UPDATES: Elimu kwa umma ambayo ni jambo la msingi na endelevu
Huo ni ulimwengu wa kufikirika si halisi na haupo kabisa ni maluwe luwe tu
 
WATU WAMEKUWA WABINAFSI

WANAJIPENDA WAO TU .

WENGINE HATUSAIDIWI HATA KAMA TUNA MAWAZO YA KUIIMARISHA CCM.
TUNAPONZWA NA UKWELI WETU.

Nakumbuka Tarehe 08/07/2023
Apostle Deonis Mutalemwa Bushiri
Wa ECG Church Makongo Juu
Alisema ,
Mungu amenituma siku ya leo , (akasema)
Nenda uwaambie watu kwamba kujali kwao (watu wengine) hakujanigusa
(Wasaidiaji hao)wanawajali (wengine) kwa vitu (Baadhi tu) vilivyowazidia.
Wanawatunza watu kwa ziada .
Wanatoa vitu vya ziada (Tena kwa mbinde)
Wanatoa vitu vya ziada vilivyozidi.
(Kisha) wanasifiwa (Kama vile) wanapenda watu.
Wanasaidia Yatima (Kama kuji show show) lakini ni ziada.
Hawajatoa Zaidi ya walivyo navyo, hakuna .
Hawajanifikia (Mimi Mungu wao) kiwango (ninachokitaka wakitoe).
Ukifika level ya kuweza kufanya kitu ambacho kinakunufaisha wewe na ukakitoa kwa mwingine ukabaki huna na Wala hujuwi utapata wapi Tena pesa nyingine ya kufanya hicho kitu (ujuwe kabisa wewe) VIP Mbinguni ni sehemu yako.
Hapa ndipo tunawaambiaga watu (ya kuwa) Mungu anaangalia Mioyo halafu watu hawaelewi
Haya ndiyo Mungu anaangaliaga ambayo mengi hayaonekani
Na (Mwenyezi) Mungu anatufahamu vizuri saana
Unalia unawaambia watu kwamba Mimi namtumikia Mungu saana"
"Mungu anibariki"
(Bila ya wewe kusema) Mungu anakujuwa(wewe) saana."
Usimdanganye (Mungu) anakujuwa.
Utatudanganya tu Sisi hapa.
(Mungu) anakufahamu saana (wewe) moyo wako ulivyo mbovu"
"Na Ulivyo selfish "

Mwisho kabisa wa kunukuu.
Baada ya kumsikiliza Mtumishi wa Mungu nikaanza kuangalia wanaccm wenzangu hasa wale Makauzu kuliko Dagaa ambao huthubutu hata kutoka hadharani na kujiita Wazalendo huku wakiwa hawana hata Chembe ya uzalendo.
Tumesaka wote Dola na tukaipata .
Ilani tuliyoinadi inasisitiza ubunifu
Mtu unabuni miradi Mwanaccm husaidiwi lolote.
Unaomba kuonana na Viongozi wa Kitaifa hakuna anayekusikiliza.
Ukiwa Muadilifu na Maaminifu unakumbana na Mitihani ya watu Waovu unajikuta uko peke yako Kisha watu wanajinadi kulisaidia Bara la Africa huku Ubinafsi na Roho chafu za choyo na hasada zikiwa zimewakumbatia na wanazipenda na kuziishi.
Kisha watu hujifanya wanakuwa Kama wako karibu na watumishi wa Mwenyezi Mungu ili kuiimarisha hadaa Yao ya kujionyesha wema Kama kuwaaminisha Maskini.
Mfano tu utamkuta Mtumishi wa kiongozi mfano
Driver
Katibu Mahsusi
House boy/girl whatever
Utakuta Hawa wanamsaidia kiongozi Fulani
Na kiongozi huyo ana uwezo kifedha ila Mbinafsi mpaka Kuzimu kumemkataa
Ana roho mbaya mpaka yeye mwenyewe anajiona kabisaa kuwa anayo roho kichefu chefu
Kisha anasimama hadharani kuhubiri ukombozi wa Africa 😳😳😳😳
Hao waliokuzunguka umewakomboaje na familia zao!?
Misingi ya chama chetu inamtaka Kiongozi kuumiza kichwa kuwainua wengine lakini hili limekuwa mwiba kwa Viongozi wabinafsi .
Wakimuona mtu ana Maono badala ya kumsaidia ili aje ainike awasaidie wengine , watu humtengenezea zengwe ili wammalize ili wao waovu waendelee kula jasho la Maskini Kama walivyo jihalalishia kuishi kwa kukufuru.
Hawataki hata kuongelea Misingi ya chama Wala kuwafungulia fursa wanao lia na wenye kiu ya kukiinua chama .
Wakila wao wanatosheka kana kwamba wamekula kwa niaba ya kundi kubwa lililojaa Umaskini unaonuka.
Shekhe Muharram Rashid Mziwanda
Akitoa Mawaidha Tarehe 14/07/2023
Alisema
Ukinyimwa Misingi ya kufikia katika Lile unalokusudia kwenye unachokifanya,
Kama umenyimwa Misingi tafsiri yake pia utanyimwa kufika kwenye lengo.
Lakini ndivyo ilivyo hata Ukiwa ni Mwanasiasa Kuna Misingi ya kisiasa .
Kama hukuipata hiyo huwezi kufikia katika lengo unalolitaka .
Ili ufike kwenye lengo lazima uipate Misingi.

Mwisho wa kunukuu

Ni lazima ccm kuwa na Maono makubwa .
Kwanza ya kuuondoa Umaskini Miongoni wanaccm wenyewe ndipo tulete maana halisi kwa waliotuamini .
Ninayo Maono Makubwa ya Ukweli ya kuondoa Umaskini Miongoni mwa wanaccm
Ninayaamini Maono yangu .
Naomba nikutanishwe na Viongozi Wakuu kabisa Wa Kitaifa niwaonyeshe Fedha zilipo za kufanyia mageuzi haya .
Kwa Nini Jambo jema Kama hili la kuyaanika Maono niliyo nayo Watu wanalifumbia macho.

Ubinafsi

Uchafu uliojaa ndani ya Mioyo unapelekea kuua Maono niliyoyabeba takribani Sasa Miaka 18 ya kuibadilisha CCM ngazi za huku chini.
Pastor Sunbella Kyando
Wa The Reality of Christ Church
Tarehe 25/06/2023
Alisema
Maono ya usiku ni Nini !?
Hii ni vision, sauti ya picha inayomtokea mtu akiwa nusu kalala , nusu kaamka.
Mwisho wa kunukuu
Tusiogope kufikiri Ilani ilishatukataza kuishi kwa Mazoea uk 01 ibara 04
Tuzalishe Mawazo mapya tuache Ubinafsi tuwainue wenye lengo la kuwainua wengine.
Tuziamini fikra zetu ya kwamba kumkombowa Mwanaccm huku chini inawezekana na sio kukaa kimya Kama hatuoni udhalili wa wanaccm wenzetu.
Tusiogope kulaumiwa kwa Mawazo mapya ili tuwainuwe wenzetu.
Professor Albert Einstein
Aliwahi kusema

The only sure way to avoid making mistakes is to have no new ideas.

Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka Tarehe 14/07/2023
Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan
Rais wa Tanzania
Na Mwenyekiti wa CCM Taifa
Alisema,
Na Mimi niwaombe msione uoga kwenda kufikiri .
Wala kuja na Mapendekezo ambayo ninyi mnaona yanaweza yakaiendesha Tanzania vizuri.

Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 12(1)(2), ibara 13(1)(4)(5)
Tusome ibara 34(4) na 35(1) tukipenda pia ibara 29.
Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 09 -10 ibara 14(5).
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Niliwahi kuona Kijana Mlemavu aliomba kuonana na wewe na ukamkubalia.
Mheshimiwa Rais
Kwa Mapenzi niliyo nayo ndani ya CCM
Na kwa Maono Makubwa niliyo yabeba ya kuibadilisha CCM Mionekano yake huku ngazi za chini
Mheshimiwa Rais naomba ikikupendeza nikuone Mheshimiwa Rais
Lengo sio kuomba Fedha
Lengo ni kukuonyesha Fedha zilipo ili zisaidie kukiiimarisha Chama Cha Mapanduzi na Hali za Wanaccm kiujumla kiuchumi.

Naamini

Wanaccm tukiwainua kiuchumi watapata sauti na kuondoa uoga wa kuwasujudia wapanga safu waliozimeza sauti zao kwa vihela vya misimu nyakati za uchaguzi.

Ahsante Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Kama nitapata nafasi ya kukuona Mheshimiwa.



Kidumu Chama Cha Mapanduzi



Mathias Mugerwa Kahinga

🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
WATU WAMEKUWA WABINAFSI

WANAJIPENDA WAO TU .

WENGINE HATUSAIDIWI HATA KAMA TUNA MAWAZO YA KUIIMARISHA CCM.
TUNAPONZWA NA UKWELI WETU.

Nakumbuka Tarehe 08/07/2023
Apostle Deonis Mutalemwa Bushiri
Wa ECG Church Makongo Juu
Alisema ,
Mungu amenituma siku ya leo , (akasema)
Nenda uwaambie watu kwamba kujali kwao (watu wengine) hakujanigusa
(Wasaidiaji hao)wanawajali (wengine) kwa vitu (Baadhi tu) vilivyowazidia.
Wanawatunza watu kwa ziada .
Wanatoa vitu vya ziada (Tena kwa mbinde)
Wanatoa vitu vya ziada vilivyozidi.
(Kisha) wanasifiwa (Kama vile) wanapenda watu.
Wanasaidia Yatima (Kama kuji show show) lakini ni ziada.
Hawajatoa Zaidi ya walivyo navyo, hakuna .
Hawajanifikia (Mimi Mungu wao) kiwango (ninachokitaka wakitoe).
Ukifika level ya kuweza kufanya kitu ambacho kinakunufaisha wewe na ukakitoa kwa mwingine ukabaki huna na Wala hujuwi utapata wapi Tena pesa nyingine ya kufanya hicho kitu (ujuwe kabisa wewe) VIP Mbinguni ni sehemu yako.
Hapa ndipo tunawaambiaga watu (ya kuwa) Mungu anaangalia Mioyo halafu watu hawaelewi
Haya ndiyo Mungu anaangaliaga ambayo mengi hayaonekani
Na (Mwenyezi) Mungu anatufahamu vizuri saana
Unalia unawaambia watu kwamba Mimi namtumikia Mungu saana"
"Mungu anibariki"
(Bila ya wewe kusema) Mungu anakujuwa(wewe) saana."
Usimdanganye (Mungu) anakujuwa.
Utatudanganya tu Sisi hapa.
(Mungu) anakufahamu saana (wewe) moyo wako ulivyo mbovu"
"Na Ulivyo selfish "

Mwisho kabisa wa kunukuu.
Baada ya kumsikiliza Mtumishi wa Mungu nikaanza kuangalia wanaccm wenzangu hasa wale Makauzu kuliko Dagaa ambao huthubutu hata kutoka hadharani na kujiita Wazalendo huku wakiwa hawana hata Chembe ya uzalendo.
Tumesaka wote Dola na tukaipata .
Ilani tuliyoinadi inasisitiza ubunifu
Mtu unabuni miradi Mwanaccm husaidiwi lolote.
Unaomba kuonana na Viongozi wa Kitaifa hakuna anayekusikiliza.
Ukiwa Muadilifu na Maaminifu unakumbana na Mitihani ya watu Waovu unajikuta uko peke yako Kisha watu wanajinadi kulisaidia Bara la Africa huku Ubinafsi na Roho chafu za choyo na hasada zikiwa zimewakumbatia na wanazipenda na kuziishi.
Kisha watu hujifanya wanakuwa Kama wako karibu na watumishi wa Mwenyezi Mungu ili kuiimarisha hadaa Yao ya kujionyesha wema Kama kuwaaminisha Maskini.
Mfano tu utamkuta Mtumishi wa kiongozi mfano
Driver
Katibu Mahsusi
House boy/girl whatever
Utakuta Hawa wanamsaidia kiongozi Fulani
Na kiongozi huyo ana uwezo kifedha ila Mbinafsi mpaka Kuzimu kumemkataa
Ana roho mbaya mpaka yeye mwenyewe anajiona kabisaa kuwa anayo roho kichefu chefu
Kisha anasimama hadharani kuhubiri ukombozi wa Africa 😳😳😳😳
Hao waliokuzunguka umewakomboaje na familia zao!?
Misingi ya chama chetu inamtaka Kiongozi kuumiza kichwa kuwainua wengine lakini hili limekuwa mwiba kwa Viongozi wabinafsi .
Wakimuona mtu ana Maono badala ya kumsaidia ili aje ainike awasaidie wengine , watu humtengenezea zengwe ili wammalize ili wao waovu waendelee kula jasho la Maskini Kama walivyo jihalalishia kuishi kwa kukufuru.
Hawataki hata kuongelea Misingi ya chama Wala kuwafungulia fursa wanao lia na wenye kiu ya kukiinua chama .
Wakila wao wanatosheka kana kwamba wamekula kwa niaba ya kundi kubwa lililojaa Umaskini unaonuka.
Shekhe Muharram Rashid Mziwanda
Akitoa Mawaidha Tarehe 14/07/2023
Alisema
Ukinyimwa Misingi ya kufikia katika Lile unalokusudia kwenye unachokifanya,
Kama umenyimwa Misingi tafsiri yake pia utanyimwa kufika kwenye lengo.
Lakini ndivyo ilivyo hata Ukiwa ni Mwanasiasa Kuna Misingi ya kisiasa .
Kama hukuipata hiyo huwezi kufikia katika lengo unalolitaka .
Ili ufike kwenye lengo lazima uipate Misingi.

Mwisho wa kunukuu

Ni lazima ccm kuwa na Maono makubwa .
Kwanza ya kuuondoa Umaskini Miongoni wanaccm wenyewe ndipo tulete maana halisi kwa waliotuamini .
Ninayo Maono Makubwa ya Ukweli ya kuondoa Umaskini Miongoni mwa wanaccm
Ninayaamini Maono yangu .
Naomba nikutanishwe na Viongozi Wakuu kabisa Wa Kitaifa niwaonyeshe Fedha zilipo za kufanyia mageuzi haya .
Kwa Nini Jambo jema Kama hili la kuyaanika Maono niliyo nayo Watu wanalifumbia macho.

Ubinafsi

Uchafu uliojaa ndani ya Mioyo unapelekea kuua Maono niliyoyabeba takribani Sasa Miaka 18 ya kuibadilisha CCM ngazi za huku chini.
Pastor Sunbella Kyando
Wa The Reality of Christ Church
Tarehe 25/06/2023
Alisema
Maono ya usiku ni Nini !?
Hii ni vision, sauti ya picha inayomtokea mtu akiwa nusu kalala , nusu kaamka.
Mwisho wa kunukuu
Tusiogope kufikiri Ilani ilishatukataza kuishi kwa Mazoea uk 01 ibara 04
Tuzalishe Mawazo mapya tuache Ubinafsi tuwainue wenye lengo la kuwainua wengine.
Tuziamini fikra zetu ya kwamba kumkombowa Mwanaccm huku chini inawezekana na sio kukaa kimya Kama hatuoni udhalili wa wanaccm wenzetu.
Tusiogope kulaumiwa kwa Mawazo mapya ili tuwainuwe wenzetu.
Professor Albert Einstein
Aliwahi kusema

The only sure way to avoid making mistakes is to have no new ideas.

Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka Tarehe 14/07/2023
Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan
Rais wa Tanzania
Na Mwenyekiti wa CCM Taifa
Alisema,
Na Mimi niwaombe msione uoga kwenda kufikiri .
Wala kuja na Mapendekezo ambayo ninyi mnaona yanaweza yakaiendesha Tanzania vizuri.

Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 12(1)(2), ibara 13(1)(4)(5)
Tusome ibara 34(4) na 35(1) tukipenda pia ibara 29.
Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 09 -10 ibara 14(5).
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Niliwahi kuona Kijana Mlemavu aliomba kuonana na wewe na ukamkubalia.
Mheshimiwa Rais
Kwa Mapenzi niliyo nayo ndani ya CCM
Na kwa Maono Makubwa niliyo yabeba ya kuibadilisha CCM Mionekano yake huku ngazi za chini
Mheshimiwa Rais naomba ikikupendeza nikuone Mheshimiwa Rais
Lengo sio kuomba Fedha
Lengo ni kukuonyesha Fedha zilipo ili zisaidie kukiiimarisha Chama Cha Mapanduzi na Hali za Wanaccm kiujumla kiuchumi.

Naamini

Wanaccm tukiwainua kiuchumi watapata sauti na kuondoa uoga wa kuwasujudia wapanga safu waliozimeza sauti zao kwa vihela vya misimu nyakati za uchaguzi.

Ahsante Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Kama nitapata nafasi ya kukuona Mheshimiwa.



Kidumu Chama Cha Mapanduzi



Mathias Mugerwa Kahinga

🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
chama cha mapinduzi kidumu milele
 
WAKATI NI HUU TUKISAFISHE CHAMA KWA KUCHUKULIANA HATUA ZA KISHERIA

Tusome Ilani ya CCM uk 303 ibara 254,255
uk 04-05 ibara 07 ili itupe Uhalali wa kwenda kusoma Kitabu cha ilani 2015 uk 296 ibara 189
uk 233 ibara 185b.
uk 230 ibara 177 bila ya kuacha kuisoma ibara 10 na 11 ya Ilani ya 2020.

Nakumbuka April 2019
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Mtetezi namba Moja wa Tanzania
Akiwa Makamu wa Rais
Katika kongamano la kumuenzi Hayati Abeid Aman karume
Alisema,

Si Sisi tunaodhulmu Mali za watu.

Kwa sababu tu umepata Kicheo , umekuwa Sheha, umekuwa Diwani,
Umekuwa mbunge, umekuwa Mwakilishi, umekuwa Nani
Unasimama
Unasimama kudhulmu haki ya Mwananchi mwingine
Mzee wetu hakutufundisha hayo ,
Alitufunfisha unapata cheo , tumikia watu.
Wewe ni Mtumishi wa Watu
Simamia haki zao
Ndivyo alivyo tufundisha.

