UPDATES: Elimu kwa umma ambayo ni jambo la msingi na endelevu
Lucas asipoangalia anaweza kufunikwa watu wanakuja kasi sana kwenye kada yake ya kububujishwa machozi ya furaha na mama
 
Lucas asipoangalia anaweza kufunikwa watu wanakuja kasi sana kwenye kada yake ya kububujishwa machozi ya furaha na mama
Lucas yeye ni kusifia tuuu mwanzo mwisho haoni baya lolote ndani ya CCM wala serikalini, huyu tatizo hana mpangilio mzuri wa maandishi yake lakini at least anayaona mapungufu na kuyasemea.Lucas amekuwa kama msukule tu anasifia hadi anayesifiwa anaona kama anakejeliwa vile.
 
🤔🤔🤔🤔

WATU WAOVU TUWAANIKE

TUWAUMBUWE

HATUPASWI KUCHEKA NAO KWENYE MAMBO YA UOVU NA UVUNJIFU WA SHERIA

Nakumbuka Tarehe 08/07/2024 Mheshimiwa Paul Christian Makonda Mkuu wa Mkoa wa Arusha Alisema Ukipata nafasi ya kuongea useme Ukweli Kwa sababu Ukweli ndiyo utatuweka huru. Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka Tarehe 18/07/2024 Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Akiwa Tunduma Alisema
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni moja tu Ulimwengu mzima. Hakuna nyingine na Watanzania ndiyo sisi .
Na sisi ndiyo tunatakiwa kuijenga Tanzania yetu. Mwisho wa kunukuu.

Ujenzi wa nchi yetu unatutaka kutii katiba na sheria za nchi. Ndani ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara 13(1)(4)(5) na 09 ab f na h tumekatazwa Vitendo vya Aina yeyote vyenye ubaguzi na Upendeleo ndani yake.

Ilani ya CCM uk 1 ibara 4 inatukataza kufanya kazi kwa mazoea. Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amekuwa akitoa maelekezo mengi yanayokumbana na kupingwa na Baadhi ya Viongozi wasiomtii Rais wetu
Watu hawaiheshimu katiba Wala kutii sheria za nchi na Bado wako madarakani.

Mheshimiwa Mizengo Pinda Ex Waziri Mkuu wa Tanzania Nakumbuka Tarehe 15/07/2024
Akiongea mbele ya Mheshimiwa Rais Dkt Samia Alisema Kubwa tuendelee kumuombea mama (Dkt Samia) kila la kheri ili aendelee kutuongoza vizuri Mwisho wa kunukuu.

Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Akiwa Ikulu Chamwino Dodoma Nakumbuka July 2024 Alisema Katiba yetu inahimiza misingi ya Usawa, Utawala Bora, Uwazi na Uwajibikaji. Mambo haya kwa ujumla yanasimamia haki ya Binaadamu. Mwisho wa kunukuu

Naye Wakili Jasiri Msomi Mheshimiwa Peter Madeleka Ex Police Officer Nakumbuka Tarehe 20/06/2024 Alisema
Nchi hii inaongozwa kwa Mujibu wa katiba na kwa Mujibu wa Sheria Na serikali imeingia madarakani ( ili) kuhakikisha katiba inalindwa na sheria zinafuatwa. Mwisho wa kunukuu.

Waliouza Ofisi ya CCMWaliohama maeneo Yao ya uongozi. Waliokiuka Ilani katiba kanuni Miongozo na Taratibu wakapata vyeo. Walioitisha Halmashauri kuu ya kata wakahusisha wajumbe wasio husika Na wakatoa Siri za vikao kwenye vyombo vya habari Wakatoa taarifa za uongo mtandanijuu ya Mathias Mugerwa Kahinga kwenye mtandao na Tv na hivyo kwenda Kinyume na The cyber crime act inayokataza kupost taarifa za uongo
Ajabu.

