PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Miaka ya nyuma niliwahi iyona picha huyu mama yuko na kijana mmoja wanamwita saydavito,hivi aliwahi kuwa karibu kiurafiki na huyo kijana ?Ndoa ilivunjika zaman mno akaona aibu kuweka wazi,alifanya sana jitihada za mazoezi waapii mwili ndo kwanzaa unastawi.
Kama ilivyo kawaida ya wadada wa mjini kufuga mashost kama james delicious si ajabu bibie alipokonywa mume na shost mmoja au jamaa aliamua kujisogeza pembeni kwa mke wa pili
Dida yeye alikuwa analea tu Wana viben ten venyewe haviridhiki, na Tena Toka aachane na kuolewa hovyo sikuhizi amekuwa happy no stress. Ukiona ndoa ya kwanza ilikushinda achana na nyingine, wewe jitaftie kipoozeo tu Cha ashiki basi
Miaka ya nyuma niliwahi iyona picha huyu mama yuko na kijana mmoja wanamwita saydavito,hivi aliwahi kuwa karibu kiurafiki na huyo kijana ?
Aisee kwani lazima waolewe, maana wanaume wa sikuhizi wanapenda kitonga wako radhi waolewe hata na Bibi mwenye mkongojo.Naona alimshtukia benten wa mwisho maana kijana alitoa shart ajengewe kwanza kwao ili ndoa ifanyikie pazuri dida alipakarabati ila ikatokea migongano na mambo yakaishia hapo.
KabisaaaaaahHatari sana
Aisee kwani lazima waolewe, maana wanaume wa sikuhizi wanapenda kitonga wako radhi waolewe hata na Bibi mwenye mkongojo.
Huyo dida Hana nyota ya ndoa atulie tu kwa kweli au ndo hutaka ndoa kuwakata waja na maneno yao
Weeeh! Kule insta kwa udaku magazine kuna lidada lina mchupi huooo...ndio huyu?
[emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]Hahahahah Itakua ni yeye alikua anapost picha za matangazo ya chupi anazouza
Nadhani majority ya wapenda ndoa na shughuli ni watu waliokulia uswahili, wanatumia nguvu nyingi kwa shughuli Mara sare, hebu mwangalie esma platnumz hyo ndoa ya tatu kajitutumua ka futu, Tena kaolewa mke wa tatu, Yani wao huwaza sherehe Ila kutunza ndoa zao hawawezi. Huyo Khadija kopa aliolewaga na kiben ten sema alishafariki, huyo esma ana watoto wakubwa daily kubadilisha wanaume, hivi anawafundisha Nini wale wanawe wa kike maana wakikua wataona tu sawa.Ukikaa na kampani flan utaona ndoa ni lazima angalia familia ya mond wanavyofosi ndoa. Khadija kopa na umri ule bado anatamani ndoa.
Kuitwa Mrs flan raha sana kwa baadhi ya wanawake na kuvaa mipete mikubwa hata kama ndani hamna amani
Jinsi mbutananga alivo damshiKabisaaaaaah
True.... Unajua watu wengi huwa wanapuuza frequency wanakwenda na Vibe au swaga... Of which is wrong. Mara nyingi mtu ambaye una run naye katika same frequency huwa hamuwezi kumalizana na huwa mnakuwa na ile ajenda isiyoisha so every time huwa mnataka kuendelea mlipoishia mara ya mwisho.Uko sahihi hasa hapo pakupata mwezi mnayeelewana frequency a.k.a chemistry zenu zinaendana unatulia
Mwanaye tu kafata mwili wa mazake ...mnene hatari..unadhan atashindwa mshika vichuchuUnajua kwa huu mwenendo tutaanza kusikia story za watoto wa wanawake wa namna hii kuwa walikuwa wanafanyiwa vitendo vya udhalilishaji.....
Heeeeh huyu mwanaume kamtoa wapi? Mbna ana vigezo vyote vya kuitwa mwanaume boraaah. Lol mbutananga kaokota dodo chini ya mnazi.Jinsi mbutananga alivo damshiView attachment 1526064
Mwanaume akuzidi kuanzia miaka kumi awe mzoefu wa kila Jambo, akizudi elimu akili na maarifa, Sasa hapo huyo open atakuwa huyo ka mwanawe Sasa watakuwa wanashauriana Nini. Mimi mwenyewe sipendi date mwanaume tunayelingana umri kwanza huwa naona namshinda akili na yeye bado mtoto
Nadhani majority ya wapenda ndoa na shughuli ni watu waliokulia uswahili, wanatumia nguvu nyingi kwa shughuli Mara sare, hebu mwangalie esma platnumz hyo ndoa ya tatu kajitutumua ka futu, Tena kaolewa mke wa tatu, Yani wao huwaza sherehe Ila kutunza ndoa zao hawawezi. Huyo Khadija kopa aliolewaga na kiben ten sema alishafariki, huyo esma ana watoto wakubwa daily kubadilisha wanaume, hivi anawafundisha Nini wale wanawe wa kike maana wakikua wataona tu sawa.
Hizi familia za kiswahili shida sana
Hivi huwa watu wanaosema hawana stress yet wapo busy kuonyesha hawana stress huwa mnawaamini....?!Dida yeye alikuwa analea tu Wana viben ten venyewe haviridhiki, na Tena Toka aachane na kuolewa hovyo sikuhizi amekuwa happy no stress. Ukiona ndoa ya kwanza ilikushinda achana na nyingine, wewe jitaftie kipoozeo tu Cha ashiki basi