UPDATES: Elimu kwa umma ambayo ni jambo la msingi na endelevu
Aliyeweza kusoma hadi mwisho a sumirize. Mana kwangu naona ni upuuzi tu. Tangu lini mtu wa ccm kuanzia wanzilishi wao akawa na mawazo mema kwa Tanganyika yetu. Ccm wote ni washenzi.. nasisitiza woote kuanzia waanzilishi had mpuuzi wao wa mwisho huko mtaani. May gods kill them.
Ipo siku Tanganyika yetu itaamka tu.
God bless #Tanganyika
 
WANACCM NA WATANZANIA KWA UJUMLA KUTOA FIKRA NA MAWAZO YAKO NI HAKI YAKO

Ujenzi wa nchi unajumuisha watu wenye Mitazamo na fikra Mbali Mbali. Ndani ya nchi wapo watu wa kila Aina wenye Tabia za kila Aina.

Ili kuishi kwa Amani na haki kutendeka kwa kila mtu pakawekwa katiba Kanuni miongozo na Taratibu ili mtu anayekwenda kinyume vimushughulikie. Nyakati tulizomo Shetani ameshika Kasi. Watu Waovu Baadhi wanapeana vyeo kinyemela huku wakihamasishana kwa lengo la kutumia Ujinga wa watu walio wengi Kama kisa cha kumnyonya na kumdhulmu fukara asiye na Mteteziu, tukikaa kimya kama vile samaki aishivyo majini tujuwe tutakuwa tumewasaliti mafukara wanaotegemea walau neno moja la Sisi wenye kuzielewa mbinu na hila za Shetani za kumuonyesha meno meupe fukara huku wakiwa hawana Nia kabisa ya kumsaidia.

Nakumbuka tarehe 05/02/2024 Comrade Paul Christian Makonda. Katibu NEC Itikadi Siasa na Uenezi CCM Taifa alisema Mimi sinaga Shida ya kuonekana Mbaya kwa niaba ya wananchi hawa (Mafukara na wanyonge tunao watetea) wala hainisumbui. Mwisho wa kunukuu.

Comrade Abdulrahman Omar Kinana, Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Bara nakumbuka Tarehe 04/01/2024 akitoa Ufafanuzi wa baadhi ya Mambo alisema isemeni Serikali. Semeni Mapungufu ya Chama Cha Mapinduzi. Mwisho wa kunukuu.

Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 18(a) ibara 19(1) kwa Maana ya Uhuru wa mawazo Ibara 26(1)(2)ibara 13(1)4)(5) ibara zote zikizingatia ibara 9 a,b,f, na h.

Nakumbuka Tarehe 28/01/2024, Askofu Benson Kalikawe Bagonza Askofu Mkuu KKKT Dayosisi ya Karagwe akifanya Mahojiano na wanahabari alisema Katiba ndiyo Sheria Mama. Mwisho wa kunukuu.

Comrade Abdulrahman Omar Kinana, Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Bara nakumbuka tarehe 04/02/2024 alisema Nchi hii na katiba (ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 ni ) Jambo muhimu sana. Kwa sababu nchi inaendeshwa kwa katiba. Mwisho wa kunukuu.

Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika Maadhimisho ya siku ya Sheria nakumbuka Tarehe 01/02/2024 alisema ninyi nyote (na Mimi Rais wenu) mliapa kwa kushika Vitabu vya Dini zenu (na Mimi kwa Dini yangu). Hivyo mnalazimika kusimama Katika misingi ya haki Kama (vile) miongozo ya Dini zenu zinavyotaka.

Pamoja na imani zenu za Dini lakini pia katiba (ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) Ambayo ndiyo Sheria Mama. Mwisho wa kunukuu.

Comrade Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi, Katibu Mkuu CCM Taifa. Siku alipopokelewa Dodoma Nakumbuka Tarehe 22/01/2024 alisema Wanaccm (fahamuni ya kuwa Rais Dkt Samia) ndiyo Mtaji wetu huo. CCM Mtaji wetu ni Rais Samia. Tumtangulize mbele bila haya. Mwisho wa kunukuu.

Tumtanguliza mbele Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ni kumuishi kwa Vitendo kauli zake na kuzitii. Mheshimiwa Rais Dkt Samia anasisitiza katiba ndani ya katiba Kuna haki nyingi na makatazo.

Mfano, ubaguzi wa aina yeyote hautakiwi. Upendeleo wa Aina yeyote hautakiwi.

Kwa mujibu wa ibara 26(2) na kwa kuzingatia ilani ya CCM ibara 04 uk 01 bila kuuacha uk 161-168 kwa mazingatio ya ibara 10 na11 ya ilani Tuchukuwe hatua dhidi ya Viongozi wanao kifanya Chama kionekane kinalegalega mbele ya Jamii.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

Mathias Mugerwa Kahinga.
 