Pamoja na kuandika barua ya malalamiko sijapewa mrejesho. Viongozi waliokiuka Mifumo wako madarakani wakihubiri haki huku wakikiuka haki kwenye eneo langu.

Mheshimiwa Livingston Joseph lusinde Mbunge wa Mnvumi na Mjumbe wa Halmashauri kuu CCM Taifa Akiwa Iringa Nakumbuka Tarehe 20/07/2024 Alisema Kama sio unafiki ni Nini?! Haya ndiyo Mambo hatuyataki. Mwisho wa kunukuu wajuwe pia Walivunja sheria ya The Political parties act chapter 258 inayovitaka Vyama vya siasa kufuata maandiko yake kikamilifu. Wamevunja katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 26(1) na ibara 09 a b f na h. Ni lazima Sasa watoke kwa khiari yao

Mheshimiwa DC Petro Magoti Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Nakumbuka Tarehe 02/07/2024 Alisema Kila mtu atimize Wajibu wake kulingana na utaratibu uliowekwa. Mwisho wa kunukuu Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa Dodoma Ikulu ya Chamwino July 2024 Alisema Hii si haki, Si haki. Ni haki upande mmoja Lakini si haki upande wa pili. Mwisho wa kunukuu.

Mchungaji Peter Msigwa Ex Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini Akiwa kwenye mkutano wa Mapokezi Nakumbuka Tarehe 20/07/2024 Alisema Watanzania tunapaswa wote tumuunge (Mkono Dkt) Samia Suluhu Hassan aendelee kuongoza nchi hii Na tunamuona (Mheshimiwa Rais Dkt) Samia Suluhu Hassan ana Mwelekeo Ana mahali anakokwenda Kuna mahali anatupeleka. Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka July 2024 Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Akiongea na Machief wa Tanzania Huko Ikulu ya Chamwino Alisema Kule nyuma nilisema Masuala ya Uwazi na Uwajibikaji. Tunapoona Vitendo vya hovyo kwenye maeneo yetu Machief *tusemeni Tukemee. Kama mnaona Mkuu wenu wa Wilaya (au kiongozi yeoye Mwenye dhamana) hafanyi vyema mkemeeni, Msemeni, Muumbueni tumjuwe.

Kama mnamuona kiongozi haendi mwendo Mwema tuambieni tunjuwe ili tulete Viongozi Waadilifu na Mambo yaende vizuri. Niwaombe twende tukakemee Vitendo viovu vinavyo kiuka maadili yetu. Mwisho wa kunukuu

Mheshimiwa Livingston Joseph lusinde Mbunge wa Mnvumi Nakumbuka Tarehe 20/07/2024 Alisema Huyu ni Mama Ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Lakini ni Mwanamke Kwa hiyo tunamuita Nani? Mama
Ukitaka ni hivyo, Hutaki... Mwisho wa kunukuu

Kidumu Chama Cha Mapinduzi

Mathias Mugerwa Kahinga

🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.

Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
 
KABURI NI KIBOKO YETU ACHA TUJICHETUE SASA ILA KABURI LITATUKOMESHA.

Watu tumekilea chama Tumejitolea Tumevumilia Tumesoma Katiba Kanuni miongozo na Taratibu Tumeziishi kwa utii Halafu Wanatokea watu Miongoni Mwetu Wanasigina Taratibu zetu Wanaongea na Wapinzani
Bila kufuata katiba Kanuni miongozo na Taratibu Wanawarudisha Wapinzani CCM Wanawapa vyeo na kuwalipa posho Kodi za mafukara.

Hawaheshimu the Political parties act chapter 258 japo waliapa kuilinda Kuihifadhi Na kuitetea katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara 26(1)(2) na ibara 9 a b f na h Wanaikiuka ilani uk 01 ibara 04 uk 161-168 uk 08 ibara 10 na 11 Wenzetu Hawa wanaenda mbali wanawalazimisha Wanaccm mafukara wasihoji lolote ila wawashangilie watu hao waliotokana na njia ovu.