Mwisho wa kunukuu
Tusome Standing order for the Public service 2009
Pursuant to s. 35ndogo 5 of the republic services act cap 298 uk 16 kifungu cha 6.9
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 uk 19 ibara 10
Sheria ya Mwaka 1984 namba 15 ibara 06.
Pia uk 26 Kifungu C.1kidogo 3.
Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 152 kifungu cha 14 ili tupate Uhalali wa kwenda kusoma Kitabu cha Tume ya Uthibiti na Nidhamu ya Halmashauri kuu ya Taifa uk 4-5 kifungu cha 7 b.
Maandiko yanasema,

Mtu anapoingia kazi ya Uaskari na kupasishwa kuwa anafaa kwa kazi hiyo , havui magwanda mara baada ya hapo na kutenda apendavyo nje ya Taratibu za Uaskari
Kinyume Chake hutakiwa afanye Mazoezi zaidi na kuwa tayari zaidi kutimiza Wajibu wake maana Sasa amehitimu .
Kuingia katika CCM Kuna Taratibu zake.
Na kuendelea kuwa Mwanachama wa CCM nako Kuna Masharti
yake.

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Kitabu cha Mwongozo wa CCM 1981uk 26-27 kifungu cha 37 kifungu kidogo Cha 2.
Maandiko yanasema,
Wanaccm ndiyo Askari wa Mstari wa mbele wa Mapambano ya kujenga Ujamaa .

Mwisho wa kunukuu

Wanaccm wenzangu haiwezekani Sisi ni Askari tumesoma katiba Kanuni Miongozo na Taratibu Kisha tukae kimya huku tukiona Chama Cha Mapinduzi kikihujumiwa hovyo tu.
Tutakuwa tumepoteza sifa za kuendelea kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi.

Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 151 vifungu 1, 3, 6 na 8.

Tusome Kitabu cha The Political Parties act chapter 258 uk 11 kifungu cha 6A1,2, na 5.
Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 26 na 9a,b bila kuacha ibara 18a.
Ilani ya CCM 2020 ibara 110c.
Azimio la Arusha uk 01 kifungu d.
Katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 2-3 ibara 5 kifungu kidogo Cha 8.
Ilani ya CCM 2020 uk 161-168. bila kuacha kurudi uk 01 ibara 04.
Tusome Kitabu cha Sera ya CCM ya kujitegemea Kimapato na Kiuchumi uk 03 kifungu cha 6.
Kitabu cha Awamu ya Tatu ya Mradi wa kukiimarisha Chama uk 07.
Kitabu cha Binaadamu na Maendeleo uk 17-21 Kilichoandikwa na Mwl Julius Kambarage Nyerere.

Tukisoma Kitabu cha The Magic of Thinking Big uk 41.
Professor David J. Schwartz Ph.D

Anaandika,

Fear is success enemy number one .
Fear stops people from capitalizing on opportunity.
Fear wears down physical vitality.
Fear actually makes people sick .
Causes organic difficulties, Shotens life,
Fear closes your Mouth when you want to speak .

Mwisho wa kunukuu


Mfumo wa nchi yetu

Chama ndicho huisimamia Serikali.
Tunapokuwa na nia njema ya kuisimamia Serikali ili iwe na Uaminifu na Uadilifu
Ni lazima Sasa Chama tuchukuwe hatua za maksudi kujisafisha pale tunapohisi tumeteleza.

Tusome Mwongozo wa CCM 1981 uk 45-46
Tukisoma Tena uk 26 Maandiko yanasema,
Kukiri upungufu si kitendo Cha kujidhoofisha Bali ni kitendo Cha kujiamini na kujiimarisha .

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Kitabu cha Ujamaa Essay on Socialism uk 80-81
Mwl Julius Kambarage Nyerere
Anaandika
The Rule of law and Equality before the law are one essential means of preventing exploitation.
But they are are only practical when the society as the whole is based on the principle of Equality - When, in other words a socialist policy is being followed.

Mwisho wa kunukuu.

Tusome Kitabu cha Kujenga Ujamaa Tanzania
Miaka Kumi ya Kwanza
Matatizo Mafunzo, Matamanio uk 27-30
Ambacho Mheshimiwa Benjamini William Mkapa alishiriki Uandishi.
Lazima tukubali CCM tulikosea Mahali
Simaanishi kufukuwa makaburi.
Namaanisha kwamba tumeshajuwa ni wapi tulikosea na Sasa kazi tuliyo nayo ni kuyarekebisha makosa hayo.
Inapotokea Kuna Wanaccm wanatulazimisha kuheshimu na kuyatii makosa na kuyaishi kimazoea kinyume na Maelekezo ya ilani ,Tafsiri sahihi inakuwa ni kwamba watu hao Wana agenda ya Siri ya kuunga mkono Upinzani huku wakituonyesha sura za Tabasamu kumbe Wana ngozi za Mwanakondoo.
Inapotokea kwa mfano baadhi ya Viongozi walioko kwenye Dola
Kwa aina moja ama nyingine
Wakatumia Rushwa na Ghilibu
Na nguvu zao za Kiuchumi kuwasimika Viongozi wawatakao wenye Uelewa Mdogo na Mambo ya Chama, ambao hawatokani na ridhaa ya Wanachama kwenye Chama,
Hii dhana ya Chama kuisimamia Serikali inakuwa imekaaje.
Waasisi wa CCM walikuwa na Maono kuweka katiba Kanuni Miongozo na Taratibu kwani vitu hivi ndiyo huwa chachu ya kujenga uaminifu na Uadilifu ndani ya Jamii.
Vitendo vya watu fulani kuisigina katiba na sheria zingine kwa kujihusisha na Mambo ya Ubaguzi na upendeleo vinajenga Chuki na kustawisha roho za usaliti kwa Wanaccm walio wengi walio dharauliwa na kutokusikilizwa kwa Chochote.
Masharti ya kuwa Mwanaccm sharti mojawapo kila Mwanaccm awe ni mtu Mwenye kuheshimu watu.
Nauli Miongoni mwetu wale waliotumia nguvu ya Kiuchumi kuwaweka watu je
NI kweli waliiheshimu Matakwa ya katiba ya CCM.
Kama walikiuka ni Nani wa kuwawajibisha.
Katiba ya CCM ibara 13 na 19 imeeleza hatua za kuchukuliwa kwa wale wanaokiuka masharti ya uanachama je
Tutaleana mpaka lini.
Tunalea uozo Kisha tunatoka hadhani tunalaumu kwa wale wenye kustahili kuchukuwa Maamuzi.
Tunachukuwa Maamuzi kwa kuangalia ni Nani alitulisha Rushwa.
Sheria inapomgusa mlisha Rushwa wahusika wanajifanya Wamekuwa Samaki maji yamewajaa midomoni sauti zao hazitoki.
Mikakati inaanza ya kuandaa kumpoteza yule anaye ligalambuwa kwa vile anakuwa anaharibu ulaji haramu wa Watu.

Wito Wangu kwa Viongozi Wakuu ndani ya Tanzania.
Kwanza tusome Katiba ya CCM uk 152 kifungu cha 2 ili tupate Uhalali wa kwenda kusoma Kitabu cha Kanuni za Uchaguzi wa CCM toleo la 2017 uk vi-ix
Tukiweza turudie hata mara tatu .
Kisha tusome Tena Maharti ya kuitwa Mwanaccm kwenye Katiba ya CCM uk 6-7 ibara 8 kifungu kidogo Cha 2,4,5,6
Ibara ya 15 kifungu kidogo cha 2,4,7
Tusome ibara 13 kifungu kidogo Cha c,d,na e.
ibara 19 kifungu kidogo Cha c, d.
Turudi kwenye Kanuni ya Uchaguzi wa CCM toleo la 2017 uk 58 kifungu cha 116 c.
Tusome katiba ya CCM uk 152 kifungu cha 8 ili tupate Uhalali wa kwenda kusoma Kitabu cha Kanuni za Uongozi na Maadili toleo la 2017 uk 2 kifungu cha iv. Na kwa Msisitizo na Mazingatio bila ya kuonyesha kiburi Cha Fedha na Nyadhifa tusome uk 4 kifungu cha vii.
Tusome uk 31 - 32 kifungu cha vii na viii.
Tusome katiba ya CCM uk 152 kifungu Cha 4 ili tupate Uhalali wa kwenda kusoma Kitabu cha Kanuni za Fedha na Mali za Chama na Jumuiya zake toleo la 2018 uk 164-165 vifungu 14,2 na 14,3. uk 162 kifungu cha 14,1 a.
Tusome katiba ya CCM uk 152 kifungu cha 13 ili tupate Uhalali wa kwenda kusoma Kitabu cha Kanuni za Utumishi za Wafanyakazi wa CCM na Jumuiya zake toleo la 2019 uk 01 kwa Mazingatio Makubwa na kujifikirisha bila ya kuacha uk 73 wote.
uk 81 kifungu cha f.
Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 152 kifungu cha 14 ili tupate Uhalali wa kwenda kusoma Kitabu cha Tume ya Uthibiti na Nidhamu ya Halmashauri kuu ya Taifa uk 4-5 kifungu cha 7 b.
Maandiko yanasema.

Mwanachama anao wajibu wa Kikatiba ambao anatarajiwa autimize.
Lakini tunao ndani ya Chama watu wengi kidogo wanaoitwa Wanachama ambao hawatimizi wajibu Wala Masharti .
Tunao Mabepari , walanguzi, walevi ,
Wazururaji nk waliodumu kwa miaka mingi na Wala hakuna Uthibiti unao wasaidia kujirekebisha.
Iko haja ya kuwathibiti Wanachama hao.

Wale wasioweza kurekebishwa waondolewe kwenye Chama katika jitihada za kukitakasa Chama.

Mwisho wa kunukuu.

Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Akiwa Singida -2020
Alisema

Haya yanahitaji Uongozi wa Kweli unao mtanguliza Mungu Mbele.
Tunahitaji Taifa hili liendelee kwenda mbele.

Mwisho wa kunukuu.
Naye Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Tarehe 22/03/2021
Alisema,

Mimi na Mwenzangu Dkt Hussein Ally Mwinyi tutaendeleza alipoishia na tutafika pale alipopatamani.

Mwisho wa kunukuu
Mheshimiwa Rais Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli alitamani tuwe watu wa kutii Maamrisho ya Mwenyezi Mungu
Tuanze Sasa kutendeana haki na Usawa kwa kusoma na kuyafanyia kazi maneno yaliyomo ndani ya katiba Kanuni Miongozo na Taratibu.
Kwa kufanya hivi tutakuwa hata tukiwashirikisha Viongozi wa Dini it's kuwa ni sahihi.
Tunapopinda Mambo na kuwaumiza Makapuku kisha kuwashirikisha Viongozi wa Dini wawe mashuhuda wa Mambo yasiyo mtukuza Mwenyezi Mungu tujuwe tunamlazimisha Mwenyezi Mungu aonyeshe hasira zake juu yetu.

Tusome Kitabu cha Mwongozo wa CCM 1981 uk 104 kifungu cha 110
Tusome kijitabu Cha Azimio la Arusha uk 01
Tusome Kitabu cha The Political Parties act chapter 258 uk 11 kifungu cha 6A1, 2,na 5.

Mwandishi John C Maxwell wa Kitabu kiitwacho The 21 Irrefutable laws of leadership uk 78
Anaandika,
No leader can break trust with his people and expect to keep influencing them.
Trust is the foundation of leadership.

Mwisho wa kunukuu

Tusome Kitabu cha Ilani ya CCM 2020 uk 298 kifungu 251 na uk 4-5 ibara 07 ili kwa ibara hii tupate kibali Cha kwenda kusoma Kitabu cha ilani ya CCM 2015 uk i kifungu cha 01.
uk 229 ibara 175.
Na uk 230 ibara 177 bila kuacha kurudi kusoma ibara 10 na 11 ya ilani ya CCM 2020 uk 08.
Mwenyezi Mungu ametupa akili za kupambanua mema na Mabaya .
Tutumie akili zetu kuishi kwa kufuata Taratibu tulizojiwekea .
Kuwa na viburi na jeuri ya kusigina katiba Kanuni Miongozo na Taratibu ili kuwa Furahisha Wachache na kuwaudhi waja wa Mwenyezi Mungu walio wengi ni ishara mbaya mbele ya Jamii inayotuamini
Tuachane ya Matendo haya yenye Viashiria vya Ujinga na Upumbavu .
Wewe Mungu ameisha kubariki .
Unaona Choyo gani kuwasaidia wenzio
Kila unavyojilimbikizia Mali kinyume na sheria ndivyo unavyozidi kuwa na Roho mbaya ya kuwanyari na kuwaonea Maskini.
Halafu kweli mtu Jamii hii anaweza kudai ana akili.
Hofu ya Mwenyezi Mungu iko wapi.
Imani anazo agiza Mwenyezi Mungu za kuwapenda Maskini ziko wapi.
Tunafanya jitihada gani ili tuonekane sio Wajinga Bali watu wenye akili.
Nakumbuka. Miaka fulani
Mheshimiwa Benjamin William Mkapa
Akiwa Chato.
Alisema,
Ni Muhimu kurejea falsafa na kauli za Muasisi wa Taifa hili Mwl Julius Kambarage Nyerere ambaye alitamka kwamba ili kuweza kupata maendeleo ya kweli nchini Tanzania hatuna budi kupambana na maadui Wakuu watatu.ambao ni Umaskini maradhi na Ujinga
NI dhahiri kwamba Maono hayo ya baba wa Taifa Bado yapo hai na yanapaswa kuzingatiwa na kila Mtanzania kwa nafasi yake na kipaji alichopewa na Mwenyezi Mungu.

Mwisho wa kunukuu

Tulikosea kuwakaribisha wageni kutoka Upinzani .
Walipofika kwetu pasipo kuangalia Wala kukumbuka nyakati za mapigano ya kisiasa Kati yetu tuliwapokea na kuwapa Ofisi zetu za CCM Kisha Sisi wafia Chama tukatoka kwenye Ofisi hizo tukakaa nje na mbali ya Ofisi zetu kwa Msaada wa watu Wachache Wabinafsi.
Tukumbuke walivyokuwa wakitutukana nakutubeza je ni lini walisimama kutuomba radhi kiasi kwamba tulikubali msamaha wao na tukiamua kusigina katiba Kanuni Miongozo na Taratibu tukawalisha bata la Ukweli.
Kwa vile baadhi ya wageni hao hawakuwa na nia njema ,
Baada ya kujiimarisha wageni hao wamerudi kwao wakawasomba Ndugu zao ili waje waongeze nguvu ya kuwasaidia kuwaweka pembeni Wanaccm Wafia Chama.
Matokeo ya haya mfano tu ofisi ya imebomolewa Kisha kiwanja kuuzwa kwa mtu Binafsi kinyume na Maelekezo ya Kanuni ya Mali za Chama na Jumuiya zake.
Waliyoyafanya haya wapo Madarakani na wanalindwa.
Kwa tabia Kama hizi na zinginezo ni wazi tusipo chukuwa hatua kujirekebisha maana yake
Kwanza Chama kitapoteza maana halisi ya kuisimamia Serikali kwa Uadilifu na Uaminifu.
Tusipojirekebisha tutakuwa tunazalisha Viongozi wa Chama ambao kazi yao itakuwa nikuwatia misuko suko Wataalamu na Wasomi ambao waliumia kusoma na Matokeo yake wanakuja kuishia mikononi Mwa Viongozi waovu Wabinafsi wasiojuwa Wala kujali katiba Kanuni Miongozo na Taratibu za nchi.
Nakumbuka April 2019
Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Akiwa Naliendele Mtwara
Alisema,
Chama Chetu Cha Mapinduzi ni Chama kinachokubali kukosolewa.

NI Chama Cha kuambizana Ukweli na ndiyo maana na Mimi nimesimama hapa kuwaeleza Ukweli

Mwisho wa kunukuu

Nini Sasa kifanyike ili kusafisha haya.

Wa wamrudie Mola watubu wajute kusigina viapo na kumfanyia Mungu shirki.

Wajutie viburi vya wazi na jeuri walizoosha kwa Watanzania wakati wanajuwa Wana ahadi na Viapo vya Uaminifu na Uadilifu mbele ya Mwenyezi Mungu na Jamii kwa Ujumla.
Wanaccm tuko si Chini ya 16 million
Niwaombe Wakuu wangu wa Kitaifa.
Wekeni mkakati wa kukiimarisha Chama.
Mkakati wa dhati wenye hofu ya Mwenyezi Mungu usiowakumbatia wanjanja Wachache.
Mnapofika ngazi za huku chini
Kwanza waondoeni hofu Wanaccm Makapuku.
Wahakikishieni usalama wao
Kisha waaacheni watapike
Sasa sikilizeni wao wanamtaka Nani Kisha wapeni wanaye mtaka walio *wengi .
Kuwaziba midomo Maskini nakuwaacha bila ya kuwatetea huku tukitangaza Kama Sisi ni watetezi wa Wanyonge huku tukiwa hatuwajali wala kuwasikiliza tutakuwa tunaigiza na kuitafuta tiketi ya Jahannam kwa nguvu zote .
Tukiyarekebisha haya
Tujuwe Chaguzi zijazo tunateleza tu Ushindi mezani.
Katika Ulimwengu wa Kiroho naonyeshwa
Ugumu wa ccm unatokana na baadhi ya Viongozi wa Vyombo vya Dola wenye Tamaa ya Vyeo na kuwanyonya Maskini kwa ajili ya kuishi maisha ya kufahari waliwekeza fadha nyingi kusimika Viongozi maboya yasiyo just katiba Kanuni Miongozo na Taratibu kwa Maslahi ya kuitafuta na kuwadhulmu Maskini ili wakose wa kuwatetea.

Sote ni juu yetu kuamua kumtumikia Mwenyezi Mungu kwa kuwatendea wema Maskini
Au kumtumikia Shetani kwa kuviza haki za Wanyonge huku tukitumia Vyombo vya habari kuiaminisha Jamii ya kuwa Sisi ni wema huku tukiwa na vika Kali dhidi ya wema wenyewe.