MAJAMBAZI YA KISIASA
BAADHI YAMENOGEWA
NA DHULMA YA KULA FEDHA ZA MAFUKARA KWA NJIA ZA KUJIPATIA VYEO KWA RUSHWA
Nilisikika Katika Ulimwengu wa kiroho huko Ndotoni nikiunguruma kupinga tabia chafu za baadhi ya waovu kubebwa huku mafukara na Watumishi wa Umma waliosoma kwa Shida wakiishi Kama Wakimbizi ndani ya nchi tajiri ya Tanzania
Nikaanza
Naipongeza saana Serikali ya Tanzania kukemea uuzwaji wa Mirungi kwa vile una madhara kwenye akili za watu .
Nikiwa katika Ulimwengu wa kiroho nikalishwa mirungi
Akili ikawa kushoto kulia
Kulia kushoto
Nikaanza kubwabwaja
Nakumbuka Tarehe 11/04/2022
Bishop Rose Mgetta
Wa Kanisa la Mlima wa moto Mikocheni B
Akitoa Mahubiri Alisema
Hila , Uongo unaofanania na Ukweli
Sasa bila kutambuwa
Bila kukaa rohoni
Utatembea kwenye hila maisha yako yote na ( ujuwe utakuwa ) hauko salama
Mwisho wa kunukuu
Watu walio wengi wajiitao Wana Siasa
Wengi wao wamevaa sare za kisiasa tu huku wakiwa hawajuwi lolote kuhusu ilani zao katiba Kanuni miongozo na Taratibu
Na Baadhi wanaojuwa kwa Ubinafsi wao wameamuwa kuwa wezi kuwaibia Mafukara huku wakilindana wao kwa wao katika Maovu na kutisha watu ili wasiseme lolote ili wao wazidi kula visivyo wastahiki kwa hila za kujitamkisha neno Mwenyezi Mungu ili kuwafanya watu wawaamini kuwa ni Waumini kumbe sio .
Unapokuwa Mwanasiasa Mcha Mungu lazima utjibidiisha kuenenda katika njia za haki ulizokubaliana na unao waongoza kuzifuata.
Ukiwa Jambazi la kisiasa unakuwa na ndimi mbili huku ukitisha watu ukisema Msichanganye Siasa na Dini wakati ukijuwa Siasa na Dini lazima viendane.
Usipokuwa na hofu ya neno la Mwenyezi Mungu wawezaje kutenda haki !?!
Wawezaje kuwa Kiongozi Mwenye huruma !?!?
Ni wazi Baadhi ya Viongozi ndiyo wanaochangia upotoshaji katika Uongozi wa nchi kwa kauli zao za hovyo za kishetani zenye ndimi mbili Kama nyoka .
Shekhe Msellem Bin Ally
Akitoa Uchambuzi wa Qur aan
Nakumbuka Tarehe 01/01/2024
Alisema
Allah atawalipa malipo ya Uadilifu .
( Utakuta mtu) kaja hapa ( Duniani)
Kapata hadhi ya Uongozi
Mwanasiasa
Kwa hiyo anaishi kisiasa Siasa tu.
( Na) yeye akawa ndo ( mtu) Mkali wa kusema usichanganye Siasa na Dini .
Kwa hiyo Kama mtu wa Siasa kuwa na Siasa tu Basi.
Dini achana nayo.
( Utakuta mtu) Yeye kaishi hivyo.
Na ( utakuta mtu) anawaagiza watu waishi hivyo .
( Watu Kama hao) hawataraji (ya) kwamba Kuna Siku ya kukutana na Allah.
Kwa hiyo ( watu hao) hawajiandai .
Mwisho wa kunukuu
Siasa Safi ni kutendeana haki kwa wote kufuata Ilani katiba kanuni miongozo na Taratibu na kuzitekeleza vile vile kadri ya maandiko yalivyo na kuchukuwa hatua za kisheria bila
Ubaguzi na Upendeleo
Kwa kubebana kiswahiba
Huu ndiyo ucha Mungu wa Ukweli usio na Unafiki wa kujitamkisha neno Mwenyezi Mungu huku tukimtumikia Shetani na kufurahia maisha ya kishetani ya Baadhi kula na kusaza huku wenzao wa huku chini hata Ofisi tu za kutunzia nyaraka hakuna
Vyooo hakuna
Maji Safi na salama hakuna
Posho hakuna
Usafiri walau tu Baiskeli hakuna
Kisha Dhambi Mbaya na chafu inayofanyika ni ile ya kuwachagulia Mafukara Kiongozi wa kuwaongoza na kutumia hila za kishetani kuwalazimisha Mafukara wamkubali na kumshangilia Kiongozi wa hovyo kabisa wasiye mhitaji wao
Unafiki .
Wanaokiuka mifumo ya nchi kwa visingizio vya kutumia vikao kana kwamba wao wako juu ya Sheria wanaachwa na wanapongezwa kwa kusiginaji wa sheria na Kanuni ila fukara anahukumiwa hata kwa kosa la kuzushiwa.
Mheshimiwa Rais Paul Christian Makonda
Rais wa Mkoa wa Arusha
Nakumbuka Tarehe 28/05/2024
Akiwa Monduli
Alisema
Mwananchi wa kawaida ( akikosea) huwa hatua mnazichukuwa papo kwa papo
Tena ( wananchi) wengine mnawatumia migambo .
Wengine mnawatumia Police
Mwananchi huyo anapata adha na hapewi muda ( wa kujisahihisha)
Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo la 2005 ibara yote ya 08, ibara 34(4) ibara 35(1) ibara 13(1)(4)(5) ibara 29(1)(2) uk 127 ibara 152(1)(2)(3) ikisomwa kwa Pamoja na uk 14 ibara 01 02 kwa msisitizo wa uk 13 paragraph ya kwanza.
Tusome Kitabu Cha Standing Order for the Public Service 2009
Pursuant to S. 35(5) of the Republic Service act cap 298 uk 26 kifungu Cha C.1(3)
uk ( iii) kifungu namba (02) uk ( iii) kifungu namba (06) uk (vii) kifungu Cha 01
uk 20 kifungu B 15(1)(3) ikisomwa kwa Pamoja na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 uk 58 ibara 61 kwa msisitizo wa ibara 09 a,b,f na h
Tunaona raha na furaha mioyoni Mwetu kuwananga na kuwatangaza Mafukara na Watumishi wa Umma hadharani huku tukificha Majizi yanayo kihujumu Chama kwa kula Fedha na kuuza Mali za chama Kinyume na Utaratibu
Kughushi account za Chama
Mwizi ni Mwizi tu
Tumekuwa na maneno mengi ya bla bla huku tukishiba na kusaza tukiwa hatuna Mpango wowote wa kuchukuwa hatua Kama tulivyoapa
Kuihifadhi
Kulinda
Kutetea katiba na Sheria za nchi.
Nakumbuka Tarehe 15/05/2024
Mheshimiwa Rais Albert John Chalamila
Rais wa Mkoa wa Dar es salaam
Akiwa Mwasonga
Alisema
( Viongozi wasiozingatia Taratibu za kimfumo wa nchi) tutawaondoa.
Na hili nataka niwaambieni Ukweli
( Viongozi) msipotusaidia ( kutatua kero za Wanamchi) tutawaondoa
Kwa sababu tunataka kuijenga nchi ambayo Mheshimiwa (Rais) Samia anatamani iwe.
Sasa hatuwezi ( kuijenga wakati) huku watu wanalia hiki .
Huku wanalia hiki.
Mwisho wa kunukuu
Nakumbuka Tarehe 22/05/2024
Mheshimiwa Dkt Mwigulu Nchemba
Waziri wa fedha
Alisema
Hata nchi zilizo endelea
Nchi zilizoendelea
Wanaweza wakacheka kwenye Mambo mengine yote.
Wakachekeana kwenye Siasa .
Lakini linapokuja Jambo la Kujenga nchi hapo ( Jambo Hilo) halina mzaha.
Hata Sisi hatutafanya mzaha.
Mwisho wa kunukuu
Watu wameghushi na kutoa taarifa za Uongo wakapata vyeo
Wametoa Rushwa wakanunua vyeo huku wakiwa wanakinzana na Taratibu za kimfumo zinavyo agiza na Bado wako Madarakani wakilindwa na kulipwa posho Kodi za Mafukara na watu walioapa kutenda haki .
Mheshimiwa Godwin Kunambi
Mbunge wa Mlimba
Nakumbuka Tarehe 24/05/2024
Alisema
Nirejee maneno ya hayati Baba wa Taifa ( Mwl Nyerere)
Aliwahi kusema
Nchi yeyote ili iweze kupiga hatua za kimaendeleo lazima iwe na ardhi , watu, ( na) Siasa Safi.
Na Utawala Bora
Mwisho wa kunukuu
Mzee Joseph Butiku
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation
Nakumbuka Tarehe 04/06/2024
Alisema
( Utasikia ) Sherehe zote Baba wa Taifa ( Mwl Nyerere)
Baba wa Taifa
Baba wa Taifa
Baba wa Taifa
Kila siku
( Baba wa Taifa)
Amekuwa Kama Biashara ya Watu
Mnamkumbuka kwa nini !?!?
Kwa kuficha Vitabu vyake!??!?
Mwisho wa kunukuu
Majambazi ya kisiasa
Hayapendi
Kufuata Ilani katiba kanuni miongozo na Taratibu
Hata Kama hayana Sifa za Uongozi
Yenyewe hutumia Rushwa
Kupata Uongozi
Kisha hutumia Rushwa
Kudumu Madarakani
Kwa Msaada wa Baadhi ya viongozi wenye vyeo Wasiokuwa Wazalendo
Wenye Kutamka neno Mwenyezi Mungu kwa Unafiki tu ili kuwaaminisha Mafukara wawaone Kama nao wanaimani ya Kimungu .
Wanafiki
Tusiposema
Wanafiki watakuwa wanaona Kama Wanatuburuta
Wanafiki Wakubwa waipendao Dunia huku wakimtumikia Shetani wakiwa katika kivuli Cha kujitamkisha neno Mwenyezi Mungu.
Tupambane Kujenga tabia njema ndani ya Taifa .
Na tutajenga Tabia njema kwa kuyaanika Maovu na kukemea Wazi wazi Mambo yote ya Kinafiki ya Watu kujifanya watu wema huku wakiwa na Tabia za kijinga jinga.
Mheshimiwa Joseph Butiku
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation
Nakumbuka Tarehe 04/06/2024
Alisema,
Baba ( Mwl) Nyerere Alisema
Kujenga Taifa SI Kujenga Mabarabara.
Si Kujenga Mabarabara na Majumba haya.
Matrain
Na kutengeneza Meli
Hapana
Kujenga Taifa ni Kujenga Tabia za watu.
Character kiingereza.
To build a nation is to build a character
Msisahau
To build a nation is to build a character
Tabia inayokuwezesha kuwa mtu unaye jiheshimu na kuwezesha kuishi na ( watu ) wengine kwa kuwaheshimu
Na munaheshimiana.
Na mnafuata Taratibu na mnatii Taratibu mlizojiwekea
Kwa khiari.
Mwisho wa kunukuu

Tuache Unafiki na tabia za hovyo zilizojaa Ubinafsi na Umimi
Tumrudie Mwenyezi Mungu na tunapotamka neno Mwenyezi Mungu tumaanishe.
Katika clip iliyorushwa Mtandaoni Tarehe 08/07/2017 inaonyesha Professor Palamagamba Mwaluko Kabudi
Ex Waziri wa Katiba na Sheria
Aliwahi kusema
Na Mwenyezi Mungu kwa tabia yake ameturuhusu Binaadamu utashi.
Na tumejikusanya katika Makundi mawili
( Kuna ) Makundi ya Wapumbavu na Makundi ya ( Watu) Wajinga
( Ni) Nini tabia ya Mpumbavu!?
Mpumbavu ana tabia ya kushupaa na ubabe
(Mtu)Mjinga
Mjinga
Ambaye ni Pamoja na Mimi
Mjinga
Mungu amemjalia karama ya kuduwaa
Akieleweshwa anasema Ahaaa ,
Nilikuwa sijuwi.
Kwa Hali hiyo Basi ,
Mtu Mjinga
Kwa sababu ana tabia ya kuduwaa kwa asilo lielewa ( Mara nyingi) huwa na Busara
Na ( mtu) Mpumbavu kwa sababu hushupaa hujaa kiburi .
Watanzania ( ni vema) tuwe Wajinga na Sio Wapumbavu
Tusishupae
Tuduwae
Mwisho wa kunukuu
Niwaombe tuduwae katika kutenda haki kwa wote bila ubaguzi kwa kufuatiza ilani katiba Kanuni miongozo na Taratibu
Na Tusishupae kuwabeba Wasiostahili na kuwalipa posho Kodi za Mafukara ambazo tuliapa kuzitendea haki huku tukiwa karibu na Viongozi wa kidini.
Nikashtuka Ndotoni katika ulimwengu wa Kiroho huko Peponi huku nikiwa kimya kabisa na nikiwa sielewi nilikuwa nasema Nini.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi


Mathias Mugerwa Kahinga

🙏🏿🙏🏿⛏️⛏️💪🏿💪🏿🌹🌹
 
WANACCM NA WATANZANIA KWA UJUMLA
KUTOA FIKRA NA MAWAZO YAKO NI HAKI YAKO.

