Wewe nae umekuwa km ndugai! Kutwa humu ulikuwa unamponda jpm! Kipi kilichofanya uchenji gia hewani?Hapo ndio unashangaa.
Mtu anajiropokea eti watanzania walikua wamemchoka JPM, mara watanzania wanampenda mama Samia. Sasa huo utafiti wa Watanzania kumchoka JPM aliufanya lini na wa Watanzania kumpenda mama Samia ameufanya lini?
Mtu anajiandikia hoja za jumla jumla(generalisation) unajua kabisa huyu akili hana.
Nazungumzia matatizo ya wananchi, sijasema yeye atakuwa perfect.Hakuna serikali isiyokuwa na madudu yanayoonekana wazi. Mambo ya kuongelea ni mengi, na mama sio malaika
Samiah hawezi kuleta katiba unless kama hana interest ya kugombea 2025Suala ka katiba mpya binafsi naamini ni suala la wananchi au watu wasio na maslahi kabisa ya kisiasa kama kina Warioba.
Nakuhakikishia, hata leo CHADEMA au ACT wakifanikiwa kuingia madarakani kwa katiba hii hii ya 1977, hawataibadilisha. Zitabaki danadana tu.
Hakuna mwanasiasa mwenye madaraka asiyependa madaraka makubwa kama hayo yaliyomo kwenye katiba ya 1977.
Mimi naamini zaidi kwenye madaraka na maamuzi ya wananchi.
Wewe mwenyewe umeshakosea . Ni kwanini wapinzani tu ?!. Kwanini siyo pamoja na wewe ?!. Tatizo mnauchukulia upinzani kama ni group fulani hivi , yenye kupigania maslahi Fulani na si ya nchi !!!.Hakuna kitu kinaamua siasa kama 'wakati'..
Wanasiasa wazuri ni wale wanaojua nyakati zinavyobadilika na kwenda na wakati uliopo ...
Watanzania walikuwa wamechoshwa mno na siasa za Magufuli...na uongozi wake kiujumla..
Kubanwa Uhuru wa kuongea
Kufokewa na kukaripiwa
Kutoa matamko Kwa ukali..
Kuzungumza Peke yake..
Kutokukosolewa ..
Kukosekana Kwa mijadala na majadiliano..
Na mengi yaliyoenda na hayo..
Ujio wa Samia umebadili siasa Kwa ujumla..
Samia hafoki anaongea Kwa upole na kushawishi ..
Anazungumzia mazungumzo na mijadala..
Hazuii kukosolewa badala yake anakaribisha kukosolewa Kwa serikali yake..
Kikubwa zaidi ni Mwanamke ..
Watu wanamtazama Kwa 'kumhurumia'..
Na kumpa 'all benefits of the doubts'..
Na kuelewa kuwa anapambana na mfumo dume...
Watu wengi wanaju hii nchi ngumu na wanajua Samia atahangaika kuweza kumudu ...still wanafarijika na 'kurudi Kwa Uhuru wa kuongea na kukosoa'..
Sasa kama wapinzani wanafikiri siasa za kumshambulia Rais na serikali yake zinalipa bado kama enzi za JK watakuwa wanakosea sana....
Sana Sana wataonekana 'hawana adabu'
Na wanajaribu 'kumuonea' 'Rais Mwanamke' baada ya 'kidume ' JPM
'kuwakomesha hadi wakaufyata'..
Siasa za kipindi hiki zinahitaji ubingwa wa hoja kwenye mijadala ya kistaarabu..bila
Kuwa 'boa' wananchi ambao walishachoshwa na Magufuli Sana Sana wanataka 'mzunguko' wa hela urudi kama ule wa JK....
Kuleta siasa za ulalamishi..
Siasa za uwana harakati.
Na siasa za Ku target watu na kuwashambulia bila kujua ..'role halisi' ya hao watu ni siasa ambazo zinakuwa 'outdated ' so fast...
Watu wanampenda Samia sio Kwa sababu ni kiongozi bora.. wanampenda Kwa sababu wanaona 'nafuu inakuja'
Upinzani ukicheza siasa za kuleta 'distraction'wakati watu wanasubiri nafuu ije ..hasira za wananchi zinaweza washukia wao.....
Siasa inaendana na nyakati.. wapinzani wanasoma nyakati??
Siyo Samia tu, hakuna mwanasiasa ataleta katiba ya wananchi.Samiah hawezi kuleta katiba unless kama hana interest ya kugombea 2025
Wewe mwenyewe umeshakosea . Ni kwanini wapinzani tu ?!. Kwanini siyo pamoja na wewe ?!. Tatizo mnauchukulia upinzani kama ni group fulani hivi , yenye kupigania maslahi Fulani na si ya nchi !!!.
Upinzani si fulani na fulani ni Ile kuwa na idea tofauti na wanaoongoza kwa wakati huo. Jambo ambalo ni la kikatiba na wala si aibu wala utovu wa nidhamu.