Nakumbuka Mwaka 2019
Katika mashindano ya kuisoma Qur aan Dar
Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Alisema
Tujitahidi kuyaishi Maandiko matakatifu tuliyoletewa na Mwenyezi Mungu.
Mimi naamini endapo tutaishi kwa kadri ya Maandiko ,
Sio tu tutaendana na Mapenzi ya Mwenyezi Mungu lakini pia itatusaidia kulijenga Taifa letu kwa kuwa Taifa Bora na imara lenye watu Waadilifu na ambao litakuwa mfano wa kuigwa kwa Maendeleo Duniani.
Hivyo sote tujitahidi kuishi kwa kadri ya makusudi ya Mwenyezi Mungu.

Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka Tarehe 22/03/2021
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Alisema,

Alikuwa si tu Kiongozi, Bali pia Dkt John Pombe Joseph Magufuli alikuwa mzazi na Mlezi kwa wengi .

Mwenye kulea Sana
Zaidi alikuwa ni mtu Mkweli Sana .
Nataka kusema alikuwa ni mtu wa kutumbuwa pia.

Mwisho wa kunukuu

Naomba tuwatumbuwe waovu .
Tupo kwenye vyama pinzani tutende haki na kuswafiana Nia zetu.
Magunia tuyoyabeba migongoni yenye misumari huu ndiyo wakati wa kuyatupa Chini wakati tunatazama 2024
na 2025 kwa matumaini.




Kidumu Chama Cha Mapinduzi



Mathias Mugerwa Kahinga
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🤝🏾🤝🏾🤝🏾
 
NIKISEMA NAUPA MOYO KUPUMUA

NITASEMA TU.

Ninakumbuka February/2018
Siku ya Sheria
Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Alisema

Ninapoamua kuzungukwa hapa hadharani maana yake Sisi wote tujirekebishe na tumuogope Mungu.
Lakini tuwaogope Wananchi tunao waongoza.
Wanatoa Machozi Mengi na Machozi haya tutayalipa
.
Machozi haya ya Watanzania tutayabeba.

Mwisho wa kunukuu

Naye Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan
Rais wa Tanzania
Nakumbuka Tarehe
19/03/2021
Alisema,

Mimi nilipata bahati ya kuwa Makamu wake
Alikuwa ni Kiongozi asiyechoka kufundisha
Kuelekeza kwa vitendo
Vipi anataka nchi hii iwe au Nini kifanyike.

Amenifundisha Mengi amenilea na kuniandaa vya kutosha.
Naweza kusema bila chembe ya shaka kuwa tumepoteza Kiongozi shupavu, madhubuti, Mzalendo , Mwenye Maono , mpenda Maendeleo, mwana mwema wa bara la afrika na Mwana Mapinduzi wa Kweli.

Mwisho wa kunukuu

Naye Rais wa Botswana
Comrade Mokwesi Masisi
Tarehe 22/03/2021
Alisema,
Even though he has died his footprint and indeed his ideal will forever remain in our mind and heart.

Mwisho wa kunukuu

Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 06-07 ibara 08(6)
Ibara ya 12(1)(a) ili itupe idhini ya kwenda kusoma uk 151 kifungu cha 08.
uk 10-11 ibara 15(2)(4)(7)

Ni Ukweli usiopingika Sisi CCM ndiyo wenye ridhaa ya kuiongoza nchi hii
Hivyo Wanaccm kila mtu Mwenye vigezo halali vya kuitwa Mwanaccm lazima ajuwe ana jukumu la kushiriki katika kuhakikisha kila neno ndani ya Ilani halidharauliwi Wala kupuuzwa hasa kwa kuzingatia ilani ya CCM ibara 10 na 11 huku tukisoma kwa Msisitizo uk 01 ibara 04 bila kuuacha uk 161-168 una sisitiza Utawala Bora ambao Maana yake ni Utawala wa Sheria.
Tusome Kitabu cha The Political Parties act chapter 258 uk 11 kifungu cha 6A1,2,na 3.
Sisi CCM ndiyo Manahodha tuliokabidhiwa Jahazi la kuivusha nchi yetu kutoka kwenye Umaskini kwenda kwenye neema ambapo kila Mtanzania atakuwa na uhakika wa Milo mitatu.

Tusiwaruhusu Manahodha Wapumbavu walioko Miongoni Mwetu kulipeleka Jahazi letu Mrama kwa kuchekelea vitendo vya watu Miongoni mwetu kutumia Fedha kwanza wao kununua Vyeo Kisha kupanga safu kuweka maboya kwa Maslahi Yao ya kesho ambayo hayana tija na mustakhabali wa nchi.
Matendo haya yanadumaza nchi na kuwanyima Matokeo Chanya waliyotaraji Wananchi kuyaona ndani ya CCM kwa kuwaendekeza watoa Rushwa huku watu Hawa wakiwa wanalindwa na kutetewa na watu Wasio na Mapenzi mema na nchi hii.
Tunapokuwa na Viongozi wanaolindwa kwa Rushwa zao ni wazi hatuwezi kuwa Msaada stahiki kwa Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye wimbo wake Mkubwa ni kuhusu haki.
Hatuwezi kuwa watetezi wa Haki za watu huku Sisi tukiwa hatuna Mpango wa kuwawajibisha Viongozi wazembe waliopenya kwa Rushwa.

Tukisoma Kitabu cha Binaadamu na Maendeleo uk 55
Mwl Julius Kambarage Nyerere
Anatuambia,

Nia yetu ni kulinda na kutetea Usawa wa Binadamu na kujenga Hali itakayowezesha heshima na utu na maisha yasiyokuwa na Ubaguzi kustawi katika nchi yetu.

Mwisho wa kunukuu

Kuwalinda na kuwatetea Viongozi Kama Hawa ni sawa na kumuona Nahodha wa Chombo Mpumbavu Kisha tukawa na imani ya kuwa atatuvusha sehemu zenye misuko suko.
Huku ni kujidanganya.
Tukubali kuchukuwa ushauri na kuufanyia kazi kwa Maslahi Mapana ya Chama.
Tukisoma katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 152 kifungu cha 14 tunapata Uhalali wa kwenda kusoma Kitabu cha tume ya Uthibiti na Nidhamu ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa uk 03
Maandiko yanasema,

Nahodha anayekataa ushauri wa mshika Dira wake mpaka Chombo kikagonga Mwamba atakuwa Nahodha Mpumbavu ambaye asingestahili kukabidhiwa Chombo. Vile vile
Na Mshika Dira anayetambuwa kwamba Kuna Mwamba mbele lakini akangoja mpaka Meli igonge ndipo aseme hakipendi Chombo Wala hajipendi Mwenyewe.

Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka Tarehe 16/February/2023
Shekhe Muharamu Rashid Mziwanda
Akitoa Mawaidha Alisema,

" Kuna watu hawapendi pendi (Mambo fulani fulani yasemwe) lakini jamani Mimi nimelemaa (kwenye kuusema Ukweli) ni kilema."
"Lazima niguse guse vitu kidogo "
" Mnisamehe"
"Hili (tatizo la kuuanika Ukweli) gonjwa langu."

Mwisho wa kunukuu

Wanaccm nayasema yote haya kwani Nina Upendo mkubwa na CCM na Wala nisingependa tupoteze mitaa yetu Kisha tulaumiane au tusubiri Hadi tufanywe wapinzani ndipo tuanze kulaumiana.
Tuambizane Ukweli Unaoumiza .

Nakumbuka Mwaka 2000
Mheshimiwa Benjamini Mkapa
Aliyekuwa Rais wa Tanzania Awamu ya tatu
Alisema

Nchi hii ni yetu sote, kila Mmoja wetu ana nafasi ya kushiriki kuijenga na kufaidika na Matunda yake.

Mwisho wa kunukuu

Ccm Kama Chama tulifanya Makosa nyakati fulani.
Tukawaingiza Watu kutoka Upinzani bila ya kufuata katiba Kanuni Miongozo na Taratibu zetu.
Nakumbuka February 2019
Wiki ya Sheria
Mheshimiwa Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Alisema

Katendeni kazi zenu mkizingatia haki.

Mwisho wa kunukuu

Tukaenda mbali zaidi tukawapa na Mivyeo na tunakufuru kwa Mwenyezi Mungu kwa Kuwalazimisha Maskini wawashangilie
Matendo haya hayana Uzalendo
Uzalendo ni wote kufuata yote Yale tulikubaliana kisheria na kuwachukulia hatua wanaozisigina Sheria.
Nakumbuka Tarehe 24/06/2014
Mheshimiwa Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete
Aliwahi kusema
Uzalendo ni tunu Muhimu Sana katika kuhakikisha uhai wa Taifa .
Uzalendo ni ile Hali ya kufunga agano Wewe na nchi yako na kuwa tayari kuipigania na hata ikibidi kujitoa muhanga kwa ajili ya nchi hiyo.
Mwisho wa kunukuu

hata wale Baadhi waliokuwana Report mbaya zisizo na Uadilifu tukalazimisha kuwafanya wema huku tukijuwa tunazisigina katiba Kanuni Miongozo na Taratibu.
Tukumbuke Wanaccm Wafia Chama tulipambana kwa silaha zote kuwabana mbavu wapinzani na Wapinzani Hawa wakasalimu amri.
Kusalimu amri kwao haimaanishi walikipenda saana Chama Chetu.
Hapana
Waliamua kufanya hivyo ili kutafuta nusra.

Nakumbuka Tarehe 28/02/2020
Apostle Deonis Mutalemwa Bushiri
Wa kanisa la ECG Church
Alisema,

2Thimotheo 3 Mstari 1 mpaka 5
Lakini unafahamu neno hili ya kuwa siku za Mwisho kutakuwako nyakati za hatari......
Watu wenye mfano wa Utauwa lakini wakikana nguvu zake.
Hao nao ujiepushe nao.

Mwisho wa kunukuu

Naye Mheshimiwa Dkt Frank Hawwas
Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM na Mlezi wa Vyuo Vikuu Upande wa CCM Tarehe 11/02/2023
Alisema

Hili ni agizo la Mungu naomba Sana tulizingatie.
Tulipiganie
Ili nchi yetu iweze kuwa salama.

Mwisho wa kunukuu

Waliporudi ndani ya CCM wakatukuta Wanaccm tulio wengi Choka mbaya.
Wakatumia uchovu wa Wanaccm Makapuku Kama kisa Cha kuwadhalilisha .
Wanaccm Wafia Chama wakaandika kuanika uozo wa Watu hao Ila wakapuuzwa kwa Msaada wa Wakuu Wakuu fulani wasio Waadilifu .

Nakumbuka Tarehe 06/02/2023
Shekhe Walid Alhad
Kaimu Shekhe wa Mkoa wa Dar es salaam
Alisema

Mazoea hupofua macho ya wenye kuona.

Unaweza kumuona mtu anaona kumbe kipofu kwa sababu tu ana Desturi ya kuzoea.

Mwisho wa kunukuu

Sasa Watu Hawa tulio wapokea tusisahau ya kwamba walio wengi hawakuja kwa Mapenzi ya kukijenga Chama Bali walikuja kwa Maslahi Binafsi huku wakifurahia faida kubwa zitokanazo na kusigina katiba Kanuni Miongozo na Taratibu na Sheria za nchi kwa Ujumla.
Baada ya kuchangamana nao Katika Ulimwengu wa Kiroho
Naonyeshwa Watu Hawa baadhi wakaanza kuwalipiza Visasi Wanaccm Wafia Chama
Fedha zikaanza kumwagwa kwa wingi .
Katika Ulimwengu wa Kiroho naonyeshwa kwa njaa ya baadhi ya Viongozi wa CCM wasio Waadilifu wakafurahia Matendo haya ya kuwapoteza Wanaccm Wafia Chama na kutoa ushirikiano kuwapa nguvu wageni ili wawapoteze Wanaccm Wafia Chama.
Kweli katika Ulimwengu wa Kiroho naonyeshwa Zoezi la kuwaangamiza Wanaccm Wafia Chama lilifaulu vizuri saana na wamepotea kweli
Wamewekwa pembeni.
Wageni Hawa Sasa wakaanza kuwaita Ndugu zao waliokuwa nao kuleee.
Kwa maana rahisi katika Ulimwengu wa Kiroho CCM ngazi za huku chini zikakabidhiwa kwa Wapinzani.
Tumeshuhudia katika Ulimwengu wa Kiroho watu wanatoka Upinzani moja kwa moja na kupewa Ofisi za CCM wakiwa hawajuwi katiba Kanuni Miongozo na Taratibu na wanao husika na haya wanalindwa.
Kwa ufupi hoja yangu ni hizi

Ufanyike Mpango wa makusudi wa kupigania Maandiko yetu.
Wanaccm tupo takribani 16 miliioni
Wapo watu wasafi na wapenzi wa CCM ambao wamekumbwa na ajali hizi zilizo jitokeza na kujikuta wako pembeni na hivyo kusubiri Maamuzi na Maagizo ya Watu waliopata Uongozi kinyume na sheria na kwa kweli Ukweli ulivyo ni kwamba Mtu yeyote anayejipatia Uongozi kinyume na Sheria atawezaje kusimama hadharani kuwahubiria wenzake wafuate na kutii sheria .
Atawezaje kuwasimamia Wasomi Serikalini na kuwafokea ili wafuate sheria.
Kwani katika Utawala Kuna sheria zikivunjwa ni powa tu na zingine ndizo watu wanachukuliwa sheria.
Najiuliza hivi Chaguzi zijazo CCM tukipigwa tutamlaumu Nani.
Tusisubiri haya yatokee
NI Mambo yanaudhi na kukera saana.

Shekhe Muharamu Rashid Mziwanda
Akitoa Mawaidha Tarehe 16/02/2023 alisema ,

Yeyote yule ambaye kaudhiwa , kakasirishwa, lakini hakukasirika huyo punda .

Mwisho wa kunukuu

Wanaccm wenzangu tunapaswa kufanya kazi zetu huku tukiwa tunamtanguliza Mwenyezi Mungu mbele ndipo tutaweza kutenda haki kwa Makapuku na Matajiri.
Tusipokuwa na hofu ya Mungu Mioyo yetu itaendelea kuwa na viburi na kuamini kuwa sheria hutumika TU kwa mtu Maskini ila Tajiri na watoa Rushwa hata Kama TAKUKURU IPO Ila wanakuwa wanafichiwa madhambi .
Tukifanya hivyo tutakuwa tunamkufuru Mwenyezi Mungu na tutakuwa tumepoteza sifa ya kuitwa waumini
Nakumbuka Tarehe 19/05/2021
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Katika hafla ya kuwaapisha Wakuu wa mikoa na Taasisi
Alisema,
Uongozi ni kazi ya Mungu , ni Imani yangu kwamba mnapokwenda kufanya kazi zenu mtasimama na Mungu pia.

Mwisho wa kunukuu

Tusimame na Mungu tuanzie Shina kulikopangwa wajumbe feki tuje Hadi juu ili kila Mwanaccm Mfia Chama ahisi haki inanukia.
Ushauri wangu
Agenda kubwa ya Viongozi wa CCM Taifa nawaomba saaana Wakuu wangu
Pamoja na kazi zenu nyingine sio vibaya mkawa mkifika Maeneo Wanaccm walipo mkawa mnawasikiliza Pamoja na kusisitiza kuswafiana Nia na kuwafuta machozi kwa Maonezi yaliyo wasibu.
Pia kutafuta ufumbuzi wa kidumu kwa kuwang,oa wale wote wanaolalamikiwa.

Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 152 kifungu cha 02 ili tupate Uhalali wa kwenda kusoma Kitabu cha Kanuni za Uchaguzi wa CCM toleo 2017 uk vi -ix kwa Mazingatio na Utekelezaji wenye utiifu kwa Maandiko yetu.

Msomi Mbobevu
Kipenzi Cha Watu
Mtu Makini
Dkt Sophia Edward Mjema
Katibu NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa
Akiwa Katika Ziara ya kikazi Tanga Tarehe 19/02/2023
Alisema,

Lakini nimeambiwa na Mniambie Kama ni Uongo au kweli .
Nimesikia Kuna Viongozi ndiyo wanaosababisha hayo.

Sasa natoa agizo , Kamisaa wetu wa Mkoa na Wilaya mnisikilize .
Chama hakiwezi kumkumbatia mtu anayeenda Yeye kwa Manufaa yake.

Halafu anajificha kwenye kivuli Cha Chama ili kimtetee.
Hilo halipo.
Halipo.

Kama Yeye Mwenyewe, ndiye aliyeamua kufanya hayo , achukuliwe hatua Kama mtu Mwingine. yeyote .

Tumeelewana.


Mwisho wa kunukuu

Naye Mheshimiwa Daniel Godfrey Chongolo
Katibu Mkuu CCM Taifa
Akiwa Katika Ziara ya kikazi Tarehe 05/02/2023
Alisema,

Sisi tukianza **kukiuka na kuvunja* sheria tutarahisisha wengine kufanya zaidi.

Mwisho wa kunukuu

Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Mwenyekiti CCM Taifa
Katika Mkutano Mkuu wa Dharura wa CCM Taifa
Alisema,

Nitasimamia Maadili , Kanuni na Taratibu za Chama ili kujenga Chama chenye Wanachama wanaotambuwa Wajibu wao kwa Chama na kwa Taifa lao

Mwisho wa kunukuu

Kidumu Chama Cha Mapinduzi





Mathias Mugerwa Kahinga



🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🤝🏾🤝🏾🤝🏾🤝🏾
 
WAKATI NI HUU TUKISAFISHE CHAMA KWA KUCHUKULIANA HATUA ZA KISHERIA

Tusome Ilani ya CCM uk 303 ibara 254,255
uk 04-05 ibara 07 ili itupe Uhalali wa kwenda kusoma Kitabu cha ilani 2015 uk 296 ibara 189
uk 233 ibara 185b.
uk 230 ibara 177 bila ya kuacha kuisoma ibara 10 na 11 ya Ilani ya 2020.

Nakumbuka April 2019
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Mtetezi namba Moja wa Tanzania
Akiwa Makamu wa Rais
Katika kongamano la kumuenzi Hayati Abeid Aman karume
Alisema,

Si Sisi tunaodhulmu Mali za watu.