Ujenzi wa nchi unajumuisha watu wenye Mitazamo na fikra Mbali Mbali.
Ndani ya nchi wapo watu wa kila Aina wenye Tabia za kila Aina .
Ili kuishi kwa Amani na haki kutendeka kwa kila mtu pakawekwa katiba Kanuni miongozo na Taratibu ili mtu anayekwenda kinyume vimushughulikie.
Nyakati tulizomo Shetani ameshika Kasi .
Watu Waovu Baadhi wanapeana vyeo kinyemela huku wakihamasishana kwa lengo la kutumia Ujinga wa watu walio wengi Kama kisa Cha kumnyonya na kumdhulmu fukara asiye na Mtetezi
Tukikaa kimya Kama vile samaki aishivyo majini tujuwe tutakuwa tumewasaliti Mafukara wanaotegemea walau neno moja la Sisi wenye kuzielewa mbinu na hila za Shetani za kumuonyesha meno meupe fukara huku wakiwa hawana Nia kabisa ya kumsaidia.
Nakumbuka Tarehe 05/02/2024
Comrade Paul Christian Makonda
Katibu NEC Itikadi Siasa na Uenezi CCM Taifa
Alisema
Mimi sinaga Shida ya kuonekana Mbaya kwa niaba ya wananchi Hawa (Mafukara na wanyonge tunao watetea)
Wala hainisumbuwi
Mwisho wa kunukuu
Comrade Abdulrahman Omar Kinana
Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Bara
Nakumbuka Tarehe 04/01/2024
Akitoa Ufafanuzi wa baadhi ya Mambo
Alisema
Isemeni Serikali
Semeni Mapungufu ya Chama Cha Mapinduzi.
Mwisho wa kunukuu
Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 18(a) ibara 19(1) kwa Maana ya Uhuru wa mawazo
Ibara 26(1)(2)ibara 13(1)4)(5) ibara zote zikizingatia ibara 9 a,b,f, na h.
Nakumbuka Tarehe 28/01/2024
Askofu Benson Kalikawe Bagonza
Askofu Mkuu KKKT Dayosisi ya Karagwe
Akifanya Mahojiano na wanahabari
Alisema
Katiba ndiyo Sheria Mama.
Mwisho wa kunukuu
Comrade bdulrahman Omar Kinana
Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Bara
Nakumbuka Tarehe 04/02/2024
Alisema
Nchi hii Ina katiba (ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 ni ) Jambo muhimu saana.
Kwa sababu nchi inaendeshwa kwa katiba
Mwisho wa kunukuu
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Katika Maadhimisho ya siku ya Sheria
Nakumbuka Tarehe 01/02/2024
Alisema
Ninyi nyote (na Mimi Rais wenu) mliapa kwa kushika Vitabu vya Dini zenu (na Mimi kwa Dini yangu).
Hivyo mnalazimika kusimama Katika misingi ya haki Kama (vile ) miongozo ya Dini zenu zinavyotaka .
Pamoja na imani zenu za Dini lakini pia katiba ( ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) Ambayo ndiyo Sheria Mama.
Mwisho wa kunukuu
Comrade Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi
Katibu Mkuu CCM Taifa
Siku alipopokelewa Dodoma
Nakumbuka Tarehe 22/01/2024
Alisema
Wanaccm ( fahamuni ya kuwa Rais Dkt Samia) ndiyo Mtaji wetu huo
CCM Mtaji wetu ni Rais Samia .
Tumtangulize mbele bila haya .
Mwisho wa kunukuu
Tumtanguliza mbele Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ni kumuishi kwa Vitendo kauli zake na kuzitii
Mheshimiwa Rais Dkt Samia anasisitiza katiba
Ndani ya katiba Kuna haki nyingi na makatazo
Mfano
Ubaguzi wa Aina yeyote hautakiwi.
Upendeleo wa Aina yeyote hautakiwi.
Kwa mujibu wa ibara 26(2) na kwa kuzingatia ilani ya CCM ibara 04 uk 01 bila kuuacha uk 161-168 kwa mazingatio ya ibara 10 na11 ya ilani
Tuchukuwe hatua dhidi ya Viongozi wanao kifanya Chama kionekane kinalegalega mbele ya Jamii.



Kidumu Chama Cha Mapinduzi


Mathias Mugerwa Kahinga

🙏🏿🙏🏿🔨🔨💪🏿💪🏿
Lucas Mwashambwa umepata pacha wako huku mashudu kama yote.
 
WATU WAMEPATANA NA IBILISI WAMEKUWA MAADUI WA MWENYEZI MUNGU

Nakumbuka Tarehe 23/10/2022 Professor Issa Shivji, Mwenyekiti wa Kigoda Cha Mwl Nyerere Alisema
(Chuoni) nilifundishwa kufikiri. Nilifundishwa kufikiri. (Walimu wangu wa Chuo) hawakunifanya nimeze (tu) maoni yao, hoja zao.

"Sisi Wanafunzi tulikuwa tunapinga hoja za Walimu Darasani kabisa." Mwisho wa kunukuu.

Na sisi huku CCM tunapoona wenzetu Miongoni mwetu wakiihimiza Jamii kufuata na kutii Sheria huku wao Baadhi wakikiuka Viapo vyao na kuenenda kwenye kazi zao bila kuheshimu katiba Kanuni miongozo na Taratibu kwa uwazi ni lazima tusimame tupaze sauti tukemee tabia hiyo inayovunja Uzalendo na Moyo wa kujitoa kuupigania nchi.

Nakumbuka Tarehe 09/07/2021 Shekhe Msellem Bin Ally akitoa Mawaidha alisema kuna moja katika Viongozi wa Afrika Alisema hakuna sikio lisilosikia maneno ya watu wengi, haswa wakisema kwa sauti moja. Yaani watu wengi wanaongea Hilo Hilo na weye mtu mmoja lazima utasikia. Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka Tarehe 18/10/2021 Mheshimiwa Simmon Sirro akiwa IGP alipokabidhi Uenyekiti wa EAPCCO alisema unajua kunafika mahali lazima tuseme Ukweli. Ni lazima Watanzania wafike mahali wajuwe ukweli wa jambo. Mwisho wa kunukuu

Ndani ya nchi Kuna misingi ambayo tumekubaliana wote kuifuata tukasema hakuna mtu aliye juu ya sheria.
Hivyo inapotokea kuna watu kwa Maksudi wamevunja misingi hiyo, watu hao wanapongezwa na kulipwa posho
kodi za mafukara. Je, awa ambao walivumilia njaa.

Wakatii taratibu za nchi huku wakiwa na uwezo mkubwa wa kiuongozi kuliko hata hao waliokiuka taratibu
Hawa tunawafikiriaje. Tunaposhika Vitabu vitakatifu Vya kidini na kuapa kuihifadhi, kulinda na kutetea Katiba na Sheria za nchi huwa tunamaanisha nini?

Kwa Nini watu waliovumilia kuto kuvunja misingi waishi Kama wako Dampo huku wakiwashuhudia walioendea Kinyume mifumo wakiishi maisha mazuri na ya anasa. Imani zetu za Kimungu zimekaaje? Tunahubiri haki, je haya hayapaswi kutafutiwa haki yake?

Mheshimiwa Simmon Sirro Akiwa IGP nakumbuka Tarehe 18/10/2021 Alisema anayejiingiza kwenye matatizo atapata matatizo kwa Mujibu wa Sheria. Mwisho wa kunukuu.

Mheshimiwa Shaka Hamdu Shaka akiwa Katibu NEC Itikadi siasa na Uenezi CCM Taifa. Nakumbuka Tarehe 31/10/2021. Akiongea na Waandishi wa habari Alisema. Na Bado tunaendelea kuwanasihi waendelee kutii Sheria bila shuruti. Mwisho wa kunukuu

Nakumbuka Tarehe 27/05/2024 Mheshimiwa Dkt Jerry Silaa, Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Alisema
Lazima tuende ( ngazi za huko chini) tukawasikilize wananchi wetu. Lazima twende tukawasikilize tuwatatulie matatizo Yao.

Serikali inayoongozwa na Dkt Samia Suluhu Hassan inaheshimu katiba. Mwisho wa kunukuu
Tusome Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 26(1)(2) ikisomwa kwa Pamoja na ibara 9 a b f na h Bila kuiacha ilani ya CCM uk 01 ibara 04 na uk 161-168 Pamoja na uk 08 ibara 10 na 11.

Mheshimiwa Professor Kitila Alevernder Mkumbo Waziri wa nchi katika Ofisi ya Rais Mipangio na Uwekezaji Katika hafla ya kupokea Gawiwo 2024 Nakumbuka Tarehe 11/06/2024 Alisema Mheshimiwa Rais unatoa maelekezo mengi Lakini (ule) uwezo wa Wasaidizi wako wa kutafsiri Maelekezo hayo unatofautiana. Mwisho wa kunukuu.

Naye Professor Makame Mbarawa Akiwa Waziri wa Ujenzi na UchukuziKatika hafla ya kupokea ndege huko Zanzibar Nakumbuka Tarehe 08/10/2021 Alisema Sisi tuna wajibu wa kutekeleza Yale ambayo tunaelekezwa na Kiongozi wetu ' Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka Tarehe 23/11/2021 Siku ya Maadhimusho ya nenda kwa Usalama Barabarani huko Arusha Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Alisema. Niseme kuwa kila mmoja wetu anatakiwa kuwa na Nidhamu na Utamaduni wa kufuata Sheria na vile vile kuwa askari wa Mwenziwe. Mwisho wa kunukuu
Kwa kauli hii na kwa kuzingatia ibara 26(2)

Naomba saana wale wote waliojipatia vyeo huku wakiwa wanakinzana na ilani, katiba Kanuni miongozo na Taratibu. Pia wakikinzana na kauli za Viongozi wetu Wakuu wa Kitaifa waachie ngazi. Na hawastahili kuitwa Waheshimiwa kwa sababu wamezikosea Taratibu za nchi kwa maksudi na hivyo kupoteza Uadilifu kwa nchi yetu. Na tusisahau ya kwamba. Kutekeleza kazi zetu kwa Mujibu wa katiba Kanuni miongozo na Taratibu zetu zinavyotuelekeza huku tukikumbuka viapo tulivyoapa huu ndiyo ucha Mungu. Kwenda Kinyume ni Ushetani na automatically tunakuwa Maadui wa Mwenyezi Mungu kwa kuikiuka haki.

