Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Siku hizi una akili sana wewe 😁😁😁Kuwa Rais sio kuvuka hadhi ya ubinadamu.
Yule ni mtu kama wewe tu.
Hivyo kukaa na watu kama yeye sio makosa.
Acha kutukuza watu.
Mpe utukufu Mungu tu.
Ila enzi za mzilankende anazunguka na wanajeshi na silaha zabkivita ardhini na angani ulikuwa ume mute tu