Kwa sababu tu umepata Kicheo , umekuwa Sheha, umekuwa Diwani,
Umekuwa mbunge, umekuwa Mwakilishi, umekuwa Nani
Unasimama
Unasimama kudhulmu haki ya Mwananchi mwingine
Mzee wetu hakutufundisha hayo ,
Alitufunfisha unapata cheo , tumikia watu.
Wewe ni Mtumishi wa Watu
Simamia haki zao
Ndivyo alivyo tufundisha.

Mwisho wa kunukuu
Tusome Standing order for the Public service 2009
Pursuant to s. 35ndogo 5 of the republic services act cap 298 uk 16 kifungu cha 6.9
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 uk 19 ibara 10
Sheria ya Mwaka 1984 namba 15 ibara 06.
Pia uk 26 Kifungu C.1kidogo 3.
Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 152 kifungu cha 14 ili tupate Uhalali wa kwenda kusoma Kitabu cha Tume ya Uthibiti na Nidhamu ya Halmashauri kuu ya Taifa uk 4-5 kifungu cha 7 b.
Maandiko yanasema,

Mtu anapoingia kazi ya Uaskari na kupasishwa kuwa anafaa kwa kazi hiyo , havui magwanda mara baada ya hapo na kutenda apendavyo nje ya Taratibu za Uaskari
Kinyume Chake hutakiwa afanye Mazoezi zaidi na kuwa tayari zaidi kutimiza Wajibu wake maana Sasa amehitimu .
Kuingia katika CCM Kuna Taratibu zake.
Na kuendelea kuwa Mwanachama wa CCM nako Kuna Masharti
yake.

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Kitabu cha Mwongozo wa CCM 1981uk 26-27 kifungu cha 37 kifungu kidogo Cha 2.
Maandiko yanasema,
Wanaccm ndiyo Askari wa Mstari wa mbele wa Mapambano ya kujenga Ujamaa .

Mwisho wa kunukuu

Wanaccm wenzangu haiwezekani Sisi ni Askari tumesoma katiba Kanuni Miongozo na Taratibu Kisha tukae kimya huku tukiona Chama Cha Mapinduzi kikihujumiwa hovyo tu.
Tutakuwa tumepoteza sifa za kuendelea kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi.

Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 151 vifungu 1, 3, 6 na 8.

Tusome Kitabu cha The Political Parties act chapter 258 uk 11 kifungu cha 6A1,2, na 5.
Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 26 na 9a,b bila kuacha ibara 18a.
Ilani ya CCM 2020 ibara 110c.
Azimio la Arusha uk 01 kifungu d.
Katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 2-3 ibara 5 kifungu kidogo Cha 8.
Ilani ya CCM 2020 uk 161-168. bila kuacha kurudi uk 01 ibara 04.
Tusome Kitabu cha Sera ya CCM ya kujitegemea Kimapato na Kiuchumi uk 03 kifungu cha 6.
Kitabu cha Awamu ya Tatu ya Mradi wa kukiimarisha Chama uk 07.
Kitabu cha Binaadamu na Maendeleo uk 17-21 Kilichoandikwa na Mwl Julius Kambarage Nyerere.

Tukisoma Kitabu cha The Magic of Thinking Big uk 41.
Professor David J. Schwartz Ph.D

Anaandika,

Fear is success enemy number one .
Fear stops people from capitalizing on opportunity.
Fear wears down physical vitality.
Fear actually makes people sick .
Causes organic difficulties, Shotens life,
Fear closes your Mouth when you want to speak .

Mwisho wa kunukuu


Mfumo wa nchi yetu

Chama ndicho huisimamia Serikali.
Tunapokuwa na nia njema ya kuisimamia Serikali ili iwe na Uaminifu na Uadilifu
Ni lazima Sasa Chama tuchukuwe hatua za maksudi kujisafisha pale tunapohisi tumeteleza.

Tusome Mwongozo wa CCM 1981 uk 45-46
Tukisoma Tena uk 26 Maandiko yanasema,
Kukiri upungufu si kitendo Cha kujidhoofisha Bali ni kitendo Cha kujiamini na kujiimarisha .

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Kitabu cha Ujamaa Essay on Socialism uk 80-81
Mwl Julius Kambarage Nyerere
Anaandika
The Rule of law and Equality before the law are one essential means of preventing exploitation.
But they are are only practical when the society as the whole is based on the principle of Equality - When, in other words a socialist policy is being followed.

Mwisho wa kunukuu.

Tusome Kitabu cha Kujenga Ujamaa Tanzania
Miaka Kumi ya Kwanza
Matatizo Mafunzo, Matamanio uk 27-30
Ambacho Mheshimiwa Benjamini William Mkapa alishiriki Uandishi.
Lazima tukubali CCM tulikosea Mahali
Simaanishi kufukuwa makaburi.
Namaanisha kwamba tumeshajuwa ni wapi tulikosea na Sasa kazi tuliyo nayo ni kuyarekebisha makosa hayo.
Inapotokea Kuna Wanaccm wanatulazimisha kuheshimu na kuyatii makosa na kuyaishi kimazoea kinyume na Maelekezo ya ilani ,Tafsiri sahihi inakuwa ni kwamba watu hao Wana agenda ya Siri ya kuunga mkono Upinzani huku wakituonyesha sura za Tabasamu kumbe Wana ngozi za Mwanakondoo.
Inapotokea kwa mfano baadhi ya Viongozi walioko kwenye Dola
Kwa aina moja ama nyingine
Wakatumia Rushwa na Ghilibu
Na nguvu zao za Kiuchumi kuwasimika Viongozi wawatakao wenye Uelewa Mdogo na Mambo ya Chama, ambao hawatokani na ridhaa ya Wanachama kwenye Chama,
Hii dhana ya Chama kuisimamia Serikali inakuwa imekaaje.
Waasisi wa CCM walikuwa na Maono kuweka katiba Kanuni Miongozo na Taratibu kwani vitu hivi ndiyo huwa chachu ya kujenga uaminifu na Uadilifu ndani ya Jamii.
Vitendo vya watu fulani kuisigina katiba na sheria zingine kwa kujihusisha na Mambo ya Ubaguzi na upendeleo vinajenga Chuki na kustawisha roho za usaliti kwa Wanaccm walio wengi walio dharauliwa na kutokusikilizwa kwa Chochote.
Masharti ya kuwa Mwanaccm sharti mojawapo kila Mwanaccm awe ni mtu Mwenye kuheshimu watu.
Nauli Miongoni mwetu wale waliotumia nguvu ya Kiuchumi kuwaweka watu je
NI kweli waliiheshimu Matakwa ya katiba ya CCM.
Kama walikiuka ni Nani wa kuwawajibisha.
Katiba ya CCM ibara 13 na 19 imeeleza hatua za kuchukuliwa kwa wale wanaokiuka masharti ya uanachama je
Tutaleana mpaka lini.
Tunalea uozo Kisha tunatoka hadhani tunalaumu kwa wale wenye kustahili kuchukuwa Maamuzi.
Tunachukuwa Maamuzi kwa kuangalia ni Nani alitulisha Rushwa.
Sheria inapomgusa mlisha Rushwa wahusika wanajifanya Wamekuwa Samaki maji yamewajaa midomoni sauti zao hazitoki.
Mikakati inaanza ya kuandaa kumpoteza yule anaye ligalambuwa kwa vile anakuwa anaharibu ulaji haramu wa Watu.

Wito Wangu kwa Viongozi Wakuu ndani ya Tanzania.
Kwanza tusome Katiba ya CCM uk 152 kifungu cha 2 ili tupate Uhalali wa kwenda kusoma Kitabu cha Kanuni za Uchaguzi wa CCM toleo la 2017 uk vi-ix
Tukiweza turudie hata mara tatu .
Kisha tusome Tena Maharti ya kuitwa Mwanaccm kwenye Katiba ya CCM uk 6-7 ibara 8 kifungu kidogo Cha 2,4,5,6
Ibara ya 15 kifungu kidogo cha 2,4,7
Tusome ibara 13 kifungu kidogo Cha c,d,na e.
ibara 19 kifungu kidogo Cha c, d.
Turudi kwenye Kanuni ya Uchaguzi wa CCM toleo la 2017 uk 58 kifungu cha 116 c.
Tusome katiba ya CCM uk 152 kifungu cha 8 ili tupate Uhalali wa kwenda kusoma Kitabu cha Kanuni za Uongozi na Maadili toleo la 2017 uk 2 kifungu cha iv. Na kwa Msisitizo na Mazingatio bila ya kuonyesha kiburi Cha Fedha na Nyadhifa tusome uk 4 kifungu cha vii.
Tusome uk 31 - 32 kifungu cha vii na viii.
Tusome katiba ya CCM uk 152 kifungu Cha 4 ili tupate Uhalali wa kwenda kusoma Kitabu cha Kanuni za Fedha na Mali za Chama na Jumuiya zake toleo la 2018 uk 164-165 vifungu 14,2 na 14,3. uk 162 kifungu cha 14,1 a.
Tusome katiba ya CCM uk 152 kifungu cha 13 ili tupate Uhalali wa kwenda kusoma Kitabu cha Kanuni za Utumishi za Wafanyakazi wa CCM na Jumuiya zake toleo la 2019 uk 01 kwa Mazingatio Makubwa na kujifikirisha bila ya kuacha uk 73 wote.
uk 81 kifungu cha f.
Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2020 uk 152 kifungu cha 14 ili tupate Uhalali wa kwenda kusoma Kitabu cha Tume ya Uthibiti na Nidhamu ya Halmashauri kuu ya Taifa uk 4-5 kifungu cha 7 b.
Maandiko yanasema.

Mwanachama anao wajibu wa Kikatiba ambao anatarajiwa autimize.
Lakini tunao ndani ya Chama watu wengi kidogo wanaoitwa Wanachama ambao hawatimizi wajibu Wala Masharti .
Tunao Mabepari , walanguzi, walevi ,
Wazururaji nk waliodumu kwa miaka mingi na Wala hakuna Uthibiti unao wasaidia kujirekebisha.
Iko haja ya kuwathibiti Wanachama hao.

Wale wasioweza kurekebishwa waondolewe kwenye Chama katika jitihada za kukitakasa Chama.

Mwisho wa kunukuu.

Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Akiwa Singida -2020
Alisema

Haya yanahitaji Uongozi wa Kweli unao mtanguliza Mungu Mbele.
Tunahitaji Taifa hili liendelee kwenda mbele.

Mwisho wa kunukuu.
Naye Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Tarehe 22/03/2021
Alisema,

Mimi na Mwenzangu Dkt Hussein Ally Mwinyi tutaendeleza alipoishia na tutafika pale alipopatamani.

Mwisho wa kunukuu
Mheshimiwa Rais Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli alitamani tuwe watu wa kutii Maamrisho ya Mwenyezi Mungu
Tuanze Sasa kutendeana haki na Usawa kwa kusoma na kuyafanyia kazi maneno yaliyomo ndani ya katiba Kanuni Miongozo na Taratibu.
Kwa kufanya hivi tutakuwa hata tukiwashirikisha Viongozi wa Dini it's kuwa ni sahihi.
Tunapopinda Mambo na kuwaumiza Makapuku kisha kuwashirikisha Viongozi wa Dini wawe mashuhuda wa Mambo yasiyo mtukuza Mwenyezi Mungu tujuwe tunamlazimisha Mwenyezi Mungu aonyeshe hasira zake juu yetu.

Tusome Kitabu cha Mwongozo wa CCM 1981 uk 104 kifungu cha 110
Tusome kijitabu Cha Azimio la Arusha uk 01
Tusome Kitabu cha The Political Parties act chapter 258 uk 11 kifungu cha 6A1, 2,na 5.

Mwandishi John C Maxwell wa Kitabu kiitwacho The 21 Irrefutable laws of leadership uk 78
Anaandika,
No leader can break trust with his people and expect to keep influencing them.
Trust is the foundation of leadership.

Mwisho wa kunukuu

Tusome Kitabu cha Ilani ya CCM 2020 uk 298 kifungu 251 na uk 4-5 ibara 07 ili kwa ibara hii tupate kibali Cha kwenda kusoma Kitabu cha ilani ya CCM 2015 uk i kifungu cha 01.
uk 229 ibara 175.
Na uk 230 ibara 177 bila kuacha kurudi kusoma ibara 10 na 11 ya ilani ya CCM 2020 uk 08.
Mwenyezi Mungu ametupa akili za kupambanua mema na Mabaya .
Tutumie akili zetu kuishi kwa kufuata Taratibu tulizojiwekea .
Kuwa na viburi na jeuri ya kusigina katiba Kanuni Miongozo na Taratibu ili kuwa Furahisha Wachache na kuwaudhi waja wa Mwenyezi Mungu walio wengi ni ishara mbaya mbele ya Jamii inayotuamini
Tuachane ya Matendo haya yenye Viashiria vya Ujinga na Upumbavu .
Wewe Mungu ameisha kubariki .
Unaona Choyo gani kuwasaidia wenzio
Kila unavyojilimbikizia Mali kinyume na sheria ndivyo unavyozidi kuwa na Roho mbaya ya kuwanyari na kuwaonea Maskini.
Halafu kweli mtu Jamii hii anaweza kudai ana akili.
Hofu ya Mwenyezi Mungu iko wapi.
Imani anazo agiza Mwenyezi Mungu za kuwapenda Maskini ziko wapi.
Tunafanya jitihada gani ili tuonekane sio Wajinga Bali watu wenye akili.
Nakumbuka. Miaka fulani
Mheshimiwa Benjamin William Mkapa
Akiwa Chato.
Alisema,
Ni Muhimu kurejea falsafa na kauli za Muasisi wa Taifa hili Mwl Julius Kambarage Nyerere ambaye alitamka kwamba ili kuweza kupata maendeleo ya kweli nchini Tanzania hatuna budi kupambana na maadui Wakuu watatu.ambao ni Umaskini maradhi na Ujinga
NI dhahiri kwamba Maono hayo ya baba wa Taifa Bado yapo hai na yanapaswa kuzingatiwa na kila Mtanzania kwa nafasi yake na kipaji alichopewa na Mwenyezi Mungu.

Mwisho wa kunukuu

Tulikosea kuwakaribisha wageni kutoka Upinzani .
Walipofika kwetu pasipo kuangalia Wala kukumbuka nyakati za mapigano ya kisiasa Kati yetu tuliwapokea na kuwapa Ofisi zetu za CCM Kisha Sisi wafia Chama tukatoka kwenye Ofisi hizo tukakaa nje na mbali ya Ofisi zetu kwa Msaada wa watu Wachache Wabinafsi.
Tukumbuke walivyokuwa wakitutukana nakutubeza je ni lini walisimama kutuomba radhi kiasi kwamba tulikubali msamaha wao na tukiamua kusigina katiba Kanuni Miongozo na Taratibu tukawalisha bata la Ukweli.
Kwa vile baadhi ya wageni hao hawakuwa na nia njema ,
Baada ya kujiimarisha wageni hao wamerudi kwao wakawasomba Ndugu zao ili waje waongeze nguvu ya kuwasaidia kuwaweka pembeni Wanaccm Wafia Chama.
Matokeo ya haya mfano tu ofisi ya imebomolewa Kisha kiwanja kuuzwa kwa mtu Binafsi kinyume na Maelekezo ya Kanuni ya Mali za Chama na Jumuiya zake.
Waliyoyafanya haya wapo Madarakani na wanalindwa.
Kwa tabia Kama hizi na zinginezo ni wazi tusipo chukuwa hatua kujirekebisha maana yake
Kwanza Chama kitapoteza maana halisi ya kuisimamia Serikali kwa Uadilifu na Uaminifu.
Tusipojirekebisha tutakuwa tunazalisha Viongozi wa Chama ambao kazi yao itakuwa nikuwatia misuko suko Wataalamu na Wasomi ambao waliumia kusoma na Matokeo yake wanakuja kuishia mikononi Mwa Viongozi waovu Wabinafsi wasiojuwa Wala kujali katiba Kanuni Miongozo na Taratibu za nchi.
Nakumbuka April 2019
Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Akiwa Naliendele Mtwara
Alisema,
Chama Chetu Cha Mapinduzi ni Chama kinachokubali kukosolewa.

NI Chama Cha kuambizana Ukweli na ndiyo maana na Mimi nimesimama hapa kuwaeleza Ukweli

Mwisho wa kunukuu

Nini Sasa kifanyike ili kusafisha haya.

Wa wamrudie Mola watubu wajute kusigina viapo na kumfanyia Mungu shirki.

Wajutie viburi vya wazi na jeuri walizoosha kwa Watanzania wakati wanajuwa Wana ahadi na Viapo vya Uaminifu na Uadilifu mbele ya Mwenyezi Mungu na Jamii kwa Ujumla.
Wanaccm tuko si Chini ya 16 million
Niwaombe Wakuu wangu wa Kitaifa.
Wekeni mkakati wa kukiimarisha Chama.
Mkakati wa dhati wenye hofu ya Mwenyezi Mungu usiowakumbatia wanjanja Wachache.
Mnapofika ngazi za huku chini
Kwanza waondoeni hofu Wanaccm Makapuku.
Wahakikishieni usalama wao
Kisha waaacheni watapike
Sasa sikilizeni wao wanamtaka Nani Kisha wapeni wanaye mtaka walio *wengi .
Kuwaziba midomo Maskini nakuwaacha bila ya kuwatetea huku tukitangaza Kama Sisi ni watetezi wa Wanyonge huku tukiwa hatuwajali wala kuwasikiliza tutakuwa tunaigiza na kuitafuta tiketi ya Jahannam kwa nguvu zote .
Tukiyarekebisha haya
Tujuwe Chaguzi zijazo tunateleza tu Ushindi mezani.
Katika Ulimwengu wa Kiroho naonyeshwa
Ugumu wa ccm unatokana na baadhi ya Viongozi wa Vyombo vya Dola wenye Tamaa ya Vyeo na kuwanyonya Maskini kwa ajili ya kuishi maisha ya kufahari waliwekeza fadha nyingi kusimika Viongozi maboya yasiyo just katiba Kanuni Miongozo na Taratibu kwa Maslahi ya kuitafuta na kuwadhulmu Maskini ili wakose wa kuwatetea.