Nakumbuka Tarehe 21/07/2023 Shekhe Othman Khamis Juma Imam Masjid Mtoro Akitoa Mawaidha Alisema
( Nyakati tulizomo ) watu wamepatana na ibilisi Tena wazi wazi Yale mapatano ya Watu na Shetani hayajifichi Tena. Yanaonekana wazi wazi Unaangalia ( mtu) huyu Ahaaa ( unaona kabisa) Kuna Mapatano na Shetani.
Na yule ( mwingine) ndiyo Mwenyewe Ni Shetani Rafiki yake imekuwa suluhu ya bayana. Mwisho wa kunukuu

Padre Dkt Faustine Kamugisha Wa Parokia ya Minziro Bukoba Nakumbuka Tarehe 24/11/2021 Alisema Mungu anaweza akatuma hata Mkuu wako Akatuma hata aliyeko chini yake Akakushauri kitu kika..... Msikilize. Mwisho wa kunukuu.

Ni juu yenu Mwenye kujuwa ipo siku ya kiama ataulizwa haya ajirekebishe arudi kwenye njia ya Uadilifu na Uaminifu huku akikwepa bla bla zilizojaa matamanio ya kidunia yasiyotenda haki.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi


Mathias Mugerwa Kahinga

👁️👁️🤔🤔🥹🥹😭😭
 
MAJAMBAZI YA KISIASA
BAADHI YAMENOGEWA
NA DHULMA YA KULA FEDHA ZA MAFUKARA KWA NJIA ZA KUJIPATIA VYEO KWA RUSHWA
Nilisikika Katika Ulimwengu wa kiroho huko Ndotoni nikiunguruma kupinga tabia chafu za baadhi ya waovu kubebwa huku mafukara na Watumishi wa Umma waliosoma kwa Shida wakiishi Kama Wakimbizi ndani ya nchi tajiri ya Tanzania
Nikaanza
Naipongeza saana Serikali ya Tanzania kukemea uuzwaji wa Mirungi kwa vile una madhara kwenye akili za watu .
Nikiwa katika Ulimwengu wa kiroho nikalishwa mirungi
Akili ikawa kushoto kulia
Kulia kushoto
Nikaanza kubwabwaja
Nakumbuka Tarehe 11/04/2022
Bishop Rose Mgetta
Wa Kanisa la Mlima wa moto Mikocheni B
Akitoa Mahubiri Alisema
Hila , Uongo unaofanania na Ukweli
Sasa bila kutambuwa
Bila kukaa rohoni
Utatembea kwenye hila maisha yako yote na ( ujuwe utakuwa ) hauko salama
Mwisho wa kunukuu
Watu walio wengi wajiitao Wana Siasa
Wengi wao wamevaa sare za kisiasa tu huku wakiwa hawajuwi lolote kuhusu ilani zao katiba Kanuni miongozo na Taratibu
Na Baadhi wanaojuwa kwa Ubinafsi wao wameamuwa kuwa wezi kuwaibia Mafukara huku wakilindana wao kwa wao katika Maovu na kutisha watu ili wasiseme lolote ili wao wazidi kula visivyo wastahiki kwa hila za kujitamkisha neno Mwenyezi Mungu ili kuwafanya watu wawaamini kuwa ni Waumini kumbe sio .
Unapokuwa Mwanasiasa Mcha Mungu lazima utjibidiisha kuenenda katika njia za haki ulizokubaliana na unao waongoza kuzifuata.
Ukiwa Jambazi la kisiasa unakuwa na ndimi mbili huku ukitisha watu ukisema Msichanganye Siasa na Dini wakati ukijuwa Siasa na Dini lazima viendane.
Usipokuwa na hofu ya neno la Mwenyezi Mungu wawezaje kutenda haki !?!
Wawezaje kuwa Kiongozi Mwenye huruma !?!?
Ni wazi Baadhi ya Viongozi ndiyo wanaochangia upotoshaji katika Uongozi wa nchi kwa kauli zao za hovyo za kishetani zenye ndimi mbili Kama nyoka .
Shekhe Msellem Bin Ally
Akitoa Uchambuzi wa Qur aan
Nakumbuka Tarehe 01/01/2024
Alisema
Allah atawalipa malipo ya Uadilifu .
( Utakuta mtu) kaja hapa ( Duniani)
Kapata hadhi ya Uongozi
Mwanasiasa
Kwa hiyo anaishi kisiasa Siasa tu.
( Na) yeye akawa ndo ( mtu) Mkali wa kusema usichanganye Siasa na Dini .
Kwa hiyo Kama mtu wa Siasa kuwa na Siasa tu Basi.
Dini achana nayo.
( Utakuta mtu) Yeye kaishi hivyo.
Na ( utakuta mtu) anawaagiza watu waishi hivyo .
( Watu Kama hao) hawataraji (ya) kwamba Kuna Siku ya kukutana na Allah.
Kwa hiyo ( watu hao) hawajiandai .
Mwisho wa kunukuu
Siasa Safi ni kutendeana haki kwa wote kufuata Ilani katiba kanuni miongozo na Taratibu na kuzitekeleza vile vile kadri ya maandiko yalivyo na kuchukuwa hatua za kisheria bila
Ubaguzi na Upendeleo
Kwa kubebana kiswahiba
Huu ndiyo ucha Mungu wa Ukweli usio na Unafiki wa kujitamkisha neno Mwenyezi Mungu huku tukimtumikia Shetani na kufurahia maisha ya kishetani ya Baadhi kula na kusaza huku wenzao wa huku chini hata Ofisi tu za kutunzia nyaraka hakuna
Vyooo hakuna
Maji Safi na salama hakuna
Posho hakuna
Usafiri walau tu Baiskeli hakuna
Kisha Dhambi Mbaya na chafu inayofanyika ni ile ya kuwachagulia Mafukara Kiongozi wa kuwaongoza na kutumia hila za kishetani kuwalazimisha Mafukara wamkubali na kumshangilia Kiongozi wa hovyo kabisa wasiye mhitaji wao
Unafiki .
Wanaokiuka mifumo ya nchi kwa visingizio vya kutumia vikao kana kwamba wao wako juu ya Sheria wanaachwa na wanapongezwa kwa kusiginaji wa sheria na Kanuni ila fukara anahukumiwa hata kwa kosa la kuzushiwa.
Mheshimiwa Rais Paul Christian Makonda
Rais wa Mkoa wa Arusha
Nakumbuka Tarehe 28/05/2024
Akiwa Monduli
Alisema
Mwananchi wa kawaida ( akikosea) huwa hatua mnazichukuwa papo kwa papo
Tena ( wananchi) wengine mnawatumia migambo .
Wengine mnawatumia Police
Mwananchi huyo anapata adha na hapewi muda ( wa kujisahihisha)
Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo la 2005 ibara yote ya 08, ibara 34(4) ibara 35(1) ibara 13(1)(4)(5) ibara 29(1)(2) uk 127 ibara 152(1)(2)(3) ikisomwa kwa Pamoja na uk 14 ibara 01 02 kwa msisitizo wa uk 13 paragraph ya kwanza.
Tusome Kitabu Cha Standing Order for the Public Service 2009
Pursuant to S. 35(5) of the Republic Service act cap 298 uk 26 kifungu Cha C.1(3)
uk ( iii) kifungu namba (02) uk ( iii) kifungu namba (06) uk (vii) kifungu Cha 01
uk 20 kifungu B 15(1)(3) ikisomwa kwa Pamoja na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 uk 58 ibara 61 kwa msisitizo wa ibara 09 a,b,f na h
Tunaona raha na furaha mioyoni Mwetu kuwananga na kuwatangaza Mafukara na Watumishi wa Umma hadharani huku tukificha Majizi yanayo kihujumu Chama kwa kula Fedha na kuuza Mali za chama Kinyume na Utaratibu
Kughushi account za Chama
Mwizi ni Mwizi tu
Tumekuwa na maneno mengi ya bla bla huku tukishiba na kusaza tukiwa hatuna Mpango wowote wa kuchukuwa hatua Kama tulivyoapa
Kuihifadhi
Kulinda
Kutetea katiba na Sheria za nchi.
Nakumbuka Tarehe 15/05/2024
Mheshimiwa Rais Albert John Chalamila
Rais wa Mkoa wa Dar es salaam
Akiwa Mwasonga
Alisema
( Viongozi wasiozingatia Taratibu za kimfumo wa nchi) tutawaondoa.
Na hili nataka niwaambieni Ukweli
( Viongozi) msipotusaidia ( kutatua kero za Wanamchi) tutawaondoa
Kwa sababu tunataka kuijenga nchi ambayo Mheshimiwa (Rais) Samia anatamani iwe.
Sasa hatuwezi ( kuijenga wakati) huku watu wanalia hiki .
Huku wanalia hiki.
Mwisho wa kunukuu
Nakumbuka Tarehe 22/05/2024
Mheshimiwa Dkt Mwigulu Nchemba
Waziri wa fedha
Alisema
Hata nchi zilizo endelea
Nchi zilizoendelea
Wanaweza wakacheka kwenye Mambo mengine yote.
Wakachekeana kwenye Siasa .
Lakini linapokuja Jambo la Kujenga nchi hapo ( Jambo Hilo) halina mzaha.
Hata Sisi hatutafanya mzaha.
Mwisho wa kunukuu
Watu wameghushi na kutoa taarifa za Uongo wakapata vyeo
Wametoa Rushwa wakanunua vyeo huku wakiwa wanakinzana na Taratibu za kimfumo zinavyo agiza na Bado wako Madarakani wakilindwa na kulipwa posho Kodi za Mafukara na watu walioapa kutenda haki .
Mheshimiwa Godwin Kunambi
Mbunge wa Mlimba
Nakumbuka Tarehe 24/05/2024
Alisema
Nirejee maneno ya hayati Baba wa Taifa ( Mwl Nyerere)
Aliwahi kusema
Nchi yeyote ili iweze kupiga hatua za kimaendeleo lazima iwe na ardhi , watu, ( na) Siasa Safi.
Na Utawala Bora
Mwisho wa kunukuu
Mzee Joseph Butiku
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation
Nakumbuka Tarehe 04/06/2024
Alisema
( Utasikia ) Sherehe zote Baba wa Taifa ( Mwl Nyerere)
Baba wa Taifa
Baba wa Taifa
Baba wa Taifa
Kila siku
( Baba wa Taifa)
Amekuwa Kama Biashara ya Watu
Mnamkumbuka kwa nini !?!?
Kwa kuficha Vitabu vyake!??!?
Mwisho wa kunukuu
Majambazi ya kisiasa
Hayapendi
Kufuata Ilani katiba kanuni miongozo na Taratibu
Hata Kama hayana Sifa za Uongozi
Yenyewe hutumia Rushwa
Kupata Uongozi
Kisha hutumia Rushwa
Kudumu Madarakani
Kwa Msaada wa Baadhi ya viongozi wenye vyeo Wasiokuwa Wazalendo
Wenye Kutamka neno Mwenyezi Mungu kwa Unafiki tu ili kuwaaminisha Mafukara wawaone Kama nao wanaimani ya Kimungu .
Wanafiki
Tusiposema
Wanafiki watakuwa wanaona Kama Wanatuburuta
Wanafiki Wakubwa waipendao Dunia huku wakimtumikia Shetani wakiwa katika kivuli Cha kujitamkisha neno Mwenyezi Mungu.
Tupambane Kujenga tabia njema ndani ya Taifa .
Na tutajenga Tabia njema kwa kuyaanika Maovu na kukemea Wazi wazi Mambo yote ya Kinafiki ya Watu kujifanya watu wema huku wakiwa na Tabia za kijinga jinga.
Mheshimiwa Joseph Butiku
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation
Nakumbuka Tarehe 04/06/2024
Alisema,
Baba ( Mwl) Nyerere Alisema
Kujenga Taifa SI Kujenga Mabarabara.
Si Kujenga Mabarabara na Majumba haya.
Matrain
Na kutengeneza Meli
Hapana
Kujenga Taifa ni Kujenga Tabia za watu.
Character kiingereza.
To build a nation is to build a character
Msisahau
To build a nation is to build a character
Tabia inayokuwezesha kuwa mtu unaye jiheshimu na kuwezesha kuishi na ( watu ) wengine kwa kuwaheshimu
Na munaheshimiana.
Na mnafuata Taratibu na mnatii Taratibu mlizojiwekea
Kwa khiari.
Mwisho wa kunukuu

