Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Baba Mnyakyusa mama MgandaHivi ni kabila gani huyo open kitchen?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba Mnyakyusa mama MgandaHivi ni kabila gani huyo open kitchen?
Hahahah lazma wivu utawatenganisha tu. Chalii akipata kimanzi kibichi anahamishia hela huko wanajijenga. Kudumu ni ngumu aisee 😂😂😂Hahaaa Ni mwendo wa tit for tat ngoma droo, Ila mwanamke kuishi na kiben ten tabu, maana hakina upendo kimefata masilahi hapo katarudi kwa kijana mwenziwe, ndoa za mabinti wadogo na wazee ni rahisi kudumu kuliko za shuga Mami na kiben ten
Siku ukiwa bonge na out of shape utaelewa tu 😂😂😂!!!Ila wanawake mabonge huwa insecure wanapenda kulea vijana wadogo na kuwahudumia sijui ili iweje
Ila wanawake mabonge huwa insecure wanapenda kulea vijana wadogo na kuwahudumia sijui ili iweje
Siwezi kuruhusu ninenepa na hata ikitokea kwa sababu ya kuzaa na najikubali tu nilivo mpenda hela nimpe mtu hela anipende Bora nibaki tu na hela yangu.Siku ukiwa bonge na out of shape utaelewa tu [emoji23][emoji23][emoji23]!!!
Bi.mkubwa anajionea tabu tu havutii lazma atumie pesa.
Ni tabu maana shuga Mami ndo anapenda full wivu na wewe, hafu vile mdogo anakuwa anamupelekesha ka mwanawe.Hahahah lazma wivu utawatenganisha tu. Chalii akipata kimanzi kibichi anahamishia hela huko wanajijenga. Kudumu ni ngumu aisee [emoji23][emoji23][emoji23]
Oooh kumbeBaba Mnyakyusa mama Mganda
Kumsaidia mwanaume majukumu nikumulemaza lazima akuchoke maana inakuwa umempoka mamlaka yake ya kutafta kwa jasho.Of course ndio maana wanasema kazi ya mwanamke kwa mwanaume sio kumlea ni kumsaidia kusimama na kuamsha potential zake....
Sasa hawa wanawake wa aina hii unakuta anataka kumiliki huyu mwanaume kwa kununua uhuru wake na muda wake.
Atampa usafiri na sehemu ya kuishi kisha atamwambia ukithubutu kuniacha nakunyang'anya. Anampangia pa kwenda, akijiskia anakagua simu yake yaani ni full kumtreat kama mtoto hapo ndipo bwana mdogo anaona ngoja nitafute binti mdogo ambae nitaweza muweka katika himaya yangu mimi.
Mwisho wanaanza kutumia madawa ya kulevyaMaisha ya showoff yanawacost mno mastaa wengi
Lazma kitawaka tu, maana ile ndoa ime base kwenye kumkomoa mtu flani.😂😂😂Ni tabu maana shuga Mami ndo anapenda full wivu na wewe, hafu vile mdogo anakuwa anamupelekesha ka mwanawe.
Hafu chalii akipata demu mupya anaiba number na kuanza kumsumbua sugar mummy na kumrusha roho.
Hahaha kwani ni wewe unaruhusu au ulimi wako ndio unaruhusu 😂😂😂 we utashangaa tu umekuwa kabati.Siwezi kuruhusu ninenepa na hata ikitokea kwa sababu ya kuzaa na najikubali tu nilivo mpenda hela nimpe mtu hela anipende Bora nibaki tu na hela yangu.
Ila ubonge wa wengi husababishwa na bia, kitimoto na nyama, na wengi hawafanyi mazoezi
Mwisho wanaanza kutumia madawa ya kulevya
Najitahidi kutokula hvo bia sinywi, kitimoto nafanya mazoezi, hamnaga mtu mnene ni basi ulaji wetu sio mzuriHahaha kwani ni wewe unaruhusu au ulimi wako ndio unaruhusu [emoji23][emoji23][emoji23] we utashangaa tu umekuwa kabati.
Ndio maana uki break up jipe mda maumivu yapoe ndo uanze upya maana ushajitafakari weaknesses zao na utajirekebisha mahusiano yajayo.Lazma kitawaka tu, maana ile ndoa ime base kwenye kumkomoa mtu flani.[emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa na Shishi alivyotaka kumkomoa Nuhu ila still hakuwa happy na Uchewise
Kuna watu ni vimbofa by nature.Najitahidi kutokula hvo bia sinywi, kitimoto nafanya mazoezi, hamnaga mtu mnene ni basi ulaji wetu sio mzuri
Nakupinga Kuna mtu alikuwa kibonge tangu utoto alivoanza mazoezi kawa mwembamba, hamnaga mtu mnene wa asiliKuna watu ni vimbofa by nature.
Ukiona mtu anapost sana mwenzake mtandaoni especially wanawake(rejea history ya mabeste na mkewe) utagundua kuwa ndani wanakuwa wanapitia magumu ila wanafanya vile kama namna ya kujifariji au kujenga picha kuwa wana amani.
Sababu kwa watu wenye mahusiano yenye afya huwa ni kupoteza muda sana kushinda kwenye social media kutafuta likes za privacy yenu.....
Hahaha kwa kifupi kila pipa na mfuniko wake. Kuna kipindi nilidhani mbuta ni dada ake kisandu a.k.a don namilison
Hawa hapaView attachment 1526033
simpo sana kuwapata hawa mpaka unamvua pichu huamini......unateleza tu kama ganda la ndiziSijui unaanzaje anzaje kumtongoza mmama kama huyu,yaani ukauzu huo mimi sina kabisa.
Ila wamama wa siku hizi wanakutongoza wenyewe.