku niko bar napiga story na mshikaji huku tunakula bia story zikahitaji mawasiliano wakati tunabadilishana no ndo ikabidi nimulize jamaa anaitwa nani akaniambia we save.......usalama...nikapata kigugumizi kidogo nikamuuliza unasema??? akarudia tena Somebody usalama..dah na mimi nikasve the same name...baada ya muda ikabidi ni chunguze nikakuta kweli ni usalama...now najua hadi ofisini kwao...watumishi wao wote waliopo hapo ofisini...na jamaa mwaka jana kapanda cheo ndo alitangaza kila mahali na akafanya bonge la part.... binafsi nina kaconection kaujasusi bt idara nyingine low level kabisa ila methods and tactics remain the same ..so nadhani mwaka jana depo jipya liliingia uraiani kuna kadada kembamba kweli kalegevu haswa nako ni TISS yaan ni nanga mpaka basi...kila nyumba anayoishi haipiti mwezi anatambulika so anaamua kuhama...kahama kama nne alivyokuja kwangu na mimi nikamjua hata sikumficha siku moja nikamwambia wewe ni nanga usalama gani sasa wewe? alimind akataka hadi kulia jamani mim nimehama nyumba ngap sijui ilo nisijulikane lakinj naona hata siwezi nikamwambia ndo unanga wenyewe..... pia maboss wao wanawatumia vibaya sana kiasi kwamba inakua ngumu kuhide ID..
blown cover .....ndo shida kubwa...Hii Kitu Yote Kiintelejensia Inaitwa " BLOWN" To Know The Identity Of Unofficial Agent. Sasa Hawa Wa Kibongo bongo Nahisi Hawajui Maana Ya Kuwa Un-official Agent Ama Lah Wajafanya Kusudi Tuwaabudu.
Ni mbaya kuliko JWTZ @ TPDF kwani wapo kazini saa 24 kwa siku saba. Pia hamjui adui na anatakiwa amfahamu kiundani hasa. Hana adui maalum kwani yote yake mradi usalama wa taifa uwe salama. Tiss personnel are supposed to detect and eliminate in covert and/or clandestine way any threat to national security.
Huo ndio ubaya wa TISS. TPDF anasubiri tuvamiwe ndo aingie kazini.
Huwa nasema sana Humu kwenye michango yangu DISCIPLINE is the Fundamental Key to Success, Most of Raia wa TZ achilia mbali Hawa Usalama hawana Discipline(Nidhamu) Nidhamu ni ile hali ya kufanya jambo lolote kama inavyopaswa na si kama unavyopenda.Hii Kitu Yote Kiintelejensia Inaitwa " BLOWN" To Know The Identity Of Unofficial Agent. Sasa Hawa Wa Kibongo bongo Nahisi Hawajui Maana Ya Kuwa Un-official Agent Ama Lah Wajafanya Kusudi Tuwaabudu.
tatizo huwa hawagusiki ndicho wanachotamani vijana,ule umwamba na kufanya chochote ila hawazingatii yanayowakabili wanausalama,zikiwemo hatari zinazojadiliwa humu
Ubaya mwingine ni unaweza kusacrifice maisha yako kwa mission ulio ifanikisha mwenyewe..pia wanamaisha magumu sana sababu inawachukua mda mrefu kuishi maisha ambayo sio halisi
Mbona kiongozi wa Nida aliwekwa mahabusu ?Hivi huwa hawakamatwi na kufungwa kama ametenda kosa? humu hamna hatari zinazojadiliwa mkuu utaacha waanze kazi zao ohoo
Hivi huwa hawakamatwi na kufungwa kama ametenda kosa? humu hamna hatari zinazojadiliwa mkuu utaacha waanze kazi zao ohoo
Mbona kiongozi wa Nida aliwekwa mahabusu ?
Kama vigogo wa Tiss wanafungwa sembuse maofisa wadogo ?
Huyo chalii analeta story za vijiweni
Umeandika vyema ila hapo ulipoaema usalama wa taifa wanahakikisha anapatikana raisi ambaye hatotishia usalama wa taifa,swali ni je viongozi wanaosababisha economic sabatoge hao sio watu tishio kwa taifa? Awamu mbili zilizopita ilikuaje?Sio Ishu ya Tetesi ndugu, ndivyo ilivyo kwa uhalisia wake; Kila Idara, Mfumo wa utendaji unapoanzishwa basi lazima jamaa wawekwe.
Hii ilianza zamani toka enzi za nyerere, Kila taasisi ilipoanzishwa aliangalia Mfumo mzuri wa kupenyeza watu wa Usalama ili kuhakikisha Taasisi, Idara au Mfumo husika unafanya kazi Bila kuleta wasiwasi kwenye usalama wa Taifa.