Wewe mwenyewe umeshakosea . Ni kwanini wapinzani tu ?!. Kwanini siyo pamoja na wewe ?!. Tatizo mnauchukulia upinzani kama ni group fulani hivi , yenye kupigania maslahi Fulani na si ya nchi !!!.
Upinzani si fulani na fulani ni Ile kuwa na idea tofauti na wanaoongoza kwa wakati huo. Jambo ambalo ni la kikatiba na wala si aibu wala utovu wa nidhamu.
Kwa kweli The Boss umewawekea msingi mzuri upinzani nini wakifanye. Wakifuata ushauri wako basi watachukua nchi 2025.Hakuna kitu kinaamua siasa kama 'wakati'..
Wanasiasa wazuri ni wale wanaojua nyakati zinavyobadilika na kwenda na wakati uliopo ...
Watanzania walikuwa wamechoshwa mno na siasa za Magufuli...na uongozi wake kiujumla..
Kubanwa Uhuru wa kuongea
Kufokewa na kukaripiwa
Kutoa matamko Kwa ukali..
Kuzungumza Peke yake..
Kutokukosolewa ..
Kukosekana Kwa mijadala na majadiliano..
Na mengi yaliyoenda na hayo..
Ujio wa Samia umebadili siasa Kwa ujumla..
Samia hafoki anaongea Kwa upole na kushawishi ..
Anazungumzia mazungumzo na mijadala..
Hazuii kukosolewa badala yake anakaribisha kukosolewa Kwa serikali yake..
Kikubwa zaidi ni Mwanamke ..
Watu wanamtazama Kwa 'kumhurumia'..
Na kumpa 'all benefits of the doubts'..
Na kuelewa kuwa anapambana na mfumo dume...
Watu wengi wanaju hii nchi ngumu na wanajua Samia atahangaika kuweza kumudu ...still wanafarijika na 'kurudi Kwa Uhuru wa kuongea na kukosoa'..
Sasa kama wapinzani wanafikiri siasa za kumshambulia Rais na serikali yake zinalipa bado kama enzi za JK watakuwa wanakosea sana....
Sana Sana wataonekana 'hawana adabu'
Na wanajaribu 'kumuonea' 'Rais Mwanamke' baada ya 'kidume ' JPM
'kuwakomesha hadi wakaufyata'..
Siasa za kipindi hiki zinahitaji ubingwa wa hoja kwenye mijadala ya kistaarabu..bila
Kuwa 'boa' wananchi ambao walishachoshwa na Magufuli Sana Sana wanataka 'mzunguko' wa hela urudi kama ule wa JK....
Kuleta siasa za ulalamishi..
Siasa za uwana harakati.
Na siasa za Ku target watu na kuwashambulia bila kujua ..'role halisi' ya hao watu ni siasa ambazo zinakuwa 'outdated ' so fast...
Watu wanampenda Samia sio Kwa sababu ni kiongozi bora.. wanampenda Kwa sababu wanaona 'nafuu inakuja'
Upinzani ukicheza siasa za kuleta 'distraction'wakati watu wanasubiri nafuu ije ..hasira za wananchi zinaweza washukia wao.....
Siasa inaendana na nyakati.. wapinzani wanasoma nyakati??
Wewe ndiyo mmoja kati ya wanaofanya Watanzania wengi waitwe wapumbavu. Yaani maiti imewekwa uwanjani, na Serikali imesema ni mapumziko, kwa nini unashangaa watu wanakwenda kuaga?Si kweli,rejea kuagwa kwake,hiyo ndio picha halisi
Mimi ni mtu ambae niko open minded, napendela majadiliano ya hoja zaidi.Wewe nae umekuwa km ndugai! Kutwa humu ulikuwa unamponda jpm! Kipi kilichofanya uchenji gia hewani?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Bado ninaamini mpinzani ni kila mtu. Siyo watu special . Wote tunataka maisha bora bila kujali ni mfuasi wa watawala au wa hao uliowaita wapinzaniSamia kasema atakutana na wapinzani..
Sio Sisi wananchi wa mitandaoni..
Atakapo kutana nao wao ndo Wana nafasi ya kuweka maombi ya wananchi ..na kum influence Samia kuelekea agenda za wananchi..
Sisi tutabaki kupiga kelele Tu huku mitaani na mitandaoni lakini wao wapinzani Wana nafasi kubwa zaidi baada ya Rais kusema atazungumza nao
Ha ha haa!Mama ukimgusa unamuonea ama huna adabu.,interesting times
Huna lolote unafiki unakusumbua!Mimi ni mtu ambae niko open minded, napendela majadiliano ya hoja zaidi.
Nikikukabi leo haina maana kua nitakukubalia daima, mimi sina upenzi na haina maana kua nikikuponda leo basi nitakuponda daima.
Napenda kuona watu wanajenga hoja based on facts and not assumptions or hearsay.