Watu wema watiifu kwa ilani katiba Kanuni miongozo na Taratibu wanashinda na Njaa Watu waovu wanalishwa Bata Huku lawama tikizielekeza kwa Watumishi wa Umma na Mafukara kwa Makosa tuliyoyafanya Sisi . Ili kuficha Zaidi uovu wetu Baadhi Tunajisogeza karibu na Viongozi wa Dini na kuvalia Kama Waumini huku tukilazimisha Machawa yaeneze Uzushi kuwa Sisi ni wema

Tunadharau kauli zenye Maagizo na maelekezo kutoka kwa Viongozi Wakuu wa Kitaifa Wakiagiza Sisi Baadhi ya watu waovu tunaona Maagizo Kama viburudisho tuuu Hatuyazingatii Na matokea ya kutokuzingatia kwetu tunafanya haki izidi kupotea. Baadhi yetu kwa Unafiki tunakimbilia

Nyumba za Ibada na tukitoka huko badala ya kuwa wema tunazidi kuwa waovu kwa kuwasaka wale wote wanaoitangaza haki na kuwawekea zengwe huku tukionyesha meno meupe kwa Jamii ituamini kuwa Sisi ni watu wema Tufanyapo yote haya Daima tukumbuke Zile Sala tunazo somewa kaburini tunapokuwa tunazikwa hazitusaidii saana . Tutafute msaada wa maisha ya kaburi kwa kuuchukia Unafiki na kutenda Iklas.

Mwenyezi Mungu hadanganywi Anaona Unafiki unaoendelea

Kidumu Chama Cha Mapinduzi

Mathias Mugerwa Kahinga
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
SIGARA INAWAUWA WATU, BANGI INAHARIBU AKILI. TUPIGE VITA VITU HIVI

Nakumbuka Tarehe 12/06/2024 Mheshimiwa Rais Albert John Chalamila Rais wa Mkoa wa Dar es salaam Akiongea na Wasanii Alisema Mimi tangu nakuwa nilikuwa naambiwa ..... Tangu nakuwa ( Nikiwa ) Mtoto Mdogo kabisa Nilikuwa nafundishwa Simamia Ukweli Uongo achana nao. Simamia Ukweli Uongo achana nao Ndiyo maana mpaka leo sijuwi kubumbabumba maneno hivi. Mwisho wa kunukuu

Nayasema maneno ya kuinusuru Jamii ili kuepusha vifo vya nguvu kazi ya Taifa tunayoipoteza huku tukiwa ndiyo Sisi wenye jukumu la kuilinda nguvu kazi hiyo . Mheshimiwa Dkt Mwigulu Lameck Nchemba Waziri wa fedha Nakumbuka Tarehe 12/06/2024 Alisema Wakati Mwingine kwa uzembe unaoweza kuepukika tunapoteza nguvu kazi ya nchi yetu Tunapoteza watu wanaotegemewa Mwisho wa kunukuu

Tuamuwe Sasa kuchukuwa hatua kwa kuzingatia katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara 14 uk 21 kwa mazingatio ya uk 127 ibara 152(1)(2)(3) uk 14 ibara 01, 02 kwa msisitizo wa uk 13 paragraph ya kwanza bila kuiacha ibara 29(1)(2)

Mheshimiwa Dkt Dotto Mashaka Biteko Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Nakumbuka Tarehe 11/06/2024 Alisema Mheshimiwa Rais una msemo Mmoja huwa unapenda kuusema . Na Mimi huwa napenda saana kuushika Nia njema haishindwi Nia njema haishindwi Katendeni kwa Nia njema.

