UPDATES: Mahakama ya ICJ yaitaka Israel kuepusha Mauaji ya Raia katika eneo la Gaza

UPDATES: Mahakama ya ICJ yaitaka Israel kuepusha Mauaji ya Raia katika eneo la Gaza

Ninavyoifahamu Israel kwa kiburi ni kama vile hawajui vimaamuzi mbuzi vya ICJ. Watazidi tu kuwawahisha wazee wa bikra 72 na mito ya pombe huko akhera hahahahahahaha! Israel piga mimbwa hiyo ilojaa ugaidi
Mtu km wewe akija mwarabu hapo kwako akadai yeye muisraeli utampa mkeo mpk mwanao awatoe pepo. Na wewe utakuwa nje unashangilia kwa kwaya.
Wayahudi Mizizi yao hatari sana.
Wanaua wakristo na kubomoa makanisa lkn nyie wagalatia wa Bonyokwa mnapiga vigelegele na kukata mauno.

Hio Mizizi na mimi nikiipata mtanikoma.
Ngoja niende Telaviv nikatafute .
Lzm nije kufumua hilo rinda lako.
 
Ni nchi gani isingejitetea dhidi ya ugaidi wa Oktoba 7? Hao SA wajinga; sifa za kipumbavu ndio wamejimaliza hivyo. Baraka za mbinguni watazisikia tu no wonder kiuchumi wameporomoka beyond maelezo.
Wewe umebarikiwa nini?
 
Mahakama ya haki ya kimataifa, ICJ imeishindwa kuilazimisha israel kusitisha mapigano huko Gaza, na badala yake imeiamulu Israel ipunguze tu vifo vya raia wasio na hatia.

Kesi hiyo ilipelekwa na nchi ya Afrika Kusini, ikiituhumu Israel kusababisha mauaji ya kimbali huko ukanda wa Gaza.

Nchi za kiarabu zimeituhumu mahakama hiyo kwa kushindwa kuilazimisha Israel kusitisha vita ambavyo mpaka sasa vimeua Wapalestina 25,000 wakiwemo wapiganaji 9,000 wa kipalestina wa HAMAS. Kwa mjibu wa takwimu za wizara ya afya ya Gaza inayoongozwa na HAMAS, zaidi ya watoto 10,000 tayari wameshauawa.

Provisional ruling calls for emergency measures, says Israel must ‘prevent and punish’ incitement to commit genocide. ICJ fails to order ceasefire, but says Israel must prevent genocide in GazaView attachment 2883641
Kwamba walitaka Mahakama hiyo iiondolee Israel haki ya kujilinda au?
Kule mpakani Lebano UN ndiyo walipewa jukumu la kulinda kuhakikisha Israel haishambulii Lebanon wala Hezbollah haishambulii Israel, lakini kinachoendelea kila mtu anakiona
 
Mtu km wewe akija mwarabu hapo kwako akadai yeye muisraeli utampa mkeo mpk mwanao awatoe pepo. Na wewe utakuwa nje unashangilia kwa kwaya.
Wayahudi Mizizi yao hatari sana.
Wanaua wakristo na kubomoa makanisa lkn nyie wagalatia wa Bonyokwa mnapiga vigelegele na kukata mauno.

Hio Mizizi na mimi nikiipata mtanikoma.
Ngoja niende Telaviv nikatafute .
Lzm nije kufumua hilo rinda lako.
Kwanza Mimi sio mkristu Wala muislam Mimi ni muafrika kamili muabidu mizim hivyo basi nyote ninyi wafia dini zilizoletwa na majahazi nawaona punguani kabisa hamnazo mana hao wengine wanaabudu masanamu nyie pia mnasujudia jiwe kwa kulibusu huko hijja Yani wapuuzi wakubwa nyinyi. Halafu umemimina matuuuuuuusiiiiii hyo ni ishara kwamba hiyo dini Yako inakufunza hivyo dah! Cjui lini miafrica mtajielewa
 
Jamii forum siku hizi inawajinga wengi sana walioharibiwa na dini za kigeni.watu wanashindwa kuchambua ripoti matokeo yake wanashambuliana kiimani.
 
Tulijua hakuna jipya, hizi drama za marekani na shoga yake israel nilijua hakuna kitu kingefanyika.
Ngoja nisubir kuona hiyo vita inayosimama huku vita inaendelea Netanyahu anatunishiana misuli na marekani hataki two states Halafu yamekaa yanacheka tu. Ngoja aingie nguruwe trump alivyo na roho mbaya sijui itakuwaje
 
Nimeshangaa kwanini hakuna tamko kamili israel wasitishe vita mara moja na wanaanza kusema mambo ya ku prevent
Mkuu kwa jinsi S.Africa ilivyo wasilisha mashitaka hukumu iko sawa kabisa.