Sasa mtu anapokuja na kuandika uharo eti watanzania walimchoka JPM unajiuliza hao watanzania ni wapi, hawa waliokua wanaandamana hadi kufa kuuona mwili wake?
Maana ukisema watanzania halafu hukuweka specific ni watanzania gani maana yake umewasemea watanzania wote wanaokadiliwa kua 60 million, hilo jambo sio sahihi.
Kwa mfano mimi binafsi sikua nampenda JPM lakini mama yangu alikua anampenda, sasa siwezi kusema kisa mimi simpendi basi Watanzania wote walikua hawampendi, huo ni utaahira. Na usemi ama uandishi wa kitaahira kama huo ndio haukubaliki.
Hakuna kitu kinaamua siasa kama 'wakati'..
Wanasiasa wazuri ni wale wanaojua nyakati zinavyobadilika na kwenda na wakati uliopo ...
Watanzania walikuwa wamechoshwa mno na siasa za Magufuli...na uongozi wake kiujumla..
Kubanwa Uhuru wa kuongea
Kufokewa na kukaripiwa
Kutoa matamko Kwa ukali..
Kuzungumza Peke yake..
Kutokukosolewa ..
Kukosekana Kwa mijadala na majadiliano..
Na mengi yaliyoenda na hayo..
Ujio wa Samia umebadili siasa Kwa ujumla..
Samia hafoki anaongea Kwa upole na kushawishi ..
Anazungumzia mazungumzo na mijadala..
Hazuii kukosolewa badala yake anakaribisha kukosolewa Kwa serikali yake..
Kikubwa zaidi ni Mwanamke ..
Watu wanamtazama Kwa 'kumhurumia'..
Na kumpa 'all benefits of the doubts'..
Na kuelewa kuwa anapambana na mfumo dume...
Watu wengi wanaju hii nchi ngumu na wanajua Samia atahangaika kuweza kumudu ...still wanafarijika na 'kurudi Kwa Uhuru wa kuongea na kukosoa'..
Sasa kama wapinzani wanafikiri siasa za kumshambulia Rais na serikali yake zinalipa bado kama enzi za JK watakuwa wanakosea sana....
Sana Sana wataonekana 'hawana adabu'
Na wanajaribu 'kumuonea' 'Rais Mwanamke' baada ya 'kidume ' JPM
'kuwakomesha hadi wakaufyata'..
Siasa za kipindi hiki zinahitaji ubingwa wa hoja kwenye mijadala ya kistaarabu..bila
Kuwa 'boa' wananchi ambao walishachoshwa na Magufuli Sana Sana wanataka 'mzunguko' wa hela urudi kama ule wa JK....
Kuleta siasa za ulalamishi..
Siasa za uwana harakati.
Na siasa za Ku target watu na kuwashambulia bila kujua ..'role halisi' ya hao watu ni siasa ambazo zinakuwa 'outdated ' so fast...
Watu wanampenda Samia sio Kwa sababu ni kiongozi bora.. wanampenda Kwa sababu wanaona 'nafuu inakuja'
Upinzani ukicheza siasa za kuleta 'distraction'wakati watu wanasubiri nafuu ije ..hasira za wananchi zinaweza washukia wao.....
Siasa inaendana na nyakati.. wapinzani wanasoma nyakati??
Huna lolote unafiki unakusumbua!
Humpendi jpm halafu kutwa unamtetea humu jamvini tena kwa maneno ya shombo!
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Upinzani wetu hauaminiki kabisa, wengine wakanunuliwa kiurahisi sana kisa kukeep ubunge wao or kuhakikishiwa cheo fulani! When maslahi yao yanapoguswa (Hasa kifedha/mali) wanakuwa wajinga kabisa. Upinzani wa kweli utatoka CCM-Nyerere, hii kauli itatimia siku moja (Almanusura itimie 2015)View attachment 1763203
hapa moja ya kiongozi wa upinzani anajaribu kupaka rangi ukuta,usionekane.
ameshindwa kabisa kabisa kusoma alama za nyakati.matokeo yake michango ya wananchi hapo chini imekuwa migumu sana kwa upande wake.
Hili suala la tume na Katiba mpya ni kelele za viongozi wenu ambao hawana dhamira ya dhati ya kuiondoa CCM, ni baadhi ya visingizio ambavyo hawata kosa kuwa navyo hata ikipatikana hiyo Tume. Jambo moja rahisi sana mkuu; Hivi fedha ambazo CDM wamekusanya kama Ruzuku from 2015-2020 wamefanyia nini cha maana (Katika kukijenga chama)? Maana ilikuwa fedha nyingi mnoo, kwa upinzani serious ile fedha ingewatengenezea msingi mzuri sana maana huwezi fanya siasa bila fedhaMimi napingana na wewe
Kinachowanyima kiti wapinzani ni tume na sio sera wala jambo lolote
Uchaguzi 2020 ni ushahidi tosha
Halafu kwani huyo CCM ana sera zipi za maana