Hilo ni Darasa kubwa saana kwetu Sisi katika maisha ya kawaida Mwisho wa kunukuu Katika maisha ya kawaida tumekula Viapo kwa kushika Vitabu vitakatifu na tukamuahidi Mungu kutenda haki kwa tunao waongoza kwa kulinda Uhai wao kwa kuzuia vitu vinavyo wauwa au kuwadhuru Tuenende katika njia hizo.

Nakumbuka Tarehe 12/06/2024 Mheshimiwa Dkt Mwigulu Lameck Nchemba Waziri wa fedha Alisema Ni wakati Sasa Jambo hili likaazimiwa na Jamii nzima . Lisiwe Jambo la Askari Police ( Bali liwe) ni jambo ambalo linatumalizia nguvu kazi yetu. Hatuwezi kuendelea kushuhudia nguvu kazi yetu ikipukutika kirahisi namna hiyo. Mwisho wa kunukuu Watengenezaji wa sigara wamejiachia mpaka wanaandika Uvutaji wa sigara unadhuru afya yako. watu wengi hawaupendi Ukweli


Kwa Sababu Ukweli Unaumiza. Kwa Mfano Ona Ukweli huu

Kila Mtanzania anatakiwa aitii katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 26(1)(2)Ukiitii katiba Utalinda Uhai wa Kila Mtanzania asifeKwani Mtanzania akifa tunapoteza nguvu kazi ya Taifa. Na katika kazi ya kulinda katiba hatupaswi kubagua makosa kwa Mujibu wa ibara 13(1)(4)(5)Watu Wana viwanda vya sigara na wakizizalisha wanaandikaUvutaji wa sigara unadhuru afya yakoWatu walioapa kuilinda katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara 14 uk 21 ndiyo wanatumika kulinda viwanda vinavyozalisha vitu vya kuuwa nguvukazi ya Taifa.

Mheshimiwa Dkt Mwigulu Lameck Nchemba Waziri wa fedha Akisoma Badget 2024/2025 Bungeni Nakumbuka Tarehe 12/06/2024 Nilimsikia akisema maneno haya Tunavunja Sana Sheria Mheshimiwa Spika.

Kama Sheria zetu ni rafiki sana tuyaondoe makosa haya Tuyapeleke kwenye Makosa Makubwa Zaidi. Ikiwepo hata makosa ya kuuwa bila kukusudia au makosa ya kuuwa. Kwa sababu ( mtu yeyote) anayeuwa kwa risasi na ( mtu) anayeendesha mwendo kasi anajuwa mwisho wake ni kuwauwa abiria aliowabeba. Mwisho wa kunukuu

Nami nasema kwa Mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 18(a) na 19(1)
Ilani ya CCM 2020 ibara 110(c) Watu waliopewa jukumu la kulinda uhai wanaporuhusu product zinazouwa nguvu kazi ya Taifa hili nalo ni changamoto.

Professor Janabi aliwahi kusema Sigara zinawauwa watu takribani Million nane kwa Mwaka kuliko Covid Mheshimiwa Dkt Mwigulu Lameck Nchemba Waziri wa fedha Tarehe 12/06/2024 Alisema Ni idadi kubwa mno hii
Hii inatuondolea nguvu kazi ya Taifa. Mwisho wa kunukuu

Mheshimiwa Mohammad MchengerwaWaziri wa TAMISEMIAkiwa MulebaNakumbuka Tarehe 17/12/2023 Alisema Hatuwezi kuleanaTutaleana mpaka lini!?Viongozi hatuwaambii Ukweli ni kitu gani kimetokea. Sasa tutaleana hivi mpaka lini !?

Tukifanikiwa tukabanana kila mmoja ( wetu) akafanya Wajibu wakeNa ( yule) asiyefanya wajibu wakeAkashughulikiwaItatusaidia saana kila Mmoja kutimiza Wajibu wakeNa Kama inavyokusudiwa na Serikali Mwisho wa kunukuuTusome katiba ya CCM 1977 toleo 2022 uk 06-07 ibara 07 ibara 08 (1)(2)(6) uk 10-11 ibara yote ya 15.