Tuache Unafiki na tabia za hovyo zilizojaa Ubinafsi na Umimi
Tumrudie Mwenyezi Mungu na tunapotamka neno Mwenyezi Mungu tumaanishe.
Katika clip iliyorushwa Mtandaoni Tarehe 08/07/2017 inaonyesha Professor Palamagamba Mwaluko Kabudi
Ex Waziri wa Katiba na Sheria
Aliwahi kusema
Na Mwenyezi Mungu kwa tabia yake ameturuhusu Binaadamu utashi.
Na tumejikusanya katika Makundi mawili
( Kuna ) Makundi ya Wapumbavu na Makundi ya ( Watu) Wajinga
( Ni) Nini tabia ya Mpumbavu!?
Mpumbavu ana tabia ya kushupaa na ubabe
(Mtu)Mjinga
Mjinga
Ambaye ni Pamoja na Mimi
Mjinga
Mungu amemjalia karama ya kuduwaa
Akieleweshwa anasema Ahaaa ,
Nilikuwa sijuwi.
Kwa Hali hiyo Basi ,
Mtu Mjinga
Kwa sababu ana tabia ya kuduwaa kwa asilo lielewa ( Mara nyingi) huwa na Busara
Na ( mtu) Mpumbavu kwa sababu hushupaa hujaa kiburi .
Watanzania ( ni vema) tuwe Wajinga na Sio Wapumbavu
Tusishupae
Tuduwae
Mwisho wa kunukuu
Niwaombe tuduwae katika kutenda haki kwa wote bila ubaguzi kwa kufuatiza ilani katiba Kanuni miongozo na Taratibu
Na Tusishupae kuwabeba Wasiostahili na kuwalipa posho Kodi za Mafukara ambazo tuliapa kuzitendea haki huku tukiwa karibu na Viongozi wa kidini.
Nikashtuka Ndotoni katika ulimwengu wa Kiroho huko Peponi huku nikiwa kimya kabisa na nikiwa sielewi nilikuwa nasema Nini.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi


Mathias Mugerwa Kahinga

🙏🏿🙏🏿⛏️⛏️💪🏿💪🏿🌹🌹
Yaani unategemea mtu mzima mwenye akili timamu aache kufanya kazi ashinde anasoma maneno yote haya!?

Ulichoandika nakiona kutosha kwenye Paragraph Moja tu ya Sentensi tatu!!

Pengine umekuja humu kushindanisha ujinga na Lucas Mwashambwa
 
WANACCM NA WATANZANIA KWA UJUMLA
KUTOA FIKRA NA MAWAZO YAKO NI HAKI YAKO.

Ujenzi wa nchi unajumuisha watu wenye Mitazamo na fikra Mbali Mbali.
Ndani ya nchi wapo watu wa kila Aina wenye Tabia za kila Aina .
Ili kuishi kwa Amani na haki kutendeka kwa kila mtu pakawekwa katiba Kanuni miongozo na Taratibu ili mtu anayekwenda kinyume vimushughulikie.
Nyakati tulizomo Shetani ameshika Kasi .
Watu Waovu Baadhi wanapeana vyeo kinyemela huku wakihamasishana kwa lengo la kutumia Ujinga wa watu walio wengi Kama kisa Cha kumnyonya na kumdhulmu fukara asiye na Mtetezi
Tukikaa kimya Kama vile samaki aishivyo majini tujuwe tutakuwa tumewasaliti Mafukara wanaotegemea walau neno moja la Sisi wenye kuzielewa mbinu na hila za Shetani za kumuonyesha meno meupe fukara huku wakiwa hawana Nia kabisa ya kumsaidia.
Nakumbuka Tarehe 05/02/2024
Comrade Paul Christian Makonda
Katibu NEC Itikadi Siasa na Uenezi CCM Taifa
Alisema
Mimi sinaga Shida ya kuonekana Mbaya kwa niaba ya wananchi Hawa (Mafukara na wanyonge tunao watetea)
Wala hainisumbuwi
Mwisho wa kunukuu
Comrade Abdulrahman Omar Kinana
Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Bara
Nakumbuka Tarehe 04/01/2024
Akitoa Ufafanuzi wa baadhi ya Mambo
Alisema
Isemeni Serikali
Semeni Mapungufu ya Chama Cha Mapinduzi.
Mwisho wa kunukuu
Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 18(a) ibara 19(1) kwa Maana ya Uhuru wa mawazo
Ibara 26(1)(2)ibara 13(1)4)(5) ibara zote zikizingatia ibara 9 a,b,f, na h.
Nakumbuka Tarehe 28/01/2024
Askofu Benson Kalikawe Bagonza
Askofu Mkuu KKKT Dayosisi ya Karagwe
Akifanya Mahojiano na wanahabari
Alisema
Katiba ndiyo Sheria Mama.
Mwisho wa kunukuu
Comrade bdulrahman Omar Kinana
Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Bara
Nakumbuka Tarehe 04/02/2024
Alisema
Nchi hii Ina katiba (ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 ni ) Jambo muhimu saana.
Kwa sababu nchi inaendeshwa kwa katiba
Mwisho wa kunukuu
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Katika Maadhimisho ya siku ya Sheria
Nakumbuka Tarehe 01/02/2024
Alisema
Ninyi nyote (na Mimi Rais wenu) mliapa kwa kushika Vitabu vya Dini zenu (na Mimi kwa Dini yangu).
Hivyo mnalazimika kusimama Katika misingi ya haki Kama (vile ) miongozo ya Dini zenu zinavyotaka .
Pamoja na imani zenu za Dini lakini pia katiba ( ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) Ambayo ndiyo Sheria Mama.
Mwisho wa kunukuu
Comrade Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi
Katibu Mkuu CCM Taifa
Siku alipopokelewa Dodoma
Nakumbuka Tarehe 22/01/2024
Alisema
Wanaccm ( fahamuni ya kuwa Rais Dkt Samia) ndiyo Mtaji wetu huo
CCM Mtaji wetu ni Rais Samia .
Tumtangulize mbele bila haya .
Mwisho wa kunukuu
Tumtanguliza mbele Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ni kumuishi kwa Vitendo kauli zake na kuzitii
Mheshimiwa Rais Dkt Samia anasisitiza katiba
Ndani ya katiba Kuna haki nyingi na makatazo
Mfano
Ubaguzi wa Aina yeyote hautakiwi.
Upendeleo wa Aina yeyote hautakiwi.
Kwa mujibu wa ibara 26(2) na kwa kuzingatia ilani ya CCM ibara 04 uk 01 bila kuuacha uk 161-168 kwa mazingatio ya ibara 10 na11 ya ilani
Tuchukuwe hatua dhidi ya Viongozi wanao kifanya Chama kionekane kinalegalega mbele ya Jamii.



