UPDATES: Elimu kwa umma ambayo ni jambo la msingi na endelevu
Kama hajawai kutumia kilevi chochote HUJAWAI KUISHI..

VILEVI HUIPA AKILI NGUVU YA KUISISIMUA AKILI KUTENDA KWA USTAADI USIO WA KAWAIDA..

Ndio Ivo mzeee fundi majumbaaa
Afu we jamaa unataka kuniahawishi kutumia vikali..

Hapo umenikosa mkuu nyie endeleeni tuu... Mi ulevi wangu ni wadada wenye makalio makubwa..
Mashangazi
 
IMG_1462.jpeg
 
TUZITII KATIBA ZETU

Katika Ulimwengu wa KIROHO naonyeshwa UVUNJIFU WA KATIBA PASIPO KUWA NA SABABU ZA MSINGI.

MAONO haya yananiumiza sana HASA kwa kuzingatia WANACCM TUKO WENGI MNO WENYE UWEZO NA UPEO MPANA WA KIUELEWA NA KIUTENDAJI.

Vitendo vya UPENDELEO NA VYA KIBAGUZI katika Ulimwengu wa KIROHO tuonyeshwa vinashamiri.

Naamini HAYA MAONO NI KAMA NDOTO tu na hayana Ukweli.

Ila najiuliza ikitokea ikawepo uhalisia wa Mambo haya ni wazi hali itakuwa ni ya kuumiza kwa wanaccm WAFIA CHAMA.

Naamini HAKUNA MTU ALIYE JUU YA SHERIA WALA ANAYESTAHILI KUPENDELEWA DAIMA.

Niliwahi kusoma Kitabu cha Binadamu na Maendeleo uk 28 - 31

Mwl JK Nyerere aliwahi kuandika,
" Uhuru wa mtu binafsi utakuwa na maana Kama shabaha yake ni MAENDELEO.

Mtu anaweza kutetea haki zake barabara Kama haki HIZO anazijua na ANAJUA JINSI YA KUTUMIA NJIA ZA KATIBA iliyopo kutetea HAKI HIZO.
Hata ujuzi wa namna Hiyo ni MAENDELEO.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 uk 27 kifungu 26(1)(2)

Kila mtu ana wajibu wa KUFUATA na kuitii katiba hii na sheria za Jamhuri ya Muungano.

Kila mtu ANA HAKI , kwa kufuata UTARATIBU uliowekwa na sheria KUCHUKUA HATUA za kisheria kuhakikisha hifadhi ya katiba na sheria za nchi.

Tusome Kanuni za Uvccm toleo 2017 uk 18 kifungu 14(b)

Niliwahi kusoma Kitabu Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 175

Mwl JK Nyerere aliwahi kuandika

Hatuwezi kupuuza katiba ndiyo sheria ya msingi , Sheria ZINGINE ZOTE zinatokana na katiba.

Haiwezi kupuuzwa na hatuwezi kuendelea na UTARATIBU wa kupuuza katiba ya nchi yetu.

Niliwahi kusoma Kitabu Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 175

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

Ufa wa nchi ni kuendesha MAMBO bila KUJALI SHERIA

Wanaccm wenzangu katika Ulimwengu wa KIROHO naonyeshwa vitendo vya UPENDELEO na vya KIBAGUZI vikuendelea.

Katiba ya ccm 1977 toleo 2017 uk 1 - 3 ibara 5 (16)

Kwa hiyo Malengo na madhumuni ya ccm yatakuwa kuona kwamba katika nchi yetu HAKUNA AINA YEYOTE YA Dhuluma, VITISHO , UBAGUZI, RUSHWA , Uonevu , na/ au UPENDELEO.

Tukisoma tena Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 uk 18 Ibara 9(h)

Kwamba aina zote za Dhuluma , vitisho, ubaguzi, rushwa, uonevu au UPENDELEO zinaondolewa nchini.