Ilani ya CCM 2020-2025 ibara 04 uk 01Kwa Nini wauwaji na wanaoruhusu product wasiyaone haya !??!Sisi ni BinadamuNa ninaamini pako mahali tumeteleza Muda wa kurekebisha haya au kurekebisha Sheria tunaoShekhe Othman Khamis JumaImam Masjid MtoroTarehe 08/04/2019Alisema Hakuna mtu aliyekamilika Mwanaadamu ni eneo la makosa Mwanaadamu ni eneo la kuteleza Mwanaadamu hakukamilika.

Aliyekamilika ni Mwenyezi Mungu Subhahanahu WataallaMwisho wa kunukuuNaye Mwanasheria MsomiDkt Jerry SilaaWaziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi

Nakumbuka Tarehe 27/05/2024AlisemaSerikali hii ( kuu ya Tanzania) Bunge hili la kwako ( Dkt Tulia) na Mahakama Kote Kuna Binadamu Na hakuna Binadamu aliyekamilika. Hata Mimi Waziri wa Ardhi Kuna wakati Nitafanya maamuzi

Mtu Mwingine ana haki ya kuyaangalia ( na Kisha ) akasema maamuzi haya Mheshimiwa Waziri hayakuwa sahihi. Mwisho wa kunukuu

Hatuko sahihi kuchagua makosa Baadhi kuyona ni makosa Na Makosa mengine same same kuyafanya Business as usual

Kidumu Chama Cha Mapinduzi

Mathias Mugerwa Kahinga

🙏🏿🙏🏿🙏🏿⛏️⛏️⛏️👆🏿👆🏿👆🏿
 
HAKI YA KUISHI NI HAKI MUHIMU KWA NGUVU KAZI YA TAIFA

Nilisikika Katika Ulimwengu wa Kiroho nikikemea tabia inayozidi kukuwa ndani ya Jamii ya kuelekeza Utekelezaji wa Sheria kwa Mafukara huku kundi dogo likitumia vitisho na maneno ya hila huku kundi Hilo likiwa halionyeshi utii kwa kauli za Viongozi Wakuu wa kitaifa. Ambao kilio Chao ni kwamba watu walio wengi watendewe haki .
Na huku ndiko kumuiga Mtume Mohammad SAW Ambaye alipenda haki na alikuwa Muadilifu

Nikaanza kuropokwa hovyo Tumeamrishwa na Allah kuwa Waaminifu na Waadilifu kwa Vitendo na Sio maneno matupu huku tukipendelea watu na kuwabagua wengine kwa ufukara wao na kuwalinda wengine kwa Hali zao njema za kifedha. Shekhe Msellem Bin Ally Akitoa Ufafanuzi wa Qur aan Tukufu Nakumbuka Tarehe 10/06/2024
Alisema Na anayetekeleza maameisho ya Allah Na Asiyetekeleza maamrisho ya Allah Japokuwa wanachanganyika (kwa Pamoja) kwenye maisha ya kawaida kwenye Jamii , tofauti baina ya (watu) Hawa ipo tu.

Mmoja mzuri Mmoja Mbaya Kwa hiyo hawawi sawa sawa Anayetii Maagizo ya Allah ( kamwe) hawezi kuwa sawa sawa na mtu anayeasi Maagizo ya Allah Tofauti watu Hawa japo ni marafiki Wanatembea Pamoja Wanafanya kazi zao ( kwa) Pamoja Mbele ya Allah watu Hawa ni tofauti Kitu kibovu na kitu kizuri vinabaki kuwa ni tofauti tu Haviwezi kufanana Kwa ( mtu) Mwenye akili lazima awe na uwezo wa kutofautisha. Mwisho wa kunukuu