Kidumu Chama Cha Mapinduzi


Mathias Mugerwa Kahinga

🙏🏿🙏🏿🔨🔨💪🏿💪🏿
Kidumu Chama Tawala 👊💪
 
MAJAMBAZI YA KISIASA
BAADHI YAMENOGEWA
NA DHULMA YA KULA FEDHA ZA MAFUKARA KWA NJIA ZA KUJIPATIA VYEO KWA RUSHWA
Nilisikika Katika Ulimwengu wa kiroho huko Ndotoni nikiunguruma kupinga tabia chafu za baadhi ya waovu kubebwa huku mafukara na Watumishi wa Umma waliosoma kwa Shida wakiishi Kama Wakimbizi ndani ya nchi tajiri ya Tanzania
Nikaanza
Naipongeza saana Serikali ya Tanzania kukemea uuzwaji wa Mirungi kwa vile una madhara kwenye akili za watu .
Nikiwa katika Ulimwengu wa kiroho nikalishwa mirungi
Akili ikawa kushoto kulia
Kulia kushoto
Nikaanza kubwabwaja
Nakumbuka Tarehe 11/04/2022
Bishop Rose Mgetta
Wa Kanisa la Mlima wa moto Mikocheni B
Akitoa Mahubiri Alisema
Hila , Uongo unaofanania na Ukweli
Sasa bila kutambuwa
Bila kukaa rohoni
Utatembea kwenye hila maisha yako yote na ( ujuwe utakuwa ) hauko salama
Mwisho wa kunukuu
Watu walio wengi wajiitao Wana Siasa
Wengi wao wamevaa sare za kisiasa tu huku wakiwa hawajuwi lolote kuhusu ilani zao katiba Kanuni miongozo na Taratibu
Na Baadhi wanaojuwa kwa Ubinafsi wao wameamuwa kuwa wezi kuwaibia Mafukara huku wakilindana wao kwa wao katika Maovu na kutisha watu ili wasiseme lolote ili wao wazidi kula visivyo wastahiki kwa hila za kujitamkisha neno Mwenyezi Mungu ili kuwafanya watu wawaamini kuwa ni Waumini kumbe sio .
Unapokuwa Mwanasiasa Mcha Mungu lazima utjibidiisha kuenenda katika njia za haki ulizokubaliana na unao waongoza kuzifuata.
Ukiwa Jambazi la kisiasa unakuwa na ndimi mbili huku ukitisha watu ukisema Msichanganye Siasa na Dini wakati ukijuwa Siasa na Dini lazima viendane.
Usipokuwa na hofu ya neno la Mwenyezi Mungu wawezaje kutenda haki !?!
Wawezaje kuwa Kiongozi Mwenye huruma !?!?
Ni wazi Baadhi ya Viongozi ndiyo wanaochangia upotoshaji katika Uongozi wa nchi kwa kauli zao za hovyo za kishetani zenye ndimi mbili Kama nyoka .
Shekhe Msellem Bin Ally
Akitoa Uchambuzi wa Qur aan
Nakumbuka Tarehe 01/01/2024
Alisema
Allah atawalipa malipo ya Uadilifu .
( Utakuta mtu) kaja hapa ( Duniani)
Kapata hadhi ya Uongozi
Mwanasiasa
Kwa hiyo anaishi kisiasa Siasa tu.
( Na) yeye akawa ndo ( mtu) Mkali wa kusema usichanganye Siasa na Dini .
Kwa hiyo Kama mtu wa Siasa kuwa na Siasa tu Basi.
Dini achana nayo.
( Utakuta mtu) Yeye kaishi hivyo.
Na ( utakuta mtu) anawaagiza watu waishi hivyo .
( Watu Kama hao) hawataraji (ya) kwamba Kuna Siku ya kukutana na Allah.
Kwa hiyo ( watu hao) hawajiandai .
Mwisho wa kunukuu
Siasa Safi ni kutendeana haki kwa wote kufuata Ilani katiba kanuni miongozo na Taratibu na kuzitekeleza vile vile kadri ya maandiko yalivyo na kuchukuwa hatua za kisheria bila
Ubaguzi na Upendeleo
Kwa kubebana kiswahiba
Huu ndiyo ucha Mungu wa Ukweli usio na Unafiki wa kujitamkisha neno Mwenyezi Mungu huku tukimtumikia Shetani na kufurahia maisha ya kishetani ya Baadhi kula na kusaza huku wenzao wa huku chini hata Ofisi tu za kutunzia nyaraka hakuna
Vyooo hakuna
Maji Safi na salama hakuna
Posho hakuna
Usafiri walau tu Baiskeli hakuna
Kisha Dhambi Mbaya na chafu inayofanyika ni ile ya kuwachagulia Mafukara Kiongozi wa kuwaongoza na kutumia hila za kishetani kuwalazimisha Mafukara wamkubali na kumshangilia Kiongozi wa hovyo kabisa wasiye mhitaji wao
Unafiki .
Wanaokiuka mifumo ya nchi kwa visingizio vya kutumia vikao kana kwamba wao wako juu ya Sheria wanaachwa na wanapongezwa kwa kusiginaji wa sheria na Kanuni ila fukara anahukumiwa hata kwa kosa la kuzushiwa.
Mheshimiwa Rais Paul Christian Makonda
Rais wa Mkoa wa Arusha
Nakumbuka Tarehe 28/05/2024
Akiwa Monduli
Alisema
Mwananchi wa kawaida ( akikosea) huwa hatua mnazichukuwa papo kwa papo
Tena ( wananchi) wengine mnawatumia migambo .
Wengine mnawatumia Police
Mwananchi huyo anapata adha na hapewi muda ( wa kujisahihisha)
Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo la 2005 ibara yote ya 08, ibara 34(4) ibara 35(1) ibara 13(1)(4)(5) ibara 29(1)(2) uk 127 ibara 152(1)(2)(3) ikisomwa kwa Pamoja na uk 14 ibara 01 02 kwa msisitizo wa uk 13 paragraph ya kwanza.
Tusome Kitabu Cha Standing Order for the Public Service 2009
Pursuant to S. 35(5) of the Republic Service act cap 298 uk 26 kifungu Cha C.1(3)
uk ( iii) kifungu namba (02) uk ( iii) kifungu namba (06) uk (vii) kifungu Cha 01
uk 20 kifungu B 15(1)(3) ikisomwa kwa Pamoja na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 uk 58 ibara 61 kwa msisitizo wa ibara 09 a,b,f na h
Tunaona raha na furaha mioyoni Mwetu kuwananga na kuwatangaza Mafukara na Watumishi wa Umma hadharani huku tukificha Majizi yanayo kihujumu Chama kwa kula Fedha na kuuza Mali za chama Kinyume na Utaratibu
Kughushi account za Chama
Mwizi ni Mwizi tu
Tumekuwa na maneno mengi ya bla bla huku tukishiba na kusaza tukiwa hatuna Mpango wowote wa kuchukuwa hatua Kama tulivyoapa
Kuihifadhi
Kulinda
Kutetea katiba na Sheria za nchi.
Nakumbuka Tarehe 15/05/2024
Mheshimiwa Rais Albert John Chalamila
Rais wa Mkoa wa Dar es salaam
Akiwa Mwasonga
Alisema
( Viongozi wasiozingatia Taratibu za kimfumo wa nchi) tutawaondoa.
Na hili nataka niwaambieni Ukweli
( Viongozi) msipotusaidia ( kutatua kero za Wanamchi) tutawaondoa
Kwa sababu tunataka kuijenga nchi ambayo Mheshimiwa (Rais) Samia anatamani iwe.
Sasa hatuwezi ( kuijenga wakati) huku watu wanalia hiki .
Huku wanalia hiki.
Mwisho wa kunukuu
Nakumbuka Tarehe 22/05/2024
Mheshimiwa Dkt Mwigulu Nchemba
Waziri wa fedha
Alisema
Hata nchi zilizo endelea
Nchi zilizoendelea
Wanaweza wakacheka kwenye Mambo mengine yote.
Wakachekeana kwenye Siasa .
Lakini linapokuja Jambo la Kujenga nchi hapo ( Jambo Hilo) halina mzaha.
Hata Sisi hatutafanya mzaha.
Mwisho wa kunukuu
Watu wameghushi na kutoa taarifa za Uongo wakapata vyeo
Wametoa Rushwa wakanunua vyeo huku wakiwa wanakinzana na Taratibu za kimfumo zinavyo agiza na Bado wako Madarakani wakilindwa na kulipwa posho Kodi za Mafukara na watu walioapa kutenda haki .
Mheshimiwa Godwin Kunambi
Mbunge wa Mlimba
Nakumbuka Tarehe 24/05/2024
Alisema
Nirejee maneno ya hayati Baba wa Taifa ( Mwl Nyerere)
Aliwahi kusema
Nchi yeyote ili iweze kupiga hatua za kimaendeleo lazima iwe na ardhi , watu, ( na) Siasa Safi.
Na Utawala Bora
Mwisho wa kunukuu
Mzee Joseph Butiku
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation
Nakumbuka Tarehe 04/06/2024
Alisema
( Utasikia ) Sherehe zote Baba wa Taifa ( Mwl Nyerere)
Baba wa Taifa
Baba wa Taifa
Baba wa Taifa
Kila siku
( Baba wa Taifa)
Amekuwa Kama Biashara ya Watu
Mnamkumbuka kwa nini !?!?
Kwa kuficha Vitabu vyake!??!?
Mwisho wa kunukuu
Majambazi ya kisiasa
Hayapendi
Kufuata Ilani katiba kanuni miongozo na Taratibu
Hata Kama hayana Sifa za Uongozi
Yenyewe hutumia Rushwa
Kupata Uongozi
Kisha hutumia Rushwa
Kudumu Madarakani
Kwa Msaada wa Baadhi ya viongozi wenye vyeo Wasiokuwa Wazalendo
Wenye Kutamka neno Mwenyezi Mungu kwa Unafiki tu ili kuwaaminisha Mafukara wawaone Kama nao wanaimani ya Kimungu .
Wanafiki
Tusiposema
Wanafiki watakuwa wanaona Kama Wanatuburuta
Wanafiki Wakubwa waipendao Dunia huku wakimtumikia Shetani wakiwa katika kivuli Cha kujitamkisha neno Mwenyezi Mungu.
Tupambane Kujenga tabia njema ndani ya Taifa .
Na tutajenga Tabia njema kwa kuyaanika Maovu na kukemea Wazi wazi Mambo yote ya Kinafiki ya Watu kujifanya watu wema huku wakiwa na Tabia za kijinga jinga.
Mheshimiwa Joseph Butiku
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation
Nakumbuka Tarehe 04/06/2024
Alisema,
Baba ( Mwl) Nyerere Alisema
Kujenga Taifa SI Kujenga Mabarabara.
Si Kujenga Mabarabara na Majumba haya.
Matrain
Na kutengeneza Meli
Hapana
Kujenga Taifa ni Kujenga Tabia za watu.
Character kiingereza.
To build a nation is to build a character
Msisahau
To build a nation is to build a character
Tabia inayokuwezesha kuwa mtu unaye jiheshimu na kuwezesha kuishi na ( watu ) wengine kwa kuwaheshimu
Na munaheshimiana.
Na mnafuata Taratibu na mnatii Taratibu mlizojiwekea
Kwa khiari.
Mwisho wa kunukuu