Tukiendelea kusoma Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 uk 20 ibara 13 (4)(5)

Ni marufuku kwa mtu yeyote kubaguliwa na mtu AU MAMLAKA yoyote inayotekeleza madaraka yake CHINI ya sheria yoyote au katika UTEKELEZAJI wa kazi au shughuli yoyote ya Mamlaka ya nchi.

Kwa madhumuni ya ufafanuzi wa masharti ya ibara hii neno " kubagua"

Maana yake ni kutimiza haja , haki, au mahitaji mengineyo kwa watu mbalimbali kwa kuzingatia Utaifa wao , kabila, pahali walipotokea , MAONI YAO YA KISIASA, rangi, dini, jinsia, au hali yao ya MAISHA kwa namna ambayo watu wa aina fulani wanafanywa au KUHESABIWA KUWA DHAIFU AU DUNI na kuwekewa VIKWAZO au masharti ya VIPINGAMIZI AMBAPO watu wa aina nyingine wanatendewa tofauti au wanapewa FURSA au faida iliyo nje ya masharti au sifa za LAZIMA, .

Wanaccm wenzangu katika Ulimwengu wa KIROHO naona UKIUKWAJI WA UTARATIBU WA UINGIZAJI WANACHAMA NA UPOKEAJI WA WALE WANAOTOKA UPINZANI NI MAKWAZO kwa jamii ya Wanaccm WAFIA CHAMA.

Katiba ya ccm 1977 toleo 2017 uk 6 Ibara 8
 
KUKOSOA NI HAKI YETU WENYE UELEWA WA KUJIELEWA

Tukisoma katiba ya CCM 1977 toleo 2022 ibara 15(7) inatupa ruksa ya kukosoa Sio lazima wapinzani waseme ndiyo tuamini Kuwa tunahitaji kukosolewa. Hata Sisi kwa Sisi inawezekana tukakosoana. Palipo na Mawazo na Mitazamo tofauti kukosoana ni muhimu. Mfano tu Tunaposikia Viongozi wetu Wakuu wakisema Tuwaache
Wenyeviti wa Serikali za Mitaa Madiwani Na Wabunge watimize wajibu wao Tafsiri yake Sisi wengine tusifanye kampeini zozote kabla ya muda kwa mujibu wa katiba Kanuni Miongozo na Taratibu zetu. Na si vinginevyo

Ila Kama Viongozi hao Katika Utendaji wao wa kazi na Majukumu Vinakinzana na Ilani, Katiba, Kanuni, Miongozo
Na Taratibu Ni lazima tusemeeee Na nitasemaaaaaa

Mheshimiwa Paul Christian Makonda Katibu NEC Itikadi Siasa na Uenezi CCM Taifa Akiwa Lumumba Dar Nakumbuka Tarehe 21/12/2023 Alisema Wala hili sio suala la kumung'unya maneno ili kuonekana unatetea tu.
Kwa sababu wakati Mwingine wakati unatetea (Jambo) pia utetee na (wakati huo) dhamira yako inakuambia hicho unachokisema ni kweli si ndiyo !?

Na Mimi nilisema siku ile Mimi ni Msema kweli tu Na Mwenyekiti wetu wa Chama (Dkt Samia Suluhu Hassan ) hajatuambia tuwe Wanafiki. Mwisho wa kunukuu. Mimi Nina Mawazo yangu kuhusu mustakabali wa nchi yetu
Ni lazima niseme ninapokuwa naona ndivyo sivyo. Tusiposema watu wanatuona Mapoyoyo Hatujielewi.

Inakuwaje Mfano Mtu Katoa taarifa za uongo Kapata cheo Analindwa Kisha mtu huyo anasimama kwenye Mikutano ya hadhara Anatoa speech kuwahimiza watu watii sheria ambazo yeye alizikataa akazisigina na kulazimika kuishi Akiwa kiongozi laghai.