Tuwe Wakweli ili tuwe wacha Mungu tuache Uongo na siku zote Uongo ni wa Shetani Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2022 ibara 07 , ibara 08 (1)(2)(6) ibara 15(4) uk 152 kifungu cha 08 na 09
Ilani ya CCM 2020 uk 01 ibara 04 uk uk 08 ibara 10 na 11 Tusome katiba

Nakumbuka Tarehe 26/11/2016 Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli Katika hafla ya Uvishaji wa Nishani ( JWTZ) Alisema Na Mimi huwa napenda kusema kwa Uwazi Na uwazi saa nyingine huwa unawakwaza watu
Lakini nafuu ukwazike hapa lakini uwazi wangu uupate. Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka Tarehe 15/06/2024 Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Katika hafla ya Upokeaji wa Taarifa kutoka Tume ya haki jinai Alisema Wajibu wakuimarisha haki za raia Kama zilivyoelezwa kwenye katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye sura ya kwanza Sehemu ya Tatu si suala la khiari Ni suala la kulifanyia kazi ipasavyo.

Sote Twalazimika kusimama katika upande wa haki Na suala la ( kuisaka na kuilinda ) haki halina mbadala.
Na ndiyo maana tunachukuwa hatua hizi tunazochukuwa. Mwisho wa kunukuu

Ni lazima Sasa kwa kutumia ibara 26(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ni lazima kuchukuwa hatua kuulinda Uhai wa watu unaopotea kwa kutumia Bidhaa Kama Sigara zinazo wauwa kwa Mujibu wa Tafiti zilizosemwa na Professor Janabi

Ukiangalia suala la kuvuta sigara wanakufa walio wengi ni wale watu Mafukara .
Mtu Mwenye uwezo akila vizuri anaweza ku survive kwa muda kuliko fukara Ambaye tokea Uhuru anaburuzika kwa Shida ndani ya nchi Tajiri

Nakumbuka Tarehe 06/12/2016 Hayati Rais wetu Dkt John Pombe Joseph Magufuli Kwenye kikao Cha Maagizo Alisema Na hilo sisi ndiyo tuliyoahidi kwamba sisi tupo kwa upande wa watu Wanyonge Sio watu wakubwa wakubwa ( Hao) wametetewa mno kwa miaka hamsini .

Sasa tunageuka kutetea Wanyonge ili wafurahi na matunda ya nchi yao. Ila Kama Kuna kiongozi Yeyote Ambaye anafikiri Maagizo haya haridhiki nayo aache kazi hata Kama ni leo. Mwisho wa kunukuu
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Akilihutubia Bunge

Nakumbuka Tarehe 22/04/2021 Alisema Nataka niseme Hayati Mpendwa wetu ( Dkt Magufuli) amekwenda peke yake Na Kama nilivyosema siku ile tunamsindikiza kwamba Maono falsafa na mikakati aliyotuachia tunaendelea kuifanyia kazi Hivyo Basi wale wanaodhani Yale yamekwenda naye wamejidanganya
Yapo na tunayatekeleza Nataka niwaambie kwamba mwendo ni ule ule. Mwisho wa kunukuu

Kati ya Bidhaa inayouwa watu ikapunguza nguvu kazi ya Taifa Na Bidhaa inayodhuru akili ila inataabibu Kati ya hivi ni kipi kinastahili Adhabu Kali !?!? Je tunafanya !?!
Uadilifu wetu kwa katiba ukoje !?!? Tuamuwe wote kwa Pamoja Sasa tukatae kuvilinda na kuvitangaza vitu vinavouwa watu . Tumesema hakuna mtu aliye juu ya Sheria. Kitendo Cha viwanda vya sigara kuandika kwenye Bidhaa zao ya kuwa Uvutaji wa sigara unadhuru afya yako ni kiashiria tosha kuwa uzalushaji wa sigara haufai na ni wauwaji kwa Mujibu wa maelezo ya Professor Janabi Ambaye Alisema sigara zinauwa watu takribani Elfu nane kwa Mwaka. Hawa wanaozalisha product za sigara ni wahalifu Kama walivyo wahalifu wengine wanaosababisha ibara 14 ya katiba isitekelezeke ipasavyo

