Upinzani bila kubadili siasa mtapata hasara kubwa Kwa Samia..

Magufuli ametufundisha mengi,ametuonyesha madhara ya ubabe,na huko cdm ubabe ndoo uliko,mwenyekiti hawezi kubadilika amekuwa wa kudum,Sasa huyo akishika dola tutamtoaje? wapinzani wetu ni wabinafsi.afadhari hiyo hiyo ccm kuliko wapinzani tulio nao

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Wenzetu wana "political strategists" wanaolipwa pesa nyingi kusaidia kwenye nyakati za mashaka kama hizi.

Wasome vizuri upepo, ili tanga walielekeze upande sahihi. Naona kina Maria wameanza kupotea, hawajui washike lipi na kwa nini? Making unreasonable demands left right and centre.
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100
 
Una maanisha nini kusema"constituency"?
 
Hawa wanaosema watu walimchoka ni watu gani? Wakati asilimia kubwa ya wapiga kura, wanyonge na maskini walimkubali... hata huku mtaani hilo linajidhihirisha. Kuna mabaya yalifanyika sikatai lakini kuwa watu walimchoka jamaa awe specific watu gani haswa....
 
Umemaliza Mkuu 🙏 You have spoken my mind
 
Nadhani haupo sahihi.. constituency ni majimbo yanayotoa wawakilishi wa kwenda bungeni. Sio political meaning..Mzee umeanza kamba [emoji23]
Constituency - a group of people with shared interests or political opinions.

Tulikuwa na Machinga upande wa upinzani kabla ya Mwendazake chini ya 2015, lakini Mwendazake akawabadilisha 2020 na kuendelea wako upande wa CCM.
 
Kwani Maria ni nani kwenye siasa za Tanzania ?
 
Shetani anamshauri malaika.
 
Constituency - a group of people with shared interests or political opinions.

Tulikuwa na Machinga upande wa upinzani kabla ya Mwendazake chini ya 2015, lakini Mwendazake akawabadilisha 2020 na kuendelea wako upande wa CCM.
Nikwambie ukweli 2020 Magufuli hakuwa na constituency yoyote zaidi ya kuwa na polisi, tume ya uchaguzi na waratibu wa wizi wa kura.

Machinga hao hao aliowatoza kitambulisho cha 20k ndiyo hao hao waliomtandika kwenye sanduku la kura.

Magufuli alitumia miaka mitano kuumiza watu na kujenga barabara na madaraja hiyo constituency aliipata wapi ?

Unazungumzia kura za uchaguzi ulioporwa from the start kama kipimo cha kukubalika kwa Magufuli, are you insane ?
 
Unaleta mfano wa Sabaya kwenye hoja nyeti za kitaifa ?

You are not serious
 
Unazungumzia ETHOS hakuna utawala ulikuwa wa hovyo kimaadili kama utawala wa JPM.

yeye mwenyewe hakuwa na maadili ya kiuongozi mbele ya umma.

Hakuzingatia haki za binadamu, isipokuwa kulikuwa na haki za wanaccm wanaomuunga mkono.

Aliongoza kuteua viongozi wasio na maadili kwa jamii Masalia yake bado yapo jana tumesikia mkuu wa wilaya akimtukana mwananchi, yeye ametukana wananchi for 5 good years.

Kuna wakuu wa wilaya walikuwa wanachapa viboko watu hadharani.

Kuna watu walipotea kama sindano.

Hizi ndiyo ethos unazopenda wewe ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…