Hapa uhalali wa katiba Kanuni Miongozo na Taratibu unaotukataza kupendelea watu Na kuwabaguwa wengine kwa ufukara wao umekaaje. Twawezaje kujinasibu kuwa kweli tunaiendea haki huku matamshi yetu tukitamka Kama tunakusudia kweli kutenda haki huku nyuma ya pazia tukiwa hatumaanishi hivyo !? Haya ni Mawazo na fikra zangu na usitake ziwe zako Lete hoja ujibiwe kwa hoja

Nakumbuka Tarehe Comrade Paul Christian Makonda Akiwa CCM Ofisi za Lumumba Dar Nakumbuka Tarehe 21/12/2023 Alisema Mawazo mbadala hayapaswi tu kutoka nje (ya CCM ) hata ndani ya Chama kikiwa Chama thabiti. Lazima kitakuwa na watu wanakuwa na mlengo wa kulia na watakuwepo watu wanakuwa na mlengo wa kushoto. Mwisho wa kunukuu

Tufuata Utawala Bora Sasa. Tuanze Sisi ndani ya ssseem. Tuwang'oe Mapandikizi yaliyowekwa na Viongozi wezi kwa Mfumo wa kupanga safu. Kuwalaumu Watumishi wa UMMA huku tukiwafuga Viongozi wa ssseem waliopenya kwa Rushwa wasiojuwa katiba Kanuni Miongozo na Taratibu za Chama huku ni kuihujumu nchi kwa kujifanya tunatoa maneno makali ili kuwaogopesha na kuwanyamazisha watu wakweli ili kulinda safu za watu waovu kwa maslahi Binafsi ya kesho yasiyokuwa na tija kwa Taifa letu.

Na huu sio Utawala Bora Bali ni Aina ya Uongozi unaotumia hila kuwatawala Mafukara waliokata tamaaa na kujielekeza kwenye mipira ili wazidi kusahau Mambo ya msingi ya Taifa lao. Moto aliouwasha Dkt Samia Suluhu Hassan kuhusu Utawala Bora maana yake ndani ya Utawala Bora. Hakuna kumbagua mtu Hakuna kumpendelea mtu.

Tunatumia nguvu kubwa kuwalinda wasio stahili na kuwaumiza Watumishi wa Umma huku tukitangaza kuwa tunatenda haki. Ni lazima tubadilike. Tunapoona banzi kwenye jicho la wengine NI lazima jitihada za kuliondoa gogo kwenye jicho letu ziwepo.

Dkt Dotto Mashaka Biteko, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Akiwa KKKT Karagwe Akimuwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Nakumbuka Tarehe 12/12/2023 Alisema Moto alio nao Dkt Samia Suluhu Hassan hautazimika (Wahaya) wanasema (Omuliro ogwo gwine ) chenegeza tigulala. Dkt Samia Suluhu Hassan niwe alikuguinegeza (Omuliro gwonene) Natekamu Enkwi Naguhuririza (Omuliro gwonene) Nigwaka Lazima Tanzania tunayoitaka tutaifikia. Mwisho wa kunukuu.

Kitakachotufikisha Kwenye Tanzania tuitakayo NI kupambana na matendo ya Kibaguzi na kiupendeo
Yanayoacha makovu na pengine madonda ndugu kwenye mioyo hasa ya Ma voice less. Wanafiki tusiwaogope wapendao kusema na kulazimisha Mafukara wafuate yaliyowashinda wao. Tukiyamudu haya tutakuwa Wasaidizi wa kweli wa Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan pasipo Unafiki ndani ya mioyo yetu na huu ndiyo utakuwa Utawala Bora Usio na Unafiki ndani yake. Tunajenga Taifa moja. Twende Pamoja kwa kuisaka haki pasipo Mfano labda kuwalaumu Police au Watendaji wengine huku Sisi tukawakumbatia na kuwalinda wasio stahili kwa mujibu wa Utawala Bora.

Mheshimiwa Pauline Philip Gekul Mbunge wa Babati Mjini Akiwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania.
Katika Clip iliyorushwa mtandaoni Tarehe 27/11/2023 Alionekana akisema, Naomba nisiumie kifua Leo nibomoke
Utawala Bora katika nchi hii Tunapoongea Msituone Maadui. Hii Tanzania ni ya Kwetu sote. Tunatamani Kila mmoja wetu Mtanzania Aheshimike Kwa nafasi yake.

