Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tulijua itakuwa hivyoTatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya
alikuwa na haraka sana ya kuzunguka,alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata
Siasa za Bongo ni maneno tuKwamba siasa zinataka maneno? Basi ccm isingeogopa Tume huru ya Uchaguzi.
Lissu anavizia Misiba siku hiziTulijua itakuwa hivyo
Alijua atakuwa katibu mkuu;sasa anasikilizia.Tatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya
alikuwa na haraka sana ya kuzunguka,alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata
Naunga mkono hojaAlijua atakuwa katibu mkuu;sasa anasikilizia.
Naunga mkono hojaCcm ni watu fulani wa Hovyo mnoo ...
Alitaka kujikuta JPM...
Ametulizwaaa...
Unataka kumfunika Rais!?
Unapigapiga cm . Hana Akili...
Hii ni point ya mwaka!Watu mnasahau CCM ni Mwenyekiti siyo hao wengine. Huyo Mwanamke amepwaya na hata amlete nani kwenye hizo nafasi za chama bado CCM itaboronga tu.
Itabidi mama apewe talaka kama hajapewa mpaka sasa!
Walikuwa wanamchora tu......Hahaa ameufyataCcm ni watu fulani wa Hovyo mnoo ...
Alitaka kujikuta JPM...
Ametulizwaaa...
Unataka kumfunika Rais!?
Unapigapiga cm . Hana Akili...
Nje ya madaLissu anavizia Misiba siku hizi
Mnyika vp umepona ukichaa?
Umechanganyikiwa,🤣🤣Lissu anavizia Misiba siku hizi
Mnyika vp umepona ukichaa?
Chadema ni mbumbumbuUmechanganyikiwa,🤣🤣
Upepo umepwaya kwa makonda......wamemzima kama mshumaaaChadema ni mbumbumbu
JifarijiNchi inakabiliwa na mambo gani sa hv , CCM wote wapo Hanang , na huko unataka umsikie makonda , vyombo vya habar vyote vipo pale , daah watu mna chuki kinyama [emoji16][emoji16][emoji16] makonda vibe la media analo na hyo ni nyota haizimwi Kwa chuki
Anaweza kuibuka na hoja ya makada wote wapimwe tezi dume.Itakuwa umemsahau jamaa...
Soon ataibuka na ajenda mpya atarudi kwenye mazungumzo vijiwe vya kahawa...
Kwa vile umetoa kasoro unazohis wewe za kimwil na sio hoja dah unasikitisha kamandaJadil hoja wewe mpuuzi acha kubwabwaja. Kama hoja imekuzidi akili nenda Facebook huko ukajidili ngono.
Huyu Makonda makalio makubwa alikuwa Kasi kama moto wa kifua huku akiongea upuuzi usiolisaidia taifa. Ndiyo maana msingi wa hoja ya mleta mada