Sote ni juu yetu kuamua kumtumikia Mwenyezi Mungu kwa kuwatendea wema Maskini
Au kumtumikia Shetani kwa kuviza haki za Wanyonge huku tukitumia Vyombo vya habari kuiaminisha Jamii ya kuwa Sisi ni wema huku tukiwa na vika Kali dhidi ya wema wenyewe.

Nakumbuka Mwaka 2019
Katika mashindano ya kuisoma Qur aan Dar
Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Alisema
Tujitahidi kuyaishi Maandiko matakatifu tuliyoletewa na Mwenyezi Mungu.
Mimi naamini endapo tutaishi kwa kadri ya Maandiko ,
Sio tu tutaendana na Mapenzi ya Mwenyezi Mungu lakini pia itatusaidia kulijenga Taifa letu kwa kuwa Taifa Bora na imara lenye watu Waadilifu na ambao litakuwa mfano wa kuigwa kwa Maendeleo Duniani.
Hivyo sote tujitahidi kuishi kwa kadri ya makusudi ya Mwenyezi Mungu.

Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka Tarehe 22/03/2021
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Alisema,

Alikuwa si tu Kiongozi, Bali pia Dkt John Pombe Joseph Magufuli alikuwa mzazi na Mlezi kwa wengi .

Mwenye kulea Sana
Zaidi alikuwa ni mtu Mkweli Sana .
Nataka kusema alikuwa ni mtu wa kutumbuwa pia.

Mwisho wa kunukuu

Naomba tuwatumbuwe waovu .
Tupo kwenye vyama pinzani tutende haki na kuswafiana Nia zetu.
Magunia tuyoyabeba migongoni yenye misumari huu ndiyo wakati wa kuyatupa Chini wakati tunatazama 2024
na 2025 kwa matumaini.




Kidumu Chama Cha Mapinduzi



Mathias Mugerwa Kahinga
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🤝🏾🤝🏾🤝🏾

Lukasi lile gazeti lenu sasa
 
KAMA KUSOMA HATUKUSOMA KWANI MACHO HAYAONI !?



TUZINDUKE WAKATI NI HUU TUSIPOTEZE MUDA



Watanzania wenzangu na Wanaccm wenzangu tuendelee kumtanguliza Mungu Wetu Mbele kama ambavyo tumekuwa tukisisitizwa na Mwenyekiti wetu CCM Taifa Comrade John Pombe Joseph Magufuli ili TUZIVUMILIE NJAA na SHIDA lukuki zilizotupiga kwa miaka mingi kisha pale kipenga kitakapopulizwa TUFANYE MAAMUZI MAGUMU YA KUWABWAGA WATIA NIA WENYE TABIA CHAFU YA DANGANYA TOTO WAKATI SISI TUNAO DANGANYWA NI WATU WAZIMA TUNAO ENDESHA FAMILIA ZETU JAPO KWA HALI YA CHOKA MBAYA ISIYO NA MSAADA ZAIDI YA KUPEWA VIHERA VYA KUNUNULIA KASHATA AMBAVYO HAVITOSHI HATA KUNUNUA DAFTARI LA WANETU WANAOSOMA SHULE ZA KAYUMBA.

TBC (Marudio) -Akiwa Chato - Geita tarehe 18/12/2019
Rais John Pombe Joseph Magufuli alisema,

" Huu ndiyo Ukweli na Ukweli lazima tuambizane".

Wanaccm wenzangu UKWELI UNATAKA UJASIRI KUUSEMA KWANI TULIO WENGI TUNAUJUWA UKWELI ILA HATUUSEMI KWA KUOGOPWA KUTENGWA NA JAMAA ZETU AU KWA HOFU YA KUPOTEZA VYEO VYETU KWA KUWEKEWA MIZENGWE.
SITAOGOPA KUSEMA UKWELI HATA NIKITENGWA NITASIMAMA NA MUNGU KWANI MWISHO WA SIKU SOTE TUTAKUFA NA KUIACHA DUNIA KILA MTU KWA MUDA WAKE. Ukweli UNAUMA ndiyo maana watu wenye moyo DHAIFU hutoa povu kwani HATA SHETANI HUPENDA SANA KUONEKANA MUUNGWANA INGAWA KAZI YAKE KWA CHUKI ZAKE NI KUWAPOTOSHA WANADAMU.

Tukisoma Kitabu cha HOW SUCCESSFUL PEOPLE THINK uk 80

Mwandishi John C Maxwell aliwahi kuandika,

" The truth will set you free - But first it will make you angry."

Wanaccm wenzangu Tujibidiishe KUSEMA UKWELI TUIJENGE NCHI ILI UNAFIKI WA KUJIPENDEKEZA NA KULINDA VYEO VYETU HUKU TUKIUMBUKA KWA NJAA NA KULAZIMIKA KUISHI KWA KUOMBA OMBA HAKUTUSAIDII WAJANJA WANATUMIA MWANYA HUU KUTUPUMBAZA KWA VIZAWADI HUKU WAO WACHACHE WAKILA VIZURI NA TULIO WENGI TUKILA MSOTO NA FAMILIA ZETU KUPOTEZA MIELEKEO.

Niliwahi kusoma Kitabu 100 Ways to Motivate yourself uk 11

Mwandishi Steve Chandler aliwahi kuandika,

" Whatever we learn to do, we learn by actually doing it; Men come to be builder for instance by building and Harp player by playing the harp."

Tunapojitoa KUPIGANIA HAKI na USAWA tunawasaidia hata wale WANAOBURUZWA WANAUMIA ILA HAWASEMI ni kwa kufanya hivyo TUNAMPENDEZA MUNGU WETU kwa ushupavu huu.

Tukisoma Biblia Takatifu Yeremia 48 : 10

Maandiko Matakatifu YAMEANDIKWA,

" Na alaaniwe afanyaye kazi ya Bwana kwa ulegevu."

Tukisoma Biblia Takatifu Isaya 65 : 1-2

Maandiko Matakatifu yanasema,

" Roho ya Bwana Mungu i juu yangu: Kwa sababu Bwana amenitia mafuta, niwahubiri Wanyenyekevu habari njema.
Amenituma ili KUWAGANGA WALIO. VUNJIKA MOYO, Kuwatangazia mateka UHURU WAO, na hao waliofungwa kufunguliwa kwao.

Wanaccm tegeni masikio yenu vizuri ili muwe wasikilizaji wazuri kuliko kuwa watu wa kulaumu tu.

Niliwahi kusoma Kitabu cha How successful People Think uk 27

Mwandishi John C Maxwell aliwahi kuandika,

" If you want to become a better big - picture thinker, then become a good listener."

Wanaccm wenzangu , WATIA NIA WALIO WENGI TUNAWAJUWA NA WENGINE NI VIONGOZI WETU, WENGINE WAMETUDANGANYA SAAAANA, NA HATA TULIPOJARIBU KUWAPIGIA SIMU WALITUDHARAU KWA VILE WATU MAKAPUKU NA MAFUKARA SIKU ZOTE HAWANA MARAFIKI.
NI WATIA NIA HAO HAO KWA VILE WANA LAO KWA NYAKATI HIZI, UKIWAPIGIA SIMU WANAPOKEA NA KUONGEA KANA KWAMBA WAO NI WEMA HUKU TUKUDANGANYWA TENA KWA VIZAWADI VYA KIJINGA ILI TUPOKEE WATUPOZE TUPUMBAE NA KUUSAHAU UFUKARA WETU KWA MUDA TUSIKUBALI KUPUMBAZWA na watia nia WANAFIKI WENYE SURA YA TABASAMU WALIOVAA NGOZI YA MWANAKONDOO

Tukisoma Biblia Takatifu Mathayo Mtakatifu 23 : 27-28

Maandiko Matakatifu yanasema,

"Ole wenu waandishi na Mafarisayo WANAFIKI kwa kuwa mmefanana na Makaburi yaliyopakwa chokaa, nayo kwa nje yaonekana kuwa mazuri, Bali ndani yamejaa mifupa ya WAFU na uchafu wote."

" Vivyo hivyo ninyi nanyi KWA NJE MWAONEKANA NA WATU KUWA WENYE HAKI, bali ndani mmejaa UNAFIKI na MAASI.

Wanaccm wenzangu nayasema yote haya ili Tujielewe, tukiwapata viongozi wenye KUTUJALI WASIO MATAPELI na WAPIGAJI WATAMSAIDIA SANA RAIS WETU Comrade John Pombe Joseph Magufuli kulipeleka Taifa letu mbele na sisi kupunguza hali ya Ombaomba na UGUMU WA MAISHA unaotuandama. Kujaliana ndiyo UPENDO WA KWELI NA SIO WACHACHE KULA BATA NA WALIO WENGI KULA MAKOMBO.

TBC( Marudio) Akiwa shule ya Chato - Geita tarehe 18/12/2019
Rais John Pombe Joseph Magufuli alisema,

" Na haya ndiyo MAFUNDISHO YA vitabu vyote vya DINI,
" Upendo wa kweli"

Niliwahi kusoma Gazeti la Mwananchi la tarehe 19)12/2019 uk 11

Mwandishi wa Makala Mr Godius Rweyongeza aliandika,

" Utajiri si kitu kibaya kama Baadhi ya watu wanavyo fikiri na kuna msemo kwamba kuzaliwa Maskini si dhambi ila kufa Maskini NI KOSA LAKO. "

Wanaccm wenzangu huu ndiyo Wakati wetu wa KUTUBU DHAMBI TULIZOFANYA ZA KUWAPITISHA BAADHI VIONGOZI WANAFIKI KWENYE KURA ZA MAONI ZILIZOPITA AMBAO BAADA YA KUFANIKIWA KWAO, WALITUOMBEA SISI NJAA KWA MIAKA MITANO WAKIAMINI MUDA WA UCHAGUZI UKIFIKA WATATUHADAA KAMA KAWAIDA YA KWA KUTUPATIA VIZAWADI AMBAVYO HUKO MIAKA TULIYOWAPA RIDHAA WALITUONYESHA DHARAU.

TBC ( Marudio) Akiwa Shule ya Chato - Geita tarehe 18 /12/2019
Rais John Pombe Joseph Magufuli alisema,

" Tukumbuke dhambi tulizo zifanya na tusirudie tena".

Niliwahi kusoma Kitabu cha 21 Irrefutable laws of leadership uk 212

Mwandishi John C Maxwell aliwahi kuandika,

" When you become A LEADER you lose the right to think about yourself".

WATIA NIA MATAPELI WENYE ROHO MBAYA WAKO HIVI,

Anakuona wewe CHOKA MBAYA, anacheka sana, ANAKUOMBEA UZIDI KUWA FUKARA ILA USIFE ILI SIKU YA KUPIGA KURA ASIKUKOSE UMPITISHE AZIDI KULA BATA NA WEWE UENDELEE KULA MAKOMBO KAMA ULIVYOZOEA.
MTIA NIA HUYU ANATUMIA NJAA YAKO ANAKUAMBIA MTUKANE NA UMKEJELI MWANACCM MWENZIO ANAYEPIGANIA USAWA NA HAKI NA ANAYETOA ELIMU KWA WENZIE NA ANAYEPINGA VITENDO VYA RUSHWA.
NA WEWE KWA NJAA ZAKO UNAKAZA MISURI YA SHINGO UNAJIDHARIRISHA MBELE YA JAMII KWA MATENDO YA HOVYO NA KUWAKEJELI WENZIO KISA TU KUJIPENDEKEZA.
MTIA NIA ANACHEKA SANA , ANAZIDI KUKUOMBEA KWA SHETANI WAKE USIZINDUKE NA ANAKUSOGEZEA VIKARAGOSI VIBARAKA VIKATUNI NA VIJIBWA VYAKE VINAZIDI KUKUBWEKEA KUKUAMINISHA KUWA MTIA NIA YULE NI MWEMA WAKATI WEWE UNAMJUWA FIKA NI TAPELI ILA KWA NJAA TU UNAKUBALI KURUBUNIWA NA KUTESEKA TENA KWA MIAKA MITANO.
ZINDUKA KAMA KWELI MTIA NIA ANATUPENDA NA ANA NIA YA KUTUSAIDIA NA SIO KUJITAJIRISHA, NATAKA ATUAHIDI KILA MWEZI AKIFANIKIWA AWE ANAKATA NUSU YA MSHAHARA WAKE ALETE KWETU ILI ZISAIDIE KAZI FULANI NDANI YA CHAMA MAENEO YETU, VILE VILE MIAKA MITANO AKIMALIZA VIVYO HIVYO AKATE NUSU YA MAFAO YAKE ARUDISHE KWA WAPIGA KURA ZA MAONI WALIOMPTISHA AMBAO WANAGAAGAA NA UFUKARA..

UONGOZI NI UTUMISHI SIYO KUJILIMBIKIZIA MALI ZA KUWACHORA WENZIO.

Niliwahi kusoma Gazeti la Mwananchi la tarehe 19)12/2019

Dkt Benson Bagonza
Askofu Dayosisi ya Karagwe aliwahi kusema,

" Tunaalikwa kuwa WATETEZI WA HAKI kwa sababu ndani ya mtu Yumo Yesu aliyezaliwa kwa ajili ya ULIMWENGU wote"
" Tuache HILA na UONGO na tukumbuke Ukweli uletao UHURU KAMILI".

Tukisoma Biblia Takatifu 1 Wakoritho 3 :16-17

Maandiko matakatifu yameandikwa,

" Hamjuwi ya kuwa ninyi mmekuwa hekalu la Mungu na ya kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?!?"

" Kama mtu akiliharibu hekalu la Mungu atamharibu mtu huyo. Kwa maana hekalu la Mungu NI TAKATIFU ambalo ndiyo ninyi.

Nilisoma Gazeti la Mwananchi la tarehe 19/12/2019 uk 06
Dkt Benson Bagonza
Askofu Dayosisi ya Karagwe alisema,

" Kumdhulumu, kumbeza, KUMBAGUA, kumnyanyasa Mwanadamu ni sawa na KUMTENDEA MUNGU MAMBO HAYO kwa sababu Mungu yupo ndani ya Mwanadamu."

Nilisoma Gazeti la Mwananchi la tarehe 19/ 12/2019
Dkt John Pombe Joseph Magufuli alisema,

" Mimi ni Mtumishi wenu nitaendelea kuwa Mtumishi wenu na nitaendelea kuwaeleza Ukweli hadi Mwisho wa kipindi changu. Tanzania ni TAJIRI dhahabu kila mahali, Almasi, samaki wamejaa."

Wanaccm wenzangu TUKATAE MASHINIKIZO YA KULETEWA VIONGOZI WADHAIFU WABINAFSI MATUMBO PAKACHA WASIO TOSHEKA TUMUUNGE MKONO RAIS WETU KWA KUCHAGUA VIONGOZI WACHA MUNGU WASIO NA VIBURI NA MAJIVUNO ILI WATUINUE NASI TUFURAHIE UTAJIRI WA NCHI TUSIENDELEE KUCHOPEKA , UMASKINI UNAUMIZA NA KUTUJENGEA CHUKI.

Gazeti la UHURU la tarehe 19/ 12/2019 uk 03

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli aliwaomba WATANZANIA kuendelea kumuombea ili ASIWE NA KIBURI NA KUSAHAU ALIOPOTOKA na kuwa kazi ni wajibu ambao amepewa na Mungu ili awatumikie BILA YA KUWABAGUA."

Wanaccm wenzangu PUMZI HIZI ZINATUDANGANYA ,
TUMTUMAINIE MUNGU WETU TUWASAIDIE WENZETU , TUWAINUE KIUCHUMI TUACHE NTIMA NYONGO TUKUMBUKE KUNA KIFO NA KABURINI WALE WENYE ROHO ZA KUTU MTATESEKA MNO , BADILIKENI MUWE WEMA KABLA UMAUTI HAUJAWAFIKIA VINGINEVYO MTAENDA KUJUTA KABURINI NA MTAKOSA MTETEZI MTAKUMBANA NA ADHABU ZA KABURI KWA KUENDEKEZA ROHO ZA KOROSHO ZA KUJITAJIRISHA HUKU WALIO WENGI WAKILA MAKOMBO NA KUSOTA KATIKA HALI YA UKAPUKU.

Tukisoma Maandiko Matakatifu Kitabu cha Fadhila za A'MAAL uk 85 - 86

Maandiko Matakatifu yanasema,

" Kila mtu hukutana na Matendo yake mema KABURINI, katika sura ya rafiki anayependeza ambaye humkaribisha humo na kumfariji."

" Lakini Matendo yake MABAYA huja na sura MBAYA inayotoa HARUFU MBAYA AMBAYO HUONGEZA MSIBA WAKE."

Tukisoma Maandiko Matakatifu Kitabu cha Fadhila za Dhikri uk 90

Maandiko Matakatifu yanasema,

" Basi wabashirie waja wangu ambao husikiliza maneno wakayafuata yaliyo BORA.
HAO ndiyo alio waongoza ALLAH, na hao ndiyo WENYE AKILI.

Tukisoma Biblia Takatifu Wagalatia 4 : 16

Maandiko Matakatifu yanasema,

" Je nimekuwa ADUI WENU kwa sababu NAWAAMBIA yaliyo kweli ? "

TBC Sherehe za UHURU Mwanza tarehe 09/12/2019
Dkt Shein - Rais wa Zanzibar alisema,

" Tanzania ni yetu sote".

Gazeti la Tanzanite la tarehe 10/12/2019 uk 04
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli alisema,

" Kwa kutambua kuwa hakuna Mwanadamu aliye Mkamilifu na wote tumesha TUBU na kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu."

TBC Tarehe 09/12/2019
Sherehe za UHURU Mwanza
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli alisema,


"Mungu ibariki Tanzania"




M. M. Kahinga

🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
 
chama kipo kwa sababu kuu 2
1.ujinga wetu
2.hakuna tofauti kati ya chama na serikali. watumishi wa chama ndo hao hao wa chama
mfano mkuu wa wilaya,wa mkoa
sasa una compete vipi hapo
 
WATU WALIO WENGI DUNIA HII
HUUCHUKIA UKWELI.

Wanaccm na Watanzania Wenzangu kwa Ujumla
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..

Ndugu zangu,

Dunia tunayoiishi Imejaa Jamii ya Watu wa Aina Mbili .

