UPDATE: Padri afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kulawiti watoto 10 Moshi

UPDATE: Padri afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kulawiti watoto 10 Moshi

amesomeshwa mashataka hayo leo Jumatatu, Septemba 26, 2022 kwa nyakati tofauti akianza na Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi kisha Mahakama ya Wilaya ya Moshi.
Msaada kutambua tofauti kati ya mahakama hizo mbili
 
Hafananii. Kabisa ila kwa. Uchunguzi wangu simpo jamaa alikuwa anawala kweli
FB_IMG_16641944638782997.jpg
 
Mshtakiwa ameachiwa kwa dhamana baada ya kutimiza masharti ya kuwa na wadhamini wawili wa kuweka bondi ya Sh2 milioni. Kesi hiyo imehairishwa hadi Oktoba 18, 2022 ambapo kesi itakuja kwaajili ya kusomewa maelezo ya awali
==============================
Ili wakamalizane nje ya mahakama
 
Hafananii. Kabisa ila kwa. Uchunguzi wangu simpo jamaa alikuwa anawala kweliView attachment 2368764
Mbona anaonekana mpole...

Huyu angeomba huduma Kwa sister hasingenyimwa....

Mtu mpaka kulawiti watoto wa kiume ina maana ni Shoga...

Na kanisani wanajificha mashoga wengi sana.


Nb..Mimi ni mkatoliki pure tena nimesoma seminary...Jimbo la Moshi mnazembea katika malezi ya waseminari na mapadre...
Mnajivunia mapadre wengi ( tunawapongeza Kwa hilo) lakin hamuwapiki vzr waseminari wenu mpaka wawe mapadre... jifunzeni Jimbo la Bukoba ( wanasheria ngumu na wanafatilia kweli kweli ili mtu aruhusiwe kuwa padre) Wana seminary moja ya Rubya lakin ni very displined seminary yenye mapadre wachunguzi wengi..

Moshi kuna seminary nyingi na nyingi za mashirika so kucontrol wanaoingia seminary na kuwa mapadre inakuwa ngumu...
 
Mbona anaonekana mpole...

Huyu angeomba huduma Kwa sister hasingenyimwa....

Mtu mpaka kulawiti watoto wa kiume ina maana ni Shoga...

Na kanisani wanajificha mashoga wengi sana.


Nb..Mimi ni mkatoliki pure tena nimesoma seminary...Jimbo la Moshi mnazembea katika malezi ya waseminari na mapadre...
Mnajivunia mapadre wengi ( tunawapongeza Kwa hilo) lakin hamuwapiki vzr waseminari wenu mpaka wawe mapadre... jifunzeni Jimbo la Bukoba ( wanasheria ngumu na wanafatilia kweli kweli ili mtu aruhusiwe kuwa padre) Wana seminary moja ya Rubya lakin ni very displined seminary yenye mapadre wachunguzi wengi..

Moshi kuna seminary nyingi na nyingi za mashirika so kucontrol wanaoingia seminary na kuwa mapadre inakuwa ngumu...
Jimbo la Karagwe wapo vizuri sana kwenye hili
 
Jimbo la Karagwe wapo vizuri sana kwenye hili
Yes kabisa...kuna majimbo yako serious kwenye kupika mapadre...hutakaa usikie habari kama hizi katika majimbo yenye Sheria kali kama Bukoba, kayanga, bunda NK NK .


Jimbo la Moshi wanalipua mno kwenye kuandaa mapadre.....wanaona bora kuwa na mapadre wengi Kwa majina lakin kimsimgi sio mapadre halisi...

Ni bora muwe na mapadre wachache lakin wale wenye wito..sio kuficha mashoga na watafuta pesa ndani ya upadre....
Kusema ukweli na viongozi wa Jimbo la Moshi wawe serious kwenye hili...
 
Yes kabisa...kuna majimbo yako serious kwenye kupika mapadre...hutakaa usikie habari kama hizi katika majimbo yenye Sheria kali kama Bukoba, kayanga, bunda NK NK .


Jimbo la Moshi wanalipua mno kwenye kuandaa mapadre.....wanaona bora kuwa na mapadre wengi Kwa majina lakin kimsimgi sio mapadre halisi...

Ni bora muwe na mapadre wachache lakin wale wenye wito..sio kuficha mashoga na watafuta pesa ndani ya upadre....
Kusema ukweli na viongozi wa Jimbo la Moshi wawe serious kwenye hili...
Yah kayanga ndio karagwe kkkt wanaita karagwe wale jamaa wako strictly sana hata ktk utoaji wao wa sakramenti
 
amini msiamini..
wenye hizi tabia za kulawiti watoto lazma waliwahi kufanyiwa vitendo hivyo utotoni kwao.
hata wanaume wanaopenda kula matako chunguzeni sana utakuta aliwahi kuguswa.
wanasaikolojia wenzangu wataelewa zaidi.
kama hujawahi kufanyiwa mambo hayo kamwe huwezi kumfanyia mtoto wa mtu
 
Hawa watu waruhusiwe kuoa tu, huwezi kushindana na nature.

Cha kushangaza mbona mashangingi yamejaa tele? Kuna siri kati ya makasisi na vitoto vidogo?
Possibly no option ambayo wanaamini haiko likely kuback fire,mtoto akitishiwatishiwa ni rahisi kukaa kimya
 
Kwa nini hawa watu hawaoi sasa , sasa genye wanazitoaje , mwisho Wa Siku ndio wanaanza Fanya huu upuuzi
Kwani wanaofanya hivyo vitendo ni wale wasio oa pekee? Mimi nadhani hili ni tatizo katika jamii yetu kwa sasa.

Hivyo adhabu kali, na pia elimu ya kutosha inatakiwa kutolewa kwa makundi yote ili kuondokana na hivi vitendo vibaya dhidi ya watoto wetu katika jamii.
 

Ukiwaona wanavyosimama kutuhubiria tuache dhambi unaweza kudhani muda mchache uliopita wametoka kunywa chai na Mungu.

Na wanaenda mbele zaidi kutoa hukumu kwa wafu kwa kutowazika kwasababu hawashiriki ibada au wamezaa bila ndoa.

Mungu atuhurumie, kama tungeweza kuona kila jambo linalofanywa sirini sidhani kama tungekuwa na watu wa kutuhubiria.
 

Ukiwaona wanavyosimama kutuhubiria tuache dhambi unaweza kudhani muda mchache uliopita wametoka kunywa chai na Mungu.

Na wanaenda mbele zaidi kutoa hukumu kwa wafu kwa kutowazika kwasababu hawashiriki ibada au wamezaa bila ndoa.

Mungu atuhurumie, kama tungeweza kuona kila jambo linalofanywa sirini sidhani kama tungekuwa na watu wa kutuhubiria.
Kwa hiyo ikatokea katika familia yenu kuna mwenzenu amekamatwa kwa kosa kama hilo, basi jamii inatakiwa kuwachukulia nyinyi wote ni waovu siyo!!

Acha ku generalize vitu bhana. Mtu anapofanya makosa ya aina yoyote ile, ahukumiwe kwa makosa yake. Na siyo kuwahukumu hata wale wasio husika.
 
Back
Top Bottom