Mtu km wewe akija mwarabu hapo kwako akadai yeye muisraeli utampa mkeo mpk mwanao awatoe pepo. Na wewe utakuwa nje unashangilia kwa kwaya.Ninavyoifahamu Israel kwa kiburi ni kama vile hawajui vimaamuzi mbuzi vya ICJ. Watazidi tu kuwawahisha wazee wa bikra 72 na mito ya pombe huko akhera hahahahahahaha! Israel piga mimbwa hiyo ilojaa ugaidi
Wewe umebarikiwa nini?Ni nchi gani isingejitetea dhidi ya ugaidi wa Oktoba 7? Hao SA wajinga; sifa za kipumbavu ndio wamejimaliza hivyo. Baraka za mbinguni watazisikia tu no wonder kiuchumi wameporomoka beyond maelezo.
Kwamba walitaka Mahakama hiyo iiondolee Israel haki ya kujilinda au?Mahakama ya haki ya kimataifa, ICJ imeishindwa kuilazimisha israel kusitisha mapigano huko Gaza, na badala yake imeiamulu Israel ipunguze tu vifo vya raia wasio na hatia.
Kesi hiyo ilipelekwa na nchi ya Afrika Kusini, ikiituhumu Israel kusababisha mauaji ya kimbali huko ukanda wa Gaza.
Nchi za kiarabu zimeituhumu mahakama hiyo kwa kushindwa kuilazimisha Israel kusitisha vita ambavyo mpaka sasa vimeua Wapalestina 25,000 wakiwemo wapiganaji 9,000 wa kipalestina wa HAMAS. Kwa mjibu wa takwimu za wizara ya afya ya Gaza inayoongozwa na HAMAS, zaidi ya watoto 10,000 tayari wameshauawa.
Provisional ruling calls for emergency measures, says Israel must ‘prevent and punish’ incitement to commit genocide. ICJ fails to order ceasefire, but says Israel must prevent genocide in GazaView attachment 2883641
Kwanza Mimi sio mkristu Wala muislam Mimi ni muafrika kamili muabidu mizim hivyo basi nyote ninyi wafia dini zilizoletwa na majahazi nawaona punguani kabisa hamnazo mana hao wengine wanaabudu masanamu nyie pia mnasujudia jiwe kwa kulibusu huko hijja Yani wapuuzi wakubwa nyinyi. Halafu umemimina matuuuuuuusiiiiii hyo ni ishara kwamba hiyo dini Yako inakufunza hivyo dah! Cjui lini miafrica mtajielewaMtu km wewe akija mwarabu hapo kwako akadai yeye muisraeli utampa mkeo mpk mwanao awatoe pepo. Na wewe utakuwa nje unashangilia kwa kwaya.
Wayahudi Mizizi yao hatari sana.
Wanaua wakristo na kubomoa makanisa lkn nyie wagalatia wa Bonyokwa mnapiga vigelegele na kukata mauno.
Hio Mizizi na mimi nikiipata mtanikoma.
Ngoja niende Telaviv nikatafute .
Lzm nije kufumua hilo rinda lako.
Mkuu kwa jinsi S.Africa ilivyo wasilisha mashitaka hukumu iko sawa kabisa.Nimeshangaa kwanini hakuna tamko kamili israel wasitishe vita mara moja na wanaanza kusema mambo ya ku prevent
Hukumu ya leo imedhibitisha kuwa kweli Israel haifuati sheria za kimataifa maana Israel ingekuwa ina fuata sheria za kimataifa kama inavyo dai mahakama ingeyatupilia mbali madai ya S.Africa kuwa hayana msingi.ICJ imetoa maamuzi ambayo ni obvious. Hakuna jipya!
Suala la kuitaka Israel itekeleze wajibu wake kwa mujibu wa sheria ya kimataifa ni suala ambalo hata mawakili wa Israel walilileta awali kwenye utetezi kuonesha kwamba Israel inatekeleza.
Simply, hakuna jipya!
Kwahio we kuabudu makaburi ghafla umekuwa mwafrika halisiKwanza Mimi sio mkristu Wala muislam Mimi ni muafrika kamili muabidu mizim hivyo basi nyote ninyi wafia dini zilizoletwa na majahazi nawaona punguani kabisa hamnazo mana hao wengine wanaabudu masanamu nyie pia mnasujudia jiwe kwa kulibusu huko hijja Yani wapuuzi wakubwa nyinyi. Halafu umemimina matuuuuuuusiiiiii hyo ni ishara kwamba hiyo dini Yako inakufunza hivyo dah! Cjui lini miafrica mtajielewa
Hamas wanazo baraka za alkah wa mchongo sio?Km wanachokifanya Israel kina baraka za Mungu basi Mungu huyo hastahili sifa anazopewa
Walichokifanya Hamas OKTOBA 7 kina baraka za nani?Km wanachokifanya Israel kina baraka za Mungu basi Mungu huyo hastahili sifa anazopewa
Wenye akili fupi kama wewe ndo mnakua October 7, watu wanapitia madhila miaka na miaka, kuna number of massacres zimefanywa.Walichokifanya Hamas OKTOBA 7 kina baraka za nani?
HAKUNA Asiyefahamu ya huko nyuma.Wenye akili fupi kama wewe ndo mnakua October 7, watu wanapitia madhila miaka na miaka, kuna number of massacres zimefanywa.
muwage na akili nyie
Huna ruhusa ya kupiga ambulance mskikit , kanisa shule kwa sababu za kijinga kama hizo