Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Kwahiyo unataka tutoke kwenye mjadala kitaifa turudi kwenye mjadala wa kichama ?Wao sasa hivi wana uwezo wa kuwajibishwa na wanachama??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unataka tutoke kwenye mjadala kitaifa turudi kwenye mjadala wa kichama ?Wao sasa hivi wana uwezo wa kuwajibishwa na wanachama??
Nambie ni kitu gani ambacho kinawanufaisha wao halafu ni maumivu kwa mwananchi walishawahi kukipinga kwa dhati???Kwahiyo unataka tutoke kwenye mjadala kitaifa turudi kwenye mjadala wa kichama ?
Hata sioni kosa letu, tunaporwa haki zetu ndio sababu, "chama dola" hakina jipya tena.Kwa vyovyote kwenye uchaguzi huwa tunachagua story lakini story inayoeleweka na kutekelezeka.
Kama mtu katupigia story miaka 50 na bado tunamwamini huoni kosa ni la kwetu wenyewe kuamini uongo ule ule kwa miaka nenda rudi ?
Mbona hujafungua code umeona nini?Hakuna kitu kinaamua siasa kama 'wakati'..
Wanasiasa wazuri ni wale wanaojua nyakati zinavyobadilika na kwenda na wakati uliopo ...
Watanzania walikuwa wamechoshwa mno na siasa za Magufuli...na uongozi wake kiujumla..
Kubanwa Uhuru wa kuongea
Kufokewa na kukaripiwa
Kutoa matamko Kwa ukali..
Kuzungumza Peke yake..
Kutokukosolewa ..
Kukosekana Kwa mijadala na majadiliano..
Na mengi yaliyoenda na hayo..
Ujio wa Samia umebadili siasa Kwa ujumla..
Samia hafoki anaongea Kwa upole na kushawishi ..
Anazungumzia mazungumzo na mijadala..
Hazuii kukosolewa badala yake anakaribisha kukosolewa Kwa serikali yake..
Kikubwa zaidi ni Mwanamke ..
Watu wanamtazama Kwa 'kumhurumia'..
Na kumpa 'all benefits of the doubts'..
Na kuelewa kuwa anapambana na mfumo dume...
Watu wengi wanaju hii nchi ngumu na wanajua Samia atahangaika kuweza kumudu ...still wanafarijika na 'kurudi Kwa Uhuru wa kuongea na kukosoa'..
Sasa kama wapinzani wanafikiri siasa za kumshambulia Rais na serikali yake zinalipa bado kama enzi za JK watakuwa wanakosea sana....
Sana Sana wataonekana 'hawana adabu'
Na wanajaribu 'kumuonea' 'Rais Mwanamke' baada ya 'kidume ' JPM
'kuwakomesha hadi wakaufyata'..
Siasa za kipindi hiki zinahitaji ubingwa wa hoja kwenye mijadala ya kistaarabu..bila
Kuwa 'boa' wananchi ambao walishachoshwa na Magufuli Sana Sana wanataka 'mzunguko' wa hela urudi kama ule wa JK....
Kuleta siasa za ulalamishi..
Siasa za uwana harakati.
Na siasa za Ku target watu na kuwashambulia bila kujua ..'role halisi' ya hao watu ni siasa ambazo zinakuwa 'outdated ' so fast...
Watu wanampenda Samia sio Kwa sababu ni kiongozi bora.. wanampenda Kwa sababu wanaona 'nafuu inakuja'
Upinzani ukicheza siasa za kuleta 'distraction'wakati watu wanasubiri nafuu ije ..hasira za wananchi zinaweza washukia wao.....
Siasa inaendana na nyakati.. wapinzani wanasoma nyakati??
Waliompenda Magufuli ni hasa wale wenye maisha duni? Nikuhakikishie JPM alipendwa na watu wa kada zote, walio duni na wasio duni pia. Ieleweke kwamba hulka ya binadamu ni complex huwezi kumtathmini binadamu kwa vigezo rahisi rahisi kama uwepo wa mzunguko wa hela mtaani. Hakuna viongozi waliokuwa easy-going na walioachia hela mtaani kama Mwinyi na JK, lakini kuna sehemu ya watanzania inawaona kama miongoni mwa viongozi wabovu kuwahi kuiongoza Tanzania. Kinyume chake JPM amependwa na watanzania takribani asilimia kubwa kwa sababu zingine zinazogusa mioyo ya watu. Kuna mambo ya msingi yanayogusa mioyo ya watu zaidi ya pesa, na ni kama vile JPM aliyajua, na ndiyo maana huku mtaani watu wengi wanaamini JPM ni kiongozi bora kabisa wa nchi yetu kupata baada ya Nyerere.Soma vizuri, hakuna kiongozi aliyewahi kukubalika na watu wote wakati wote, lakini pia hakuna kiongozi aliyekataliwa na watu wote wakati wote.
