Upangaji wa Makao Makuu Dodoma. Nani aliamuru Ikulu izungukwe na Makazi ya Watu?

Upangaji wa Makao Makuu Dodoma. Nani aliamuru Ikulu izungukwe na Makazi ya Watu?

Watanzania kama sio kukosa exposure basi ujinga unatutesa sana na kuna siku utakuja kutugharimu sana

Wiki iliyopita nilikuwa Dodoma nimeangalia namna ya Jiji la Dodoma lilivyopangwa na kusema kweli nimesikitika sana.

Hii nchi kuna siku yatatukuta ya Haiti wahuni wanaingia kwenye makazi ya Rais kufanya umafia na kutokomea bila hata kukamatwa alafu ndo tunakuja kuunda tume kujua tatizo kumbe hatushughulishi akili zetu kwa wakati sahihi.

Nani aliyesema Chamwino kwenye Ikulu pazungukwe na Makazi ya watu binafsi? Waliopendekeza hili hawakuona hatari yake?

Nani alipendekeza Mji wa Serikali ujengwe Mtumba na sio Chamwino?

Kwa sehemu nyingi duniani makazi ya Rais yanazungukwa na Ofisi Kuu za Serikali na hata makazi ya viongozi wa Kiserikali na sio watu binafsi. Kujenga mji wa Serikali sehemu tofauti alafu kuweka ikulu kwenye makazi ya watu hawakuona hili linaweza kuleta matatizo siku moja?

Kiuhalisia Mji wa Serikali na Makazi ya Viongozi wa Serikali vyote vilitakiwa kuwepo Chamwino na kuzungukwe na kambi za Jeshi ila kwa Dodoma haya hayajafanyika

La kunichekesha zaidi ni Jengo la Bunge. Hili Jengo lipo sehemu ya ajabu kabisa. Nje kuna vibanda vya chips na makazi holela. Inafika hadi wabunge wanakosa sehemu za kupaki magari na mwishowe kusababisha msongamano mkubwa sana kipindi cha Bunge.

Kusema kweli kwa watu wasio na akili wataifurahia Dodoma ila kwa wenye akili na wanaoona mbali Dodoma itakuja kuligharimu sana Taifa siku za mbeleni mbeleni!
Du wewe noma sasa ulitaka azungukwe na Mbuga za wanyama??? Hebu tutajie hizo nchi ulizofika na kukuta raisi kazungukwa na kambi za police au jeshi??? Ukiondowa hizi za Africa watawala miungu watu....Usiwaabudu sana hawa viongozi wanaotutesa ushuru mkubwa ukiagiza gari, bara bara mashimo matupu...South africa tu hapo Ikulu yao kuna Garden na watu wanajimwaga kama kawaida na ni Africa hii....
 
Jengo lenyewe la Ikulu usanifu kama wa lkulu ya Magogoni, inasikitisha na hii ni athari ya "Mamlaka ya Rais".

Pia Jengo la Bunge Kuna uhaba mkubwa wa nafasi kabisa wakati Dodoma haina uhaba wa ardhi.
Inashangaza kweli kweli.....hao architectures walioandaa hizo ramani huenda walipitiwa.
 
Watanzania kama sio kukosa exposure basi ujinga unatutesa sana na kuna siku utakuja kutugharimu sana

Wiki iliyopita nilikuwa Dodoma nimeangalia namna ya Jiji la Dodoma lilivyopangwa na kusema kweli nimesikitika sana.

Hii nchi kuna siku yatatukuta ya Haiti wahuni wanaingia kwenye makazi ya Rais kufanya umafia na kutokomea bila hata kukamatwa alafu ndo tunakuja kuunda tume kujua tatizo kumbe hatushughulishi akili zetu kwa wakati sahihi.

Nani aliyesema Chamwino kwenye Ikulu pazungukwe na Makazi ya watu binafsi? Waliopendekeza hili hawakuona hatari yake?

Nani alipendekeza Mji wa Serikali ujengwe Mtumba na sio Chamwino?

Kwa sehemu nyingi duniani makazi ya Rais yanazungukwa na Ofisi Kuu za Serikali na hata makazi ya viongozi wa Kiserikali na sio watu binafsi. Kujenga mji wa Serikali sehemu tofauti alafu kuweka ikulu kwenye makazi ya watu hawakuona hili linaweza kuleta matatizo siku moja?

Kiuhalisia Mji wa Serikali na Makazi ya Viongozi wa Serikali vyote vilitakiwa kuwepo Chamwino na kuzungukwe na kambi za Jeshi ila kwa Dodoma haya hayajafanyika

La kunichekesha zaidi ni Jengo la Bunge. Hili Jengo lipo sehemu ya ajabu kabisa. Nje kuna vibanda vya chips na makazi holela. Inafika hadi wabunge wanakosa sehemu za kupaki magari na mwishowe kusababisha msongamano mkubwa sana kipindi cha Bunge.

Kusema kweli kwa watu wasio na akili wataifurahia Dodoma ila kwa wenye akili na wanaoona mbali Dodoma itakuja kuligharimu sana Taifa siku za mbeleni mbeleni!
Tujikite kwenye ripoti ya CAG umbwale koko wewe
 
Kwa akili yako ni salama ikulu kupakana na makazi ya wananchi?

Basi una shida kichwani pako
Kwa hiyo usalama wa Rais upo kwenye makazi yake ya kuushi tu? kama kuna njama yoyote inafanyika dhidi yake ni lazima afuatwe Ikulu?

Matukio mangapi Rais anahudhuria ambayo usalama wake ni mdogo endapo kuna njama dhidi yake?

Chukulia mfano hata kwenye matamasha na sherehe mbalimbali ambazo Rais huwa kama mgeni rasmi alafu jiulize kama ni salama endapo kuna njama ya kumuangamiza..
 
Kwa hiyo usalama wa Rais upo kwenye makazi yake ya kuushi tu? kama kuna njama yoyote inafanyika dhidi yake ni lazima afuatwe Ikulu?

Matukio mangapi Rais anahudhuria ambayo usalama wake ni mdogo endapo kuna njama dhidi yake?

Chukulia mfano hata kwenye matamasha na sherehe mbalimbali ambazo Rais huwa kama mgeni rasmi alafu jiulize kama ni salama endapo kuna njama ya kumuangamiza..
Usalama kwa kiongozi mkuu unapaswa kuwa sawa mahali popote pale
 
Back
Top Bottom