Wafuasi wa Mwenyezi Mungu
Na Wafuasi wa Ibilisi
Na yote haya unaweza kuyaona endapo tu Una jicho la Kiroho .
Macho ya nyama yaliyo mengi yana upofu .
Kimuonekano yanaonekana mazima ila Kiroho yamepofuka .

Wafuasi na Waumini wa Mwenyezi Mungu ni Watiifu na wenye huruma kwa Wenzao.
Wafuasi wa ibilisi kwanza wana Hasira muda wote na hawapendi kurekebishwa hata Kama wanakosea
Wanaamini kumuonea Kapuku na Maskini kwa Hali yake ni Jambo la faraja kwao na hawapendi Ushauri Wala kukumbushwa neno la Mwenyezi Mungu
Wanafiki
Wito Wangu hasa kwa Vijana
Vijana ni Taifa la leo
Tuonyeshe kukerwa na Unafiki wa baadhi ya Viongozi Miongoni mwetu wanao zisigina Sheria za nchi mchana kwupe ili tuweze kuleta Hali ya furaha kwa baadhi ya Makapuku wanao hisi kutengwa na kutelekezwa .
Mtu Mnafiki Hupenda kuonyesha sura za tabasamu huku Mioyo yao ikiwa imejaa matamanio ya Roho mbaya na ukandamizaji kwa Makapuku .

Nakumbuka Tarehe 24/May / 2022
Mheshimiwa Anthony Mtaka
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma
Aliwahi kusema,

" Na ndiyo maana tunawaambia , Ukiwa Mnafiki kwenye Ujana ukizeeka lazima uwe mchawi.

Mwisho wa kunukuu

Tukumbuke Sisi Wanaccm tunalo jukumu la kuusimamia Ukweli na ndiyo tulio uahidi kwa Watanzania ikiwa ni Pamoja na kuacha kufanya kazi kwa Mazoea
HAKUNA Pahali CCM tuluahidi
Unafiki
Na
Uongo
Tusome Ilani ya CCM 2020 uk 01 ibara 04 na uk 161 - 168
Utawala Bora.

Nakumbuka Tarehe 23/May / 2022
Katibu Itikadi na Uenezi CCM Taifa
Comrade Shaka Hamdu Shaka
Alisema,

" CCM ni Chama Kiongozi na CCM imekuwa ikitoa muelekeo wa Siasa za nchi yetu .
Jukumu ambalo hutuwezi *kulikwepa kwa njia* moja ama nyingine.

Mwisho wa kunukuu

Tujitahidi kukuza uwezo wetu wa *kufikiria Mambo yaliyo na Ukweli ndani yake ili kumtukuza Mwenyezi Mungu.
Tunapofikiri vizuri tuziandike fikra zetu ili ziwanufaishe wengine.
Wasioweza kuandika waseme wakiwa hasa na dhamira ya kukemea Unafiki na kukumbushana Maandiko yetu Kikatiba .

Tusome Katiba ya CCM 1977 Toleo 2020 ibara 15(3)(6)(7)
Ibara 12 (1) ili tukasome uk 151 vifungu 1, 3 ,6, na 8

Nakumbuka Tarehe 03/ May/ 2022
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan
Siku ya Uhuru wa Vyombo vya habari Duniani
Alisema,

" Tukichukuwa neno Uhuru maana yake ni uwezo wa kufanya , kuandika , kufanya,
Kusema , kufikiri Kama Unavyotaka"

" Huo ndiyo Uhuru ."

Mwisho wa kunukuu

Namuelewa Vizuri Mheshimiwa Rais Samia kwani kusema ni kuyatoa yenye kupinda pinda , tuyanyooshe ili nchi isonge mbele tusipisema huku ngazi za chini Watu wanazidi kuonewa.
Ni lazima tuseme ili uozo uwe hadharani.

Nakumbuka Tarehe 07 June /2022
Mheshimiwa
Hamis Mwinjuma
Mbunge wa Jimbo la Muheza
Akiwa Bungeni alisema,

" Lazima mnvua inyeshe ndiyo tujuwe ni wapi panapo vuja."

Mwisho wa kunukuu

Kwa Usemi huu natamka wazi
Atakayelikoroga
Nitamuanika Mchana kweupe.

Nakumbuka Tarehe 08/April/2022
Pastor Sunbella Kyando
Wa Reality of Christ Church
Alisema,

" Kuna watu wengine kwenye Maisha hata Kama hatuwapendi, Bado nafasi zao zina maana Sana kwenye Maisha yetu"

" Na ukikutana na Watu ambao wanakuambia Ukweli Mchungu hao watu ni Wazuri Sana kuwa - keep."

" Kuliko wale watu ambao wanakupa kile unachokitaka ( kinacho kufurahisha wewe tu)
" Na watu wengi siku hizi ili kutunza Mahusiano, ( utaona mtu) anakuambia kile ambacho (Wewe) utajisikia vizuri."

" Ni watu Wachache Sana ambao wako tayari kukuambia Ukweli."
" Kwa sababu watu wengi wakisikia Ukweli Wanakasirika . "

Mwisho wa kunukuu

Wote tufuate Sheria na Wala zisiwe kwa Makapuku tu

Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 Toleo 2005 ibara 13(1) , 12(1)(2) , Ibara 26(1)(2) bila kuacha ibara 9(a)(b)(h)
Na ibara 29.

Nakumbuka Tarehe 05 February 2020
Mheshimiwa George Mkuchika
Akiwa Waziri Mwenye Dhamana ya Kushughulikia Utawala Bora
Aliwahi kusema,

" Nataka niwaambie Watanzania Wenzangu, nchi hii inaendeshwa kwa Mujibu wa Sheria , Taratibu, na Kanuni na Imemuweka Waziri Maalumu wa kusimamia Utawala Bora ".

Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 Toleo 2005 Ibara 18(a)
Ilani ya CCM 2020 ibara 110(c)


Kidumu Chama Cha Mapinduzi






Mathias Mugerwa Kahinga

🙏🏿🙏🏿🙏🏿🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤝🏾🤝🏾🤝🏾
 
MARADHI YATOKANAYO NA


UOGA



HUTUZALISHIA


UJINGA WA FIKRA.


Ndugu zangu Wanaccm na Watanzania kwa Ujumla ,NINAMSHUKURU KWA BARAKA ZAKE ZA KUTUWEZESHA KUIONA SIKU YA LEO.
Kumcha Mwenyezi Mungu ndiyo Mwanzo wa Maarifa.

Nakumbuka Mwaka 2019
Katika Mashindano ya Qur aan Dar es salaam

Rais wetu Mpendwa Dkt John Pombe Joseph Magufuli alisema,

Ninamnukuu,

"Kumcha Mungu Kuna Baraka zake."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka Tarehe 01/02/2021
Katika siku ya Sheria na Miaka 100 ya Mahakama Kuu,

Mheshimiwa,
Professor
Ibrahim Hamisi Juma
alianza kwa kumuomba Mungu, alisema

Ninamnukuu,

" Awali ya yote napenda kuchukuwa nafasi ya kwanza kabisa kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwenye wingi wa fadhila kutuwezesha kukutana kwa mara ya kwanza kabisa katika Makao ya nchi yetu Dodoma."

Wanaccm na Watanzania wenzangu huu ni Uthibitisho ya kwamba tukiamuwa kumtanguliza Mungu kwa KILA JAMBO LETU NI WAZI TUTAFANIKIWA SANA .
Basi tuendelee kumuomba Mungu ili ATUZIDISHIE UJASIRI WA KUACHA UOGA WA KIJINGA
TUJIAMINI NA KUSIMAMIA UKWELI BILA YA KUMUONEA MTU BALI KWA KUJISOMEA NA KUFUATA MAANDIKO YETU TULIYOKUBALIANA NA KUYALINDA .
HUU NDIYO UTU.

Nakumbuka Tarehe 04 09/ 2018

Rais wetu Mpendwa Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa UKEREWE Alisema,

Ninamnukuu,

" Nataka Mahali TUNAPOKOSEA TUJISAHIHISHE
Na Mahali tunapopaweza
TUJIPONGEZE,Nataka Tanzania na Watanzania Wa NAMNA HIYO."

Mwisho wa kunukuu.

Tukisoma Kitabu cha TUJISAHIHISHE uk 18

Mwl JK Nyerere anatuelezea,

" Mungu ametupa akili ili tuweze KUZITUMIA kwa Manufaa yetu na Jumuiya."

Wanaccm na Watanzania wenzangu, SUALA LA KUREKEBISHANA SIO JEPESI , LINA CHUKI NA HASAMA NDANI YAKE
LAKINI NI LAZIMA TUJITOE MUHANGA IKIBIDI KUFA NI SAWA TU ILIMRADI HATUMUONEI MTU BALI TUNASIMAMIA HAKI NA USAWA.
TUJIULIZE KWANI WALE WOTE WANAOKUFA MAHOSPITALINI NI WANASIASA,!?!?
TUACHE UOGA .

Tukisoma Maandiko MATAKATIFU ya Biblia
Wakorintho 10: 3-5

Maandiko Matakatifu yanasema,

" Maana ingawa twaenenda katika Mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya Mwili."
"Maana silaha za vita VYETU SI MWILI, Bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome."
" Tukiangusha mawazo na kila KILICHOINUKA juu ya ELIMU YA MUNGU; na tukiteka NYARA kila FIKRA ipate KUMTII KRISTO."

Mwisho wa kunukuu.

Tukisoma Kitabu cha TUJISAHIHISHE uk 03
Mwl JK Nyerere anatuambia,

Ninamnukuu,

" Wengine huweza kumuona Mwenzao ANAFANYA KOSA .
Badala ya kumwambia pale pale KIJAMAA watanyamaza kimya,
Lakini watakwenda kumteta katika vikundi vya Siri Siri
Mateto hayo SI YA KUMSAIDIA, ni ya kumdhuru,
Hii ni aina moja ya FITNA."

Mwisho wa kunukuu.

Kila MTANZANIA anao wajibu wa KUZILINDA , KUZITETEA NA KUCHUKUWA HATUA DHIDI YA UVUNJIFU NA USIGINWAJI WA SHERIA ZETU KUU.

HAYA HAYATAFANYIKA ENDAPO TUTAENDEKEZA maradhi ya UGONJWA WA UOGA.
UGONJWA HUU NI HATARI KULIKO HATA. COVID 19 Kwani unaziumiza hata familia zetu pasipo na sababu za msingi.

Niliwahi kusoma Kitabu cha The Magic of Thinking Big.

Mwandishi David J Schwartz Ph D.
Aliwahi kuandika,

"Truly, fear is a powerful Force. In one way or another fear prevents people from getting what they want from life."
Fear of all kinds and size is a form of psychological INFECTION,
We can cure a MENTAL INFECTION the same way we cure a body infection with specific proven treatments.

Rais wetu anaiheshimu katiba na SHERIA za nchi na aliapa kuzilinda
Kwanini huku chini watu WANAZISIGINA KISHA NI HAO HAO WANAZILAUMU Mahakama, Dpp, Police, TAKUKURU nk.

Tuanze sasa KUJILAUMU WENYEWE WALE WOTE WAVUNJIFU WA SHERIA KABLA YA KUWALAUMU WENGINE KWA MAKOSA YETU YA MAKSUDI kisha ni Sisi sisi TUNATUMIA KAULI ZA UKALI NA TUNAJITANUA , TUNAVIMBA MAKWAPA KUWAONEA WANYONGE KWA VIKANUNI TUNAVYOVIONA VINAFAA KUWAONEA MASKINI HUKU TUKIWALINDA WAKUBWA WAKUBWA HATA KAMA KUNA USHAHIDI YA KWAMBA WAMEPORA WAKE ZA WANYONGE NA KUWAZALISHA na Mambo mengine mengi ya hovyo.

Kwani sisi ni akina nani na wao ni akina nani hadi wavunje katiba zetu WAZIWAZI.
Wanajitajirisha TUKIWASHUHUDIA HUKU TUKIZIDI KUWA MAKAPUKU ILA KWA sababu ya UOGA , KUJIPENDEKEZA, NA KUJIKOMBAKOMBA NA KULAMBA LAMBA VISIGINO VYAO tumekuwa wakimya.
NI heri kufa nikisimamia Ukweli kuliko kufanywa KIKARAGOSI, KIBARAKA AU KIJIBWA Cha watu fulani KWANI BABA WA TAIFA YAPO maandiko aliyaacha AMETUKATAZA TABIA HIZO NA AKATUHUSIA KUUSIMAMIA UKWELI NA KUACHA UOGA..
TURUDI kwenye MSTARI wote TUFUATE SIASA ZA UKWELI ZA UJAMAA.
UJAMAA SIO WACHACHE KUJILIMBIKIZIA MALI HUKU WALIO WENGI WAKITAABIKA HUO NI UBEPARI
TUBADILIKE WENYE TABIA HIZO JAMII IMEAMKA INAONA wachache wanavyofurahia WAKILA BATA KWENYE MAHOTELI MAKUBWA HUKU WALIO WENGI WAKIPAMBANA JAPO KUPATA BUKU JERO YA KULA KWA MAMA NTILE KWA UGUMU MNO.
NAWAONYA WENYE TABIA ZA SHIBE KUWAONEA WANYONGE WAACHE.
YAPO MAMBO MENGI YA KUINGIZA VIPATO TUKISAIDIANA.
SIO LAZIMA WANACCM TUTESANE KWA MAKOSA YALIYOFANYWA NA WACHACHE NA YANAYOENDELEA HADI SASA YA KUPUUZA NA KUDHARAU MATAKWA YA KATIBA YA CCM KUHUSU TARATIBU ZA KUWAINGIZA WANACHAMA NDANI YA CCM.

Tukisoma Kitabu cha TUJISAHIHISHE uk 04 - 05
Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Ukweli una tabia moja nzuri sana .
Haujali Mkubwa wala mdogo, haujali Adui wala Rafiki, kwake watu wote ni sawa.
Pia Ukweli unayo tabia ya kujilipiza KISASI Kama utapuuzwa .
UKIONA nataka kulipiga teke JIWE kwa kuwa nafikiri kuwa ni dongo au mpira, natumaini UTANIONYA.
Lakini nukilipuuza ONYO LAKO kwa sababu ETI WEWE NI MDOGO au kwa sababu SIKUPENDI, nikilipiga TEKE Basi litanivunja dole japo NINGEKUWA NANI .
Ukweli haupendi kupuuzwa puuzwa."

Mwisho wa kunukuu

Wanaccm na Watanzania wenzangu KUFANIKIWA kimaisha NI KUWEKEZA KWA WATU KWA KUWASAIDIA NA KUWAINUA KAMA ANAVYOFANYA RAIS WETU MPENDWA Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
Na tuliyobaki tufanye hivyo , tuige Matendo mema TUACHE UBINAFSI NA ROHO MBAYA kwani Matendo ya HOVYO NI MATENDO YA WATU WASIO FANIKIWA KIMAISHA WA HOVYO KABISA HATA KAMA WANA MIFEDHA NA MALI KEDEKEDE.

Niliwahi kusoma Kitabu cha The Magic of Thinking Big uk 21

Mwandishi David J Schwartz Ph D aliwahi kuandika,

" Unsuccessful people suffer a mind - deadening thought desease.
We call this desease exusitis."

Mwisho wa kunukuu

TUACHE sababu za visingizio TUZALIWE UPYA KWENYE MIOYO YETU TUWE NA UPENDO WA KWELI TUWASAIDIE WENZETU WAINUKE KIMAISHA .
TUSILOLIPENDA TUSIWAFANYIE WENGINE. TUACHE TABIA ZA KINAFIKI za KUJIONA Bora KULIKO MAKAPUKU walio wengi wanaotaabika.

Tukisoma Kitabu cha The Magic of thinking Big uk 07
Mwandishi David J Schwartz Ph D anasema,

" Nobody enjoys crawling, living in MEDIOCRITY.
No one likes feeling second class and feeling forced to go that way."

Mwisho wa kunukuu

Watanzania wenzangu , Kama tunavyohamasisha wanetu KUSOMA , ni vivyo hivyo na sisi tujisomee TUWE NA UELEWA ILI TUWEZE KUSIMAMA NA KUJENGA HOJA ZENYE MASHIKO .

Tusome Ilani ya CCM 2020 uk 128 - 130 kifungu cha 80 na kuendelea.

Tusome Kitabu cha Kanuni za Jumuiya ya Umoja wa Wazazi toleo 2017 uk 01 kifungu cha 02

TUACHE kubembelezana tuamue KUJISOMEA ili tukuze UELEWA utakaopelekea sisi kwa sisi KUTENDEANA haki na Usawa.
Tusome katika ya CCM ili tuelewe haki na wajibu wa Mwanaccm kujielimisha ILI KUUONDOA UJINGA unaotuzalushia UOGA kwa visingizio vya HESHIMA.

Nakumbuka February 2021

Rais wetu Mpendwa Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Akizindua Kiwanda cha kukoboa Mpunga alisema,
Ninamnukuu,
" Tumebembelezana MNO kwa KUOGOPANA SURA."

Mwisho wa kunukuu.

TUPENDANE

Nakumbuka February 2021
Katika Maadhimisho ya Miaka 44 ya CCM
Mzee Joseph Butiku alisema,
Ninamnukuu,
" Nilichotaka kusisitiza kwamba Mwl (Nyerere) niseme na Karume vile vile
Mwl yeye ndiye alikuwa na IMANI KUBWA kabisa na Binadamu wenzake, kwa hiyo alitutengenezea hapa ITIKADI ya Ujamaa ina maanisha Unaamini katika Mambo mawili tu.

La kwanza Unaamini ya kwamba Binadamu unayemuona karibu yako ni sawa na wewe katika Utu wenu. Hilo Mwl( Nyerere) HAKUWA NA MZAHA NALO , na ndilo aliloliacha kwenye Chama cha Mapinduzi.
Itikadi ya Ujamaa ni kwamba Sisi wote ni sawa katika Utu wetu.

La pili Sisi wote tunastahili HAKI , HAKI SAWA KWA WOTE.