South Africa haikwenda kuishitaki Israel kwa kupigana na Hamas bali ali ishitaki kwa kukiuka sheria za vita zinazo walinda raia kwa mujibu wa sheria za kimataifa.
Kwa hiyo hapo kazi ya mahakama ni kuiamuru Israel izuie mauaji na ifuate sheria za kimataifa na sio kuacha kupigana na Hamas.

Kuna tofauti ya kupigana vita na kufanya mauaji ya kimbali.

Kwanza S.Africa iliwasilisha kesi katika vipengele viwili cha kwanza ni kuishitaki Israel kwa kufanya mauaji ya kimbali ,na katika kipengele cha pili ni mahakama izuie mauaji ya kimbali kuendelea kufanyika

Katika kipengele cha kwanza mahakama itakuwa na jukumu la kudhibitisha tuhuma za A.kusini kuwa ni kweli kabisa mauaji yanayo endelea gaza ni mauaji ya kimbali na Israel ndo mfanyaji au hayafai kuitwa mauaji ya kimbali kwa mujibu wa sheria za kimataifa, kesi hii inaweza chukua hata miaka 2 mpaka 3 maana kuna mchakato mrefu wa kisheria hapo unahitajika.

Kipengele cha pili ndo hukumu yake imetolewa leo.
 
ICJ imetoa maamuzi ambayo ni obvious. Hakuna jipya!

Suala la kuitaka Israel itekeleze wajibu wake kwa mujibu wa sheria ya kimataifa ni suala ambalo hata mawakili wa Israel walilileta awali kwenye utetezi kuonesha kwamba Israel inatekeleza.

Simply, hakuna jipya!
Hukumu ya leo imedhibitisha kuwa kweli Israel haifuati sheria za kimataifa maana Israel ingekuwa ina fuata sheria za kimataifa kama inavyo dai mahakama ingeyatupilia mbali madai ya S.Africa kuwa hayana msingi.
 
Kwanza Mimi sio mkristu Wala muislam Mimi ni muafrika kamili muabidu mizim hivyo basi nyote ninyi wafia dini zilizoletwa na majahazi nawaona punguani kabisa hamnazo mana hao wengine wanaabudu masanamu nyie pia mnasujudia jiwe kwa kulibusu huko hijja Yani wapuuzi wakubwa nyinyi. Halafu umemimina matuuuuuuusiiiiii hyo ni ishara kwamba hiyo dini Yako inakufunza hivyo dah! Cjui lini miafrica mtajielewa
Kwahio we kuabudu makaburi ghafla umekuwa mwafrika halisi
[emoji1787][emoji1787]
Bangi msivute mkiwa na njaa.
Ni hatari sana kichwani.
Kula kwanza ushibe.
 
Sioni kama kuna matumaini katika kuleta ceasefire kwa kupitia ICJ. Kama muda wote huo ndio wamekuja na kauli za kuwabembeleza Israel kupunguza makali ya Ukatili.

Ni wazi kuwa bado Israel(Watoto Wa Mungu) wanaendelea kuwa washindi ktk hili.

Case ya wasauzi bila kupata kampani ya mataifa ya Wazungu sioni wakitoboa, wataendelea kupoteza muda the hague mpaka Watoto wa Mungu watakapo maliza malengo yao GAZA.

This time HAMAS wameyakanyaga. Na Dunia imechagua kuwaangalia tu kuona nini kitatokea moaka mwisho.

VIVA YISRAEL.
 
Km wanachokifanya Israel kina baraka za Mungu basi Mungu huyo hastahili sifa anazopewa
 
Hata hawakuomba Israel wapunguze makali, walichokisema ni wawe makini wasifanye mauaji ya kimbari, kimsingi Israel inaendelea kutembeza kichapo.
Mpaka hapo hakuna wa kuwaambia Israel kitu, sio waarabu, waajemi au hata hiyo ICJ, hata Warusi wote kimya.
 
Huna ruhusa ya kupiga ambulance mskikit , kanisa shule kwa sababu za kijinga kama hizo

Jielimishe military doctrine, kuna kitu kinaitwa military target, chochote kinachoshambulia wanajeshi wakati wa vita kinaitwa military target na kinapigwa tu.
Tatizo mumezoea movies za kihindi, mnafikiria vita vinapaswa kuchezwa kama kwenye movie.
 
Back
Top Bottom