Atendewe haki kwa nafasi yake. Kila (Mtanzania) mmoja Awajibike kwa mujibu wa Taratibu na Sheria za nchi hii ambazo tumeziweka. Mwisho wa kunukuu Tutupie Macho Viongozi waliopenya Kinyume na Utaratibu na
Wale Viongozi wanajitoa Ufahamu na kuja hadharani kutetea Safu na vijembe vya kuwanyamazisha watu Wakweli ili kuzilinda safu wafahamu ndani Yao hawana Mwenyezi Mungu Bali ni Watumishi wa Ibilisi waliokariri neno Mwenyezi Mungu

Kidumu Chama Cha Mapinduzi

Mathias Mugerwa Kahinga


πŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿πŸ’ͺπŸΏπŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨
 
Nilisikika huko Ndotoni nikiunguruma Kama Simba katika Ulimwengu wa kiroho baada ya kujikuta Niko China nikapewa pombe yenye kimzizi ndani ya chupa Akili ikafa ganzi nikaanzaa kuropoka

Nakumbuka Tarehe 13/03/2022 Makamu wa Rais wa Tanzania Mheshimiwa Dkt Philip Isdor Nzabayanga Mpango Katika Mafunzo kwa Wakuu wa Wilaya huko Dodoma Alisema. Mjenge tabia ya kujiongezea maarifa kwa namna mbalimbali ikiwemo Matumizi ya Mitandao.

Internet Kuna maarifa huko Someni Vitabu Someni taarifa mbalimbali Mwisho wa kunukuu. Nakumbuka Tarehe 14/08/2023 Mchungaji Mwl Aliko wa Dorcas Mwalulili Wa huduma ya Uhuru wa Kristo kwa Mataifa yote wa huko Dodoma Akitoa mahubiri alisema

Ukiona unaota ndoto unaona , maana yake Mungu amekupa neema ya kujuwa. Unapoamka mshukuru Mungu
Ahsante (Mungu ) kwa kunipa kuota hii ndoto. Kwa sababu nimejuwa hila za adui. Mwisho wa kunukuu.
Mheshimiwa Jenerali Ulimwengu Ex Mbunge Katika hafla ya kumuenzi Hayati Seif Sharif Hamad
Nakumbuka Tarehe 27/112023 alisema (Kuna Mwanafalsafa aliwahi kusema)

Maneno wakati Mwingine lazima yawe kidogo Yana (Maudhi) Yaudhi kidogo Kwa sababu haya maneno wakati Mwingine inabidi yawe ni silaha za kuwafanya wasio fikiri, Wafikiri kidogo. Mwisho wa kunukuu.

Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 12(1)(2) , ibara 13(1)(4)(5) ibara 3(1) uk 13 paragraph ya Kwanza ikisomwa kwa Pamoja na ibara 09 a b f na h kwa msisitizo. Katiba ya CCM 1977 toleo 2022 ibara5(8)(9)(11)(16) Ilani ya CCM uk 01 ibara 04 na uk 161-168 ikisomwa kwa Pamoja na ibara 10 na 11 kwa msisitizo.

Watanzania tulio wengi hasa Viongozi baadhi Tumetokea familia Duni ambazo zilikosa lishe. Madhara ya kukosa lishe yametupelekea kuwa na Mijitu baadhi ya hovyo kabisa ndani ya nchi yetu. Jitu limesoma Lina Elimu ya Chuo. Ila hata ujaribu kulielimisha Halielewi kabisa. Ukichunguza unagundua lilikosa lishe utotoni.

Chama Cha Mapinduzi kimeliona Tatizo hili Ndiyo maana chama kikaingia mkataba na Wananchi ili kipewe jukumu la kusumamia lishe ili Jamii iweze kuwa na watu wenye Tija ndani ya Taifa. Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Tanzania. Dkt Philip Isdor Nzabayanga Mpango Katika Mafunzo kwa Wakuu wa Wilaya huko Dodoma

Nakumbuka Tarehe 13/03/2022 Alisema (Watumishi wa Umma) mkumbuke kurejea (na kuvifanyia kazi) Ahadi zilizomo katika ilani ya Chama Tawala CCM. Mwisho wa kunukuu.