IGP Camillus Wambura Akitoa Nishani kwa Maafisa wa Police kwa Niaba ya Mheshimiwa Rais Dkt Samia Nakumbuka Tarehe 27/05/2024 Alisema Siku zote nilikuwa nawaambia Wahalifu popote pale walipo kwamba Wahalifu wakae chonjo Saa ni mbaya Naendelea kuwasisitiza. Niliposema saa ni mbaya, saa inaendelea kuwa mbaya mpaka ukamilifu wa Dahari. Kwa mhalifu hakuna siku mhalifu atakuwa na nafuu
Mwisho wa kunukuu Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 26(1)(2) ibara 13(1)(4)(5) ibara 09 a b f na h Tusome ilani ya CCM 2020 uk 01 ibara 04 uk 161-168 na uk 08 ibara 10 na 11
Uadilifu na Uaminifu wetu kwa Ilani ya CCM ukoje !?!?

Je Uaminifu na Uadilifu kwa kauli za Viongozi wetu Wakuu ukoje !?!? Nakumbuka Tarehe 15/06/2024 Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Katika hafla ya Upokeaji wa Taarifa kutoka Tume ya haki jinai Alisema Chama Cha Mapinduzi kupitia ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2020-2025 ilituagiza Serikali kuhakikisha tunalinda na kuimarisha misingi ya Utu , usawa , haki na Uongozi Bora..

Mwisho wa kunukuu. Tusome Ilani ya CCM 2020-2025 uk 162 ibara 110(e)(f), uk 298 ibara 249(d) na 250(b) uk 04-05 ibara 07 ili kupata kibali Cha kwenda kusoma ilani 2015 uk 230 ibara 177 Turudi Tena ilani ya 2020 uk 09 ibara 14(a) uk 186 Umoja wa Mataifa (c) uk 08 ibara 10 na 11 Kwa msisitizo wa kipekee tusome ilani 2015 uk 233-234 ibara 185(c) Mheshimiwa Dkt John Pombe Joseph Magufuli Katika hafla ya kutunuku vyeti
Nakumbuka October 2017 Alisema Na ni Ukweli Hilo ndilo lengo la ilani ya Uchaguzi niliyoambiwa kuinadi
Wasiniwekee Mambo mengine ambayo sikuyanadi.

Tuamuwe Sasa kufuata Sheria wote Bila kuangalia huyu ana afya kifedha Na huyu tumgandamize na Sheria kwa vile Hana Fedha Tutende haki huku tukikumbuka ya kuwa sisi ni viumbe vya Mwenyezi Mungu Na tunaipata Amani kwa kwa wote kutendeana haki kwa Mujibu katiba Kanuni miongozo na Taratibu tulizo kubaliana . Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli Katika wiki ya Sheria February 2019 Alisema Ingawa Mimi Sio Mwanasheria Lakini napenda Sana Sheria.

Sheria ni Muhimu katika kujenga umoja kwenye Jamii Kuimarisha uhusiano Kati ya Serikali na Wananchi
Kulinda Uhuru na haki za Wananchi Kudumisha Amani na kuzuia ama kuondoa migogoro katika Jamii na Taifa kwa ujumla Mwisho wa kunukuu Tufuate Sheria zinavyotaka Vinginevyo tuwe Wakweli TU. Tutunge Sheria ziwe ziko Wazi kuwa zinawabagua Mafukara kuliko kuishi kintimanyongo tukidanganyana
Nikashtuka Ndotoni katika Ulimwengu wa Kiroho huko Ndotoni nikiwa kimya

Kidumu chama Cha Mapinduzi

Mathias Mugerwa Kahinga

🙏🏿🙏🏿⛏️⛏️💪🏿💪🏿
 
Back
Top Bottom