Mwisho wa kunukuu

Watanzania wenzangu najitolea KUWAELIMISHA kadri ninachojaaliwa kukielewa kwa UELEWA WANGU KIZINGATIENI.
Nia yangu ni KUREKEBISHANA ili TUACHE UOGA KWENYE MAMBO YA MSINGI.
Haiwezekani Sisi CCM Tumeaminiwa na Watanzania wenzetu kuongoza nchi na TUKAWAAHIDI TUTAWAONDOLEA UMASKINI
Mwishowe ni SISI SISI TULIO WENGI TUMEENDELEA KUWA OMBA OMBA.
NI LAZIMA TUFIKIRI NJE YA BOX ,
Kama watu wanavunja katiba ( SHERIA mama kubebana) iweje tukazanie Kanuni KISA TU ZINAMBANA MNYONGE KWA MAKOSA YA WAKUBWA WACHACHE WALIYOKOSA YA KUISIGINA KATIBA KWA KUPUUZA UTARATIBU WA UINGIZAJI WANACHAMA.
TUWASAIDIE WENZETU WALIO WENGI , WANACCM WANA MAISHA MAGUMU SEHEMU NYINGI.

Nakumbuka June 2016

Rais wetu Mpendwa Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Akiwaapisha Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa alisema,

Ninamnukuu,

" Ukifanya kitu kizuri kwa DHAMIRA yako iliyo njema kitazaa matunda mazuri."
" Ukifanya kitu kwa UNAFIKI hakitafanikiwa."

" Watanzania wanateseka sana , ni mengi yanayofanyika ya AJABU, mengi."

Mwisho wa kunukuu

Wanaccm wenzangu na Watanzania kwa Ujumla.
Nafahamu , njaa ikiuma sana HUYUMBISHA UBONGO.

TUJIFUNZE KUVUMILIA NJAA ILI NYAKATI ZA CHAGUZI TUSIWE TUNAWACHAGUA WATU KWA VIGEZO VYA WINGI WA KUTOA PESA ZA RUSHWA KWANI TUMEKUWA TUKICHAGUA WALIO WENGI AMBAO KAMWE HAWAONI WALA HAWAJUI THAMANI YETU YA KUWACHAGUA WAO.
LEO HII KWA MFANO TUITISHE MIKUTANO YA HADHARA KISHA TUWAAMBIE WANANCHI WAKAE NYUMA YA VIONGOZI WALIO WATAKA WAO !

WATU WATAUMBUKA.

Basi wanaojijua wana MAKANDO KANDO WAJIREKEBISHE WAZALIWE UPYA KITABIA.

Mwl JK Nyerere aliwahi kuandika kwenye Kitabu cha TUJISAHIHISHE uk 08

Ninamnukuu,

" Mara nyingi Wanachama huchagua viongozi BILA KUFIKIRIA KWA MAKINI Kama viongozi hao wanaweza au hawawezi kazi wanayochaguliwa kufanya.
"Wanachama wetu hufanya makosa Makubwa sana ikiwa watachagua Viongozi wao HOVYO TU.
" hili ni Jambo LA HATARI kwa Demokrasia na Chama chetu."
" Ni wajibu wetu katika kuhifadhi Demokrasia kuona kuwa TUNACHAGUA VIONGOZI ambao wanaweza kazi yao."

Mwisho wa kunukuu

TUACHE UOGA TUIANGALIE HAKI NA USAWA MAWAZO HASI NA YA HOVYO YANATUCHELEWESHA


Nakumbuka niliwahi kusoma Kitabu cha Power of Positive thinking uk 13

Mwandishi Anu Sehgal aliwahi kuandika,

" Most of our negative habits come from parents and teachers THAT WERE NEGATIVE MOST OF THE TIME."

Tukisoma Kitabu cha Build yourself Confidence uk 59

Maandiko yanasema,

" Inferiority complex can be DANGEROUS for growing individual.
Such a person can never work towards greatness.
He often commit mistakes IN ORDER TO HIDE HIS own WEAKNESSES."

Tukisoma Maandiko Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 165

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

" Viongozi wasifiche Makosa ,
Haya ni makosa kwa kuwa njia pekee ya KUSONGA mbele ni KUYAKABILI Kama yapo ,
KUYAKUBALI KUWA NI MATATIZO na kuyatafutia njia za kuyatatua na SIO KUJIDAI kwamba hayapo."

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Kitabu cha The Magic of thinking Big uk 66

Mwandishi David J Schwartz Ph D anasema,

" Where success is concerned, people are not measured in inches or pounds or College Degree, or family background;
They are measured by the SIZE OF THEIR THINKING,
How big we think determines the size of our Accomplishment."

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Kitabu cha Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania uk 88

Mwl JK Nyerere aliwahi kuandika,

" Wanaccm kwa Vitendo vyao LAZIMA waanze kupiga VITA UTAMADUNI WA WOGA na fidhuli ya Viongozi."

Uongozi ni UAMINIFU NA UADILIFU

Tukisoma Maandiko Matakatifu kutoka Kitabu cha Fadhila za Sadaqaat uk 17 - 18

Maandiko Matakatifu ya Mwenyezi Mungu yanasema,

" Rasulullahi Swallallahu Allaihi Wasallam akisema
' Miongoni mwa Watu saba watakaofurahia kivuli cha Arshi ya Allah Taala wakati kutakapokuwa hakuna KIVULI CHENGINE katika siku ya KIAMA ni KIONGOZI MWADILIFU.


Mwisho wa kunukuu


Kiongozi Bora anaguswa na hali duni na Mateso ya WALIO WENGI WALIOMUAMINI NA KUMPA RIDHAA.

PIA ANAHESHIMU NA KUTII SHERIA WALA HATUMII MAMLAKA YAKE VIBAYA KUTISHA WALIO WENGI.




KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI



Mathias Mugerwa Kahinga
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🤝🏾🤝🏾🤝🏾
 
UONGOZI NI MWEPESI SANA.

NI KUFANYA MAAMUZI KUTENDA HAKI NA USAWA

KWA YALE TUNAYOKUBALIANA KUYAFUATA NA KUYATIMIZA PASIPO VITENDO VYA KIBAGUZI NA KIUPENDELEO.

Nakumbuka niliwahi kusoma Kitabu cha HOW SUCCESSFUL PEOPLE THINK uk 96

Mwandishi John C Maxwell aliwahi kumnukuu William Feather Mtunzi wa The business of life akisema,

" Before it can be SOLVED, a problem MUST BE clearly DEFINED."
" Too many people RUSH to solutions and as a RESULT they end up SOLVING THE WRONG PROBLEM."

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Kitabu cha 21 Irrefutable laws of leadership uk 75

Mwandishi John C Maxwell anatukumbusha,

" A leader's good Character BUILDS TRUST among his FOLLOWERS.
But when a leader BREAKS TRUST, he FORFEITS HIS ability to lead "

Mwisho wa kunukuu.



SIAMINI KATIKA HILO

KUMTANGULIZA MUNGU

NA KUFUATA TARATIBU HUSIKA

UKIJIEPUSHA NA VITENDO VYA KIBAGUZI NA KIUPENDELEO

NI WAZI UTAKUWA KIONGOZI BORA WA MFANO WA KUIGWA.

LEO HII KWA MAKSUDI TUNASHUHUDIA WATU ( BAADHI YA VIONGOZI WAKIZISIGINA KATIBA KANUNI MIONGOZO NA TARATIBU TULIZOJIWEKEA NA KUKUBALIANA KISHA NI HAO HAO BAADHI WANASIMAMA NA KUPAMBANA HADHARANI KUWASAIDIA MASWAHIBA ZAO

WENYE MAPUNGUFU MAKUBWA YA KISHERIA.

NIULIZE TU KIDOGO HAPA.

Katiba na vitabu vyetu vyote vya KISHERIA

Vinatamka WAZI

HAKUNA Mtu YEYOTE aliyeko JUU YA SHERIA.

Utakuta watu wametoa TAARIFA KWA MFANO WATU WA HUKU CHINI UTAKUTA WAMEOELEKA TAARIFA JUU KUWA MTU FULANI HAFAI.

WALE WA JUU BAADHI WANAKAA NA MTUHUMIWA KISHA WANAANDAA VIKAO WANAMPITISHA HUKU WAKIJUWA

HAFAI NA WANANCHI WAMELALAMIKA.

NAJIULIZA

WALE WAJUMBE WASOMI HUWA HAWAELEWI YA KUWA HAKUNA MTU ALIYE JUU YA SHERIA?

BADALA YA KUTOA USHIRIKIANO NA WATOA TAARIFA( WAFICHUA MAOVU)

NI HAO HAO HUANZA KUPANGA ZENGWE KUMWANGAMIZA ALIYETOA TAARIFA HUKU WAKISHIRIKI KUMPA CV ZA HOVYO MARA YULE KICHAA nk.

Nilichojifunza

UKIWA kiongozi MWAMINIFU MWADILIFU MPENDA HAKI NA USAWA NI LAZIMA UJIANDAE KWA LOLOTE KWANI WATU WALIO WENGI

WANAPENDA RUSHWA NA UNAFIKI NDIYO FARAJA KWAO.

TUNASOMA YESU KRISTO ALIJARIBU KUTUKOMBOA WANADAMU ILA ALIPATA SHIDA KUTOKA KWA KIZAZI CHA WAFUASI WA IBILISI.

MTUME (SAW) NAYE ALIPOTULETEA NENO
WAFUASI WA IBILISI WALIPINGA NA WALIMPIGA HADI WAKAMNG' OA MENO.

SOMO UKIWA MTENDA MEMA NA MFUASI WA MUNGU LAZIMA UJIANDAE KISAIKOLOJIA.


TUNAISHI KATIKA DUNIA AMBAYO Watu wabaya HUTAMANI SANA KUONEKANA WEMA MACHONI MWA JAMII PASIPO WAO KUELEWA KUWA JAMII

IMEELIMIKA NA INAONA KILA KITU ILA IKO KIMYA.



TUENDELEE KUREKEBISHANA KWA KUAMBIZANA UKWELI ILI TUBADILIKE. TUUIMARISHE UMOJA WETU NA DEMOKRASIA YA KWELI.

Nakumbuka Aug 2020

Mzee Joseph Butiku aliwahi kusema

Ninamnukuu,

" Demokrasia maana yake kwa neno jepesi la Kiswahili ni nafasi ya Wananchi kushiriki katika KUFIKIRI, KUFIKIRI, kutoa mawazo yao WAZIWAZI na kutenda katika kutekeleza yale ambayo WANAKUBALIANA, The right to participate."

Mwisho wa kunukuu

Watanzania tunapokubaliana wote kufuata SHERIA ni lazima iwe hivyo.

Tunapoingiza UBAGUZI NA UPENDELEO tunazisigina katiba zetu na kuzigalagaza HOVYO HOVYO kisha ni sisi sisi tunaanza KUWALAUMU MAHAKAMA Wakati sote kila mtu akitimiza WAJIBU WAKE Wa KUZILINDA SHERIA ambazo MIONGONI MWETU tumeapa KUZILINDA .

Tumfurahishe Mungu kwa kuwa wakweli.

Nakumbuka February 2020
Jaji Mkuu wa Tanzania
Professor Ibrahim Hamisi Juma

Alisema, ninamnukuu,

" Neno uamuzi wa Mwisho unaozungumzwa , maana yake nini, Maana yake ni kwamba KILA TAASISI YA UMMA INAGUSA HAKI SIO MAHAKAMA, Jambo linakuja LIMEHARIBIKA NDIYO linakuja Mahakamani."

Mwisho wa kunukuu

Nilivyomuelewa IKIWA WOTE TUTAHESHIMU MAANDIKO YETU NA KUTENDA HAKI ,KILA MTANZANIA KWA NAFASI ALIYOPO KUITENDEA HAKI NA KUJISOMEA YALE TULIYOKUBALIANA
HUKO MAHAKAMANI TUTAPUNGUZA MSONGAMANO .

Nakumbuka February 2020
Mzee Joseph Butiku alisema
Ninamnukuu,

" Chama imara Serikali imara inasimamia itikadi yake BILA KUBABAIKA, HICHO ndicho Chama IMARA na MSOME DOCUMENTS ZA CHAMA,
MSISEME MANENO YENU TUU, Mnaamka kila mtu ana la kwake,
SOMENI MAANDIKO YA CHAMA YAKO YAMEANDIKWA , SIO kila mtu ana la kwake, kila mtu ana la kwake" .

Mwisho wa kunukuu
Watanzania ifike Mahali tuone AIBU KUWAONEA WENZETU KWA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA YETU.

Niliwahi kusoma Kitabu cha HOW SUCCESSFUL PEOPLE THINK uk 170

Mwandishi John C Maxwell aliwahi kumnukuu Mkufunzi wa Kimarekani Horace Mann akisema,
" Be ashamed TO DIE until you have won some victory for humanity."

Mwisho wa kunukuu.

Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 uk 27 ibara 26 (1)(2) na uk 20 ibara 13(4)(5).

Tusome katiba ya CCM 1977 uk 01 - 03 ibara 05 (16)(17) na uk 05 ibara 08 (1)(2)

Tusome Kitabu cha Kanuni za Uongozi na Maadili Toleo 2017 uk 02 kifungu cha (iv)

Tuishi na WENZETU KWA SISI WENYEWE KUWA MIFANO YA KUIGWA NA SIO KUTANGULIZA UKALI.

Niliwahi kusoma Kitabu cha The 21 Irrefutable laws of leadership uk 248

Mwandishi John C Maxwell aliwahi kuandika,
"Learn to lead not just for yourself, but for the people who follow behind you.
And as you reach the highest levels DON'T FORGET to take others with you to be the leaders of tommorow."

Tusome Kitabu cha Kanuni za Fedha na Mali za Chama na Jumuiya zake uk 165 kifungu 14:3

Tukisoma Kitabu cha HOW SUCCESSFUL PEOPLE THINK uk 163

Mwandishi John C Maxwell anatukumbusha

" People with humility don't think less of themselves,
They just think of themselves less."

Tusome Kitabu cha Azimio la Arusha uk 04 kifungu cha (i)

Tukisoma Kitabu cha The 21 Irrefutable laws of leadership uk 212

Mwandishi John C Maxwell aliwahi kuandika,

" When you become a leader, YOU LOSE THE RIGHT to think about yourself."

Tusome Ilani ya CCM 2020 uk 161 - 168.
Nakumbuka February 2020
Mzee Joseph Butiku alisema,

Ninamnukuu,

"Naomba MSOME manaake, mara NYINGI sisi tunasahau KUSOMA SOMA. Kila mtu anapenda KUSEMA Mambo ya kwake,
Ni tabia nzuri ya KUFIKIRI lakini vile vile ni VIZURI KUFUATA MISINGI."

Rais wetu Mpendwa Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa Mlale RUVUMA
Tarehe 08/04/2019 alisema

Ninamnukuu,

" Ni lazima Sisi Kama Taifa tufike Mahali TUJIULIZE
TUACHE UNAFIKI,
Kama Mahali TULIKOSEA ni lazima MAKOSA yale TUYABADILISHE,
Ni lazima kwa sababu sisi wote ni Watanzania."

Watanzania wenzangu kwa UMOJA WETU tukiamua kabisa KUMTANGULIZA MUNGU na TUKAAMUA kuyafuata maamrisho yake BILA UNAFIKI WA KUPENDELEANA NA KUBEBANA NINA UHAKIKA NCHI YETU ITAKUWA ZAIDI YA LIBYA WALIVYOKUWA.
SISI TUNA MALI NYINGI MNO HATUNA HAJA YA KUUKUMBATIA UNAFIKI.
TUTENDE HAKI NA USAWA
HUU NDIYO UONGOZI BORA NA SAFI WENYE KUACHA ALAMA ILIYO NJEMA.

TUWE WEMA TUUCHUKIE UNAFIKI KWANI UNATUJENGEA CHUKI HAUTENDI HAKI NA WATANZANIA WENGI WAMEAMKA NA WANAJIELEWA

TUSIWABURUZE

Tukisoma Maandiko Matakatifu ya Mwenyezi Mungu kutoka Kitabu cha Muntakhab Ahadith uk 372

Maandiko Matakatifu yanasema,

" Abu Hurairah Radhiallahu Anhu amesimulia kuwa Rasulullahi Swallallahu Alaihi Wasallam amesema,

" Yule ambaye anamkumbuka Allah KWA WINGI ANAOKOLEWA kutokana na UNAFIKI."


KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI




Mathias Mugerwa Kahinga
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

"
 
ELIMU NI UTI WA MGONGO


Wanaccm tunapojielimisha kwa hiari zetu Mambo mbalimbali ni wazi tunakuza UWEZO WETU KIFIKRA NA KIMITAZAMO.

Pia tunaitendea haki Katiba ya CCM 1977 toleo 2020 ambamo tuna AHADI NA WAJIBU kwa kila Mwanaccm kuuondoa UJINGA kila Mmoja wetu kwa kadri anavyojaaliwa na Mola wetu kufanya hivyo.

Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2020 ibara 15(3)(6) na uk 151 kifungu cha (3)(6)

Niliwahi kusoma kitabu Cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 152

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

Ninamnukuu,

" Ahadi Moja ya Mwana TANU inasema, Nitajielimisha kwa kadri ya Uwezo wangu wote na kuitumia Elimu yangu kwa faida ya wote."

Mwisho wa kunukuu

Wanaccm wenzangu ,
Elimu haipatikani tu kwenye vineno vichache.

Tukiwauliza WATAALAMU WALIOSOMEA FANI MBALI MBALI utagundua walisoma vitu vingi ndiyo maana WASOMI WA UKWELI HUWA HAWAPENDI MAJIBIZANO YASIYO NA TIJA KWANI UELEWA WAO NI MPANA.

HATA HIVYO SISI KAMA CCM TUNAO WAJIBU WA KUVISOMA VITABU VYOTE VYA CCM ILI VITUSAIDIE KUACHA KUISHI KWA MAZOEA NA KUISHI KWA UHALISIA WA YALE TUYOKUBALIANA KUYAFUATA. NA MTAZAMO HUU UTASAIDIA KUONDOA MIGOGORO NA MIGONGANO MIONGONI MWETU AMBAYO HUPELEKEA BAADHI MIONGONI MWETU KUPINGA HATA MAMBO YENYE UKWELI NA FAIDA KWA JAMII KISA TU BAADHI YETU WSMEJIWEKA REHANI FIKRA NA MAWAZO YAO KWA AJIRI YA KUCHUMIA TUMBO.