Tusome ilani ya CCM 2020 uk 298 ibara 251 Kisha tusome uk 04-05 ibara 07 ili kupata uhalali wa kwenda kusoma ilani ya CCM 2015 uk (i) ibara 01 ikisomwa kwa Pamoja na ibara 177 uk 230 ndipo tutoke turudi kwenye ilani ya CCM 2020 uk 139 ibara 85, uk 142 ibara 89 zote zikisomwa kwa Pamoja na uk 08 ibara 10 na 11.

Lishe Bora ni muhimu katika kuhakikisha Taifa linakuwa na Jamii yenye nguvu kazi imara na uwezo mkubwa wa kuelewa na kukabiliana na Mazingira yake. Shekhe Muharam Rashid Mziwanda. Akitoa Mawaidha Tarehe 20/11/2023 Alisema Watu wengine inawezekana mnapata nao taabu saana (kuwaelimisha) Mnahisi (labda) hawajasoma (Au mtu Mwingine) Hana adabu Hana Nini ...(lishe) Kumbe Hali Matunda. Mwisho wa kunukuu
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Katika Mkutano wa Mwaka wa Tathmini ya 06 ya Mkataba wa lishe September 30 , 2022 Alisema (Hii Hali ya Kutokuzingatia lishe) maanake Nini !?
Maanake hatujielewi, Si Ndiyo !?

Wala hatujuwi thamani ya vitu ambavyo Mungu ametuumba navyo. Mwisho wa kunukuu
Tuzingatie lishe ili itutoe kwenye janga la kuwa na watu ambao wamedumaa akili na kupelekea kufanya Mambo ya hovyo hadharani bila kujali kuwa anayoyafanya Yana mdhalilisha mbele ya Jamii. Mfano
Tumeshuhudia Diwani katika Ulimwengu wa kiroho asiyekuwa na Elimu Mwenye changamoto ya Udumavu wa akili wa kata ya Nkiwanzeeezaa akijihusisha na Mambo ya hovyo kiasi kwamba unaweza kudhani hakuapishwa kuilinda kuihifadhi na kuitetea katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005.

Kisha huko huko katika Ulimwengu wa kiroho tukaliona lisomi lenye historia ya kujihusisha na Mapenzi ya jinsia moja likiwa ndilo limama , lipenda vyeo. Na jitu la kukisusa Chama likisimama kumtetea Diwani huko Nkiwanzeeezaa ambaye ananuka kiasi kwamba Diwani Huyo anaogopa hata kuitisha Mkutano wa hadhara kwa hofu ya kuzomewa au kupigwa mawe kabisa.

Udumavu wa akili unaaibisha Unaweza liona lijitu limevaa suti Limeweka poozi Ukiliuliza kitu linaonekana Kama Lina dharau, Au Lina jeuri Au unaweza kujuwa halitaki kuongea na wewe kumbe limekosa lishe
Unalielimisha halielewi. Hata Kama limeapa utaona jitu lenye Udumavu wa afya ya akili linafanya Mambo hadharani yaliyo Kinyume kabisa na viapo lilivyo viapa.

Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Katika Mkutano wa Mwaka wa Tathmini ya 06 ya Mkataba wa lishe September 30, 2022. Alisema Ndiyo Yale aliyoyasema nadhani Waziri Ummy, Tunagombana huko TAMISEMI
Huko Chini Hata huku juu Serikalini. Unamueleza mtu kitu (chenye manufaa kwa Taifa) Mara nne
Mara tano Hata hakimuingii Unauliza , Dharau? Jeuri!? (Au)hutaki?

