The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.Nilisikika huko Ndotoni nikiunguruma Kama Simba katika Ulimwengu wa kiroho baada ya kujikuta Niko China nikapewa pombe yenye kimzizi ndani ya chupa Akili ikafa ganzi nikaanzaa kuropoka
Nakumbuka Tarehe 13/03/2022 Makamu wa Rais wa Tanzania Mheshimiwa Dkt Philip Isdor Nzabayanga Mpango Katika Mafunzo kwa Wakuu wa Wilaya huko Dodoma Alisema. Mjenge tabia ya kujiongezea maarifa kwa namna mbalimbali ikiwemo Matumizi ya Mitandao.
Internet Kuna maarifa huko Someni Vitabu Someni taarifa mbalimbali Mwisho wa kunukuu. Nakumbuka Tarehe 14/08/2023 Mchungaji Mwl Aliko wa Dorcas Mwalulili Wa huduma ya Uhuru wa Kristo kwa Mataifa yote wa huko Dodoma Akitoa mahubiri alisema
Ukiona unaota ndoto unaona , maana yake Mungu amekupa neema ya kujuwa. Unapoamka mshukuru Mungu
Ahsante (Mungu ) kwa kunipa kuota hii ndoto. Kwa sababu nimejuwa hila za adui. Mwisho wa kunukuu.
Mheshimiwa Jenerali Ulimwengu Ex Mbunge Katika hafla ya kumuenzi Hayati Seif Sharif Hamad
Nakumbuka Tarehe 27/112023 alisema (Kuna Mwanafalsafa aliwahi kusema)
Maneno wakati Mwingine lazima yawe kidogo Yana (Maudhi) Yaudhi kidogo Kwa sababu haya maneno wakati Mwingine inabidi yawe ni silaha za kuwafanya wasio fikiri, Wafikiri kidogo. Mwisho wa kunukuu.
Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 12(1)(2) , ibara 13(1)(4)(5) ibara 3(1) uk 13 paragraph ya Kwanza ikisomwa kwa Pamoja na ibara 09 a b f na h kwa msisitizo. Katiba ya CCM 1977 toleo 2022 ibara5(8)(9)(11)(16) Ilani ya CCM uk 01 ibara 04 na uk 161-168 ikisomwa kwa Pamoja na ibara 10 na 11 kwa msisitizo.
Watanzania tulio wengi hasa Viongozi baadhi Tumetokea familia Duni ambazo zilikosa lishe. Madhara ya kukosa lishe yametupelekea kuwa na Mijitu baadhi ya hovyo kabisa ndani ya nchi yetu. Jitu limesoma Lina Elimu ya Chuo. Ila hata ujaribu kulielimisha Halielewi kabisa. Ukichunguza unagundua lilikosa lishe utotoni.
Chama Cha Mapinduzi kimeliona Tatizo hili Ndiyo maana chama kikaingia mkataba na Wananchi ili kipewe jukumu la kusumamia lishe ili Jamii iweze kuwa na watu wenye Tija ndani ya Taifa. Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Tanzania. Dkt Philip Isdor Nzabayanga Mpango Katika Mafunzo kwa Wakuu wa Wilaya huko Dodoma
Nakumbuka Tarehe 13/03/2022 Alisema (Watumishi wa Umma) mkumbuke kurejea (na kuvifanyia kazi) Ahadi zilizomo katika ilani ya Chama Tawala CCM. Mwisho wa kunukuu.
Tusome ilani ya CCM 2020 uk 298 ibara 251 Kisha tusome uk 04-05 ibara 07 ili kupata uhalali wa kwenda kusoma ilani ya CCM 2015 uk (i) ibara 01 ikisomwa kwa Pamoja na ibara 177 uk 230 ndipo tutoke turudi kwenye ilani ya CCM 2020 uk 139 ibara 85, uk 142 ibara 89 zote zikisomwa kwa Pamoja na uk 08 ibara 10 na 11.
Lishe Bora ni muhimu katika kuhakikisha Taifa linakuwa na Jamii yenye nguvu kazi imara na uwezo mkubwa wa kuelewa na kukabiliana na Mazingira yake. Shekhe Muharam Rashid Mziwanda. Akitoa Mawaidha Tarehe 20/11/2023 Alisema Watu wengine inawezekana mnapata nao taabu saana (kuwaelimisha) Mnahisi (labda) hawajasoma (Au mtu Mwingine) Hana adabu Hana Nini ...(lishe) Kumbe Hali Matunda. Mwisho wa kunukuu
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Katika Mkutano wa Mwaka wa Tathmini ya 06 ya Mkataba wa lishe September 30 , 2022 Alisema (Hii Hali ya Kutokuzingatia lishe) maanake Nini !?
Maanake hatujielewi, Si Ndiyo !?
Wala hatujuwi thamani ya vitu ambavyo Mungu ametuumba navyo. Mwisho wa kunukuu
Tuzingatie lishe ili itutoe kwenye janga la kuwa na watu ambao wamedumaa akili na kupelekea kufanya Mambo ya hovyo hadharani bila kujali kuwa anayoyafanya Yana mdhalilisha mbele ya Jamii. Mfano
Tumeshuhudia Diwani katika Ulimwengu wa kiroho asiyekuwa na Elimu Mwenye changamoto ya Udumavu wa akili wa kata ya Nkiwanzeeezaa akijihusisha na Mambo ya hovyo kiasi kwamba unaweza kudhani hakuapishwa kuilinda kuihifadhi na kuitetea katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005.