Tuache Unafiki na tabia za hovyo zilizojaa Ubinafsi na Umimi
Tumrudie Mwenyezi Mungu na tunapotamka neno Mwenyezi Mungu tumaanishe.
Katika clip iliyorushwa Mtandaoni Tarehe 08/07/2017 inaonyesha Professor Palamagamba Mwaluko Kabudi
Ex Waziri wa Katiba na Sheria
Aliwahi kusema
Na Mwenyezi Mungu kwa tabia yake ameturuhusu Binaadamu utashi.
Na tumejikusanya katika Makundi mawili
( Kuna ) Makundi ya Wapumbavu na Makundi ya ( Watu) Wajinga
( Ni) Nini tabia ya Mpumbavu!?
Mpumbavu ana tabia ya kushupaa na ubabe
(Mtu)Mjinga
Mjinga
Ambaye ni Pamoja na Mimi
Mjinga
Mungu amemjalia karama ya kuduwaa
Akieleweshwa anasema Ahaaa ,
Nilikuwa sijuwi.
Kwa Hali hiyo Basi ,
Mtu Mjinga
Kwa sababu ana tabia ya kuduwaa kwa asilo lielewa ( Mara nyingi) huwa na Busara
Na ( mtu) Mpumbavu kwa sababu hushupaa hujaa kiburi .
Watanzania ( ni vema) tuwe Wajinga na Sio Wapumbavu
Tusishupae
Tuduwae
Mwisho wa kunukuu
Niwaombe tuduwae katika kutenda haki kwa wote bila ubaguzi kwa kufuatiza ilani katiba Kanuni miongozo na Taratibu
Na Tusishupae kuwabeba Wasiostahili na kuwalipa posho Kodi za Mafukara ambazo tuliapa kuzitendea haki huku tukiwa karibu na Viongozi wa kidini.
Nikashtuka Ndotoni katika ulimwengu wa Kiroho huko Peponi huku nikiwa kimya kabisa na nikiwa sielewi nilikuwa nasema Nini.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi


Mathias Mugerwa Kahinga

🙏🏿🙏🏿⛏️⛏️💪🏿💪🏿🌹🌹
Nilisikika Katika Ulimwengu wa kiroho huko Ndotoni nikiunguruma kupinga tabia chafu za baadhi ya waovu kubebwa huku mafukara na Watumishi wa Umma waliosoma kwa Shida wakiishi Kama Wakimbizi ndani ya nchi tajiri ya Tanzania Nikaanza Naipongeza saana Serikali ya Tanzania kukemea uuzwaji wa Mirungi kwa vile una madhara kwenye akili za watu .
Nikiwa katika Ulimwengu wa kiroho nikalishwa mirungi Akili ikawa kushoto kulia Kulia kushoto Nikaanza kubwabwaja Nakumbuka Tarehe 11/04/2022 Bishop Rose Mgetta Wa Kanisa la Mlima wa moto Mikocheni B Akitoa Mahubiri Alisema Hila , Uongo unaofanania na Ukweli Sasa bila kutambuwa Bila kukaa rohoni Utatembea kwenye hila maisha yako yote na ( ujuwe utakuwa ) hauko salama Mwisho wa kunukuu Watu walio wengi wajiitao Wana Siasa .Wengi wao wamevaa sare za kisiasa tu huku wakiwa hawajuwi lolote kuhusu ilani zao katiba Kanuni miongozo na Taratibu. Na Baadhi wanaojuwa kwa Ubinafsi wao wameamuwa kuwa wezi kuwaibia Mafukara huku wakilindana wao kwa wao katika Maovu na kutisha watu ili wasiseme lolote ili wao wazidi kula visivyo wastahiki kwa hila za kujitamkisha neno Mwenyezi Mungu ili kuwafanya watu wawaamini kuwa ni Waumini kumbe sio .
Unapokuwa Mwanasiasa Mcha Mungu lazima utjibidiisha kuenenda katika njia za haki ulizokubaliana na unao waongoza kuzifuata.
Ukiwa Jambazi la kisiasa unakuwa na ndimi mbili huku ukitisha watu ukisema Msichanganye Siasa na Dini wakati ukijuwa Siasa na Dini lazima viendane.

Usipokuwa na hofu ya neno la Mwenyezi Mungu wawezaje kutenda haki !?!
Wawezaje kuwa Kiongozi Mwenye huruma !?!?
Ni wazi Baadhi ya Viongozi ndiyo wanaochangia upotoshaji katika Uongozi wa nchi kwa kauli zao za hovyo za kishetani zenye ndimi mbili Kama nyoka . Shekhe Msellem Bin Ally Akitoa Uchambuzi wa Qur aan. Nakumbuka Tarehe 01/01/2024 Alisema Allah atawalipa malipo ya Uadilifu . ( Utakuta mtu) kaja hapa ( Duniani) Kapata hadhi ya Uongozi Mwanasiasa .Kwa hiyo anaishi kisiasa Siasa tu. ( Na) yeye akawa ndo ( mtu) Mkali wa kusema usichanganye Siasa na Dini . Kwa hiyo Kama mtu wa Siasa kuwa na Siasa tu Basi. Dini achana nayo. ( Utakuta mtu) Yeye kaishi hivyo. Na ( utakuta mtu) anawaagiza watu waishi hivyo . ( Watu Kama hao) hawataraji (ya) kwamba Kuna Siku ya kukutana na Allah. Kwa hiyo ( watu hao) hawajiandai .Mwisho wa kunukuu

Siasa Safi ni kutendeana haki kwa wote kufuata Ilani katiba kanuni miongozo na Taratibu na kuzitekeleza vile vile kadri ya maandiko yalivyo na kuchukuwa hatua za kisheria bila Ubaguzi na Upendeleo Kwa kubebana kiswahiba. Huu ndiyo ucha Mungu wa Ukweli usio na Unafiki wa kujitamkisha neno Mwenyezi Mungu huku tukimtumikia Shetani na kufurahia maisha ya kishetani ya Baadhi kula na kusaza huku wenzao wa huku chini hata Ofisi tu za kutunzia nyaraka hakuna Vyooo hakuna Maji Safi na salama hakuna Posho hakuna Usafiri walau tu Baiskeli hakuna Kisha Dhambi Mbaya na chafu inayofanyika ni ile ya kuwachagulia Mafukara Kiongozi wa kuwaongoza na kutumia hila za kishetani kuwalazimisha Mafukara wamkubali na kumshangilia Kiongozi wa hovyo kabisa wasiye mhitaji wao Unafiki .

Wanaokiuka mifumo ya nchi kwa visingizio vya kutumia vikao kana kwamba wao wako juu ya Sheria wanaachwa na wanapongezwa kwa kusiginaji wa sheria na Kanuni ila fukara anahukumiwa hata kwa kosa la kuzushiwa.
Mheshimiwa Rais Paul Christian Makonda Rais wa Mkoa wa Arusha Nakumbuka Tarehe 28/05/2024 Akiwa Monduli Alisema Mwananchi wa kawaida ( akikosea) huwa hatua mnazichukuwa papo kwa papo
Tena ( wananchi) wengine mnawatumia migambo .Wengine mnawatumia Police Mwananchi huyo anapata adha na hapewi muda ( wa kujisahihisha) Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo la 2005 ibara yote ya 08, ibara 34(4) ibara 35(1) ibara 13(1)(4)(5) ibara 29(1)(2) uk 127 ibara 152(1)(2)(3) ikisomwa kwa Pamoja na uk 14 ibara 01 02 kwa msisitizo wa uk 13 paragraph ya kwanza.