Kumbe Masikini hujuwi historia yake (huko siku za nyuma). Historia yake imefichwa na suti na Tai aliyoivaa.
Inawezekana kabisa. Maanake unasema (Kisha unajisemesha wewe mwenyewe) Ahaa, Mbona Mi naona hapa Kuna tatizo!? Naona (Matatizo) moja, mbili, tatu. Hivi inakuwaje!? Huyu niliyemuamini hapa (hivi kweli yeye haoni?) Haoni!? Haiwezekani. Kumbe Kuna hayo (ya kukosa lishe na uelewa mdogo) Tuna watu lakini sio Raslimali watu.

Maandiko ni mengi, Ni mazuri Lakini hatufanyi vile tunavyo andika na kufanya. Mwisho wa kunukuu
Yaliyotokea yametokea. Bado tunayo nafasi ya kuangalia wale wote wanao semeka vibaya ndani ya Jamii tuwatoe. Tuondoe Muhali wa kubebana kwa historia za Koo fulani.

Pili tujikite Sasa katika kuwapatia lishe Bora wanetu ili kulipunguzia Taifa mzigo wa kuwa na watu wengi Walio na Udumavu kiakili wenye kuapa viapo na Kisha kuishi Kinyume na viapo vyenyewe wakiwa wanabebana na kupendeleana mchana kweupe huku Chuki binafsi zao wakizielekeza kwa Watumishi wa Umma na Mafukara kuwahukumu kisheria na kuwalinda watu wenye vinasaba nao Kama vile Diwani wa Nkiwanzeeezaa Mwenye tabia chafu aliyechokwa na raia wote huku alitumia jitu somi kumtetea na somi lenyewe la huko Nkiwanzeeezaa katiba Ulimwengu wa kiroho likiwa na kashfa za kujihusisha na Mapenzi ya jinsia moja na lenyewe likiwa limama kwenye mahusiano hayo Kama tunavyoona katika Ulimwengu wa kiroho.

Sisi tulio katika Ulimwengu wa kiroho tunayafyekelea kule majitu Kama haya yaliyokosa lishe na kuanza kuwadhuru Mafukara. Mchungaji Jonas Singo Wa Mahubiri TV Anasema katika Mahubiri yake Tunazungumza katika Ulimwengu wa kiroho Na katika Vita ya kiroho ni Vita isiyoonekana. Ni Ulimwengu usio shikika ingawaje matkeo yake yanaweza yakashikika. Yanaweza yakaonekana. Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 19 (1)(2) ibara 18(a) na ibara 8(d) kwa mazingatio ya ibara 9 a,b,f,h. Tupambane na Udumavu wa afya ya akili. Tukishikamana tunaweza.
Tuanze na wanetu Sasa ili wasidumae akili wakaja nao kuwa wanaapa na Kisha kuishi Kinyume na Matakwa ya viapo. Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Katika Uzinduzi wa Report ya utafiti wa afya ya uzazi na Mtoto na viashiria vya Malaria Tanzania ya Mwaka 2022 Mheshimiwa Rais alisema Suala la Udumavu lichukuliwe kwa uzito mkubwa.

Hili ni suala la Ustawi wa Jamii Na ni suala la Usalama wa nchi. Miongoni mwa athari za muda mrefu za Udumavu ni kupunguza uwezo wa watoto kujifunza. Kuongeza hatari za kupata changamoto za kiafya ukubwani na hivyo kuathiri nguvu kazi ya Taifa letu. Ndiyo maana ninasisitiza umakini kwenye lishe ya Watoto.

(Tusipopambana na Udumavu) tutakuja kukuta Taifa hapa robo, thelusi nzima ya watu hawaeleweki eleweki
Udumavu unazuilika.

Mwisho wa kunukuu
Nikashtuka kutoka katika Ulimwengu wa kiroho huko Ndotoni nifoka foka watoeni Viongozi wenye viashiria vya Udumavu wa afya ya akili na wenye viashiria vya kujihusisha na mapenzi ya jisia moja.
Wanaliletea Taifa letu laana.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi

Mathias Mugerwa Kahinga

πŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ”¨πŸ”¨πŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿
 
Back
Top Bottom