Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

ha ha ha!bora kutokuwa mshabiki wa mwanasiasa.watu wa kanda ya kaskazin kwa ujiko,hatar!mwaka huu lowasa akishndwa mtajinyonga..!
 
Mkuu hapa suala siyo Richmond bali ni kunadi sera na ilani za vyama. Mgombea wa CHADEMA ataweza kweli kusimama na kunadi sera za CHADEMA? Anazifahamu? Au atakuwa ananadi za CCM wakati mgombea mwenza ananadi za CUF! Watu watachanganyikiwa na Magufuli anaingia Ikulu akiwa na CCM iliyotakasika!
Nilifikiria watakuw na sera za pamoja watakazonadi kama washirika?
 
Wewe muulize wale mafisadi wa escrow waliowapitisha kugombea ubunge kina chenge ngeleja na tibaijuka wana uadilifu gani?
Right, I mean that is a very poignant question they have to answer, manake standard iliyowekwa na chama ni kwamba shutuma zilizozagaa zinazokuandama za ufisadi zinatosha kukukata. That was the linchpin of the process for killing Lowassa's candidacy. Okay, sawa, punguani ndio atabisha Lowassa ana shutuma.

Chenge na Tibaijuka na Ngeleja watakatwa? Kwa sababu hakuna mtu mwenye tuhuma nzito nchi hii kama Chenge na Tibaijuka. Lowassa amebisha hakuiba, na hatukumkamata na virumbesa vya pesa. Chenge na Tibaijuka wamekiri wenyewe kwamba hela za Escrow, Radar, n.k. wamekula, wamesema wamenunulia mboga, wamesema hawajali kwa sababu kwao hizi pesa za kitanzania hizi ni vijisenti, wamesema wao wenyewe! Tuhuma nzito. Watakatwa? JK, Nape, Kinana, jibuni!
 
Msg delivered.
Hamis Mgeja ametoa kali kwa maccm kwamba wao na Pombe yao mwisho wao ni kaunta, si kutembeza pombe mtaani nimeipenda..
 
Ilikuwa Iwe Hivyo Maana Lenye Mwanzo Halikosiga Kuwa Na Mwisho. La Maana CCM Ni Kukubaliana Na Khali Halisi bila

Kuleta Ung'ang'anizi.
 
Nauliza mbona kila anayejiunga ni Chadema tuu, Walal hatusikii anayejiunga CUF,NCCR au hiko ka chama kasikojulikana. MBOWE aufanya ukawa mali ya CHADEMA
 
I am Wacha1, you don't know? Ati CCM imechokwa kwani jina ndio tatizo. Huyu Mwizi wa mchana kweupe katoka CCM miaka yote amekuwa mwizi mkubwa kwenye mashirika ya umma na sasa ndio aliweza kujiingiza kwenye shirika la simu na kudhoofisha TTCL leo ndio mnamuona kama mfalme wenu pathetic, what type of people are you. You act like docile donkey.
Khe khe khe khe khe! Khe! Khe! Khe! Khe! Khe! Khe! Khe! Khe![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom