Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Harusi za kiislamu zenye fwwza wanakuwa na Kashi Kashi sanaHarusi za hivyo zinaitwa tuwakomeshee. Kama wanashindana na watu hivi
Kwa esma namhurumia yule binti mdogo tangia sendoff iliyopewa jina la maulid bint hakua na raha hadi kwenye sherehe ya harusi. Yule mkubwa keshazoea kubadilishiwa kila kukicha.
Ila nimeshangaa harusi za kiislamu siku hizi zina kash kashi,madoido sherehe kama zote.
Unaoa kijana wa kiume ambaye umemuacha miaka 15 amepishana na watoto wako miaka minne au mitano, unataraji nini, tena ndio benten anakuwa anaspend muda mwingi nyumbani na watoto wako..... Huku na kule anaanza wagegeda kimya kimya, ukija stuka ameshawaharibu na story ni ya muda mrefu.....Kweli wamama wengine chanzo cha unyanyasaji wa watoto
Ubawaona kwa matendo yao tu Ila ujue stress ukitaka ziondoke zinaondoka tu, maana kinacholeta stress ni ku force vitu ambavyo huna control navo. Ila ukiacha nature I take control and uwe positive stress utazisikia kwa jiraniHivi huwa watu wanaosema hawana stress yet wapo busy kuonyesha hawana stress huwa mnawaamini....?!
Aisee kuna watu wakinambia hawana stress nawaelewa but kuna sampuli fulani zinapambana na msongo wa mawazo ila huwezi jua hadi uwe na jicho la tatu.
Ndoa ni heshima kubwa sana. Na siwalaumu hawa wanaoipigania kuipata ila shida ni maandalizi yao yanawanyima qualifications.Ukikaa na kampani flan utaona ndoa ni lazima angalia familia ya mond wanavyofosi ndoa. Khadija kopa na umri ule bado anatamani ndoa.
Kuitwa Mrs flan raha sana kwa baadhi ya wanawake na kuvaa mipete mikubwa hata kama ndani hamna amani
Sahihi kabisa, wahenga walishatoa uhuru ila waja akina siye ndiyo tuko busy kutoa mitazamo yetu! Na wahenga wa kizungu wakasema love has no count.... . Ila mmhhh!
Unaoa kijana wa kiume ambaye umemuacha miaka 15 amepishana na watoto wako miaka minne au mitano, unataraji nini, tena ndio benten anakuwa anaspend muda mwingi nyumbani na watoto wako..... Huku na kule anaanza wagegeda kimya kimya, ukija stuka ameshawaharibu na story ni ya muda mrefu.....
True uswahili unachangia sana. Wanawake wa kiswahili wakiwa na uhakika wa laki kwa wiki au mwezi basi wanakuwa na fujo sana na akili zao zilivyo takatakaNadhani majority ya wapenda ndoa na shughuli ni watu waliokulia uswahili, wanatumia nguvu nyingi kwa shughuli Mara sare, hebu mwangalie esma platnumz hyo ndoa ya tatu kajitutumua ka futu, Tena kaolewa mke wa tatu, Yani wao huwaza sherehe Ila kutunza ndoa zao hawawezi. Huyo Khadija kopa aliolewaga na kiben ten sema alishafariki, huyo esma ana watoto wakubwa daily kubadilisha wanaume, hivi anawafundisha Nini wale wanawe wa kike maana wakikua wataona tu sawa.
Hizi familia za kiswahili shida sana
Na esma alipania kweli hizo sherehe kukomesha petit man na hao wake wenza wenzio, Ila waswahili Wana tabu Sana wallah.Harusi za hivyo zinaitwa tuwakomeshee. Kama wanashindana na watu hivi
Kwa esma namhurumia yule binti mdogo tangia sendoff iliyopewa jina la maulid bint hakua na raha hadi kwenye sherehe ya harusi. Yule mkubwa keshazoea kubadilishiwa kila kukicha.
Ila nimeshangaa harusi za kiislamu siku hizi zina kash kashi,madoido sherehe kama zote.
Shida sana hizi modern family. Hadi miaka kumi ijayo tutaanza jionea viroja vya ajabu sana.... Ni swala la muda hii jamii ya sasa maadili yamekaa tenge sana.Mwanaye tu kafata mwili wa mazake ...mnene hatari..unadhan atashindwa mshika vichuchu
Hawa kina kitchen Wana roho ngumu, Mimi Bora nibaki tu single ka mtindo ndo huo.Ikogo hivyo kabisa..mwanamkelazima atamzidi akili
Ndoa ni heshima kubwa sana. Na siwalaumu hawa wanaoipigania kuipata ila shida ni maandalizi yao yanawanyima qualifications.
Mnhhh uachike uumie..mwenzako anaoa wewe unabaki na donda la roho...akitokea mtu yeyote akakupa 'attention' huyo huyo unae..unasomba kama gari la mchanga...sad, very sad. Wanawake tunadhania tunaweza ku 'hit' back kwa waliokua wapenzi wetu kwa kutuachia majeraha ila kiukweli tunaoumia ni sisi wenyewe...anyway asanteni kwa kunijulisha mtu wa kufollow insta..mie nilikua simjui atii...😀
Hahaaaa nilivoona huyo mwanaume na amepokelewa ukweni kwa upendo nikasoma huyu mbutananga kiboko, sijui alimtolea wapi mwanaume mzuri hivi na mpole.Heeeeh huyu mwanaume kamtoa wapi? Mbna ana vigezo vyote vya kuitwa mwanaume boraaah. Lol mbutananga kaokota dodo chini ya mnazi.
Huyu mama alishawahi kuishi marekani eeh?Wazazi wao waliwaachia pesa na biashara za maana. Umeona ee na vinywele vyake visivyo na shukrani pesa ipo si viote tu na kustawi kama shamba lake la mboga mboga.
Harusi za kiislamu zenye fwwza wanakuwa na Kashi Kashi sana
Hata kusikia zile ngoma zao hua nadra kidg
Huyu mama alishawahi kuishi marekani eeh?
Ngoja nikuelekeze jambo, stress ni kitu cha muda tu na huwa kinatokea temporarily kulingana na upo moment ipi katika maisha yako.Ubawaona kwa matendo yao tu Ila ujue stress ukitaka ziondoke zinaondoka tu, maana kinacholeta stress ni ku force vitu ambavyo huna control navo. Ila ukiacha nature I take control and uwe positive stress utazisikia kwa jirani
@cariha umeanza[emoji1787][emoji1787][emoji16]Huyu open kitchen sidhani ka kaolewa kiupendo nadhani anamkomoa mumewe aliyeoa dada mwingine mrembo kuliko yeye. Na inakuwaje dada mzima anaolewa na katoto ka tisini na kitu karibia 2000 naona hapo hamna ndoa ni Kama mama kaoa mwanawe
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]watu wa insta huwajui nini Numbi?Yupo leo kaweka picha ana kata kata mboga za wateja wake baasi sijui kuna misukule inayoamini maigizo full kulalamikia hina ya ndoa itafutika kabla siku saba mara ooh superwoman hujaenda honeymoon usharudi kazini aisee watanzania tuna safari ndefu
[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28]Tofautisha kulipiza na kuendelea na maisha Sasa huyo open mzee anatokaje na kiben ten, angetafta mwanaume anayemzidi ex waako viwango Sasa huyu anatoka na mtoto wa kumzaa si mjinga sasa