Kama ulimchoka wewe, hilo una uhakika nalo 100% na atakayekupinga ana matatizo. Lakini kusema alishachokwa na wengine, ni jambo lenye ukweli kwa assumptions na hypothesis, lakini ukubali wapo waliompenda hasa wenye maisha duni na yeye siku zote alijitafsiri kuwa hao ndio kipaumbele chake na hasira zake ziliwashukia wakwepa kodi na wala rushwa na waonevu ikiwemo wanyonyaji mpaka kwenye madini kule.
Sasa u-balance, usilazimishe kuwa kila mtu alimchoka, ulimchoka wewe.
Sema Sababu inajulikana Tz iko na wapumbafu wengi yaani LeoJamaa umeandika vema. Yyte atakaeanza kumkosoa mama watu watamuona ana nongwa na ni muonevu na watahoji kwa nn aliufyata kwa mbabe jiwe? Mfano ni yule dada kule tweeter ambae watu walimbatiza jina la Ferain baada ya kumkosoa mama huku kwa jiwe akiwa ameufyata na vijitivii vyake vya mkononi kupigwa ban.
Wapinzani this time watakua ni loosers. Ishara nyingne niionayo ni bunge. Wabunge washasoma alama za nyakati na sasa wamejitwisha kazi ya upinzani kukosoa serikali na mama kaahidi hilo. So upinzani hautakua na hoja tena maana kila kitu kinafanyika. Mfano ji akina GWAJIMA, NAPE, GAMBO, MAKAMBA MUHONGO N.K
Watu wanataka kujificha kwenye kichaka cha uanamke ikiwa mwenyewe kasema hakuna ubongo tofauti Kati ya mwanamke na Mwanaume kinachotakiwa mama afanye kazi afuate sheria zaidi ya hapo atapwayaUkimkosoa Mama kwa hoja hana ujanja wowote , pamoja na yote huyu ni miongoni mwa walioharibu Katiba mpya hadharani na gizani , faili lake lipo , tunamwangalia tu atakachofanya
Mimi sikumchokaMagufuli alishachokwa utake usitake !
Huu ndio ukweliChama kinachojiita "chama dola" kina hoja gani mpaka wapinzani wapate shida kushindana nacho?
"Mimi ni Rais mwenye jinsia ya kike" sounds confident, nakushangaa mleta mada unamdharau, wanawake siku zote wanapigania haki sawa, kwanini wewe unawashusha?
Samia atapingwa tu, kama alivyokuwa akipingwa Magufuli, na Kikwete, na bahati nzuri Mbowe ameshaonesha hiyo dalili, huyo mama Katiba Mpya imeshamshinda bado unataka abembelezwe!.
Huwezi kumlazimisha mtu abadili "approach" ya siasa zake kwa kisingizio chepesi "wanamuonea mama", ikulu halei watoto, anaongoza taifa linalofuata mfumo wa vyama vingi.
Akishindwa kuvumilia hayo akaanza kuwaweka ndani hatakuwa na tofauti na mtangulizi wake, kama kweli amekomaa kisiasa lazima awe na "thick skin" hizo ndio price you pay for being there at the top, not the other way round like you preach.
Hili swali nimeshakujibu kule juu labda kama umeishiwa maswali mengine ya kuuliza useme.Nambie ni kitu gani ambacho kinawanufaisha wao halafu ni maumivu kwa mwananchi walishawahi kukipinga kwa dhati???
Shukrani sana kwa hii comment unajua kuna watu hawataki kuamini kwamba Nchi hii bado iko na wajinga wengi wasiojua nafasi zaoWengi sasa hivi (ukiwemo wewe na wana CCM wengi tu) wanakiri kuwa Magufuli aliharibu. Nakunukuu:
''Watanzania walikuwa wamechoshwa mno na siasa za Magufuli...na uongozi wake kiujumla..
Kubanwa Uhuru wa kuongea
Kufokewa na kukaripiwa
Kutoa matamko Kwa ukali..
Kuzungumza Peke yake..
Kutokukosolewa ..
Kukosekana Kwa mijadala na majadiliano..
Na mengi yaliyoenda na hayo..''
Mwisho wa nukuu.
Kama wakati wa Magufuli watanzania walikuwa kwenye hali mbaya namna hii (jambo ambalo ni kweli) mbona hawakufanya mabadiliko? Je, hata wakijenga hoja kipindi hiki ni nini kitawafanya watanzania wawasikilize na kuiondoa CCM?