Tusome Kitabu Cha Standing Order for the Public Service 2009 Pursuant to S. 35(5) of the Republic Service act cap 298 uk 26 kifungu Cha C.1(3) uk ( iii) kifungu namba (02) uk ( iii) kifungu namba (06) uk (vii) kifungu Cha 01
uk 20 kifungu B 15(1)(3) ikisomwa kwa Pamoja na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 uk 58 ibara 61 kwa msisitizo wa ibara 09 a,b,f na h Tunaona raha na furaha mioyoni Mwetu kuwananga na kuwatangaza Mafukara na Watumishi wa Umma hadharani huku tukificha Majizi yanayo kihujumu Chama kwa kula Fedha na kuuza Mali za chama Kinyume na Utaratibu
Kughushi account za Chama Mwizi ni Mwizi tu Tumekuwa na maneno mengi ya bla bla huku tukishiba na kusaza tukiwa hatuna Mpango wowote wa kuchukuwa hatua Kama tulivyoapa Kuihifadhi Kulinda Kutetea katiba na Sheria za nchi. Nakumbuka Tarehe 15/05/2024 Mheshimiwa Rais Albert John Chalamila Rais wa Mkoa wa Dar es salaam Akiwa Mwasonga Alisema ( Viongozi wasiozingatia Taratibu za kimfumo wa nchi) tutawaondoa. Na hili nataka niwaambieni Ukweli ( Viongozi) msipotusaidia ( kutatua kero za Wanamchi) tutawaondoa Kwa sababu tunataka kuijenga nchi ambayo Mheshimiwa (Rais) Samia anatamani iwe. Sasa hatuwezi ( kuijenga wakati) huku watu wanalia hiki . Huku wanalia hiki. Mwisho wa kunukuu Nakumbuka Tarehe 22/05/2024 Mheshimiwa Dkt Mwigulu Nchemba Waziri wa fedha Alisema Hata nchi zilizo endelea Nchi zilizoendelea Wanaweza wakacheka kwenye Mambo mengine yote. Wakachekeana kwenye Siasa . Lakini linapokuja Jambo la Kujenga nchi hapo ( Jambo Hilo) halina mzaha. Hata Sisi hatutafanya mzaha. Mwisho wa kunukuu

Watu wameghushi na kutoa taarifa za Uongo wakapata vyeo Wametoa Rushwa wakanunua vyeo huku wakiwa wanakinzana na Taratibu za kimfumo zinavyo agiza na Bado wako Madarakani wakilindwa na kulipwa posho Kodi za Mafukara na watu walioapa kutenda haki .
Mheshimiwa Godwin Kunambi Mbunge wa Mlimba Nakumbuka Tarehe 24/05/2024 Alisema Nirejee maneno ya hayati Baba wa Taifa ( Mwl Nyerere) Aliwahi kusema Nchi yeyote ili iweze kupiga hatua za kimaendeleo lazima iwe na ardhi , watu, ( na) Siasa Safi. Na Utawala Bora Mwisho wa kunukuu Mzee Joseph Butiku Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation Nakumbuka Tarehe 04/06/2024 Alisema ( Utasikia ) Sherehe zote Baba wa Taifa ( Mwl Nyerere) Baba wa Taifa Baba wa Taifa Baba wa Taifa Kila siku ( Baba wa Taifa) Amekuwa Kama Biashara ya Watu Mnamkumbuka kwa nini !?!? Kwa kuficha Vitabu vyake!??!? Mwisho wa kunukuu

Majambazi ya kisiasa Hayapendi Kufuata Ilani katiba kanuni miongozo na Taratibu Hata Kama hayana Sifa za Uongozi Yenyewe hutumia Rushwa Kupata Uongozi Kisha hutumia Rushwa Kudumu Madarakani Kwa Msaada wa Baadhi ya viongozi wenye vyeo Wasiokuwa Wazalendo Wenye Kutamka neno Mwenyezi Mungu kwa Unafiki tu ili kuwaaminisha Mafukara wawaone Kama nao wanaimani ya Kimungu . Wanafiki Tusiposema Wanafiki watakuwa wanaona Kama Wanatuburuta
Wanafiki Wakubwa waipendao Dunia huku wakimtumikia Shetani wakiwa katika kivuli Cha kujitamkisha neno Mwenyezi Mungu.
Tupambane Kujenga tabia njema ndani ya Taifa .

Na tutajenga Tabia njema kwa kuyaanika Maovu na kukemea Wazi wazi Mambo yote ya Kinafiki ya Watu kujifanya watu wema huku wakiwa na Tabia za kijinga jinga.
Mheshimiwa Joseph Butiku Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation Nakumbuka Tarehe 04/06/2024 Alisema,
Baba ( Mwl) Nyerere Alisema Kujenga Taifa SI Kujenga Mabarabara. Si Kujenga Mabarabara na Majumba haya. Matrain Na kutengeneza Meli Hapana Kujenga Taifa ni Kujenga Tabia za watu. Character kiingereza. To build a nation is to build a character
Msisahau To build a nation is to build a character Tabia inayokuwezesha kuwa mtu unaye jiheshimu na kuwezesha kuishi na ( watu ) wengine kwa kuwaheshimu Na munaheshimiana. Na mnafuata Taratibu na mnatii Taratibu mlizojiwekea Kwa khiari. Mwisho wa kunukuu

Tuache Unafiki na tabia za hovyo zilizojaa Ubinafsi na Umimi Tumrudie Mwenyezi Mungu na tunapotamka neno Mwenyezi Mungu tumaanishe. Katika clip iliyorushwa Mtandaoni Tarehe 08/07/2017 inaonyesha Professor Palamagamba Mwaluko Kabudi
Ex Waziri wa Katiba na Sheria Aliwahi kusema Na Mwenyezi Mungu kwa tabia yake ameturuhusu Binaadamu utashi. Na tumejikusanya katika Makundi mawili ( Kuna ) Makundi ya Wapumbavu na Makundi ya ( Watu) Wajinga ( Ni) Nini tabia ya Mpumbavu!? Mpumbavu ana tabia ya kushupaa na ubabe (Mtu)Mjinga Mjinga Ambaye ni Pamoja na Mimi Mjinga Mungu amemjalia karama ya kuduwaa Akieleweshwa anasema Ahaaa , Nilikuwa sijuwi.Kwa Hali hiyo Basi ,Mtu MjingaKwa sababu ana tabia ya kuduwaa kwa asilo lielewa ( Mara nyingi) huwa na BusaraNa ( mtu) Mpumbavu kwa sababu hushupaa hujaa kiburi .Watanzania ( ni vema) tuwe Wajinga na Sio Wapumbavu Tusishupae Tuduwae Mwisho wa kunukuu.

Niwaombe tuduwae katika kutenda haki kwa wote bila ubaguzi kwa kufuatiza ilani katiba Kanuni miongozo na Taratibu Na Tusishupae kuwabeba Wasiostahili na kuwalipa posho Kodi za Mafukara ambazo tuliapa kuzitendea haki huku tukiwa karibu na Viongozi wa kidini. Nikashtuka Ndotoni katika ulimwengu wa Kiroho huko Peponi huku nikiwa kimya kabisa na nikiwa sielewi nilikuwa nasema Nini.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi


Mathias Mugerwa Kahinga
 
Tukisoma Kitabu cha Binadamu na Maendeleo uk 33 - 37

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

DEMOKRASIA

Kila mtu lazima aweze kusema kwa Uhuru kabisa na Maneno ya kila mtu lazima yasikilizwe hata Kama mawazo ya mtu huyo hayapendwi kiasi gani au walio wengi wanamdhania amepotoka kiasi gani si kitu .
Lazima AWEZE kusema kwa Uhuru bila ya hofu ya VITISHO , Hiyo ni sehemu ya Maana ya UHURU WA MTU BINAFSI.

Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 63

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema

Chama cha watu ni chama cha watu . Viongozi wake wanatokana na watu wale wale.
Hakuna shida yeyote ya watu ambayo twaweza kusema kuwa HAITUHUSU.





M. M. KAHINGA
 
NGUMU KUMEZA

Tukisoma Kitabu cha Muntakhab Ahadith uk 671 kifungu 52 (Green cover)

Muadh Radhiallahu Anhu amesimulia kuwa hakika Mtume Swallallahu Alaihi Wasallam amesema,
Katika siku za mwisho Akhiru zaman kutakuwa na watu ambao watakuwa NDUGU HADHARANI lakini ni MAADUI FARAGHANI"

Pakaulizwa, " Ewe Rasulullahi Vipi litakuwa hilo? " Akajibu, " Hilo litakuwa kwa sababu ya PATO la kibinafsi, WATADUMISHA URAFIKI wa kijuujuu na kwa sababu ya UADUI ULIOFICHIKA wataogopana WAO kwa WAO.







M. M. KAHINGA
 
Tukisoma Kitabu cha Kanuni za uongozi na Maadili toleo 2017 uk 02 kifungu (iv)

Kanuni inasema,

" Kufuata na KUTII Katiba ya CCM na KANUNI ZAKE ni WAJIBU wa kila Mwanachama wa CCM."



Naamini Viongozi wote wa CCM ni WANACHAMA WA CCM.



M M KAHINGA
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
 
Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 74

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

" Viongozi wetu Wakuu hawawezi kukiuka UAMUZI na Msimamo wa Chama kizima, halafu wadai kuungwa Mkono na viongozi wa chini yao au na Wanachama kwa ujumla.
Kwa kweli tunatazamia kuwa Viongozi hao WATAPINGWA KWA NGUVU kabisa na Kama hapana budi, kufukuzwa.
Huko ndiko KUWAJIBIKA."





M M KAHINGA
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
 
Tukisoma Kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 166

Mwl JK Nyerere aliwahi kusema,

" Mawazo yanelekea kujengeka miongoni mwa watu ya kwamba kati ya maneno ya viongozi na Matendo yao KUNA UFA unaozidi KUPANUKA .

Na Uzito wa Matatizo yetu na ugumu wa kuyapatia ufumbuzi wa haraka vinaendeleza mawazo haya na mashaka haya."




M M KAHINGA
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
 
Back
Top Bottom