Wewe nae umekuwa km ndugai! Kutwa humu ulikuwa unamponda jpm! Kipi kilichofanya uchenji gia hewani?Hapo ndio unashangaa.
Mtu anajiropokea eti watanzania walikua wamemchoka JPM, mara watanzania wanampenda mama Samia. Sasa huo utafiti wa Watanzania kumchoka JPM aliufanya lini na wa Watanzania kumpenda mama Samia ameufanya lini?
Mtu anajiandikia hoja za jumla jumla(generalisation) unajua kabisa huyu akili hana.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app