Wakati wa kuanzishwa Mfumo wa Vyama vingi, Nyerere aliigomea hii kitu kabisa (Alikuwa hataki mfumo wa vyama vingi), Lakini ishu ilikuwa atawezaje kuhakiksha usalama wa Taifa kwenye Vyama hivyo (ndani katika utendaje wake), Ilimchukua muda tangu azimio la vyama vingi kutakiwa mpaka jamaa aliporuhusu. Ndipo akaweka Utaratibu kuwa Ukitaka upate usajili wa kudumu basi chama cha siasa basi lazima kipate wanachama japo 200 angalau katika mikoa kumi. Sasa hapa ndipo inakuwaga ndio pale Usalama wa nchi Yetu unaingiza watu wake japo 5, na mara nyingi si watu wa kawaida unakuta ni watu walio very smart kwenye uwezo wa kupambanua mambo, wana mtazamo chanya kabisa kabisa juu ya hicho chama, wanajenga hoja vizuri kiasi kwamba ni rahisi kupewa nyadhifa za juu katika chama, ila Core-business yake ni Undercover; (wako kazini kiusalama na si kichama), Achana na Usalama hawa vijana wa siku izi, anatoa kitambulisho, mara bastola; Usalama makini nawaambia huwezi kumtilia shaka ndugu yangu, Angali comment yangu nyingine hapo juu, kuna mtu nimefanya nae kazi serikali ya awamu ya 3 yotee, same Dept, Tukaenda kusoma ughaibuni tukarudi awamu ya Jk miaka 3+ tuko nae ofisini ila nikamuona amevaa Gwanda anapewa Mkono na Mheshimiwa Rais wa Awamu hii ya 5, Nilistaajabu sana; hawa jamaa mtu anafanya kazi yake kwa ueledi huku akifanya jitihada zote asiweke wasiwasi juu ya walio karibu nae; Katika Idara zote na Taasisi za Serikali Lazima kuwepo watu wa system (ni lazima) BOT, Taasisi za Elimu, Mashirika ya Umma yote, Mamlaka zotee( EWURA,TRA,TRL,TFDA,TPA,MSD,SUMMATRA yaani mamlaka zote) Tena Hao TISS wanakuaga wanapanda taratibu vyeo kutokana na Usmart wao (Refer Mkuu wa Idara ya Usalama wa sasa MK)
Most of high political Leaders hasa wale walionza toka Mfumo wa Vyama vingi umeingia nchini, Believe me ni Under cover, Wako kiusalama zaidi kuliko kichama.
NB: Usalama wa Taifa uko katika nyanja nyingi sana, Kiuchumi, Kijamii etc ndio maana watu wanawekwa kwenye hizo Idara, vyama vya siasa, mashirika ya kijamii na Mamlaka zote; Infact Usalama wa Nchi ndio unahakikisha unapata Raisi ambaye hana viashiria vya kuhatarisha Usalama wa Taifa letu (i hope mtanielewa) Huwa wanapropose na kuhakikisha wanatoa Support stahili.
hukatwa kichwa kwa maana ya kupotezwa si kazi nzuri kwa kweli.Hivi huwa hawakamatwi na kufungwa kama ametenda kosa? humu hamna hatari zinazojadiliwa mkuu utaacha waanze kazi zao ohoo
Naomba uwe na kumbukumbu,Kigogo wa Nida aliyewekwa mahabusu sio Dr Modestus ni kigogo mwingine baada ya Modestus kutoka pale.... Usalama pia uko sana makanisani hasa catholic, na hata huyu Boss wa Tiss wa sasa ni Askofu wa kanisa flani kama sio mchungani
Swali zuri mkuu, ila Tunarudi kwenye comment zangu huko juu, kuwa NIDHAMU/DISCIPLINE, watu pamoja na hayo mambo na kila kitu kuna watu wanafanya mambo pasipo weledi, Hasa awamu ya nne jamaa walikosea, kwa sababu System ilikuwa Corrupted Tayari ( Kumbuka awamu ya nne muhusika ndiye aliyekusudiwa kuingia) So inawezekana hawakufanya kazi yao vizuri.swali ni je viongozi wanaosababisha economic sabatoge hao sio watu tishio kwa taifa? Awamu mbili zilizopita ilikuaje?
Naomba uwe na kumbukumbu,Kigogo wa Nida aliyewekwa mahabusu sio Dr Modestus ni kigogo mwingine baada ya Modestus kutoka pale.... Usalama pia uko sana makanisani hasa catholic, na hata huyu Boss wa Tiss wa sasa ni Askofu wa kanisa flani kama sio mchungani
Ni Dickson Maimu mkuu
kuna shida usalamani kwetu for sure...binafsi najua kazi moja kubwa sana ya under covers ni last para za sms za mange kimambi "hide my ID" undercover yoyote akishajulikana basi ni useless he deserve to die....siku mpaka najishangaa yaani kuna siku niko bar napiga story na mshikaji huku tunakula bia story zikahitaji mawasiliano wakati tunabadilishana no ndo ikabidi nimulize jamaa anaitwa nani akaniambia we save.......usalama...nikapata kigugumizi kidogo nikamuuliza unasema??? akarudia tena Somebody usalama..dah na mimi nikasve the same name...baada ya muda ikabidi ni chunguze nikakuta kweli ni usalama...now najua hadi ofisini kwao...watumishi wao wote waliopo hapo ofisini...na jamaa mwaka jana kapanda cheo ndo alitangaza kila mahali na akafanya bonge la part.... binafsi nina kaconection kaujasusi bt idara nyingine low level kabisa ila methods and tactics remain the same ..so nadhani mwaka jana depo jipya liliingia uraiani kuna kadada kembamba kweli kalegevu haswa nako ni TISS yaan ni nanga mpaka basi...kila nyumba anayoishi haipiti mwezi anatambulika so anaamua kuhama...kahama kama nne alivyokuja kwangu na mimi nikamjua hata sikumficha siku moja nikamwambia wewe ni nanga usalama gani sasa wewe? alimind akataka hadi kulia jamani mim nimehama nyumba ngap sijui ilo nisijulikane lakinj naona hata siwezi nikamwambia ndo unanga wenyewe..... pia maboss wao wanawatumia vibaya sana kiasi kwamba inakua ngumu kuhide ID..