Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Ndio alikuwaga boyfriend wake na punda wake

Unaniambia shkuba ndo kazaa yule mtoto wa resty? Jamaa si ana asili ya pemba hv raisi wa magomeni yule ila kweli madon wa nyeupe wengi walijenga mijengo mbezi beach japo ma apartment wanayo magomeni na sinza madukani.
 
Si kila mtu anapenda kuzini madame
 
Ukipofu huo, ni mwanamke gani alifanikiwa kwa kuolewa na KiBen10? Angekuwa anajielewa asingeolewa na kiBen10.
 
Unaniambia shkuba ndo kazaa yule mtoto wa resty? Jamaa si ana asili ya pemba hv raisi wa magomeni yule ila kweli madon wa nyeupe wengi walijenga mijengo mbezi beach japo ma apartment wanayo magomeni na sinza madukani.
Huyo mtoto wa resty kazaa na mkuria mmoja hivi ndo mwenye Ile nyumba waliyopanga wasafi sio huyo shkuba
 
Reactions: amu
Mdau aliuliza kama rest kajenga mwenyewe ,akidhan katokea ushuan kama mama ntilie wa kishua.

Mwenye nyumba kuichukua muhimu ujenge kisha jamaa mwingine aoe afaidi kodi haiwezekan
Mbona hyo nyumba imechukuliwa na baba mtoto baada ya kutoka jela alipokuwa kifungoni kwa tuhuma za dawa
 
Mdau aliuliza kama rest kajenga mwenyewe ,akidhan katokea ushuan kama mama ntilie wa kishua.

Mwenye nyumba kuichukua muhimu ujenge kisha jamaa mwingine aoe afaidi kodi haiwezekan
Resty bado hajajenga kapanga ndo alikuwa kwa process, hafu sikuhizi sio kaacha umama ntilie?
Baba watoto alipoona resty kaolewa na mwanaume mwingine akamyang'anya resty vitu, Ila naye ana kawivu kabaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…