Kisha huko huko katika Ulimwengu wa kiroho tukaliona lisomi lenye historia ya kujihusisha na Mapenzi ya jinsia moja likiwa ndilo limama , lipenda vyeo. Na jitu la kukisusa Chama likisimama kumtetea Diwani huko Nkiwanzeeezaa ambaye ananuka kiasi kwamba Diwani Huyo anaogopa hata kuitisha Mkutano wa hadhara kwa hofu ya kuzomewa au kupigwa mawe kabisa.
Udumavu wa akili unaaibisha Unaweza liona lijitu limevaa suti Limeweka poozi Ukiliuliza kitu linaonekana Kama Lina dharau, Au Lina jeuri Au unaweza kujuwa halitaki kuongea na wewe kumbe limekosa lishe
Unalielimisha halielewi. Hata Kama limeapa utaona jitu lenye Udumavu wa afya ya akili linafanya Mambo hadharani yaliyo Kinyume kabisa na viapo lilivyo viapa.
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Katika Mkutano wa Mwaka wa Tathmini ya 06 ya Mkataba wa lishe September 30, 2022. Alisema Ndiyo Yale aliyoyasema nadhani Waziri Ummy, Tunagombana huko TAMISEMI
Huko Chini Hata huku juu Serikalini. Unamueleza mtu kitu (chenye manufaa kwa Taifa) Mara nne
Mara tano Hata hakimuingii Unauliza , Dharau? Jeuri!? (Au)hutaki?
Kumbe Masikini hujuwi historia yake (huko siku za nyuma). Historia yake imefichwa na suti na Tai aliyoivaa.
Inawezekana kabisa. Maanake unasema (Kisha unajisemesha wewe mwenyewe) Ahaa, Mbona Mi naona hapa Kuna tatizo!? Naona (Matatizo) moja, mbili, tatu. Hivi inakuwaje!? Huyu niliyemuamini hapa (hivi kweli yeye haoni?) Haoni!? Haiwezekani. Kumbe Kuna hayo (ya kukosa lishe na uelewa mdogo) Tuna watu lakini sio Raslimali watu.
Maandiko ni mengi, Ni mazuri Lakini hatufanyi vile tunavyo andika na kufanya. Mwisho wa kunukuu
Yaliyotokea yametokea. Bado tunayo nafasi ya kuangalia wale wote wanao semeka vibaya ndani ya Jamii tuwatoe. Tuondoe Muhali wa kubebana kwa historia za Koo fulani.
Pili tujikite Sasa katika kuwapatia lishe Bora wanetu ili kulipunguzia Taifa mzigo wa kuwa na watu wengi Walio na Udumavu kiakili wenye kuapa viapo na Kisha kuishi Kinyume na viapo vyenyewe wakiwa wanabebana na kupendeleana mchana kweupe huku Chuki binafsi zao wakizielekeza kwa Watumishi wa Umma na Mafukara kuwahukumu kisheria na kuwalinda watu wenye vinasaba nao Kama vile Diwani wa Nkiwanzeeezaa Mwenye tabia chafu aliyechokwa na raia wote huku alitumia jitu somi kumtetea na somi lenyewe la huko Nkiwanzeeezaa katiba Ulimwengu wa kiroho likiwa na kashfa za kujihusisha na Mapenzi ya jinsia moja na lenyewe likiwa limama kwenye mahusiano hayo Kama tunavyoona katika Ulimwengu wa kiroho.
Sisi tulio katika Ulimwengu wa kiroho tunayafyekelea kule majitu Kama haya yaliyokosa lishe na kuanza kuwadhuru Mafukara. Mchungaji Jonas Singo Wa Mahubiri TV Anasema katika Mahubiri yake Tunazungumza katika Ulimwengu wa kiroho Na katika Vita ya kiroho ni Vita isiyoonekana. Ni Ulimwengu usio shikika ingawaje matkeo yake yanaweza yakashikika. Yanaweza yakaonekana. Mwisho wa kunukuu
Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 19 (1)(2) ibara 18(a) na ibara 8(d) kwa mazingatio ya ibara 9 a,b,f,h. Tupambane na Udumavu wa afya ya akili. Tukishikamana tunaweza.
Tuanze na wanetu Sasa ili wasidumae akili wakaja nao kuwa wanaapa na Kisha kuishi Kinyume na Matakwa ya viapo. Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Katika Uzinduzi wa Report ya utafiti wa afya ya uzazi na Mtoto na viashiria vya Malaria Tanzania ya Mwaka 2022 Mheshimiwa Rais alisema Suala la Udumavu lichukuliwe kwa uzito mkubwa.
Hili ni suala la Ustawi wa Jamii Na ni suala la Usalama wa nchi. Miongoni mwa athari za muda mrefu za Udumavu ni kupunguza uwezo wa watoto kujifunza. Kuongeza hatari za kupata changamoto za kiafya ukubwani na hivyo kuathiri nguvu kazi ya Taifa letu. Ndiyo maana ninasisitiza umakini kwenye lishe ya Watoto.
(Tusipopambana na Udumavu) tutakuja kukuta Taifa hapa robo, thelusi nzima ya watu hawaeleweki eleweki
Udumavu unazuilika.
Mwisho wa kunukuu
Nikashtuka kutoka katika Ulimwengu wa kiroho huko Ndotoni nifoka foka watoeni Viongozi wenye viashiria vya Udumavu wa afya ya akili na wenye viashiria vya kujihusisha na mapenzi ya jisia moja.
Wanaliletea Taifa letu laana.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Mathias Mugerwa Kahinga
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🔨🔨💪🏿💪🏿💪🏿
Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.