kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,760
- 11,343
Mtu km wewe akija mwarabu hapo kwako akadai yeye muisraeli utampa mkeo mpk mwanao awatoe pepo. Na wewe utakuwa nje unashangilia kwa kwaya.Ninavyoifahamu Israel kwa kiburi ni kama vile hawajui vimaamuzi mbuzi vya ICJ. Watazidi tu kuwawahisha wazee wa bikra 72 na mito ya pombe huko akhera hahahahahahaha! Israel piga mimbwa hiyo ilojaa ugaidi
Wayahudi Mizizi yao hatari sana.
Wanaua wakristo na kubomoa makanisa lkn nyie wagalatia wa Bonyokwa mnapiga vigelegele na kukata mauno.
Hio Mizizi na mimi nikiipata mtanikoma.
Ngoja niende Telaviv nikatafute .
Lzm nije kufumua hilo rinda lako.