My take: Upinzani hata uwe makini na wenye hoja namna gani, bila wananchi kujielewa na kuacha woga ni kazi bure. Kinachoendelea kuiweka CCM madarakani siyo udhaifu wa viongozi wa upinzani wala uimara wa hoja wa CCM bali wananchi wengi kutojielewa na kuwa woga.
Sawa kinachotakiwa ni hoja kinzani itoke ndani au nje sawa tu. Na mtu ambaye si mbinafsi atasaidia upinzani ukue na unaweza kukua pia.Jamaa umeandika vema. Yyte atakaeanza kumkosoa mama watu watamuona ana nongwa na ni muonevu na watahoji kwa nn aliufyata kwa mbabe jiwe? Mfano ni yule dada kule tweeter ambae watu walimbatiza jina la Ferain baada ya kumkosoa mama huku kwa jiwe akiwa ameufyata na vijitivii vyake vya mkononi kupigwa ban.
Wapinzani this time watakua ni loosers. Ishara nyingne niionayo ni bunge. Wabunge washasoma alama za nyakati na sasa wamejitwisha kazi ya upinzani kukosoa serikali na mama kaahidi hilo. So upinzani hautakua na hoja tena maana kila kitu kinafanyika. Mfano ji akina GWAJIMA, NAPE, GAMBO, MAKAMBA MUHONGO N.K
Watu tunamfurahia Mama kwa sababu Tulishamchoka MAGUFULI na Siasa zake za kikatili,Uko vizuri Mkuu na ushahidi wa hili ni UPORAJI wake wa uchaguzi.
Hakuna mtu asiyechosha hata wewe kuna watu umewachosha. Ni kawaida sana kwa binadamuKwani aliekwambia tulimchoka magufuli nani?. Ulimchoka wewe tu.
Unawashaurije Chadema wanapoambiwa wapeleke Hoja zao kwa ShibudaNi kweli kabisa
It's either walipaswa wakae kimya huku wakisubiri the right time to attack her as i am sure kila mtawala huwa na flaws ambazo hata wananchi wanaweza kuziona
Ila kwa sasa ni mapema sana wao kupinga as mama ameanza vizuri, ni kama anaonekana atarudisha tumaini lilipotea!sasa wao wanavyopinga na kushambulia inaonekana it,s either hawako wise au wameishiwa hoja so they are just trying so hard to survive
Ni mtazamo wangu tu jamani chondechonde wanachadema msinipopoe kwa mawe manake hamkawii,
Kwanini mnaandika mambo yakijinga hivi...kwa Tume na sheria zipiKwa kweli The Boss umewawekea msingi mzuri upinzani nini wakifanye. Wakifuata ushauri wako basi watachukua nchi 2025.
Wakati Magufuli anaingia madarakani tulisikia maneno Kama haya,kuwa Sasa upinzani umekufa na akapewa kila Jina,Tingatinga,mtumbua majipu,mbadala wa Nyerere,kiboko ya mafisadi n.kUmeongea ukweli..japo sina wasiwasi. Upinzani upo na watu smart sana kama Mbowe
Waliokuwa wanalalamika sauti zao ziliishia kwenye kibuyu ila sauti za wapambe zilienea kote. Ni watu wachache walipata kujua pande mbili za shilingi. Watu waiokuwa wamechoshwa ni wale waliokua na fursa ya kujua ukweli na kuutafuta na kuuchambua. Wanafiki wenye uelewa walitikisatikisa tu mikia yao hawakuthubutu kubweka.Wengi sasa hivi (ukiwemo wewe na wana CCM wengi tu) wanakiri kuwa Magufuli aliharibu. Nakunukuu:
''Watanzania walikuwa wamechoshwa mno na siasa za Magufuli...na uongozi wake kiujumla..
Kubanwa Uhuru wa kuongea
Kufokewa na kukaripiwa
Kutoa matamko Kwa ukali..
Kuzungumza Peke yake..
Kutokukosolewa ..
Kukosekana Kwa mijadala na majadiliano..
Na mengi yaliyoenda na hayo..''
Mwisho wa nukuu.
Kama wakati wa Magufuli watanzania walikuwa kwenye hali mbaya namna hii (jambo ambalo ni kweli) mbona hawakufanya mabadiliko? Je, hata wakijenga hoja kipindi hiki ni nini kitawafanya watanzania wawasikilize na kuiondoa CCM?
My take: Upinzani hata uwe makini na wenye hoja namna gani, bila wananchi kujielewa na kuacha woga ni kazi bure. Kinachoendelea kuiweka CCM madarakani siyo udhaifu wa viongozi wa upinzani wala uimara wa hoja wa CCM bali wananchi wengi kutojielewa na kuwa woga.