Waziri Mkuu wa Israel Bwana Benjamin Netanyahu ameupongeza uamuzi wa mahakama ya ICJ, ambao umeitaka tu Israel kujitahidi kuwakinga raia na vifo wakati ikiendelea na vita yake dhidi ya magaidi wa Hamas.
Tofauti na ombi la Afrika Kusini la kuitaka mahakama hiyo kutoa amri kuitaka Israel isitishe vita, mahakama hiyo imeishia tu kuiambia Israel ijitahidi kufanya jitihada zote zilizo ndani ya uwezo wake kuzuia vifo vya raia ili kuzuia uwezekano wa kutenda makosa yanayoweza kuangukia kwenye genocide. Hii ina maana mpaka sasa, hakuna genocide.
Kwa maoni yangu, hukumu hii imekaa kisiasa zaidi kuwafariji South Afrika na washirika wake kuleta kuleta mabadiliko kwenye mwenendo wa vita. Hukumu hii haitegemewi kuleta mabadiliko yoyote kwenye vita. Unaposema nchi itumie jitihada zake zote zilizo ndani ya uwezo wake, hakuna kupimo cha kujua zimetumika jitihada zote zilizo ndani ya uwezo. Na wala hakuna kipimo cha kueleza jitihada hizo zikitumika zitasababisha vifo au kuzuia vifo vya raia wangapi.
Kimsingi, kama ilivyotarajiwa, Afrika Kusini, kwa hukumu hii, haijafanikiwa kupata ilichokuwa ikikitaka, yaani kusitisha vita.
Netanyahu hails ICJ ruling as rejection of "discrimination" against Israel.
Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu on Friday hailed the preliminary International Court of Justice ruling on South Africa's accusation of genocide as a rejection of discrimination against his country.
“Like every country, Israel has an inherent right to defend itself,” he said in a short video message.
“The vile attempt to deny Israel this fundamental right is blatant discrimination against the Jewish state, and it was justly rejected.”
ICJ says Israel must take "all measures within its power" to prevent genocide in Gaza
The UN’s top court has ordered Israel to act immediately to prevent genocide in Gaza, but stopped short of calling for a ceasefire in the war-torn enclave.
The International Court of Justice said Israel must take “all measures” to “ensure with immediate effect that its military does not commit any acts” which could fall foul of the Genocide Convention.
In a preliminary ruling on the accusation of genocide brought by South Africa, the court’s 17-judge panel on Friday issued six such measures, ordering Israel to take steps to limit the death and destruction caused by its military campaign, as well as to prevent and punish incitement to genocide, and to ensure the provision of humanitarian aid to Gaza.
Na ifahamike kuwa mahakama hii ya ICJ siyo kama ile ICC, hii haina meno. Unaweza usitekeleze chochote kile, na hakuna kitakachotokea. Ni mahakama ya kisiasa.
Note:
The ICJ court’s decisions are binding and cannot be appealed, but it has no way of enforcing them.