Tusome Ilani ya CCM 2020 - 2025 uk 01 kifungu cha 04.

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 154

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Kila Mmoja aliyepata nafasi ya kujifunza kitu awe tayari na DHAMIRA ya kuwafunza wengine."

Mwisho wa kunukuu

Wanaccm wenzangu ,
Sote tunatambuwa Uongozi wa nchi yetu HAUNA DINI ila watu wake Wana Dini.

Ndiyo Maana kila tunapowaapisha VIONGOZI WETU HUMALIZIA VIAPO VYAO KWA KUMUOMBA MWENYEZI MUNGU KILA MTU KWA IMANI YAKE KUONYESHA NGUVU , UTUKUFU NA UWEPO WA MUNGU.
NI WAZI IPO HAJA YA SISI SOTE WANACCM KUELIMISHANA KILA MTU KWA kile anachokijuwa KWA MAPANA YAKE PASIPO KUWEKEWA MIPAKA KWANI BINADAMU HAKIKA TUNATOFAUTIANA MAPOKEO YA MAMBO.
HIVYO HAKUNA ELIMU ISIYOFAA.

Niliwahi kusoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 147

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema

" Hakuna Elimu isiyofaa, Wala hakuna mafunzo yasiyokuwa na faida."

Mwisho wa kunukuu

Katika CCM tupo watu wengi WENYE UELEWA TOFAUTI.
Wapo wenye kiu ya kujuwa Mambo mengi ya KIELIMU na wapo waliolizika NA HALI WALIZO NAZO .

Tunapopewa TALANTA NA MWENYEZI MUNGU ya kuwaelimisha watu , mara nyingi tunaangalia UHITAJI WA KUNDI KUBWA NA SIO KUNDI DOGO LILILO POTEZA UELEKEO.
Binafsi nikifanya Jambo langu la kuwaelimisha watu huangalia uhitaji wa kundi kubwa NA SIO UHITAJI WA WAKATISHA TAMAA KWANI HAWA WANAHITAJI MAOMBI MAALUMU KWA MWENYEZI MUNGU ILI AWABADILISHE KIMITAZAMO NA KIUELEWA.

Naikumbuka Tarehe 29/May 2021
Dkt Hussein Mwinyi
Rais wa Zanzibar
Akiwa ziarani kaskazini Unguja ya kutoa Shukrani kwa Wanaccm ,
Alisema,

" Mimi nasema Kama alivyosema Mheshimiwa Mwakilishi hapa,
HAKUNA BINADAMU HAPA atakayependwa na watu wote,
HAKUNA BINADAMU atakaye ungwa mkono na watu wote."

" Lakini mara zote huwa najiuliza ,
Wanao litaka hili ni wengi au ni WACHACHE,
Jambo hili ninalo lifanya lina maslahi kwa nchi yetu au halina.
" Nikipata majibu hayo kwamba ninachokifanya
kina maslahi kwa nchi yetu na wengi wanaliunga mkono Basi naendelea nalo."

Mwisho wa kunukuu

Tujitahidi kuwa na FIKRA, Maoni na Mitazamo chanya na siku zote tujielewe tuna jukumu la kuiongoza SERIKALI YETU ili iyafikie malengo ya Utekelezaji wa ilani kwa kiwango kikubwa.
Tunao wajibu WA KUKATAA MITAZAMO HASI NA KUISHI KWA MAZOEA BILA KUJISUMBUA KUPATA ELIMU YA KUTUONDOLEA UJINGA.
Madhara ya kufuga Mitazamo hasi ndani ya mioyo yetu hutudharirisha mbele ya Jamii kwani nyakati zingine tunalazimika KUAMUA KUBISHA TU HATA KWA MAMBO YA MSINGI YANAYOONEKANA KWA UWAZI NA YA MUHIMU KWA JAMII.

Dkt Joseph Murphy Ph D, DD
Katika Kitabu chake cha The Power of Your Subconscious mind uk 47
Anatukumbusha,

" If you think negatively, Destructively, and viciously, these thoughts GENERATE DESTRUCTIVE EMOTIONS which must be expressed and find an outlet.
These emotions being of a negative nature are frequently expressed as ulcers, heart trouble, tension and anxieties."

Tunao uwezo WA KUACHANA NA UJINGA MIONGONI MWETU IKIWA TU TUTAAMUA KWA DHATI KUFANYA HIVYO KWANI MARA NYINGI TUNAYAWEZA MAMBO MENGI KWA KUYAAMULIA KUTOKA MIOYONI NA SIO KIJUU JUU KWA kuziendekeza njaa zetu ili tusifiwe na WAFADHILI WA MUDA WA NJAA HIZO ZINAZOTUFANYA TUJIKOMBE KWAO NA KUWA WAUMINI WA KULAMBA VISIGINO KWA KILA JAMBO HATA KAMA HALINA TIJA KWA JAMII.

Dkt Norman Vincent Peale
Katika Kitabu chake cha The Amazing Results of Positive thinking uk 143
Anatukumbusha,

" When you believe that a difficulty can be overcome, You are more than half way to victory over it already,
One of the greatest of all principle is that men can do what they think they can do."

Mwisho wa kunukuu

Inavunja moyo sana kuona UNAUMIZA KICHWA KUELIMISHA JAMII HALAFU ANATOKEA MTU BILA YA RESEARCH YOYOTE anakomaa kubishana bila points zenye mashiko na pasipo kuzingati wajibu na kiapo chake ndani ya CCM.
Anyway tusichoke.

Robert Schuller ,
Katika Kitabu chake cha Tough Time Never Last, But Tough People Do uk 147 - 148
Anatueleza,

" The Biggest people with the Biggest IDEAS can be shot down by the smallest people with the smallest minds."
" Think big Anyway"

" Give the World the Best you have and you'll get kicked in the teeth."
" Give the world the Best you have got Anyway."

Mwisho wa kunukuu

Tukisoma Kitabu cha TUJISAHIHISHE uk 16

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Japo baadhi ya Madhumuni ya Chama chetu ni kumpatia Elimu kila mtu,
Baadhi ya Wanachama wetu huwa na Mashaka na Wanachama wenye ELIMU.
SIYO kwa sababu ya Makosa yanayojulikana,
Lakini kwa sababu ya Elimu."
" Tabia inaleta mazoea ya kusema na KUKASHIFU ELIMU NA UJUZI kana kwamba ni Dhambi "
" Na hasa kwa sababu WAKOLONI WA ZAMANI walikuwa wanatuambia hatuwezi hili Wala hatuwezi lile kwa sababu hatuna ELIMU na ujuzi wa kutosha."

" Ni dhahiri kwamba Chama chochote ambacho KIMETAJA UJINGA , yaani UKOSEFU wa Elimu au ujuzi kuwa ni baadhi ya MAADUI WAKE,
HAKINA BUDI KUHESHIMU ELIMU NA KIITUMIE "

" Ni dhahiri kwamba yule ASIYETAMBUA UBORA WA ELIMU na ujuzi ni MJINGA ambaye chama (CCM) hakina budi kimsaidie kumwondolea huyo adui anaye msumbua yaani UJINGA"


Mwisho wa kunukuu








Kidumu Chama Cha Mapinduzi.






Mathias Mugerwa Kahinga
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
 
ELIMU NI KIBOKO YA GIZA


Wanaccm Wenzangu NI LAZIMA TUJIELIMISHE ILI KWANZA TUWEZE KUJIAMINI. Tunaposoma TUJITAHIDI kuelimika kwani TUNA BAADHI YA WASOMI HADIVYUO VIKUU ILA WAMESHINDWA KUELIMIKA JAPO WALIKUWA MADARASANI NA MATOKEO YAKE WAMEKUBALI KUWA VIKARAGOSI VIBARAKA NA VIJIBWA VYA WAJANJA FULANI WAKIBWEKA KUSHANGILIA MAMBO YA KIPUMBAVU KAMA KUTETEA RUSHWA NA UKANDAMIZAJI WA HAKI NA USAWA MIONGONI MWETU.
BILA KUJIELIMISHA TUKAELIMIKA TUTAENDELEA KUDAHALILIKA KWENYE USO WA JAMII ILIYOTUAMINI NA KUTUPA RIDHAA YA KUIONGOZA NCHI HII. TUMUENZI BABA WA TAIFA MWL JK NYERERE KWA KUZIISHI KAULI ZAKE ZINAZOTUKATAZA MATENDO YA KIJINGA NA YA KIPUMBAVU HASA YA KUGEUZWA VIKARAGOSI VIBARAKA NA VIJIBWA KWANI MATENDO HAYA HAYANA UTU BALI YANA UDHALILI. TUKIJIELIMISHA TUTASIMAMA UPANDE WA UTETEZI WA KWELI WA HAKI NA USAWA KWA WOTE ILI TUIVUNJE CHENI YA WAJANJA WABEBANAJI TOKEA NGAZI YA SHINA HADI NGAZI ZA JUU NDIYO MAANA KILA CHAGUZI UTAONA MIONGONI MWETU SURA NI ZILE ZILE ZA BAADHI YA VIONGOZI DHAIFU WANAO TUCHELEWESHEA MAENDELEO YETU KWA KUBEBANA KWAO. BILA ELIMU NA UJASIRI TUTAUMIA. Tumefika pahali ukiwa MSEMA KWELI UNAKUWA ADUI na yule TAPELI MWENYE FEDHA YA KUWAHONGA VIONGOZI YULE NDIYO ANAKUWA KIPENZI CHA WALIO WENGI NA TUMEENDA MBALI ZAIDI KWA SASA NI KWA , MTU YEYOTE MWENYE MIPESA KEDEKEDE JAPOKUWA SIO MWANACCM, AKIFUNGUA POCHI LAKE NA KUWAPA BAADHI YA VIONGOZI UTAONA ANABEBWA JUU JUU NA KUPEWA UONGOZI ( UPIGAJI) WEWE MFIA CHAMA ULIYEJITOLEA HADI MALI NA HALI UNAACHWA UKIWA UMEKODOA MACHO NA NJAA IKIKUUMA. HATA ULALAMIKE WAPI HAUWEZI KUSIKILIZWA UNAONEKANA KATUNI TU.

UAMINIFU NA UADILIFU UKO WAPI !?!?
NDIVYO MAANA NASISITIZA SANA TUJIELIMISHE . CHAMA KILISHA WAKATAA VIONGOZI WABABAISHAJI ILA NYAKATI TULIZOPO WABABAISHAJI NDIYO WANA NGUVU KULIKO WAAMINIFU NA WAADILIFU NA MATOKEO YA UBEBANAJI HUU WANACCM WAFIA CHAMA WAMENYONGEKA HAWASEMI ILA HAWASEMI. NA MATOKEO YA KUTOKUSEMA NI MABAYA SANA NI BORA MTU ASEME KULIKO YULE ASIYESEMA KWANI KAMWE HAUWEZI KUJUWA ALIWAZALO.
YOTE HAYA PIA NJAA KALI MIONGONI MWETU HUCHANGIA YATOKEE.

Tukisoma Kitabu cha Mwongozo 1981 uk 141 kifungu 162

Mwongozo ulishaelekeza na kutukumbusha ila tatizo letu kwa sasa ni kuendekeza viongozi WABABAISHAJI .

" Chama kitahakikisha kuwa viongozi ambao msimamo wao ni kunyume cha misingi ya ujamaa hawapewi nafasi ya kukihujumu chama kutoka ndani ya chama.

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 100

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

"Hatukukubali hata punje moja kuwa kuna watu fulani walio UMBWA KUTAWALA na wengine KUTAWALIWA."

Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2017 uk 1 ibara 4 (1)(2)(3)

Tukisoma Kitabu cha Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania uk 84

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

"Kukubali kufanywa VIKARAGOSI VYA VIONGOZI ni dalili ya WOGA SI DALILI YA HESHIMA,
Woga na heshima ni vitu viwili tofauti.

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 104

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

"Tumekataa Tanzania kuwa KIVULI au KIBARAKA wa nchi nyingine lakini tumekataa pia Mtanzania kuwa KIVULI au KIBARAKA wa Mtanzania mwingine."

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 118

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

"Daima hatukubali kuwa vivuli wa VIBARAKA au VIJIBWA vya watu wengine au Taifa jingine."

Wanaccm Wenzangu haya tunaweza kuyashinda KWA KUKUBALI KUELIMIKA NA KUJIAMINISHA huku tukiupiga vita UZEMBE unaotetewa na Wapumbavu wachache.

Tukisoma kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 47

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Kutetea UZEMBE si Ujamaa ni UPUMBAVU,
tena UPUMBAVU wa hali ya juu. "

Tukisoma kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 46

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Hali ya kutokuwa sawa ni hali ya kutokuwa HURU na kama HATUKO SAWA HATUKO HURU .
Hili ni kueleza Matatizo haya KIFALSAFA, lakini ni kweli."

Tukisoma kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 40

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

"Nasema tunao UMOJA , lakini hakuna umoja bila HAKI.
Ukiingiza Dhuluma Umoja Ule Utavurugika."

Wanaccm wenzangu TUELIMIKE TUJIELEWE.

Katiba ya CCM 1977 toleo 2017 uk 1 - 3 ibara 5 (14)

Katiba ya CCM 1977 toleo 2017 uk 05 ibara 8(1)(2)

Katiba ya CCM 1977 toleo 2017 uk 09 ibara 15(3)(4)(5)(6)(7)

Katiba ya CCM 1977 toleo 2017 uk 143 kifungu (1)(3)(6)(8)(9)

Tukisoma kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 148

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

"Elimu ni kama Mlima Mkubwa unaofika Mawinguni,
Kila unavyopanda ndivyo unavyoona vizuri zaidi UPEO WA MACHO YAKO."
" Tusipoazimia kujielimisha TUTAACHWA NYUMA tena Uhuru wetu utategemea tu huruma za watu wengine na Mataifa mengine siyo uwezo wetu sisi wenyewe."

Tukisoma kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 153

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

"Elimu ni kitu ambacho sisi sote tunapaswa kuendelea nacho toka siku ya kuzaliwa mpaka siku ya kuiacha Dunia."
" Taifa ambalo watu wake hawajifunzi, wala hawaitumii Elimu yao, litabaki nyuma NA KUWA MASKINI DAIMA.

Wanaccm wenzangu hapa Mwl JK Nyerere anatuonyesha wakati mwingine Umaskini wetu na hali ya Ombaomba huchangiwa na KUTOKUJIELIMISHA.

Tukisoma Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 uk 19 ibara 11(2)

Maandiko ya Katiba yanatukumbusha,

" Kila mtu anayo HAKI YA KUJIELIMISHA ,
na kila raia atakuwa HURU kutafuta Elimu katika fani anayopenda hadi kufikia upeo wowote kulingana na Staihili na uwezo wake."

Tukisoma kitabu cha Tujisahihishe uk 09 - 12

Mwl JK Nyerere aliwahi kuandika,

" Kosa KUTOJIELIMISHA , kanuni inasema ; Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu wote na kutumia Elimu yangu kwa faida ya wote"
"Wengi wetu hufikilia kujielimisha ni kwenda Kivukoni au kupata nafasi kwenda kusoma nchi za nje."
"Wengine hufikilia kujielimisha ni kujua kusoma na kuandika"
"Hilo ni kosa, lakini si kubwa kama la pili, wengi wetu hasa Viongozi, HUFIKIRIA KUWA TUNAJUWA KILA KITU na hatuna haja ya kujifunza Jambo lolote zaidi."
"Mwanzo wa Elimu ni kutambuwa kuwa HATUJUI KITU."

Tukisoma kitabu cha Tujisahihishe uk 14

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Kiongozi anayejidai kuwa anajuwa kila kitu NA KUMBE HAJUI KITU ni hatari zaidi Kuliko yule ANAYEKIRI HAJUI KITU na yuko TAYARI kujifunza."

Tukisoma kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 142

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

"Kujielimisha ni kutafuta Ukweli wa Mambo.
Kwenda Shule hutusaidia."

Tukisoma kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 147

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

"Hakuna Elimu ISIYOFAA, wala hakuna mafunzo yasiyokuwa na faida."

Tukisoma kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 146

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Shabaha ya Elimu ni KUJIFUNZA JINSI YA KUYABADILI MAISHA YETU."

Tukisoma kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 154

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Kila Mmoja aliyepata nafasi ya kujifunza kitu, awe TAYARI na dhamira ya kuwafunza WENGINE."

Tukisoma kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 220

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Ustaarabu ni hali ya kuishi pamoja katika upendano, KUSAIDIANA, na kuwa na uwezo wa kujisaidia na KUSAIDIANA kuishi kwa RAHA.

Wanaccm wenzangu TUJIELIMISHE TUJIELEWE ILI HAO WENZETU WALIOTUTANGULIA AMBAO WANAISHI MAISHA YA RAHA TUWAELEZE WATUFIKIRIE KUTUINUA NA SISI TUISHI MAISHA BORA SIO BORA MAISHA NA KAMA KUNA SEHEMU TULIWAKWAZA BASI TUWAOMBE MSAMAHA ILI NASI WATUSAMAHE WATUSAIDIE WATUINUE, WAACHE KUTUFANYA VIKARAGOSI VIBARAKA NA VIJIBWA WATUPENDE WAACHE KUTANGULIZA HASIRA MBELE NA VITISHO PALE TUNAPOSEMA UKWELI.
WAJISHUSHE KWANI HALI ZAO WAO NI NZURI KULIKO ZETU.UMASKINI SIO KITU KIZURI TUINUANE.

Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 150

Mwl JK Nyerere anatukumbusha,

" Tumwombe Mwenyezi Mungu atusaidie kuishi ili tujifunze Mambo mengi zaidi juu ya MAAJABU yake katika Ulimwengu huu TUNAOISHI na tujipatie FAIDA ZA MAISHA HAYO sisi wenyewe, WATOTO wetu na NCHI YETU."


M M KAHINGA
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽


"
 
nlitaka kuweka kambi lakini nilipoona wanaccm ni nyingi nimeghairi



#ponda mali kufa kwaja
 
Back
Top Bottom