kiwa khalid
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 636
- 534
Magufuli ametufundisha mengi,ametuonyesha madhara ya ubabe,na huko cdm ubabe ndoo uliko,mwenyekiti hawezi kubadilika amekuwa wa kudum,Sasa huyo akishika dola tutamtoaje? wapinzani wetu ni wabinafsi.afadhari hiyo hiyo ccm kuliko wapinzani tulio nao
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app